hapo kwenye transporter umeongea point za kero kwq tanazania company. na ujinga wa tra wanaosababisha kupoteza dola nyingi nchini. kwq malipo wqru wanapokea nje ya nchi cash mkononi.
Hao jamaa TRA.. Mimi nawaita wezi tuu.. akili yao ni kupora watu tuu hawana akili ya kuzalisha na hivo ndivo walivo funzwa na wazungu ndio elimu walioma wanajiita wasomi kumbe wamesomea wizi..
Ongera sana mama. TRA wamekuwa kama kupe. Kichwa kidogo tumbo kubwa ikimahanisha kwamba kichwa ni mfanya biashara aliye konda na TRA ni tumbo vitambi vyao.
Nchi yenye watu millions 61 wanaolipa kodi hawazidi millions mbili harafu unategemea Nchi ipate mapato subutu huku wizi Watawala ndio kazi yao mbona hawasemi hayo!
Hao mil 2 kwa kiasi kikubwa ni wachuuzi. Tz walipa kodi wanaweza kuongezeka. Kama kodi zitakua rafiki na endelevu. Na mifumo ya kuzikusanya iwe rafiki.
Hapo kwenye malori kunatakiwa kuwekewa mkazo, malori mengi ya nje hayalipi Road toll maana TRA hawasimamishi ila sisi madereva wa Tz tunasumbuliwa sana nchi nyingine. Pia tunaomba malori ya nje yatozwe Carrier license, Carbon ya uchafuzi wa mazingira
Kwanini hatujui sheria ya wafanya biashara ndogo ndogo hizi ndizo kodi na biashara kubwa inakuwa kama ni utapeli wa TRA wanavuluga taratibu nchi nyingi hakuna kabisa vurugu za wafanya biashara na TRA lakini Tanzania hii haiishi na ni ninyi mnao jitoa ufahamu tatizo mbona hamwahurumii wananchi
Na izo mashine wauze bei raisi me nilikuwa namiliki magari kabla cjayauza .brother wangu aliniambia ninunue mashine eeh nilipouliza bei wanasema lk 7 nikawambia me sinunui nanunua lk 7 then nalipa na kodi c ujambazi huu
Business as usual (BAU) ndo inayotuumiza walipa Kodi wa Tanzania 2m pekee kati ya 62m. Laiti wangerasimisha biashara nyingi wigo ungepanuka hata kufika 50% ya population ya nchi. Huu mfumo wa sasa unawaumiza wachache hasa wale wa PAYE. Teknolojia iboreshwe iwe kisasa zaidi katika mauzo na manunuzi ya bidhaa. Kodi haijawaacha hata matajiri salama katika developed world kwa kukwepa Kodi. Tuwe makini namna ya kwenda nayo ipasavyo. Tax base iandaliwe mapema kuanzia mwezi wa Saba hadi December kila mwaka
Uko vizuri ramadhani ali ni uma sana pamoja na uncle magu Kum tetea lakini hakuna msaada aliye pata miaka zaidi ya sita mwisho familia yake yote ili kufa
Mhe. Kamishina Mkuu! TRA wana mifumo tatanishi ktk kukusanya kodi,hawana wataalamu au taaluma ya kodi kulingana na sera ya uwekezaji na sheria ya kodi ya EAC na Comesa. Pamoja na hayo wanawasikiliza sana wanasiasa kwa chuki na wafanya biashara,lakini pia wanasiasa wanakuja na mfumo wao wa biashara wa EPC+F na TRA haiwezi kuhoji VAT na kodi zinginezo zinakokotolewa kwa sheria ya kodi na mfumo gani. Matokeo yake wananchi wanabanwa kwa kodi ya kipato chao kidogo kinachotokana na uchuuzi.
