UNA SURA GANI SURA YAKO HAIKAI PODA - TAZAMA MAHARUSI WAMEDAMSHI HOLINI NA FULL SHANGWE - FULL VIDEO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ม.ค. 2021
- Dont Forget To Subscribe This Channel .........
Video Shoot By Extra Pictures Under Zanzibar Qaswida
Contacts : +255626966000 | zanzibarqaswida@gmail.com
Zanzibar Qaswida Booking Info :
WhatsApp/Call : +255626966000
Email : zanzibarqaswida@gmail.com
Catch Up With Zanzibar Qaswida (Owner)
/ comextz
/ comexstar
/ comextz - เพลง
Kwahali hii bora yangu ipite kimyakimy Inshaallah
Mnazorotesha uislam!
Kiukwel ,mziki mnanda wote ,na hizi kaswida zote haramu ,zote zishaingia mziki tayari ,w2 wanajifnyia ,siivo hivo alivofundisha mtume(s.aw)
Hujakosea kabs watu tumepoyeaa km nasikia nyib ya lavlava😢😢
Namadume Kumbe mpooo mnaharibu Jamani innalillah wainnailayh rajiiiuun ni mswibaaa
Life popote mzeee
Mashalaah nyimbo nzuri ssna
Jhgkkjnhccgjjjjhhkj
Nyimbo .....music
Daaaàh nimeipenda mpka inanisisimua
Hapanaaaaaaaaa naikataaa kbs kweupeeeeee hii taarab kbsaaaaaaaaaaaaaa muache mara moja
ukweli haya mambo ya hizi nyimbo zinavuka mipaka
Kwanin
Sana
Duuuuuuuuh innalilah wainnailaihi rajioun yan wanawake mnachambwa lkn bdo mpo mkata mauno hapo yan mtihaniii mkubwa huuu
Waislam wa leo sijui tunaelekea wapi? Halafu hii tabia ya kurusha Harusi zetu mitandaoni tumezipata wapi jamani?
Sasa ndo tukufanye nini fatalako ushikelako tako
✔️
Dunia imeisha kila Mt ashike Iman yake
Subuhana llah waisilam tunakoelekea cko watu wanakata viuno kama taarabu
Sku iz hakun maulid hao wnaimb tarab
hio si kama taarab ni taarab kabisa
Astaghafirullah Mungu atusamehe kwa kweli
Tarab liveeee
Watu wanajimwaya kweli loh mungu tusamehe jaman aff utasema taharabu dhambi ii nayo nn inachamba had watu
sio qaswida jamaani hii ni taarab wazi wazi tena ya msuto kabisa eti una sura gani uso haukai poda jicho halikai wanja tena kwa wanaume kamili si picha nzuri hiyo ndugu ktk kheyr
Assalamu alaykum masheykh na makadhi kwani mpp wapo 😭mambo kama haya yanafanyika kwani hamuyaoni angalau mkayakemeya ?mimi ni mchunga nimekemea na nyinyi masheykh hawa watu wanaofanya dimi hii yakiislam kuwa ni mchezo halafu mnaangaliya haya bila shaka mtaulizwa siku ya qiyama ni aibu kubwa sana na ni kuudhalilisha uislam yena duniyani kote wanayaoma haya innalillahi wainna ilayhi rajiuna
mashaallah watoto Beautiful
Waisilam tumepotea kweli haja yetu cc nihela 2 tumevuka mipaka
Kazi mashalah
Innalilah
Astaghfirullah Allah atuepushe waimba kaswida na mawazo ya kuimba kaswida sizo maadili
Mh
Musiimbe tu angalien na maadili kwaza hii sio kaswda
🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣so lazim usikilize wewe
8io
@@smsalama6540 we nae pia hujielewi sasa waongea nn
Paaaambeee by Dida(pacha)
Asanteni kwa tarabu mpya
🤣🤣🤣
😂😂😂
Hakuna cha mkakati serikali haina dini kila mmoja anatafta kula kiupande wake kausheni kama hamna coment nendeni facebook kapostini picha kazi kulaani watu yenu hamyaoni
Madhara allah
😒😭😭tunusuru ALLAH mbona humu michambo jaman
Kazi mzur wanangu big up
Ekxi
Hii ni tarabu msitiaribie qaswida
❤❤❤❤❤❤❤
Ukhti dida
Innalillah wainnailayh rajeoun
Mmmh jaman tubadilike tunaenda jibu nn kwa mungu
Tumcheni Allah ndugu zangu duniani tunapita
Mashallh
Kazi ipooo😃😃😃
Nike
Masha allah
Mbayaaa
Asghfrullah
Mashaallah
ahahahaaa htr kisuuuuuuuuu
😁😁😁😁😁
🤣🤣🤣ukichomwa nacho wafa😂
Maashaalla
Qasida inaelimisha mafunzo Mali mbali ya dini yetu sio mipasho imekua kama taarabu
Mtihani dini inaelekea wapi jamani madume mazima mipasho
Duh qaswida zimeisha ata hadhi ya qaswida kwasasa imeshuka mnaogopa nini kuimba taarab si muimbe tu msitushushie hadhi ya qaswida jaman aibu hiii
Hii Qaswida anaitwa Shekhe nani nataka nikai download
Huyu anamuiga mzee yussuf
🤣
Mumejitahidi 🤙
Toba!😲
Yaani wanaume wanarembua
Mh taarabu live msituchoshee buree
Uhakika broo
Mashaa Allah
Aisee jama kapiga biti ebu like
Nakwambiya mambo ni moto
Yang kama adja kopa
Taarab kwisha kazi😆
😮😮😮😮
Mtihani kw kwel
Mtihan jaman tunajisahau
Msijihusishe na uislamu maana hamna haya nyinyii,mna Mambo ya kike hovyoooo sanaaaa muachee,
Nimependa sn saut hell
Kasida gani io
Assalamu alaykum ndugu zangu waislam jee maadili ya uislam yamepotelea wapi na hilo dufu aw bampingi zakishetani wanawake wapo utupu hawajajistiri mbona mnaadhirika ? Miye hilo dufu lenu hata mkisema mwajanipigiya bure basi siwaaliki abadan rudini katika mwe endonwwtu wakiislam 🤔😭😭😭
Ata ilo dufu hapana apo ndugu yangu iyo ni taarab
Heee hii nayo nikaswida kumbe hd nywele zitiwe dw mmh mmeita taarabu musiseme ni kaswida
Qaswida za harusi
Hatareeee
Muko sawa
Jifunz quran kusom na kuandik gusa p
Ovyooo😜
Mishono ya magauni
Hapo hakuna kaswida nitaabu ndio man mungu anatup kil mtihan kwa sabab ya upumbavu wakujitakia
Mtihani kwa kweli allah awajalie kher
Wenyendowa hii idumu lakni si kwa mambo hayo kam nyimbo mhhh msiba🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Inallillah
@@manasitimwinyi8726 tena mkubwa sana🤔
Hii sio qaswida ni ngoma tu km ngoma zingine
TARAAAAAAAAAAAAAAAAAAAABU TARABU MWANAMME MUNAIMBA TARABU NA KANZU NA KOFIA
🤣
Mana hapo sjui taarabu au nni
Mmh nimtihan
Heeee🙄🤯
Ila acha tuuh nipite et unasura gani duuh
Nzr aan
Mbon ni nyimbo ya lava lava bhn😢
Daynat mtawaweza wap
Munajidai kutuuimbia kumbe munatutukana eehh, ningekuwa mim ningekufukuzeni na pesa zetu mungelipa. Nyie wenyewe miguu yenu inakea.
Hahahaha hii tarabu
🤣🤣🤣🤣
Wanachambwa hao wanacheza
Kudra beby msiba huo huna hta aibu tena mpaka kanzu juu alaf ni kaswda rudi kwa mola kaka umepoteza hadh yko
Mh huyu beka anajiona sijui nani vile
Uyo bekaaa haoni ata haya muislam lakin alipo jipeleka sipo ushauri wangu kaka ruud uko siko
Jamaan pambeee hatar nimependaaa mudy umejua kunogeshaaa harus
Ndg watakuchamba wenzeo wanaipinga ww umeipe? Ila tamu sana
Nashdi
Kwa c uhakik 2
Kazi ya wanawake hiyo haiwapendezi hata robo,muwaachie wake zenu mnatutia aibu
Nawashangaa wanao comment humu wanasema inafundisha Mambo ya dini,wameisoma dini vzr au wanakurupuka kuandika tuu? Ifikie kipindi tujielewe tukae darasani kabla hujajibu usicho kielewa!!!
Maaake apo kwanza ncheke 🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂Cheka tu mahi diha😂😂😂
Sichok kuisikia
Audhublah
M
Taarabu naona Ya Omar ya kopa
Tarabu hiyo bana nyinyi
Makubwa. Kaswida au mipasho
🤣🤣🤣 mnaimba nyie aibu naona mm🙄🙄🙄🙄
😅😅😅
Hawana mana waaibisha dini bana
Taharabu au
Ila uyo bonge c msenge lakn
Astaghfiru
Nmecheka sana
Huu ni Zaid ya msiba mtoto wa kiume kilegeza saut kama ya dadayake