JINSI YA KUJUA KARAMA ULIYONAYO.dinuzeno, 0625954315
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 31 พ.ค. 2019
- TANGU KIPINDI CHA YOHANA MBATIZAJI HATA SASA, UFALME WA MUNGU HUPATIKANA KWA NGUVU, NAO WENYE NGUVU NDIO WANAOUTEKA.
CHANNEL HII ITAKUSAIDIA KUKUPA MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU AMBAYO YATAKUTIA NGUVU ITAKAYO KUFANYA UWEZE KUUTEKA UFALME ULE BWANA ALIOTUAHIDIA.
TUNATUMIA DAKIKA CHACHE SANA KATIKA KUKUFUNDISHA MANENO YA MUNGU NA HUTALIPIA GHARAMA YOYOTE KUYAPATA MAFUNDISHO HAYA ISIPOKUWA NI Mb ZAKO TU KATIKA SIMU YAKO.
Subscribe to this channel for more videos.
Pia unaweza kutembelea website yetu kwa kubonyeza link hapo chini.
www.dinuzenogospelday.com
Heeeee MUNGU akubariki sana mtumishi . kwa somo hili najiona kama Nina karama za kutosha vile
Napenda sana nikiona mwalimu anafundisha neno la MUNGU la kweli ,Napenda sana kutoa kwa Moyo,Napenda sana kusikiliza nyimbo za injili zinazoimbwa kutoka ndani ya moyo ukiwemo wewe nyimbo zako sichoki kuzisikiliza,na mengineyo loooh MUNGU akutunze apendavyo.
Amen
Bwana anisaidie siku zote za maisha yangu
Amen,mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri..nimefurahi kama ningepata mawasiliano yako ni kama unaweza kunisaidia nilipokwama..kuhusu karama najiona kwenye maelezo hayo ila kunachangamoto kidogo nilizonazo..
Hakika nimebarikiwa sana na somo hili
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.
Mungu a Kubariki naakujazenguvu ili uzidiku fundisha nenolake.asante Mungu
Ahsante mtumishi kwa SoMo nzuri
Na naamini katika huduma ambayo Mungu amekuandikia vikwazo ni vingi hasa kabla ya kutumika ktk hiyo huuma maana shetani anakaa karibu kuipinga isitekelezwe.
Asante myumishi wa Mungu mwenyezi
Ubarikiwe mtumishi nimelielewa somo karma yangu nimeshaanza kuijua
Hongera kweli mtumishi nimethibitisha hizi point kwangu MUNGU akubaliki
Mungu akubariki sana mpendwa kwa somo zuri. Ila naomba unapofundisha neno weka na vifungu vya kwebye maandiko yaani bibilia. Ni mafundisho mazuri sana
Sasa mwalimu , Mungu anaweza kukuonesha karama yako kwa njia ya mawazo,
Mungu wa mbiguni akubariki , hakika nimebarikiwa na mafudisho yako, nimejua mengi God bless you amen .
Asante sana
Mwalimu imefundishwa vizuri sana isipokuwa nilitaka unisaidie kujua karama tisa sawa sawa na 1 kunena 2 Karama ya kujua 3 Karama ya kutenda / kufanya kazi nisaidie
Hongera sana Mtumishi.nakuerewasana
Ukovizuri Sana Mwalumu,Mungu akubariki Sana KWA kujitoa kutufundisha Kanisa la Sasa,Mungu akuzidishie nataka tele Amen,ninakupatavizuri mno naninakufuatiliahatua baada ya hatua
Barikiwa sana mtu wa mungu Kuna kitu nmepata hapo na kina nitesa mnoo
Jambo asante kwa mafundisho Nina saidiwa zaidi Mungu akubariki
I have learnt that. Hapo kwa ndoto nishaona lakini sikujua it's a way of knowing ones talent
Honger Mtumish Wa Mungu kwa ujumbe huu mzuri san
It is.