Mfanyakazi wa TRA Tanzania, Ni Tajiri Kuliko Mfanyabiashara, Ukiangalia Majumba, Magari, na Mali Wanazomiliki, Hakika Utajiri wao ni wa Kushangaza sana, Ulaya Wafanyakazi hawamiliki Utajiri kwa Mshahara wake, Kwa hiyo TRA ni Waporaji wa nchi hii.
Mdada uko safi na wakati na teknolojia na elimu yako. Waambie Michezo ya kukamata wateja na kuwa harrass ni ushamba wa kimasikini. Tafuteni mbinu za kujenga mazingira ya ku attract new potencial tax payers. Otherwise ni nyie wenyewe ndio mnaozalisha underground non compliance business activities. Mabavu hayasaidii. Stop acting rude. Mkienda sawa mtakusanya kodi mpaka mtafurahi
Very soon tunakuja kudai haki zetu kama madereva wafanyabiashara wa malori mnalalamika upande wenu na huku mkituhumiza madereva wa nchi hii, Kamishna wa Tra Tanzania tunakuja kuwadai madai halali kwa hawa matajiri wa Tanzania kwa baadhi yao kuvikataa vipimo halai vya serikali na kuamini vipimo vya wageni hilo wao hawalioni kuona kama wanalihujumu Taifa na watu wake, walipe kodi.
@@halidomar9874 Kuna walakini hapo. Nchi haiwezi kutemea kodi tu kwa maendeleo. Shughuli za uzalishaji hakuna. Serikali isapoti wakulima, ianzishe viwanda kila wilsya ya kutumia mslighafi za wakulima. Hivyo itsongeza walips kodi. Kuna mwisho wa kuwakamua Hao wafsnya biashara million 2.
Hongera kamishina tunaomba udhibiti na Hawa vijana wenye wako na hizi STL zenye tintedi ni wasumbufu sana na hawajali hata umri wao ni kutuhangaisha tu tunaomba uwakemee bos wetu we ni mtu mwenye hekima sana asante
Hutaweza tungeni sele machinga nchi nzima hamuwezi kukontulo mfanyabiasha mukulima mufanyakazi wajulikakane siyo Kila mtu kutoboa dilisha barabarani kupika chakura barabarani hao ni zao LA magufuli hao ndio wataiondoa ccm madarakani siyo chadema Wala chawa yeyote hayo machinga hawajuwi
Matajiri wa nchi hii hasa upande wa malori na mabasi sio marafiki wazuri kwa madereva wa nchi hii, Tra mnavyowasikilza hawa matajiri jiandaeni kutusikiliza madai yetu kwa hawa matajiri ambao wao kila siku ni kutangaza hawapati faida mpaka wametugeuza madereva wa nchi hii kama watumwa kwenye taifa letu.
Mama umeogea vizuri. Hoja zako zote zina mashiko. We must base our strategic planning on updated research figures. In all areas including market (demand and supply of goods and services) tax issues as Business challenges , competitors etc. Figures and Facts zinatakiwa kutumika ktk maamuzi na mipango ya mbele.
Kweli kabisa mama anavyosema watanzania wengi sana hatulipi kodi maduka wamachinga mchanga kokoto mawe biashara ndigondogo boda hatulipi wauza vyakula coco Beach pale na wao ndio wa kwanza kulalamika na kusema masikini lipa kodi mama samia hili swala liangalieni hili
Inavyoonekana bila kuangalia wanaolipa Kodi kuwa ni wachache linapangwa mwaka huu tunahitaji kiasi Fulani ambapo inakuwa mzigo mkubwa kwanini hao wengine msiwatafute kwa kuwa na Kodi inayohimilika na ili watu wengi waweze kulipa mapato yatakuwa makubwa
Mama ur indeed so intellectual. Very wonderful narratives
hapo kwenye transporter umeongea point za kero kwq tanazania company. na ujinga wa tra wanaosababisha kupoteza dola nyingi nchini. kwq malipo wqru wanapokea nje ya nchi cash mkononi.
