Daaa!! Candy mpaka namuonea huruma mana Kila siku yani Bora ya Jana ila tunajifunza mengi kupitia hii move mungu awabariki sana naombeni muendelee ivi ivi kutuelimisha hata na move nyengine mtakazo zitoa
Aya Aya Tena asiyekua n macho abiwi tizama cendi dishi linazid kuyumba kazi ipo chiko unalolote we mzigo wa papa suziii mapenz ni 🔥🔥🔥🔥 n madefu mariooo
Chiko ameyabananga, tatizo la kutopata mtoto ni la mke na mume lakin chiko kamuangushia lawama mkewe bila kujua yeye ndo mwenye tatizo, Sasa shida iko kwake uso wake atauweka wapi😂😂
Duh kumbe ndoa ndo zinachangamoto km izi 😢😢 chiko anamwambia mkewe maneno yale😢😢 duh wanaume wanapaswa wakae vzr na wake zao kwasbabu mwanamke anawez ata kukuekea sumu kwenye chakula ila anavumilia 😭😭😭
Hili sehemu jamani inamafunzo mengi mtu yoyote anatatinzo na wazazi wake hasiione haibu hata kama uliuwa omba musamaa tuu utasameewa ongereni sana wachezaji wa movie iyi.🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰👌👌👌👌💪💪💪💪💪💪
Habari naitwa Chiko kama wewe ni Shabiki yangu naomba join kwenye group langu la WhatsApp 👇👇
chat.whatsapp.com/BxFQki9nhbc6DcWpro6OEs
Chiko uyu uyu mpa mkewe maneno machafu😂😂😂
@@kinananyuni9732hahahaha jamanii
Chiko huyu asojua maana ya ndoa yake
Chiko uyuuyu ambae Hana kizazi
@@B.M-ix4rz😂😂
Nimefurahia sana vile kai wamekubatiana na zuu wapi like zao
Namba 1😅, Hebu Tujuane tuliotoka Kibox Media Kunolewa mpaka Kupata uhondo wa Full Episode yaani Ananogesha mpaka nimekopa songesha 😅😅
🎉🎉🎉nasubilia ndoa ya zuu na kai mie kendi hata kama kachukua hati ya nyumba itarudi tuu kwa kai nyumba haiyuzwi hiyo
Wanaoamini kuwa zuu na kai ni wapenz kweIi wanipe Iike 🎉🎉🎉
Daaa!! Candy mpaka namuonea huruma mana Kila siku yani Bora ya Jana ila tunajifunza mengi kupitia hii move mungu awabariki sana naombeni muendelee ivi ivi kutuelimisha hata na move nyengine mtakazo zitoa
Kweli ety🎉🎉🎉
Hapo umesema kweli
Pamoja Sana kendy ale jeur yake inaonekana hata wale walio chukua hat ya nyumba watamdhulum kendy ndio ajue kua maisha si ukorofi du
Kweli kabsa😂😂
Na hat watapeleka kwa huyo rafk ake kai@@SalamaFrancis-yg7sr
Nata hao watafeli haiwezi kununuliwa mpaka saini ya Kai.
