Professor Jay - Kikao cha dharura (Official Audio)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ส.ค. 2024
  • #MapinduziHalisi #ProfessorJay

ความคิดเห็น • 365

  • @daudaloyce1891
    @daudaloyce1891 4 ปีที่แล้ว +71

    Kimsingi nimesongwa na haka ka muda, nadhani mkichagua tena nitatekeleza kile ninachosema, 😁😁😁😁😁 gonga like kama unamkubali huyu legendary

  • @david88.92
    @david88.92 4 ปีที่แล้ว +233

    Kama Hiii ngoma umeisikiliza 2020 tia like 😄

  • @jemjay1011
    @jemjay1011 4 หลายเดือนก่อน +10

    Nimefika hapa mwaka huu 2024 2025...

  • @amourhabiby5118
    @amourhabiby5118 12 วันที่ผ่านมา +1

    Ana akisi maisha halisi na siasa za Bara Afrika 😢

  • @zulfaabdala7370
    @zulfaabdala7370 3 ปีที่แล้ว +18

    Kama unampenda professor j gonga like

  • @Iman675
    @Iman675 ปีที่แล้ว +6

    2023 ,huu wimbo na wakati wa Sasa katika serikali ya kenya😢

  • @patrickmugo7249
    @patrickmugo7249 2 หลายเดือนก่อน +4

    2024 and still lazima nisikilize ndio mzee na kikao cha dharura 😅😂

  • @yusufushabani691
    @yusufushabani691 6 หลายเดือนก่อน +3

    2024 here
    Hivi Babu Ayubu alipotelea wapi?

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 4 ปีที่แล้ว +16

    Kwa wanaoiskiliza hiingoma kipindi hiki cha uchaguzi kandamiza ma like teleee

  • @NabakiZanzibar
    @NabakiZanzibar 2 ปีที่แล้ว +10

    Tujuane ambao bado tunaukubari huu wimbo mpaka sasa! #2022 #GYPSY
    Professor Jay ft. Babu Ayoub
    Kikao cha Dharura...Life time song.

    • @yusufmohamed4609
      @yusufmohamed4609 ปีที่แล้ว

      Tunaukubali , tafadhali usiharibu Kiswahili

  • @Divine_Destiny93
    @Divine_Destiny93 11 หลายเดือนก่อน +5

    Ruto government amplified by two songs... first Ndio mzee and Kikao cha dharura later all by Prof Jay..... Kweli usanii kioo cha jamii.... This song was released in 2004/2005 and its 2023 and it reflects perfect with kenyan economy and government at the moment..... 😂😂😂😂❤❤❤❤❤