Zingatieni sana haya maneno ya huyu mama ni kweli kabisa anayo ongea na muyafanyie kazi
Hao jamaa TRA.. Mimi nawaita wezi tuu.. akili yao ni kupora watu tuu hawana akili ya kuzalisha na hivo ndivo walivo funzwa na wazungu ndio elimu walioma wanajiita wasomi kumbe wamesomea wizi..
Ongera sana mama. TRA wamekuwa kama kupe. Kichwa kidogo tumbo kubwa ikimahanisha kwamba kichwa ni mfanya biashara aliye konda na TRA ni tumbo vitambi vyao.
Wewe dada nimekuelewa sana unapointi za maana sana kama zikifanyiwa kazi na mamlaka hii ya TRA.
Keep it up .Kamishna umeanza vizuri sanaaa.Mungu awe Nawe .Tunaimani na wewe kuwa utatufikisha Mahali ,tunakuombea
Kudos Angelina well presented and all were represented.Umeiva Maam
This lady is very correct.
Huyu mama yupo vizuri, hii nchi ina watu wazuri ila cha ajabu vilaza ndio wanamadaraka
Ndo nikasema atupendani wanajua wanachokifanya .big to Zanzibar wanafanyiana utu ndomana wao wapo chini cc uku acha tutafunane
❤❤❤❤❤ mom
Huyu Mama apewe Uwaziri wa Fedha wa Tanzania ana IQ ya justifications Mahiri za Uchumi
Unadhani hawajui au hawafahamu? Watanzania Bara tunakwamishwa na Ubinafsi ulokithiri nafsini mwetu
Nchi yenye watu millions 61 wanaolipa kodi hawazidi millions mbili harafu unategemea Nchi ipate mapato subutu huku wizi Watawala ndio kazi yao mbona hawasemi hayo!
Hao mil 2 kwa kiasi kikubwa ni wachuuzi. Tz walipa kodi wanaweza kuongezeka. Kama kodi zitakua rafiki na endelevu. Na mifumo ya kuzikusanya iwe rafiki.
Ukiuliza unaambiwa iko kisheri,hiyo nadhani ni sheria gandamizi haswa kwa wafanya biashara wadogo,nauliza hizo sheria ziliwekwa na nani?
Hapo kwenye malori kunatakiwa kuwekewa mkazo, malori mengi ya nje hayalipi Road toll maana TRA hawasimamishi ila sisi madereva wa Tz tunasumbuliwa sana nchi nyingine. Pia tunaomba malori ya nje yatozwe Carrier license, Carbon ya uchafuzi wa mazingira
Nimekupanda Bure Tanzania inawatu makini Sana but kuna viwatu vinatufelisha Sana huyu mama yote aliyoyasema yafanyiwe kazi kwa asilimia 100
Kwanini hatujui sheria ya wafanya biashara ndogo ndogo hizi ndizo kodi na biashara kubwa inakuwa kama ni utapeli wa TRA wanavuluga taratibu nchi nyingi hakuna kabisa vurugu za wafanya biashara na TRA lakini Tanzania hii haiishi na ni ninyi mnao jitoa ufahamu tatizo mbona hamwahurumii wananchi
Mashine watoe bure kabisa afu kila mwanainchi alipe kodi afu mwisho wa mwaka turudieshini asilimia ata kidogo
Na izo mashine wauze bei raisi me nilikuwa namiliki magari kabla cjayauza .brother wangu aliniambia ninunue mashine eeh nilipouliza bei wanasema lk 7 nikawambia me sinunui nanunua lk 7 then nalipa na kodi c ujambazi huu
Dada umeeleza vizuri tunatakiwa kusomewa kodi kila mwezi tujue kama wakati wa awamu ya tano.
