HAJI MANARA AMVAA MANGUNGU KUWAITA YANGA MALOFA | AMGUSIA MO DEWJI NA GSM YANGA NA SIMBA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- C E O WA MANARA TV HAJI MANARA AMEMJIBU MWEKITI WA CLUB YA SIMBA MANGUNGU BAADA YA KUWAITA YANGA MALOFA | AMGUSIA MO DEWJI NA GSM TAZMA FULL INTERVIEW HAPA
#manaratv #hajimanara #yanga #simbasc
MTAJI MMOJA WA HAJI NI KUIJUA HISTORIA NA KUIHISHI, BIG up sana HAJI
Unafaa kuwa mwalimu wa History uko vizuri mwalimu manara
Sana na ana kumbukumbu sana ni kipaji cha mungu kapewa
Wewe unamuamini kwa kua hujui kitu
Upo vizuri Bugatti you are the most Wonderful speaker in public.
Safi sana manara wewe ndio king
Asante Manara muelimishee lile jizee mwenyekiti azungumza kma kisugu
Duh yanga ni kubwa mno🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Manara angetuliza kichwa haki nimgodi unaotembea, hongera saana aisee
Safi
Mangungu njoo umsikilize Maestro wako huku, Mangungu chukua hapo pen na notebook, Bugatti Boy Mitano tena 🤣🤣🤣🙌🙌
Well said Bro
Mungu akulinde Bugati uishi miaka mingi 🎉🎉
Fanya hii mara kwa mara itasaidia sana #elimu,@we king mara
Nakupata br
Ukweli unauma
Msameheni mangungu sio kosa lake
manara sikuizi uko vizur unaogea ukweli umeacha ushabik maandaz
Manara wewe kichwa sana Alha akujalie kilalaeli inshallah
Dah! Umetoa somo la maana, nadhani Mangungu hajitambui pamoja na uzee wake!
Upo sawa kiongozi
Hahahahaha mangungu masikini hajui kitu anaropoka
Bugati Mmoja tu mangungu ajasoma
🔥🔥
bugat kaa kwenye. kiti chako ulichoteuliwa na uongozi wa kilabu Yako ya yanga naamin ukikaa kwenye nafasi yanga itavuna wanachama wengi sana kwengi yanga
Uhuru wa makaratasi
Haji Manara hapo nimekuelewa sana,safi sana sheikh.
MUNGU ni mwema hongera Sana Haji Manara mwambie Sana ukweli ajue na waelewe vyema maana hajui chochote ni kuongea tu mambo yenye hajui wala haelewi kitu kazi njema kila la kheri barikiwa Sana Haji shalom
mangungu anawafurahisha mashabiki wake ili wajifurahishe kupata furaha
Umeongea vizuri sana Haji. Umewakumbusha kuhusu mchakato wa vilabu hivi viwili.
Manara kujipendekenza tu unawenza sana lkn hawakutaki bro
💪💪💪💪 nainjoi sana nikikusikilizag ukiwa unachambua na kuongea history ya mpira wa nchi hii unatupa vitu sisi watt wa elfu mbili wapenda football
Mangungu Mangungu Mangunguuuuuuuh
Kwenye kubadil mfumo nmekuelewa
Mh,, wamekuelewa
naona uzee sasa ndugu Manara waongea kama CEO.
ifike wakati simba na yanga zitoke kwenye utani ziende level zingine.
Sema kaka makolo wajuwi
Manara ama kweli wewe ni zaidi unajua mambo mengi sana anaebishana na wewe ni kichekesho maoni yangu serikali aau TFF mchukueni manara ili aandike historia za hizi team tuache Uyanga na Usimba
BUGATT Wape madini dunduka wote
Kuna uwongo mwingi sana Haji ameuongea.
@abby1974ful Haya tupe ukweli wewe
Limangungu ndolilofa ndio maana linalopokalopoka
Malofa fc
Hapo ndipo ninapokukubali mwanangu upo sahihi sana mm na urafiki makubwa wa baba yako mdogo kassim Ramadhan (MANARA,)
Mangunga ni aibu kioo🤭🤭
Ukwer manara unajua sana mengi kuhusu Hzi team zetu ndo unaitwa google
Duu historia hii sikuitegemea toka kwa manara, hongeravsana, waambie makolo. Sisi ndo WANANCHIII halali na historia tunayo.