  • @dulaabdallarashid
    @dulaabdallarashid 2 ปีที่แล้ว +3

    tuachane na diamond huyu mwamba wa bongo records big legendary

  • @geoffreybasesa2015
    @geoffreybasesa2015 2 ปีที่แล้ว +24

    2022 minus 2 still feeling the hit. Legend

  • @IssaSalimo-v5w
    @IssaSalimo-v5w 24 วันที่ผ่านมา +1

    Kama wakurima tumesikia tuendelee murina kwamkono twende pamoja❤❤❤

  • @peterkutoh3699
    @peterkutoh3699 4 ปีที่แล้ว +106

    Professor Jay ft. Babu Ayoub
    Kikao cha Dharura
    Prof Jay:
    Nawashukuru sana wananchi kwa kweza kunipa kura
    Nashangaa nimeitwa ghafla kwenye kikao cha dharula
    Kikao kinaashiria kina maswali juu yangu
    Hii inatokana na ndiyo mzee na ahadi zangu..
    Naona watu ni wengi wananchi walio na maana
    Najaribu kutafakari ni nini kinawachanganya!!
    Nipo tayari kujibu maswali yenu zamu kwa zamu
    Watakao uliza maswali na ningependa niwafahamu
    Swali:
    ..Naitwa sajent Byemero kwa niaba ya jeshi la polisi
    Nilikuwa nauliza zile helikopta zetu vipi?
    Jibu:
    Prof Jay:
    Nafikiria kwanza kuanzisha chuo cha marubani
    Vinginevyo mtapata ajali nyingi sana angani.
    Baskeli hamjui kuendesha helikopta mtaendeshaje
    Kila mtu aendeshe yake huko angani itakuwaje?
    Swali:
    Mheshimiwa sisi wakulima ulituahidi matrekta
    Na siku zinayoyoma tu mbona haujayaleta ?
    Jibu:
    Prof Jay:
    Wakulima mngeendelea tu kutumia jembe la mkono
    Serikali haina hela bajeti imefika kikomo
    Naona kilimo cha mkono kiniendelea vizuri
    Jamani kazeni mikono endeleeni kukaza misuli
    KIITIKIO
    Wananchi tupo pamoja hapo. (siyo mzeeeeeee)
    Watanzania tunaerewana kule, (siyo mzeeeeeee)
    Washika dau na wapiga kura pale (siyo mzeeeeeee)
    Eeehh: siyo mzee....eti, (siyo mzeeeeeee)
    Wakulima tupo pamoja pale, (siyo mzeeeeeee)
    Wanafunzi tunaelewana kule, (siyo mzeeeeeee)
    Mabahamedi na mapolisi pale (siyo mzeeeeeee)
    VERSE 2
    Prof Jay:
    Mabaaamedi ondoeni hofu kilio chenu nimekisikia
    Ma benzi yenu yapo bandarini tayari yameshawadia
    Nimemchagua kiranja ili anipe idadi yenu
    Niwape funguo zenu muondoke na magari yenu.
    Swali:
    Ulituahidi utatujengea barabara tano tano juu na chini
    Hizo zote hatutaki tunataka moja tu ardhini
    Kila siku tunapita barabara zinakuwa mbaya
    Umeyafumbia macho mheshimiwa huoni haya?
    Jibu:
    Prof Jay:
    Barabara ya makwekwe nimesha imwaga kifusi
    Baada ya wiki mbili itakuwa safi kama urusi
    Makandarasi wanafanya kazi kutoka china na madagascar
    Kuhusu vibarabara naomba muondoe shaka.
    Swali:
    Eeh vipi mzee mabomba kutoa maji na maziwa nchi nzima ?
    Jibu:
    Prof Jay:
    Jamani naomba muulize maswali ya utu uzima
    Mabomba kutoa maji na maziwa haiwezekani
    Mlinukuu vibaya nasisitiza haiwezekani
    Swali:
    Mzee hali ni mbaya si tungegawana vya kwako?
    Kwenye kampeni zako si ilikuwa moja ya ahadi zako ?
    Jibu:
    Prof Jay:
    Eeehh? kugawana vya kwangu hilo swala litakuwa gumu
    Familia itanitazama ebo? nina majukumu
    Imeandikwa kila mtu atabeba msalaba wake
    Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake
    Mbona mnaniuliza maswali mengi kunikomoa
    Jamani watanzania tunajenga tunabomoa
    RUDIA KIITIKIO x2
    VERSE :3
    Prof Jay:
    Wafanyakazi wa serikalini sasa nyinyi magari ya nini?
    Daladala chungu mzima mnaweza kuwahi kazini
    Nasema mnapenda sana starehe kuliko kazi
    Na hiyo ndio sababu mnaharibu hiki kizazi.
    Wanafunzi niliwahidi mtafanyia practical mwezini
    Kabla ya kupeleka mi nilifanya utafiti
    Nimengundua huko mwezini kweli kuna baridi sana
    Na pia kunavitisho kuwepo kambi za osama
    Mkinichngua tena mtakwenda huko mapema
    Nanita tekeleza kila neno ninalo sema
    Sema nimesongwa na haka kamuda
    Mkiniongezea muda kila kitu babu kubwa
    Wengine kimya na maswali yamepungua
    Yeyote mwenye swali ningependa kumtambua.
    Naona mnanong'ona na wengi mmekunja sura
    Hii inaonyesha mmeridhika kunipa kura
    Nadhani ndugu zangu tuko pamoja...... (aagh wapi)
    Jamani tupunguzeni jazba basi kidogo...... (hatutaki)
    Sasa watanzania mbona mnaazisha vurugu
    Nadhani mmesahau watanzania wote ni ndugu
    Babu Ayoub:
    Eeeh? jamani nasema hivi kikao kimeahirishwa
    Jamani maafande..... Afande miraj.... Afande mzafalu,
    afande nani Gondwe njooni mtusaidie huku.