🤑
afrika kujitegemea ni ndoto chamsingi nikurekebisha huduma tu
Nchi inaongozwa na mamombo , matatizo yasiyo isha kila kona
Dada.Safii saana,umeongeaukwelisana.Isaidienchi
Umesema vizuri sana dada siyo machawa tu hata madalali
Business as usual (BAU) ndo inayotuumiza walipa Kodi wa Tanzania 2m pekee kati ya 62m. Laiti wangerasimisha biashara nyingi wigo ungepanuka hata kufika 50% ya population ya nchi. Huu mfumo wa sasa unawaumiza wachache hasa wale wa PAYE. Teknolojia iboreshwe iwe kisasa zaidi katika mauzo na manunuzi ya bidhaa. Kodi haijawaacha hata matajiri salama katika developed world kwa kukwepa Kodi. Tuwe makini namna ya kwenda nayo ipasavyo.
Tax base iandaliwe mapema kuanzia mwezi wa Saba hadi December kila mwaka
Dada umeongea vema sana
Hiyo nchi shida ni shule wapigaji ni wengi sana
Unapoteza sauti yako bureee dada hawa ambiliki hao kamuulize yule ramadhani mpaka kajiua wapo kama mbuzi
Uko vizuri ramadhani ali ni uma sana pamoja na uncle magu Kum tetea lakini hakuna msaada aliye pata miaka zaidi ya sita mwisho familia yake yote ili kufa
Mhe. Kamishina Mkuu!
TRA wana mifumo tatanishi ktk kukusanya kodi,hawana wataalamu au taaluma ya kodi kulingana na sera ya uwekezaji na sheria ya kodi ya EAC na Comesa.
Pamoja na hayo wanawasikiliza sana wanasiasa kwa chuki na wafanya biashara,lakini pia wanasiasa wanakuja na mfumo wao wa biashara wa EPC+F na TRA haiwezi kuhoji VAT na kodi zinginezo zinakokotolewa kwa sheria ya kodi na mfumo gani.
Matokeo yake wananchi wanabanwa kwa kodi ya kipato chao kidogo kinachotokana na uchuuzi.
Mfanyakazi wa TRA Tanzania, Ni Tajiri Kuliko Mfanyabiashara, Ukiangalia Majumba, Magari, na Mali Wanazomiliki, Hakika Utajiri wao ni wa Kushangaza sana, Ulaya Wafanyakazi hawamiliki Utajiri kwa Mshahara wake, Kwa hiyo TRA ni Waporaji wa nchi hii.
Mbona video imekatishwa wakati bado huyo mama anaongea?
Dada huyo kamishina ndio haohao waliotufikisha hapa ni wezi tuu
Huyu mwigulu nchemba hana ubunifu wowote,anatafuta hela za urais, afukuzwe uwaziri,
Mdada uko safi na wakati na teknolojia na elimu yako. Waambie Michezo ya kukamata wateja na kuwa harrass ni ushamba wa kimasikini. Tafuteni mbinu za kujenga mazingira ya ku attract new potencial tax payers. Otherwise ni nyie wenyewe ndio mnaozalisha underground non compliance business activities. Mabavu hayasaidii. Stop acting rude. Mkienda sawa mtakusanya kodi mpaka mtafurahi
Very soon tunakuja kudai haki zetu kama madereva wafanyabiashara wa malori mnalalamika upande wenu na huku mkituhumiza madereva wa nchi hii, Kamishna wa Tra Tanzania tunakuja kuwadai madai halali kwa hawa matajiri wa Tanzania kwa baadhi yao kuvikataa vipimo halai vya serikali na kuamini vipimo vya wageni hilo wao hawalioni kuona kama wanalihujumu Taifa na watu wake, walipe kodi.
Nimewahi kusema Wanaostahili wapo nje na Wasiostahili wapo nje!
Tutasumbuan sana kama mili61 walipa kodi 2m duh bado dhulma yategemewa kufanyika hapohapo kwa hao 2m
@@halidomar9874 Kuna walakini hapo. Nchi haiwezi kutemea kodi tu kwa maendeleo. Shughuli za uzalishaji hakuna. Serikali isapoti wakulima, ianzishe viwanda kila wilsya ya kutumia mslighafi za wakulima. Hivyo itsongeza walips kodi. Kuna mwisho wa kuwakamua Hao wafsnya biashara million 2.