Kaka unajua sana %
Halfu anatokea mwehu anawaita viongozi wa yanga malofa
Sura yake yenyewe tu yakishamba mangungu. anajuwa nn.
Mangungu kama gagula tu
Nakuelewa sana bro ktk historia hiyo,hakika ww ni mwamba haswa.
Mbona story yenyewe kakosea
Wewe ni Dunduka. Lazima utaona kakosea.
@@songombingo108 kwani unaona kapatia au na wewe ndo walewale walikunywa uji wamgojwa
aisee mana uko vizuri na pia una kumbukumbu nzuri huyo mangungu ni shoga tu hajui lolote msenge mkubwa kuma la mama ake
Sauti ya Manara inatusha kumlipa Mangungu mshahara yeye na familia akome kuwaita viongozi wa Yanga malofa
Mangungu ni sawa na mtoto hana hekma
Daah manara hakika wewe ni gwiji wa magwiji
Huyu jamaa ana akili sana
mang'ung'u hili darasa lina muhusu....
Manara hii mara ya pili nakuona unaongea kwa utulivu mkubwa na weredi mkubwa hauna mapepe,kuna Interview ulifanya Na MCHUNGAJI HANANG na Interview ya PILI ni hii umetulia na ndo unatakiwa KUWA HIVI cku ZOTE,hacha ile AKILI unayokuwaga nayo baadhi ya cku,hvi unatakiwa YANI ukiwa hvi watu wakiona Interview yako wataifuatilia kwa sabbu ya MADINI watayokutana nayo lkn ukiwa namna ile nyingne watu watakuwa wanakupuuza tyu.❤❤❤❤
Siku iz linaongea vizuri
Baaaaaasiiiiiiii.....!!!
🇹🇿💛💚Chapa Bro👍 Wachape
Yanga umekuwa msemaji wa yanga sikuizi
Bugatti 🎉🎉🎉🎉
Tangu nikufahamu haji leo nimeona nakuelewa kuwa kweli ni mkrugenzi wamanara TV umesimama kwenye nafasi yako.
No political i let you Now my brother sport line
Bugatti sanamu lako lijengwe mo arena unakitu
Ngojeni makololo sare ziongozane ,Sasa hivi utasikia mangungu must go😂
Jamani tumsamehe Mangungu maana ni mwenyeki asiejua alisemalo ametukosea sana wananchi
Yaani we HAJI ni KIBOKO sana..!
Masha Allah we mzee sio mchezo hizo ni nondo uliziweka store nn nn?mbona za moto sana utawauwa hawa makolo😂😂😂
Nashangaa hapa mnahangaika na historia na mangungu ebu tutafakari hili la kuchangia clabu zetu badala yakutegemea hawa wafathili hii ndiyo hoja ya msingi siyo kushabikia mangungu kaongea sijui nini ebu tupambane tuchangie yanga yetu mambo yaende
Kaka nimekuheshimu sana kweli mpira unaujua kweli aisee wewe kweli huna mpinzani
Huyu NGUNGUS hajitambui anatakiea aelimishwa ili aelimike yanga ndiyo iliikomboa hii nchi ngungus hajui historia ya hii nchi
Imeekuuma manara
Imeemuuma coz NGUNGUZI hajui History anapotosha watu wasiojua kwahiyo lazima Haji imuume coz anaijua vizuri History ya YANGA NA SIMBA..NGUNGUZI HAJUI LOLOTE BOYA KATOKA KWAO MTWARA ANAKUJA KUTOA MANENO YA KASHFA NA FEDHEHA MJINI....
Uyo ata afanyaje yeye ni simba na mangungu ni yanga😁😁🏃🏃🏃
Bao lilikuwa linachezwa Tandamuti kwa mzee Mshumi
YANGA NI MAROFA
Mnanikera mnaosemanara nimuongo kiukweli manara unafaa
Manara tafuta maana ya jina MANGUNGU utaelewa kwanza bora usinge mjibu huyo bwana.