    • @daisybrayson7769
      @daisybrayson7769 4 ปีที่แล้ว +4

      Kazi nzuri uliyoifanya

    • @johnmatiko2596
      @johnmatiko2596 4 ปีที่แล้ว +3

      2002 nijaza daftari za nyimbo za wasanii 😎😂😂

    • @micktinnos7482
      @micktinnos7482 4 ปีที่แล้ว +1

      Xaf

    • @issackchalahani1235
      @issackchalahani1235 4 ปีที่แล้ว +1

      Sio mchezo.

    • @jerushanyawera4964
      @jerushanyawera4964 4 ปีที่แล้ว +2

      Jerusha from Kenya. Professor J your songs have fantastic message l really like them. High five🖐

  • @feronandsulubu6711
    @feronandsulubu6711 ปีที่แล้ว +2

    Hip-hop na reggae ndo mziki wa kijamii

  • @chalimsupa6603
    @chalimsupa6603 3 ปีที่แล้ว +10

    hii wimbo inachekesha sana... ahsante professor Jay! wamekuzoea

  • @karanjakiarii6238
    @karanjakiarii6238 3 ปีที่แล้ว +10

    This was a true prophecy. That you were elected .. . and later.. maybe watu wakakwambia 'sio mzee'

  • @jafaripaje5366
    @jafaripaje5366 2 ปีที่แล้ว +24

    When music was composed by the taleted musician as opposed today’s rubbish. Reminds me of my high school days

  • @manassehjoseph3740
    @manassehjoseph3740 4 ปีที่แล้ว +12

    Maisha in jinsi uishivyo ulijiaminisha Leo umefanikiwa good,

  • @MG-wx8yx
    @MG-wx8yx 3 ปีที่แล้ว +11

    Kama huielewi hii ngoma, basi pumzika kidogo, kichwa yako itakuwa haiko sawa! Rudi tena baadae.
    2021 and still like yesterday.

  • @fedrickwilliam1721
    @fedrickwilliam1721 4 ปีที่แล้ว +4

    PROFESSOR JAY FOR PRESIDENT 2025

  • @kakabarracks9456
    @kakabarracks9456 ปีที่แล้ว +8

    This guy is so accurate in voicing for the common citizens I wish tz would give him more chances on the legislative arena.

  • @abdifatahabdullahi729
    @abdifatahabdullahi729 3 ปีที่แล้ว +23

    The relevance of this song on Kenyan political context. Mnakumbuka stadiums, free wifi, etc nothing came of it. Prof J will remain one of the best rapper ever.

    • @PembaImani
      @PembaImani 3 ปีที่แล้ว +1

      Tablets for school going kids, guaranteed paid internships for university graduates, universal health care, big 4 agenda oh noo...😭😭. Ebo! What a scam!

    • @biggiesmalls5050
      @biggiesmalls5050 9 หลายเดือนก่อน

      This song is a living reference to Kenya's political class

    • @isaacquesney2732
      @isaacquesney2732 6 หลายเดือนก่อน

      Prof's song highlights the current situation in Kenya. The hustler government resonates with what Prof says in this song.

  • @edgartv3322
    @edgartv3322 8 หลายเดือนก่อน +6

    Dedication to William Ruto and his hustler supporters

  • @yahyabakari4000
    @yahyabakari4000 3 ปีที่แล้ว +2

    Mbona kama hizi nyimbo ulijitabilia hatima Yako kwenye Siasa Prof Jay 😢😢😢😢

  • @yonarashidimbwambo2299
    @yonarashidimbwambo2299 4 ปีที่แล้ว +4

    Nafurahia sana nyimbo za huyu mwamba

  • @mussalugete5480
    @mussalugete5480 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akufanyie wepesi katika majukumu yako Ndugu Mheshimiwa Joseph Leonard Haule

  • @zlfamz3540
    @zlfamz3540 2 ปีที่แล้ว +1

    Mzee wa bongo

  • @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
    @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG 5 ปีที่แล้ว +46

    Hii imenifanya nikumbuke maisha ya zamani duuu!! Bongo frava umeitoa mbali sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻.