@@Fatuma-x7jhapa umesema mpenzi hawaezi fanya lolote mpaka sign ya mwenye nyumba 😂😂
Nani Anaisi Uyu Shemegi Wa Mchogo Anataka Kumtapele Cendi ,....Cendi Kitakuramba So Soon😂😂😂😂😂
Yan siyo shemeji yake tu Hadi huyu masozii watampg na kitu kizito
@@FaridaFocusnaomba iwe ni hati feki😂😂
😂😂😂
Nishaona
@@FaridaFocus Umeona Kumbe
Sijapenda chiko maneno alomwambia mke wake hata kama ukweli lkn Kaah kazidi 😏
😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉mm dua yangu kend asifanikiwe kuuza nyumba ya kai,
Umeongeleleya point ya maana sana ❤
Hata mm naomba hivyo in Shaa Allah…huyo macho kubwa chisa ndio anamsukumiza kendy kuuza nyumba but in Shaa Allah wasifanikiwe
Wanawotamani Hiy movie indeleley pa ka épisode 200 gong like🎉hata 10
Episode 10000
Hakiyamungu hii movie ataifike épisode 500 mana hii movie inafundishasana
@@ElianaSengiyumva-fs1ei sana na kuherimisha
@@PhilbertNdayisaba-b4o kwani laiki unazitumia sehemu gani acha hzo
Iendelee mpaka episode 1000❤❤
Chiko ni mpumbavuu sanaa maneno gani ya kumwambya mkeo hayoo vip ukiwa wew ndo mwenye tatizoo
Kwa kweli chiko ni mtu mbaya sana kwa hili amekosa sana na Nina hakika yy ndio gumba
Huyu chiko 😢😢anamrusha roho mkewake nahata mimba ya Candy sioyake 😅😅😅 🤷🤷 chunga isitokee wewe mdohuna mbegu za watoto naimeisha hiyooo 😂😂😂🙈🙈
😂😂😂😂
n kama bke wa chiko ataenda kw Tasha
Nicheke candy😂😂😂😂😂😂 weeeee nikweli nimeamini kwali marafiki wanaweza kuacha likin mama hataumdarau vip hawezi kusahau mwanawee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🙏🙏🙏
Wow Namba 2❤❤❤🎉 penda saana daa zuu na Kai wap mauwa yao wakenya msimsahau kunipa like
Pongezi kwenu, movie inamafuzdo saana, Candy hata kuoga zzz muzunguko tu, love you All 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@@sifamaureen2792 😂😂🤸🤸🎉🎉
❤❤❤
Na ww utapea waKenya nn😅😅
❤❤❤❤
Aisee👌 nimependa bro, vile umemkwepa sania vile kakukmbatia💐💐💐
Nipeeni ata like am happy zuu na Kai
Kama unampenda zuuu gonna likes hapa tukisonga mbele from 🇰🇪 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ningekuwa mm mke wa chiko ningeondoka mm
@@jamilamwarabu3890 kwa nini uondoke linda ndoa yako 😂 😂
😂😂😂😂😂😂
Nimependa zuuu alivyo kutana na kka kai@@SiseraDonasiano
@@jamilamwarabu3890kabsa hata nisinge subili
Wanao kubaliana na mimi kuwa chiko hana uzazi like hapa 🤣🤣🤣🤔
😂😂😂😂😂
Nikwel chiko Hana uzazi😂😂😂
Kweli kabisa hana😅😅
😂😂😂
Kabisa mimba niya jamaa wa sania😂😂
Zuu nakupenda Sana Dada wap Shem Kai Dada?mmmmmmmwa!!!!❤❤❤❤
❤❤❤🥰🥰
😂😂king'ang'a sania yupo vizuri akikamata haachii
Jamani tumejifunza mengi Sana ktk move hii love you so much
Leo nimewahi Kutoka kenya 🇰🇪😂team strong 💪 team zuu harusi tunayo hatuna ❤️❤️
Ninapenda like nyie
❤❤❤
Tunaisubiri kwa hamu❤❤🎉🎉
@@Marim-sj7oi❤❤❤
@@Orenj-l8d🥰🥰
Good movie kwa sababu inafundisha like it❤
Wa 50 jaman na sisitiza nipeni japo 1 bas ya zuu na kai kukutana plz from Oman 🇴🇲
Leiki❤❤
@@FatmaKhamis-lb6jj😂😂😂😂
Tujuane from oman
Kweli njia ya muongo n fupi na mpanda ngazi hushuka maskin kandy amefanya kupiromoka😂😂😂
Hii movie tam sana mambo ni moto🎉
Aya Aya Tena asiyekua n macho abiwi tizama cendi dishi linazid kuyumba kazi ipo chiko unalolote we mzigo wa papa suziii mapenz ni 🔥🔥🔥🔥 n madefu mariooo
Kwa taarifa Yako chiko huna uwezo wa kumpa mwanamke ujauzito,mimba ya candy sio ya kwako 😂😂
Ndio mimba ya kendi niya papa nasio ya chiko
Dhuuuuu w mwisho jamani naomba like 1 tu hmmm tujuwane apa House girl ❤❤
Namimi bs jamani like hata moja
Nikama chiko jogoo hapandi mtungi vile 😮😮😮
Anapanda mtungi vizur anakula shoo bila shida ila mbegu zakuzalisha hana anazo zakuozesha 2😂😂😂😂😂😂😂😂
@@linnahmshamazakuozesha haswa! Khaaa 😂
Chiko ameyabananga, tatizo la kutopata mtoto ni la mke na mume lakin chiko kamuangushia lawama mkewe bila kujua yeye ndo mwenye tatizo, Sasa shida iko kwake uso wake atauweka wapi😂😂
Mwenanao munatoa moja moja 😢😢munaboa jamani kazi yenu nzuri sana lakini muwe munatoa ata mbili kwasiku basi 🎉🎉
Duuuh Ahsantee sana jamani yani nakaa muda wote nikisubili 🎉❤🎉❤🎉❤🎉🎉❤
Hapo kabla movie kufika mwisho nimekwisha kuonja utamu. Ongera!