Kwenye suala la uwekezaji Manara ameongea ukweli mtupu
Aiseee huyu jamaaa ni hatar sana
Umekosea Nyerere akuwa mwanayangu au Office za Chama azikukosa alikuwa na kutemerea wazee na kuongea
Huyu huwa haeleweki aliwahi kusema yanga walikuwa malofa kiasi cha kucheza mgongo wazi
du Manara ana uzale do hasa na yanga
Wafundishe na uwakumbushe mbumbumbu hao!!Mangungu hajitambui.kuitaja yanga kwa zaidi ya robo saa ndani ya kikao kizito cha simba,ni ushindi mkubwa kwa yanga.
Mangungu ajiona akikashifu Yanga mwanachama wa Simba watampenda akilii ykee ni kma lile jichwa lkee jichwa mchungwaa
Uko sahihi najuwa makolo watakutukana maana hawapendag ukweli
Mandundu ayajielewi, Mangungu uso wake unaonyesha kama nyaya zinacheza
Manara muongo muongo ila anajua kupangilia maneno na historia ya mpira wa Tz anaijua vyema sana.
Uongo wake ni nini? Mbona historia hii iko wazi? Wakati mwingine heshimu historia hata kama hupendi!
Sasa huyu ndo msemaji. Unajua mtu akikuita majinga hutakiwi kumwambia Mimi siyo mjinga, Bali mpe sababu kwamba wewe siyo mjinga. Huyo ndiye Manara Safi Sana. Mimi ni Simba lakini umenifunza kitu.
Huyu mzee mwamba
Ukweli ni kwamba ngungu anazeeka vibaya😅😅
Uwafundishe hawa
Huyu Mangungu ni mzigo.
Story ni zauwongo apo nimadhabi wasimba walienda kupokea timu yao simba ilimtoa zamaleki na ndio arai mkapa alikuwa anatoka safari sio nyerere wala sio timu ya yanga ndugu😊😂😂😂
Huyu jamaa ni encyclopaedia .... namshauri aandike kitabu chake hili taarifa ziwe kwenye kumbukumbu sahihii au aandae documentary
Ukisema yanga pekeake ndo kapgania uhuru unakosea sana. Uwezi kutaja uhuru wa nchi hii bila jina la mzee Abdul Sykes. Aya tuambie uyu mzee Sykes alikua timu Gani???
Jamani uongozi wa yanga mna mpango gani na manara?mko kimya sana mmepanga kumpa nafasi ipi ndani ya klabu yetu..!!??
Young Africans ilianzishwa mitaa ya uswahilini Kariakoo walikoishi wananchi wa kawaida (makabwela). Simba kwa wakati huyo Ikiitwa Young Asians baadaye Queens club kabla ya kuitwa Sunderland iliazishwa mitaa ya Upanga kwa walikoishi matajiri wa kiasia (mabwanyeye). Kwa hiyo Young Africans ikawa ya watanganyika wazawa (wananchi) na Sunderland ikawa ya waasia na wazungu. Kati yao ikaanzishwa cosmopolitan Football club ambayo maana yake isiyoegemea taifa lolote. Mwaka 1971 Sunderland iliitwa Simba baada ya mzee Karume kupiga marufuku vilabu kutumia majina ya kigeni.
Lile lizee lenyewe ndo lilofa tena lisilojitambua ndo maana hata cheo chake limefanywa rubber stamp
Uko vzuri sana umechambua vzuri sana Bugatti
Hongera kwa kutoa elimu nzuri ya mchango mkubwa wa yanga katka historia ya ukombozi wa nchi hii.
Kiukweli inashangaza sn na inafikirisha sn hawa wanao semwa kuwa walikuwa malofa nivip hao malofa wamekuwa na Makombe mengi ya ndani kuliko hao makolo hii timu yama kolo ina wazee wahovyo sn.
Wao madunduka,ndio " Malofa " timu haijakamilisha mchakato wa mabadiliko,lakini tayari " inamwekezaji --- kama sio ulofa ni nini ? Kuikubali ofa ya bil 20,za Mo kabla ya kuifanyia tathimin club yao,kama si " ulofa ni nini " kwahiyo ni kweli kuwa Madu club yenu thamani yenu inathamani ya bil 20 ? Kama si ulofa ni nini. Lofa wa kwanza ni yeye mwenyewe,anawaongoza malofa wenzie .
Mda wote naamin Sana maneno yako (ndio sbb wanakuchukia" Unajua sana) we ni zaid ya msemaji;;; Nataman siku 1'
uwe Rais wa TFF: