Professor wa Marekani, Jeffrey Sachs aeleza sababu halisi ya URUSI kuivamia UKRAINE - Part 2

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

ความคิดเห็น • 190

  • @pauldotto7868
    @pauldotto7868 2 หลายเดือนก่อน +13

    Leo ndio nimekuelewa. Fanya haya kwa masilahi ya watu wajue. Marekani ni ni hovyo sana.
    Tena Putin anawajua marekani kuliko yoyote.. TANGU 1997. Na 2002 . Walijitoa kwa kujua. Mimi ni mfuatliaji sana.
    Asanteee asanteee Paul Dotto

  • @BillySmart-tk1wu
    @BillySmart-tk1wu 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hello brother DjSmaa tangu mwanzo wa FUSE mpaka leo naskiliza kutoka SOUTH AFRICA 🇿🇦🇿🇦🇿🇦

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 2 หลายเดือนก่อน +9

    Dj Sma ametufumbua macho👏👏👏👏🇷🇺🇷🇺🇹🇿🇹🇿🙏💪🔥👍

  • @user-pt8wo4ss2p
    @user-pt8wo4ss2p 2 หลายเดือนก่อน +3

    Safi sana dj sma tunakuelewa vizuli natoka mwanza

  • @kherisalum6304
    @kherisalum6304 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kutoka Sumbawanga-Rukwa tunakupa vyema ❤❤❤❤

  • @BUSHASHASWITCH
    @BUSHASHASWITCH 2 หลายเดือนก่อน +11

    🇧🇮🇧🇮kutoka BURUNDI BWACU tuko pamoja Sana 5/5 next join dote 🙏🏾🙏🏾💥💥💥🥰🥰💯🇧🇮

  • @matanohassan9667
    @matanohassan9667 2 หลายเดือนก่อน +4

    Dj sm uko juu kinoma sa hii mtu akiongea siasa za west akijichora full kumueka sawa💪💪💪💪🇸🇦💖💖💖

  • @RamadhanpMwakilasa-di5hc
    @RamadhanpMwakilasa-di5hc 2 หลายเดือนก่อน +8

    Leo nimechewa kidogo dj smaa mwaga maji like za kutosha jamn

  • @abdinoorkamau9745
    @abdinoorkamau9745 2 หลายเดือนก่อน +6

    Loud and clear from Nairobi Kenya 🇰🇪 May Allah akuhifadhi inshaAllah..

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 2 หลายเดือนก่อน +2

      Amin inshallah kwa sote

  • @UFC_HIGHLIGHT123
    @UFC_HIGHLIGHT123 2 หลายเดือนก่อน +2

    Loud and clear from USA ..nakupata vizuri kaka..🤜🤛

  • @bomonda2622
    @bomonda2622 2 หลายเดือนก่อน +4

    Dj sma never disappoint we are proud of wewe

  • @hefsibahephzibah
    @hefsibahephzibah 2 หลายเดือนก่อน +4

    Nakupata vyema Zambia hapa

  • @vuaimakame300
    @vuaimakame300 2 หลายเดือนก่อน +3

    From zanzibar, hongera sana DJ SMA

  • @sirangoclassic9555
    @sirangoclassic9555 2 หลายเดือนก่อน +2

    Love from Mozambique 🇲🇿

  • @IdrissMsakati
    @IdrissMsakati 2 หลายเดือนก่อน +5

    Nakukubali sana Braza unajua kuchambua sana ,Allah akufanyie wepes kwenye mambo yako na akupe Maisha marefu na yenye mafanikio...by idriss msakanoti

  • @JamaliUssene-di1qm
    @JamaliUssene-di1qm 2 หลายเดือนก่อน +6

    Naskiliza kutoka moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 nakubali kk unatu temea madini asante kk nashkula

  • @PatrickJulius-uy3yb
    @PatrickJulius-uy3yb 2 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sma napole sna bratha nahic upo uliponkuna AC lakin hicho kipala kitakuwa kime chemka 😂😂 good fuse good sns god bless dj sma..!