  • @massongacharles3904
    @massongacharles3904 24 วันที่ผ่านมา

    2024 button👇🏾

  • @jamesomondi4757
    @jamesomondi4757 3 ปีที่แล้ว +17

    Tanzanian icon...Respect sir🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @guyokorma9211
    @guyokorma9211 ปีที่แล้ว +6

    Prof Jay among the top prolific legend 🙌

  • @maulidrehani
    @maulidrehani 5 ปีที่แล้ว +11

    Msanii wangu wa muda wote...mzee wa mitulinga

  • @butchaureprisioneiro5873
    @butchaureprisioneiro5873 3 ปีที่แล้ว +6

    I m Mozambican FANS 🇲🇿🙏🙏🙏

  • @ellymwitakichonge8416
    @ellymwitakichonge8416 5 ปีที่แล้ว +35

    Safi sana ,,mzeee Wa ndio mzeee umekuja kivingine gonga like hapa kama umemuelewa huyu jamaa na bonge la creativity,,

  • @manisule7668
    @manisule7668 5 ปีที่แล้ว +10

    Ukiskia prophecy ndio hii ulijua utakua kiongozi na mungu amekujalia big up sana mkubwa

  • @Narratoroflovestories
    @Narratoroflovestories ปีที่แล้ว +1

    Dah nilikuwa naskiliza hii nyimbo nikiwa mdogo sna😊😊😊

  • @mettanahonyo3345
    @mettanahonyo3345 ปีที่แล้ว +2

    Living legend 💪

  • @mr.platonic2166
    @mr.platonic2166 12 วันที่ผ่านมา +1

    17-8-2024 😂😂NILIKUWA NAULIZA ZILE HELKOPTA ZETU VIP??

  • @coldmama1714
    @coldmama1714 2 ปีที่แล้ว +1

    Ma producers wazamani wslikua na talent kweli

  • @mmunjaru
    @mmunjaru ปีที่แล้ว +1

    2023...Reminds me of the empty blanket promises made to Kenyans in 2022

  • @genosumaye140
    @genosumaye140 2 ปีที่แล้ว +2

    Tunakutakia afya njema bro mungu ni mwema kila kitu kitakaa Sawa 🙏

  • @chimbaonline1418
    @chimbaonline1418 4 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa uliona mbal asee

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 3 ปีที่แล้ว +1

    Mwana hop anaepaswa heshima ni wew. Hukuan did q ,joh makin wala nn

  • @user-tl1du5jl8j
    @user-tl1du5jl8j 9 หลายเดือนก่อน +1

    2023..still listeing from kenya much lov pr jay

  • @PeyaMutombo-nj5ri
    @PeyaMutombo-nj5ri ปีที่แล้ว +2

    Cette chanson m'a trop fait du bien vraiment

  • @kevinevans9923
    @kevinevans9923 3 ปีที่แล้ว +4

    Mheshimiwa sisi wakulima ulituahidi matrekta,nasiku zinayoyoma tu mbona hujahawajaletaa..loved this vibe,much love from 254 ❤️❤️❤️❤️

  • @eddynando2522
    @eddynando2522 5 ปีที่แล้ว +25

    Living legend !! he prophesied of being an elected member of parliament now it has come to pass..... 2019 bado wimbo unahit

  • @mauriceogola9243
    @mauriceogola9243 5 ปีที่แล้ว +25

    MC mkubwa sana . Nakukubali Eminen wa Africa

  • @samwelelias1532
    @samwelelias1532 5 ปีที่แล้ว +1

    Asnte kaka mkuu wa hii bongo flava kama tuko pamoja na wewe gonga like hapa twende saws

  • @johngachuhi4776
    @johngachuhi4776 4 ปีที่แล้ว +20

    Tanzania finest ..am from kenya

  • @petermuma1582
    @petermuma1582 ปีที่แล้ว +11

    This guy is one of the best brains in music I have looked for this song since 2008. Prof J the legend in living

  • @seniorminor3071
    @seniorminor3071 5 หลายเดือนก่อน

    my all time legend 💪🏾

  • @isacklaizer6776
    @isacklaizer6776 หลายเดือนก่อน

    Classic classic classic song, nyimbo zinazoishi ... ⚘🌷🌹⚘🌷🌹🥀🌹🥀🌷⚘⚘🌷🌷🌺🌺🌺🌺🥀🥀🌹🌹...Chukua Maua yako Prof.Jay, Stay blessed.