Sijui nilie na candy ama nilie na mke wa chiko ama ni furahie na wakina kai na zuuu
Candy jaman watu walikua wananyanduana we unaingiza vilio nakupa pole ya kinafki gonga like hapa
Anae hisi chiko awezi kuzalisha tujuane😂
Mm mdada wakenya najipata tuu napenda zatiti❤❤❤❤hata mavazi yake s yawaz sana🎉🎉🎉
Kendty anaitwa shida na shida zimemuandama natoka 🇰🇪 nipeeni likes wapendwa
Naamn nyumba haiuzwi mpaka sahihi ya mwenye jinaa🤣na mungu hawez mfanikishia candy hili kwa madhambi aliyofanya ni muda wa kai na zuu kujidai👌👌👌♥️
like kwa daa zuu na kai🎉🎉🎉🎉
Waaah nmewai kias Leo maana kila siku n WA 10k kuendelea
Anaye kubaliana na ilo hug apige like akipita😂😂😂
Leo namimi nimewai jamani naombeni like zangu angalau kumi ivi Dax P from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Candy bna ulie na ulijifanya mjuaji ukimlilisha zuu
Ndugu zangu achenj zenu unakuta mtu yupo serious kusoma comment yangu badala ya kuandika yake😅😅 unayeangalia embu like
Na vile nilivyokuwa makn😂😂
😂😂Leo candy amelia kweli yamemfika
Chiko ni kizaz cha amdala kiuno😅😅
wamwisho leo ,nipeni like hata kumi basi,nawapenda sana❤❤❤❤
Kendy mama nibora kuliko kitu chochote duniani
Leo nimewahi jama tujuane team Khai hapa kwakoment
Ukosawa mtoto wakiume
Waoooo mungu ni mwema zuu a kay amekutana🎉🎉🎉❤❤❤❤
Ssa uyu shida kinacho mpa shida hapo nni kujizungukia tuu kuoaga aaah😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂
Umenichekesha ujue kuoga na Kubadili nguo haaaa
😂😂😂😂
Shidaa candy 😂
Napenda candy sana nafasi yake ameicheza vilivyo bila yy hi movie haingenoga kabisaaa
Wa pili Leo naomben like ❤❤
Mapenzi yanauma Chiko ww huna uzazi 😢😢😢😢😢
Candy umekua mdg kama piriton 😂😂😂😂😂😂😂 Penzi la kichawi halidumu
Mke WA chiko anajua kulia😅,Alf chiko bana we ndio unamatatizo
🤣🤣
Kwerichiko hazai😂😂😂
Chiko chiko chiko,nimekuita mara ngapi,kitakuramba,tu ,na utajutia mbona unanyanyaza huyu mkewo
Chiko kweli nawe mapenzi yatakuua brother 😂😂😂😂😂😂
Kama ningekua bibi ya chino ningemcheat nikashika mimba ndio amaniheshim huyu chiko😂😂😂😂😂😊
Penda sana da zuu na kai ❤❤
Chiko 😂😂😂😂😂😂 usiseme kuna mwanamke umempa ujauzito sema kuna mwanamke amekupa ujauzitooooo kula chuma ya bana congo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Number 2
Season hii ni nzuri ikipendeza zaid ingeonyeshwa kwenye sinema zetu
Waooo jaman sijawah omba coment Leo naomben mi ndo 1
Hongeraa
Mungu ni mwema furaha ya kai pamoja na babake imepatikana sasa basi tufungeni ndoa tayari
We Chiko Neng'eneka tyuu😂
Mbona neng'eng'eka😅😅
Weeee mr tasha jamn ❤❤❤❤❤❤ kitoto kimekuganda icho keeee😂😂😂😂😂😂😂 hatari
Naomben likes jaman ata tano tyu
Mm niliwaza hill siku nyingi😂😂😂😂😂
Hakika mnastahili pongezi Kai,Mr Natasha,wahusika wote kwa ujumla welldone
Ni Tasha Natasha ni mke
Chiko wewe ndo tatizo,so candy can be this humble
Kidog nimewahi kazi nzur like kwa team zuu
Kweli huu ni mwaka wa kuforce, hug nayo nilazima niipate😂
❤❤❤❤ wanaompendaa zuuu gongaa like hapaa
Chiko Hana kizazi kabisaaa😂😂Ila inahuzunisha😢
Sijajua mie wangapi ila naitaji like zeni jamani
Duh kumbe ndoa ndo zinachangamoto km izi 😢😢 chiko anamwambia mkewe maneno yale😢😢 duh wanaume wanapaswa wakae vzr na wake zao kwasbabu mwanamke anawez ata kukuekea sumu kwenye chakula ila anavumilia 😭😭😭
Umeona nawewe yaan anampa maneno makali kias ili mmh
Jamani wanaokerwa kuangalia vipande dk chache gonga like 😢
Likes hapa za watu wa kenya tukigojea harusi ya kai na zuu❤❤
Huyu chiko vip mbona anamdhihaki sana huyo mdada. Kamkosea nn jmn mbona anamkosea hiv hata kma katembea nae ndo anamsibitishia kabisa dah imeniuma
Tena chiko angejua kuwa yeye ndie hana kizazi atajuta siku moja
Atajuta cku ambayo hatoweza kummiliki tena huyo mwanamke 😢😢
Dunia inaenda vizuri wewe ndie ambae unaiendesha kombo candy umeyakanyaga
Chiko kujisifu tu kumpa mtu ujauzito aaaah 😂😂😂
Candy hapo ndo umejua ukwel asiesikia la mkuu huvujika muguu sai mama ako uliemchangua amekuruka
🤣🤣🤣
Sina mda wa kudai like ila busati munanitaidi kazi mzuri afu leo mumechelewesha kutoa
Asante sana 🙏🙏
😂😂😂uwe unaandika vizuri
Namwonea hurum kendy saiv jmn
Wa pili leo naomben like
Hili sehemu jamani inamafunzo mengi mtu yoyote anatatinzo na wazazi wake hasiione haibu hata kama uliuwa omba musamaa tuu utasameewa ongereni sana wachezaji wa movie iyi.🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰👌👌👌👌💪💪💪💪💪💪
🥰🥰🥰🥰🥰
Watu mko macho kama mnalala mtandaoni 😂
Zuu n mwenye nyumba sasa❤
Candy kimemkuta kitu adi kalia pole yak sana🤣🤣🤣
Mko wap Wana Busat jmn
Tupo
🎉🎉🎉❤❤
We chiko pia nikama jogoo hapandi mtungi😂😂😂
Anapanda lkn jongoo lake halina macho😂😂😂
@@fatumabakari2640 ooh🤣🤣🤣aww pole
@@fatumabakari2640 Yalahhhhh🤣🤣🤣
Leo namm nimewah duuuh
Chiko wewe machozi ya mwenzio yasingatie halafu hauna kizazi bro 🤣🤣Kwa movie yaani
Natamani kukutana na comment tumejifunza kitu ila nakutana na comment kila mtu analilia likes
🙏🙏🙏
Imagine
Ndoa inatka uvumilivu lkn kwa ndoa ya Chiko 🙌 nwekewe wimbo wa harmonize-nishaxhachoka
Nmejaribu sana nipew maua kidogo na likes ata mbil🎉
🎉🎉🎉🎉🎉
❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉
@@Marim-sj7oi ok