  • @suleymuntar3544
    @suleymuntar3544 2 หลายเดือนก่อน +6

    Aise nmefurahi sana maana nilikuwa napenda sana geopolitics lakin alikuwa hamna mtu anaweza kuchambua kiundan kwa lugha adhimu ya kiswahili

  • @dominic4727
    @dominic4727 2 หลายเดือนก่อน +4

    Djsmaa Loong life.ukweli upo wazi hawa jamaa wa malengo baya sana.ila hivi karibuni vitimbi vyao vita Luka patupu

  • @amirizedy8411
    @amirizedy8411 2 หลายเดือนก่อน +5

    Shukrani saasa dj sma nakusikiliza nikiwa south Africa cap town Allah akupe afya njema

    • @djsma255
      @djsma255 2 หลายเดือนก่อน +2

      Amin atupe sote

    • @user-ur7pw9ek6s
      @user-ur7pw9ek6s 18 วันที่ผ่านมา

      🎉🎉🎉

  • @jaylousbenedictor8891
    @jaylousbenedictor8891 2 หลายเดือนก่อน +6

    Iringa Tz unatupa taarifa nzuri sana

  • @gracemkami1343
    @gracemkami1343 2 หลายเดือนก่อน +7

    R.i.p jpm✌️✌️

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nimeipenda sana hii..@dj smaa na sky mpo vizuri sana..

  • @tibayawaafrica
    @tibayawaafrica 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu awa bariki ndugu zangu kwa kazi munayo ya fanya

  • @user-zj7tt5gv8y
    @user-zj7tt5gv8y 2 หลายเดือนก่อน +8

    Nasikiliza kutoka Mexico hata huku wanawachukia sana marekani

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hi interview ni noma

  • @user-sv7uu3xw1r
    @user-sv7uu3xw1r 2 หลายเดือนก่อน +1

    🇲🇿🇲🇿🇲🇿 dj smaa unajuwa sana na kukubar I'm from Mozambique

  • @gracemkami1343
    @gracemkami1343 2 หลายเดือนก่อน +8

    R.i.p JPM

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 2 หลายเดือนก่อน +3

    Dj Sma ni Mtu wa maana sana🎉🎉🎉🎉

  • @mussamkanga3329
    @mussamkanga3329 2 หลายเดือนก่อน +3

    Salute dj sma

  • @fatmabukuku5384
    @fatmabukuku5384 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana sns na dj smaa

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 2 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana dj smaa kwaelimu nzuri kutoka kigoma

  • @hassanibanzi9322
    @hassanibanzi9322 2 หลายเดือนก่อน

    Shukran Dj smaa kwa chakula cha ubongo nafungua sana akili 🙏

  • @muharramhamisi5140
    @muharramhamisi5140 2 หลายเดือนก่อน +1

    Facts na logic ,vit ni motooo madini adim sem uko vizur bro,,,tunkupt vizur from dom

  • @tawaloharuna4885
    @tawaloharuna4885 2 หลายเดือนก่อน +6

    Thanks Dj smaa for good news .God bless you

  • @MohamadHamza-hb2qv
    @MohamadHamza-hb2qv 2 หลายเดือนก่อน +3

    Nawafatilia sana Wana sns kutoka Doha Qatar,tunaelimika

  • @MichaelAbby-dp4qz
    @MichaelAbby-dp4qz 2 หลายเดือนก่อน +2

    #SMA for everybody 💥✌

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 2 หลายเดือนก่อน +8

    Ruto ana muda mchache madarakani,ila tayari kaisha isaliti East Africa na Africa nzima kwa ujumla!Naimani ya kua USA,wanataka kuweka kambi kenya,ili wammalize Museveni.Tumuombe uhai,ila muda utadhihiri ukweli