  • @miriamdaniel3415
    @miriamdaniel3415 5 ปีที่แล้ว +17

    hali mbaya tugawane vyakwako

    • @issamwahezi6236
      @issamwahezi6236 4 ปีที่แล้ว

      Hiyo itakua ngumu

    • @RenatusMatungwa
      @RenatusMatungwa 3 หลายเดือนก่อน

      Hilo suala litakuwa gumu, familia inanitazama eboo nina majukumu😮

  • @vickyshio8732
    @vickyshio8732 4 ปีที่แล้ว +5

    Kichwa kingne ich jaman. Nan ako hapa 2020??

  • @kipkurgatthomascheruiyot-ep2ij
    @kipkurgatthomascheruiyot-ep2ij 8 หลายเดือนก่อน +1

    This songs is masterpiece reflection of today's politicians..example being kenya

  • @TrippleBeans
    @TrippleBeans ปีที่แล้ว

    NOMA SANA

  • @davidkojo9525
    @davidkojo9525 11 หลายเดือนก่อน +2

    Sometimes it feels like Prof Jay understood the Kenyan political state inside out. But it seems, politicians are the same everywhere. Kazi safi sana hii.

  • @elvisngosia215
    @elvisngosia215 9 หลายเดือนก่อน +1

    This song has reminded me Kenya Kwanza promises Ruto promised kenyans heaven on earth, its now very tough 😂😂😂

  • @dominiquebirler7031
    @dominiquebirler7031 3 ปีที่แล้ว +3

    Wakenya bado tupo hapa 2020🇰🇪🇰🇪

  • @oirishgervas6603
    @oirishgervas6603 6 หลายเดือนก่อน +1

    2024 but still watching

  • @staralive9260
    @staralive9260 2 ปีที่แล้ว +1

    Magufuli alikuwa anampenda sana Sugu! Sema tu maslahi ya Chadema ndiyo yaliyomuweka kando Pro. Jay tokea zamani.!!

  • @dishangib
    @dishangib ปีที่แล้ว +1

    Oldskool Classic Hit 🔈🔉🔊🇰🇪🇰🇪❤️❤️

  • @teddyrevocatus1546
    @teddyrevocatus1546 4 ปีที่แล้ว +1

    Kuhusu vibarabara naomba muondoe Shaka🥰

  • @johnnoel5849
    @johnnoel5849 4 ปีที่แล้ว +3

    2020 Bado inafanya vzur gonga like km na ww unaisikilza bado

  • @castronicodem1539
    @castronicodem1539 3 ปีที่แล้ว +1

    Good song. Nakukubali jay

  • @FranklinFranklin-ux7gq
    @FranklinFranklin-ux7gq หลายเดือนก่อน +1

    This song belong to our president

  • @kakabarracks9456
    @kakabarracks9456 ปีที่แล้ว +2

    This guy is so articulate in voicing for the common citizens I 4:04 4:05 4:05 4:06 wish tz would give him more chances on the legislative arena.

  • @rashidmsengwa.4789
    @rashidmsengwa.4789 5 ปีที่แล้ว +10

    #arijitabilia ivi sasa kiongoz wa mikumi.... daa" life baana🙂

  • @britishboytz3576
    @britishboytz3576 4 ปีที่แล้ว

    Huu ndo uhalisia wa bongo flava tamu

  • @lucaskashimwita6386
    @lucaskashimwita6386 4 ปีที่แล้ว

    Sina shida na ww Proj j Mungu akupe ushindi japo mm ni ccm nakukubali

  • @fremmangyemo200
    @fremmangyemo200 6 หลายเดือนก่อน

    Mpaka Sasa Nafata Iyi Song ! Kazeni Msuli Vijana. Bomba zakutowa Maji Na Maziwa. Que Dieu te bénisse Prof J Légende Vivante

  • @MOchieng85
    @MOchieng85 2 ปีที่แล้ว +5

    Jina lako PROFESSOR linakufaa na hadhi yako vile vile, na nina uhakika itachukuwa karne(centuries) nyingi sana, pengine hatapatikana mwenye kukung'atua kwa kiti chako cha Ufalme, kwa maana wewe ndiwe!!! Mungu akuzidishie maisha marefu na afya nzuri tu.