Thank you a man of God,umegusa Karama yangu " mungu alinipa karama ya utoaji.
Bwana akusaidie
Ubarikiwe sana mtumishi, Mungu azidi kukuinua
Ameen..Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu..
Amen
Nmejifunzaa asante mtumishi
Mtu wa Mungu wanibariki sanaaaaa,ujumbe huu n mimi umenena nami sijui ni vipi kwa wengine lakini kwangu umetumika na Mungu kuninenea Direct
Amina nimebalikiwa sana
Asante sana Mtumish wa Mungu....nimependa somo hili na nimetambua karama yangu kwa uzuri...amina sana
Asante sana na Bwana atusaidie. Endelea kuwa pamoja nasi
Asante sana ndugu nimejifudisha jambo kumbwa sana leo kupitia mafudisho yako barikiwa amina
Ubarikiwe somo zuri sana
Asante kaka kwa maubiri yako mazuri mungu akzidishie 100 Mara 100 amina
Hakika Mungu ni mwema , nimejifunza kitu katika somo hili kuijua karama /huduma niliyonayo "AMEN MUNGU AKIBARIKI MTUMISHI KWA MAFUNDISHO MAZURI
Bwana Yesu asifiwe! Hongera na Mungu akubariki, nahitaji kuongea na wewe kwa simu kama ukiridhia.
Karibu
Ume nibaliki Sana mwalimu na mafundisho yako.
Amen. Asante sana na Bwana ni mwema
Amina mtumishi ,kumbe mimi ni mwalimu umenusaidia kujitambua,,Mungu akubariki,,
Asante Sana mpendwa unaelezea vizur Mungu aendelee kukutumia,,Mimi Bwana wetu karama yngu alinipa kW njia ya ndoto nilkua sjaelewa ila naeleza zaidi na zaid thanks
somo zuri sana mtumishi. kwa kweli kuna watu wanaenda kutambua karama zao kwenye kumtukuza Mungu aliye hai
Ooh! Bwana ni mwema
Mungu akubariki sana mtumishi nmejifunza vitu kupitia hii video nlikua nasearch namna ya kujua karama yangu kama imetoka kwa Mungu kwel au nnajikweza mwenyew nashukuru Mungu nimekutana na video hii ..pia asante kwa kutupatia no ya sm naomb nikutafute kwa maswal zaid🙏🏽🙏🏽
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu nimependa somo hili la kipawa
MUNGU akubariki sanaaaaaa mtumishi
Ubarikiwe kwamafundisho yako
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho haya kuhuzu gharama a kiroho
Barikiwa kabisa nashukuru kwaufamu
Hongera
Barikiwa mtumishi wa Mungu
Asante sana mtumishi video yako ina miaka mitatu lakini leo Mungu amesema na mimi kupitia hii Clip, nilikuwa sikujui lakini miongoni mwa maombi yangu ni Mungu anioneshe kitengo na umejibu kabisa kama jinsi nilivyo, ASANTE YESU SIFA NI KWAKO BWANA AMEEN...
Mungu akubariki mtumishi
Asante kwa masomo yaliyojaa miongozo ya wazi ya kibiblia.
Ninapenda kufuatilia.
Ubarikiwe sana
Hongera! nimebarikiw na somo,, ahsante
Amen mtumishi
Ubarikiwe sasa Mtumishi ume nibariki sana na mafundisho ahsante sana 🙏🙏
Amen. Asante pia
Mungu akizidishiye kweli
Mtumish umenifungua ufahamu maana nimekua mkaidi sana juu ya kile Mungu anataka nifanye nashindwa kuthubutu
Bwana akusaidie
Ubarikiwe sana mtumishi
Aminaaa Mtumishi,,, Yesu akubaliki sana
MUNGU akubariki sana Mtumishi wake
Amina Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Asante mtumishi wa Mungu kwa ufafanuzi wa karama za Roho Mtakatifu maana nami ni kati ya watu waliokuwa wanachanganya karama na huduma. Nilikuwa nahesabu karama 9 lakini mafundisho niliyofundishwa hazifiki 9 nikabaki kwenye mganganyo
Asanteee Mtumishi kuna sehem umenigusa darikiwa sana
Ahsante sana mtumishi utafika mbali
Asante san mtumishi wa Mungu umetufunua fahamu zetu nime kuelewa san! Roho wa bwana azidi kuku ongoza kwa masomo mengine utupatie!