  • @alphoncejohn6308
    @alphoncejohn6308 2 หลายเดือนก่อน +2

    Dj sma wewe ni perfect

  • @kassimbayuu
    @kassimbayuu 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ahsante sana sana aisee smaa ni professional katika uchambuzi.
    Kazi nzuri sana
    Ila nashangaa Kuna watu wagumu kuelewa sijui wanafanya makusudi an ndo wale wa kudandia gari kwa mbele. BLAZA NAOMBA USICHOKE KUTUPA MADINI HII NI SADAKA YENYE KUENDELEA, HEMU NIAMBIE KWA UCHAMBUZI KAMA HUU UTAUPATA WAPI KAMA SIO HAPA

  • @user-km4kb3xj3y
    @user-km4kb3xj3y 2 หลายเดือนก่อน +3

    Safi cn Dj smaa

  • @maneno-my4lu4dt8i
    @maneno-my4lu4dt8i 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ahsante sana kwa kutupa madini

  • @user-cn9cj8hc2q
    @user-cn9cj8hc2q 2 หลายเดือนก่อน

    From Zanzibar ....well presented...🙏

  • @jembe34
    @jembe34 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nakukubali sana brother

  • @JamilaAlly-fw1ss
    @JamilaAlly-fw1ss 2 หลายเดือนก่อน +4

    Nimemkumbuka jpm😥😥

  • @Danielgentil-pv5sk
    @Danielgentil-pv5sk 2 หลายเดือนก่อน +3

    From DRC

  • @janmusquera
    @janmusquera 2 หลายเดือนก่อน

    Hapa Kenya tunakuelewa vizuri ❤

  • @worldelectro2787
    @worldelectro2787 6 วันที่ผ่านมา

    From Drc thankyou we love you

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443 2 หลายเดือนก่อน +7

    Nahisi hata hapa kwetu hawa CIA walitumika. Maana hata kabla ya uchaguzi wetu wa mwaka 2020-2025 Marekani walikuwa na mshawasha sana na mwenendo wa utawala na Viongozi wetu. Nakumbuka hata vita ya mashoga ilipoanzishwa Viongozi wetu walizuiwa kwenda Marekani na baada ya kifo cha yule mzee waksema waliwazuia kwenda Marekani kwa kosa la kupinga biashara za corona.

  • @jacksonjudicate9388
    @jacksonjudicate9388 2 หลายเดือนก่อน +2

    DJ SMA UBARIKIWE SANA KWA KUFUNGUA MACHO

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 2 หลายเดือนก่อน +5

    Jeffrey Sachs ameongea mambo mengi saana japo katusaidia kujua mengi mno kuliko wengi tunavyojua😊

  • @fistonmakasi3803
    @fistonmakasi3803 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kka nakibali logic na fact zako bro🎉❤❤❤

  • @benmcdream2268
    @benmcdream2268 2 หลายเดือนก่อน +2

    Much love dj smaa

  • @user-eg1ts2fu9z
    @user-eg1ts2fu9z 2 หลายเดือนก่อน +2

    nakubali sana na ww Dj sma. Ndio maana rais Emanuel macron aluenda ujeruman kumshawish mwenzake wa ujeruman kukubali kuingia Ukraine ila Kwa mgongo wa marekani

  • @NOELKISONGA
    @NOELKISONGA 2 หลายเดือนก่อน +2

    Huwa nayaelewa sana madini yako dj Sumaa

  • @emanuelidamiani2943
    @emanuelidamiani2943 2 หลายเดือนก่อน +6

    Kwa madini haya Dj sma inabidi upewe ulinzi.

  • @hamadiselemani8665
    @hamadiselemani8665 2 หลายเดือนก่อน +1

    safi sana

  • @user-pb2zf7zj7k
    @user-pb2zf7zj7k 2 หลายเดือนก่อน +4

    Malawi

  • @user-wz4lv3pg9b
    @user-wz4lv3pg9b 19 วันที่ผ่านมา

    Umetisha sana

  • @saidabou6342
    @saidabou6342 2 หลายเดือนก่อน +2

    Shukran smaa

  • @user-cf6qo9rs4f
    @user-cf6qo9rs4f 2 หลายเดือนก่อน +2

    Thanks dj smaa

  • @SAYMOEKARIM
    @SAYMOEKARIM 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dj smaa #✊🏽

  • @Ali-kl4zc
    @Ali-kl4zc 2 หลายเดือนก่อน +1

    Oman 🇴🇲 ❤

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 2 หลายเดือนก่อน +3

    Dj Smaa ni mchambuzi mzuri na anajua kufanya research, Wahuni tu ndo hawawezi kumuelewa na kuna mijitu asili yao ni kupinga tu kila kitu hata yakipewa facts na sources za habari yenyewe yako tu uongo.