  • @samsonmgeta2345
    @samsonmgeta2345 4 ปีที่แล้ว +1

    Shikamoo professor afande mzafaruuuuuu

  • @opendoorspoutryfarm309
    @opendoorspoutryfarm309 4 ปีที่แล้ว +3

    wangapi bado tunaitazama iyi ngoma adi 2021 sasa tujuane

  • @iBraah257
    @iBraah257 10 หลายเดือนก่อน

    Mziki kama mziki na mwanamziki #pro

  • @basomakivodo3516
    @basomakivodo3516 4 ปีที่แล้ว +1

    Hiyi ngoma kilasiku Inakuwaga Mpya Kwangu Jamanii

  • @emmanuelopiyo6408
    @emmanuelopiyo6408 ปีที่แล้ว +1

    In kenya we have been promised electric motorcycles 🏍️

  • @brownmwaibole8414
    @brownmwaibole8414 5 ปีที่แล้ว +4

    Baba so Kwa utawala huu

  • @delgalshan6318
    @delgalshan6318 หลายเดือนก่อน

    2024 na hali ya nchi ndo ilivyoo😂

  • @ezratibore5750
    @ezratibore5750 5 หลายเดือนก่อน

    Legends we love you

  • @savimbialex8452
    @savimbialex8452 5 ปีที่แล้ว +15

    Proff j zee...wametulinga...mti mkavu....your my legend...I will always love your music

  • @weezypaker7941
    @weezypaker7941 3 ปีที่แล้ว +4

    I can never get enough of Jay and I don't even speak swahilli nut I understand the most but I wish can understand it all do beautiful

  • @abubakarmboko
    @abubakarmboko ปีที่แล้ว

    King jay

  • @sylivesterkunbert8277
    @sylivesterkunbert8277 5 ปีที่แล้ว +5

    Daaa kitambo sana but mistari yako mpaka sasa ni hot

  • @rebimbere
    @rebimbere 3 ปีที่แล้ว +2

    2021 we here

  • @Eternal_Lyrics.
    @Eternal_Lyrics. 8 หลายเดือนก่อน +1

    2023. Siyo mzee

  • @peterluther5830
    @peterluther5830 ปีที่แล้ว

    Professor J mistari balaa wewe.Mpaka sasa bado hakuna aliyekukaribia,Kichwa vina kama mchanga wa bahari.

  • @user-jl1cc2mr6y
    @user-jl1cc2mr6y 7 หลายเดือนก่อน

    Aiseee hii ngoma ilishika vibaya❤❤❤

  • @mwambirekwamboka9525
    @mwambirekwamboka9525 5 ปีที่แล้ว +20

    Baskeli hujui kuendesha helicopter utaendeshaje 😂😂😂 back in high scul 2002-3-4-5 daah

  • @hezbonokoth5013
    @hezbonokoth5013 ปีที่แล้ว +8

    I was raised by these legends, music was pure talented content. 2023 still a reflection of future

    • @ngenokipkorir9758
      @ngenokipkorir9758 ปีที่แล้ว

      The song is relatable to the current govt in our country

  • @kevyprimus5859
    @kevyprimus5859 5 ปีที่แล้ว +4

    yaani huu wimbo ni applicable kwenyew ishu za 2018 kabisaaa 🙌🙌🙌🙌

  • @user-ch1bx5xw8u
    @user-ch1bx5xw8u ปีที่แล้ว +1

    Mkali wa 2023

  • @meshachkigumbi
    @meshachkigumbi 8 หลายเดือนก่อน

    bit kali toka bongo record

  • @jeromemudende8083
    @jeromemudende8083 4 ปีที่แล้ว +2

    MC namba 1 Tz

  • @denniswambugu4219
    @denniswambugu4219 3 ปีที่แล้ว +7

    Real poetry.......

  • @harryvice77
    @harryvice77 2 ปีที่แล้ว

    P funk saluuut Kaka jay mziki unaishi huu miaka buku

  • @ENTERX9077
    @ENTERX9077 2 ปีที่แล้ว

    Who is here in 2021??? Baiskeli hujui kuendesha helikopta utaendeshaje?????