Barikiwa kwa somo nzuri,cja elewa vizuri Paulo 1wakorinto 14:1 no kama hapendi sana MTU aombe kwa kunena ila ahutubu na akinena atafisiri na hakuna anayenena na kujua tafisiri ya maneno hayo,no tofauti na unabii katika roho laxima utafisiri ili ujumbe ufike,nisaidie
Mungu akubariki sana uendelee nakazi ya mungu
Barikiwa sana mtumishi
Mungu akubariki mtumishi kwa somo zuri
Amen
Amen Amen Amen barikiwa
Asante sana kwa fundisho umenifungua pakubwa sana barikiwa
Amen
Hakika
Hivi ukiota unakemea ndotoni inamaanisha nini?
@@mamshaa9356 amina sana mtumixhi unakuja unatamani kujaa kiroho lakini aufiki naomba. Kunifudixha
Mm naomba. Bado sjaelewa
Hongera sana mtumishi kwa mafundisha haya Dada!kwa kweli nimebarikiwa sana mungu akupemaisha marefu
Bwana anipe katika kadri na namna ya utukufu wake.
Amen sifa Kwa Bwana na hongera sana
Mungu akubariki sana nimepokea
somo zuri sana ubarikiwe zaidi na zaid kwa jina la Yesu
Amen
.mungu akubariki mtumishi nimebarikiwa
Amen 🙏 nimejifunza kitu barikiwa
Amena ubarikiwe na Bwana
Ongera sana vraiment kwel pasteur
Amina mtumishi nimejifuza mnoo.
Asante nimejua karma yangu
Asante kaka ubalikiwe sana.maana watu tunaokokatuu alafu atujui kwanini tuliokoka ndiomanaa watuu hawakui kiroho.mtuanajua aliubwa kutafuta pesa au afnikiwe kupata vyaduniani.
Asante sana
Ubarikiwe mchungaji
Asante umenijenga. Mungu akuongezee mafuta
Ubarikiwe mtumishi ume eleweka vizuri sana.
Bwana atusaidie
Asante sana Mtumishi nimebarikiwa sana umenipa kitu kipya
Mungu akubariki sana umenifungua zaidi na zaidi
AMEEEN Thankyou so much nimejifunza.
Asante,,,umenibariki mtumishi
Mwenyezi Mungu azidi kukuongoza
ubarikiwe sana Mtumishi
Barkiwa sana shujaha
Amen
Ameni ubarikiwe sana mtumishi nimejifunza mengi kuhusu karama asante sana
Mungu akubariki ndugu yangu
Barikiwa sana Mimi napenda sana kufundisha
Amina sana nimebariwa sana
MUNGU AKUBARIKI PIA
Bwana Yesu asifiwe natamani sana kulijua zaidi neno la mungu lakini nalisoma ila sielewi nifanyeje,?
Hongera sana
Mungu akubarika baba
asante mtumishi
Hongera mtumish
Ameen nimejua karama yangu barikiwa sana
Namshukuru Mungu sana kwa mafundisho nimepata kitu.Ubarikiwe sana.
Nimepata funzoo hapa na nimejua karamaa yngu thnk so much and God bless you 🙏🙌 amen amen honger
Bwana ni mwema
Hongera
@@filbertvictor6159 Bwana ni mwema
Ahsante kuna kitu nmejifunza
Asante sana ,tunajifunza mengi. Ubarikiwe na MUMGU.
Nimejvunza kitu mungu akubarkii