  • @abdallahmwabungale
    @abdallahmwabungale 2 หลายเดือนก่อน

    Thank you Dj Sma

  • @serianjamal8254
    @serianjamal8254 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kama walivyomtoa (Hapa kazi tuu) RIP Mzee Magu🤔

  • @quemakame-tu3hz
    @quemakame-tu3hz 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera bro

  • @andrewmwamwezi990
    @andrewmwamwezi990 2 หลายเดือนก่อน

    Safi sana rip jpm

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu atakuwa upande wa haki inshaalar

  • @heridunia
    @heridunia 2 หลายเดือนก่อน

    binadamu sisi kaka umeeleweka ❤

  • @mrfestomsyangi1305
    @mrfestomsyangi1305 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaaa anaongea ukweli

  • @salimfaraj5509
    @salimfaraj5509 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hawa jamaa ni mashetani wakubwa. Yani kuuwa kwao nijambo la kawaida . Mwenyeezi mungu awaangamize

  • @hezekiamhapa7395
    @hezekiamhapa7395 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dj sma naukubali sana kazi yako Kuna siku ulichambua Albert Pike letter to mazzin ninakuomba uielezeee kwa undani maana kule ulisema unaweza kuichambua barua Ile kwa muda wa masaa matatu tuchambulie kwa undani natamani kujua ni namna Gani vita ya Tatu itakavyotokea

    • @djsma255
      @djsma255 2 หลายเดือนก่อน +3

      Shida ni muda na mambo ni mengi ila natamani kuifanyia kazi kwa undani

  • @StevenTaylorx
    @StevenTaylorx 2 หลายเดือนก่อน +1

    This is more than mainstream media..

  • @dullahabdallah-nu1py
    @dullahabdallah-nu1py 2 หลายเดือนก่อน

    Dj sma,umesha angalia the first omen.ushahidi wa mpinga christo

  • @zuberympulo6564
    @zuberympulo6564 2 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran sana Dj Ama Allah Zaidi kukupa Afya Ilivyokuwa Njema

    • @djsma255
      @djsma255 2 หลายเดือนก่อน +1

      Amin kwa sote

  • @ngendakumanajeanmarrie7490
    @ngendakumanajeanmarrie7490 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hata sisi burundi tuliendelea nashughuli zetu hatukufungia ndani

  • @dominic4727
    @dominic4727 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ukitaka kumuua paka mpe kina baya watu hawa Shangai kwanini kila jina baya mambo yote mabaya hupewa urusi haiwezekani ukiona mti unapigwa mawe ujue huo mti una matunda wakati wa na mshambulia gadafi tuta ambiwa kua gadafi ni dicteta fisadi mwishowe tuka gundua kua alikua ni mtu safi sana ila kwakua alikua tofauti na matakwa yao ila mwisho wa ubaya ume kalibia

  • @AliOthuman-mo4ef
    @AliOthuman-mo4ef 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka nimekwelewa sana

  • @hamisitsuma-rc2ej
    @hamisitsuma-rc2ej 2 หลายเดือนก่อน +2

    Dj smaa hii story ya kuwa ni wachina ndo walitengeza kumbe ni uongo

    • @djsma255
      @djsma255 2 หลายเดือนก่อน

      Ilitengenezwa USA alafu wakaihamishia wuhan Lab

    • @paschaljuma3312
      @paschaljuma3312 2 หลายเดือนก่อน

      Sasa wewe nae unaamini mashoga wa marekani

  • @abdulismail6072
    @abdulismail6072 2 หลายเดือนก่อน +3

    Nakufatilia nikiwa dar mbagala

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 2 หลายเดือนก่อน

    This has been so interesting for real❤

  • @merinyop7174
    @merinyop7174 2 หลายเดือนก่อน

    Safi

  • @KAMTUPE
    @KAMTUPE 2 หลายเดือนก่อน

    Nipa hapa na dj smaa

  • @HorebuKasuku-zz8cj
    @HorebuKasuku-zz8cj 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mim nitakubali kama hiyo CIA ina nguvu wamuondoe Putin kama walivyo fanya Lybia au Iraq ndo nitakubali Wana nguvu duuh wao wana nguvu, ulimwengu wa 1967 umepita kwa sasa nchii nyingi zina maendeleo ki jeshi na uwezo

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jpm ukute walipita nae 🤲🏽

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 2 หลายเดือนก่อน +1

    @dj sma tucker carlson has an interview with nayib bekele the elsavado president plz pitia hio interview

  • @Nyaki-rh5oi
    @Nyaki-rh5oi 2 หลายเดือนก่อน +2

    Magufuli anendelee kupumzika kwa amani mzee wetu

  • @rogerioibraim8527
    @rogerioibraim8527 2 หลายเดือนก่อน

    Dj smaa iyi namba mbili sikupata notification yake nikatafuta yani sijuwi kwanini ama ndio wameaza kutublock kisiasa Big up sana

  • @user-uo2gv5qs2x
    @user-uo2gv5qs2x 2 หลายเดือนก่อน

    DJ sma nakupata 100% ila nilikuwa Naomba hivi nikweli urusi kurudisha nyambizi za nyukliya Cuba lengo ninini

  • @GodenBMDaniel
    @GodenBMDaniel 2 หลายเดือนก่อน

    Pamoja sana

  • @felisteronesmo3091
    @felisteronesmo3091 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wana Sns tunapaswa ku'overstand vitu kuwasaidia wenzetu waliopo kwenye understanding level . Mpaka Sasa najiuliza why now all these ? .. Dj siungi mkono hoja kua jamaa huyo ni suruhu ya changamoto zetu zakiuchumi no matter how sense he is .. suruhu ya changamoto zetu zakiuchumi ni sisi wenyewe zaidi zaidi tutaenda tafuta matatizo mengine tu ..

  • @kobajumakuziwa9976
    @kobajumakuziwa9976 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hiyo picha ni ya Putin hapo ni msata kwenye kambi ya mafunzo alikaa Tanzania miaka 5 💯

  • @djafro8729
    @djafro8729 2 หลายเดือนก่อน +4

    Ukitaka propaganda enda CNN na BBC lakini ukitaka ukweli kuhusu habari enda al Jazeera news

    • @farajiissa560
      @farajiissa560 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hata alijazeera si hii ya sasa alijazeera ambayo ilikua ya kwel ni ile enzi za sadamu si hawa walivyo vamia irak ndo wakaaanzisha yao iyo aljazeera

  • @H2krexty2Sebastiao
    @H2krexty2Sebastiao 2 หลายเดือนก่อน

    Em Moçambique tipo na Samora 1presdente d Moçambique

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 2 หลายเดือนก่อน +2

    Dj sma makala ya leo ni fupi sana pia why dj sma unakwepa kusema ukweli wa kifo cha Rais magufuli? Ili hali alikuwa kinyume na wamagharibi😢😢😢

    • @athumaniamani9905
      @athumaniamani9905 2 หลายเดือนก่อน

      Ndugu usimtafutie mwenzio matatizo

  • @yuahahmad6651
    @yuahahmad6651 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dj sma

  • @lindokuhlegamede3930
    @lindokuhlegamede3930 หลายเดือนก่อน

    Natoka zanzibar nakusapoti mimi hamid

  • @user-lh6vs3xc7f
    @user-lh6vs3xc7f 2 หลายเดือนก่อน +1

    100
    100

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 2 หลายเดือนก่อน +2

    Haiti Kenya wanatumwa huko wanakwenda kupoteza jeshi lote na bado wanapeleka Yemen watapoteza kila kitu walishindwa Somalia wataweza Yemen😂😂😂