Tz shida atujarian tunahamini wasomi kuna watu hawakusoma wana akiri sana tuwatumie wakina msukuma watusaidia
Uadilifu kama hakuna, uwe Askofu, shehe, Rais au nani hakuna maendeleo.
Hi ya kufungia Account ni too much. Tamaa na njaa za watumishi. Na his ya kufungia Account ni ushwetwani mbaya na sumu kwa mfanyabiashara
Mimi nauliza TRA kwanini mnaweka mtu kwenye mfumo wa VAT wakati mtu ajafikia kiwango cha Million mia kwenye mauzo.
mfanya biashara mmoja ana maduka zaidi ya 10 tra hamjiongezi hata hawa wenye vat wakawa na discount kwenye kuingiza magari
Hongera kamishina tunaomba udhibiti na Hawa vijana wenye wako na hizi STL zenye tintedi ni wasumbufu sana na hawajali hata umri wao ni kutuhangaisha tu tunaomba uwakemee bos wetu we ni mtu mwenye hekima sana asante
Tanzania ni polojo hamuna wakisikia kelele wanatoka hivi hamutawaona
Serikali ihakikishe tuna viwanda vingi ili waananchi wafanya kazi haiwezekani nchi asilimia ishilini tu wanalipa kodi wala serikali haijali
Hutaweza tungeni sele machinga nchi nzima hamuwezi kukontulo mfanyabiasha mukulima mufanyakazi wajulikakane siyo Kila mtu kutoboa dilisha barabarani kupika chakura barabarani hao ni zao LA magufuli hao ndio wataiondoa ccm madarakani siyo chadema Wala chawa yeyote hayo machinga hawajuwi
Matajiri wa nchi hii hasa upande wa malori na mabasi sio marafiki wazuri kwa madereva wa nchi hii, Tra mnavyowasikilza hawa matajiri jiandaeni kutusikiliza madai yetu kwa hawa matajiri ambao wao kila siku ni kutangaza hawapati faida mpaka wametugeuza madereva wa nchi hii kama watumwa kwenye taifa letu.
Mama umeogea vizuri. Hoja zako zote zina mashiko. We must base our strategic planning on updated research figures. In all areas including market (demand and supply of goods and services) tax issues as Business challenges , competitors etc. Figures and Facts zinatakiwa kutumika ktk maamuzi na mipango ya mbele.
Acha kuiba diesel,kuuza matairi.punguza mademu njiani.ili ucnunue magunia ya mkaa,kuku.mchele. Utaona hela inabaki.
Samia ni mombo na kilaza hana uwezo wa kuongoza hata mabata
Unaongea sana mara kingereza mara kiswahili 😅
She is contradicting herself
Mnailaumu vp TRA washenzi kabisa
Badala ya kulaumu aliyewatuma
Aliyewatuma nani
@@froma3732 huyu anaelazimisha tumaite mama utafikiri hatuna mama zetu
Kweli kabisa mama anavyosema watanzania wengi sana hatulipi kodi maduka wamachinga mchanga kokoto mawe biashara ndigondogo boda hatulipi wauza vyakula coco Beach pale na wao ndio wa kwanza kulalamika na kusema masikini lipa kodi mama samia hili swala liangalieni hili
Inavyoonekana bila kuangalia wanaolipa Kodi kuwa ni wachache linapangwa mwaka huu tunahitaji kiasi Fulani ambapo inakuwa mzigo mkubwa kwanini hao wengine msiwatafute kwa kuwa na Kodi inayohimilika na ili watu wengi waweze kulipa mapato yatakuwa makubwa
Sijui kama watafuata hizo talatibu mambo ya ovyo ovyo tu eti mzigo uufuate zambia eti urudishe aibu sanaa .