kiukwel kiongozi Mbarikiwa una vita kubwa sana maana umeharibu kazi za wengi (waovu), na katika upiganaji uko mbele ya kikosi, mpaka sasa unaongea jua Mungu yuko na ww. Ee Mungu mhifadhi mtumishi wako Mbalikiwa.
Kwa kazi nzuri unayofanya mbarikiwa tumeanza kuona matunda yake!! Yeyote atakaye kuuwa nchi itavurugika tupo wengi tunayekuelewa!! Endelea kupigania haki zetu
Mungu alie kufanya uwe na huo ujasili, naamini katika kristo ndie atakae kutangulia mbele, imeandikwa msaada wetu upo katika yeye alie zifanya mbingu na inchi
Natamani niseme jambo, lakini ni seme pastor kuna mambo unayapitia ningekuwa mimi yangekuwa yameshanishinda tangu mwanzoni. wanadamu wa leo hawataki ukweli ukisema ukweli wanatumia nguvu walizo nazo kukuzima. Ila Mungu wa mbinguni akupiganie pastor hii vita kwa nguvu zako hutaweza. Mungu pekee ahusike na daima tegemeo lako liwe kwa Mungu tu. Mungu akulinde, akutunze daima akuepushe na mikono ya mwovu. 🙏🙏🙏🇹🇿
Mungu yupo pamoja nawe Mbarikiwa usiogope . Hayo yote wanayoganyiwa watu ukatili na unyama Mungu ameona na amesikia maombi yetu. Kisasi cha Mungu kipo njiani. Tuendelè kumwomba Mungu toba ili uovu wa nchi na kuabufu Miungu uondolewe.
Hata mimi nmshangaa huyu kijana yanamhusu nini hizo ni mbio za sakafuni .....atapotea yeye Wala si mtumishi wa Mungu Mbarikiwa yeye ahusike na ndugu au na nani?ni mfa maji ahachi kutapatapa nasema Mungu yupo tuliyembeba ni mkuu kuliko miungu yake nafuta ndoto za kurudi gerezani au kupotea
Huyo kijana ole wake ajichanganye. Walokole wengine ss sio wajinga na wapole kiasi hicho ,mchungaji wetu akipotea atajua kua ss nasi tunamyoyo! Aache ujinga wake asije akapotea yeye mwenyew!!!
Baba panmbana kusonga mbele Bwana akiwa upande wako nani aliye juu Yako hakuna kabisa nihao si mtumishi wa Mungu haurudi Kwa jina la Yesu anajidanganya huyo mc namchukia
kiukwel kiongozi Mbarikiwa una vita kubwa sana maana umeharibu kazi za wengi (waovu), na katika upiganaji uko mbele ya kikosi, mpaka sasa unaongea jua Mungu yuko na ww. Ee Mungu mhifadhi mtumishi wako Mbalikiwa.
Kwa kazi nzuri unayofanya mbarikiwa tumeanza kuona matunda yake!! Yeyote atakaye kuuwa nchi itavurugika tupo wengi tunayekuelewa!! Endelea kupigania haki zetu
Hahaha, eti nchi itavurugika. Nchi itavurugwa kwenye keyboard?
Mungu alie kufanya uwe na huo ujasili, naamini katika kristo ndie atakae kutangulia mbele, imeandikwa msaada wetu upo katika yeye alie zifanya mbingu na inchi
Natamani niseme jambo, lakini ni seme pastor kuna mambo unayapitia ningekuwa mimi yangekuwa yameshanishinda tangu mwanzoni. wanadamu wa leo hawataki ukweli ukisema ukweli wanatumia nguvu walizo nazo kukuzima. Ila Mungu wa mbinguni akupiganie pastor hii vita kwa nguvu zako hutaweza. Mungu pekee ahusike na daima tegemeo lako liwe kwa Mungu tu. Mungu akulinde, akutunze daima akuepushe na mikono ya mwovu. 🙏🙏🙏🇹🇿
Pole sanaa Mtumishi wa Mungu daah Mbona nchii hii ya hovyo sanaa???? Mimi nakuombea Baba yetu Mungu yupo lakn pole sanaa polee 🙌🙌📖🙌🙌🇹🇿
Pamoja na kwamba Mungu ndo mlinz wetu mtumishi Mimi naomba nijitolee Kukulinda nitakufa na mtu! atakayekugusa✊🙌🙌📖🙌🙌
Mungu yupo pamoja nawe Mbarikiwa usiogope . Hayo yote wanayoganyiwa watu ukatili na unyama Mungu ameona na amesikia maombi yetu. Kisasi cha Mungu kipo njiani. Tuendelè kumwomba Mungu toba ili uovu wa nchi na kuabufu Miungu uondolewe.
Mungu atakulinda mwakipesile wewe ni mtumishi wa Mungu alive hai ulindwe kwa nguvun ya Yesu kristo
Mungu atapigana vitayako na ote watakao nyanyua siraha yeyote Mungu atashughurikanao.
Shukuru Mungu Mbarikiwa
Mbarikiwa ni mtumishi wa Mungu, waovu hujaribu tu kuwapinga wenye haki kwa nguvu zote lakini mwisho wao ni mbaya sana.
Kweli
Hii ndio Tanzania yetu!!!
Mungu aturehemu
Ww ni mhubir wa kweli,
Usihofu Mungu tunayemwabudu atakupigania usijali
Hivi hao wanaoua wenzao, wao hawatakufa jamani. Mungu anawaona na vizazi kumi mbele yao.
Piga injili usiogope wataua mwili cio roho waambie watuwageuke palipo harbka pawe sawa hakuna mtu anayependa ukweli wengi hupenda kusifiwa hata uovu
DAH😢 KWELI MBARIKIWA KUNA HATARI KUBWA SANA
UKIRUDI GEREZANI... ALICHOKIANZISHA MUNGU
NDANI YAKO AKITIMILIZE.
Huyu kijana atakuja kuraniwa hatakuja asahau, ameingia kwenye vita asiyo ijua na asiyo iweza. MUNGU atamuazibu majuto ni mjukuu.
Ameen ❤❤❤❤❤
Hizo sounds effect vinanda nana ondoa au punguza sauti kabisa
Tatizo we mzee umemuach mung unapend mitandao
Wewe umemuachia nani na unapenda nini?
Hata mimi nmshangaa huyu kijana yanamhusu nini hizo ni mbio za sakafuni .....atapotea yeye Wala si mtumishi wa Mungu Mbarikiwa yeye ahusike na ndugu au na nani?ni mfa maji ahachi kutapatapa nasema Mungu yupo tuliyembeba ni mkuu kuliko miungu yake nafuta ndoto za kurudi gerezani au kupotea
Huyo kijana ole wake ajichanganye. Walokole wengine ss sio wajinga na wapole kiasi hicho ,mchungaji wetu akipotea atajua kua ss nasi tunamyoyo! Aache ujinga wake asije akapotea yeye mwenyew!!!
BABA wewe ni shujaa wa Imani
Baba panmbana kusonga mbele Bwana akiwa upande wako nani aliye juu Yako hakuna kabisa nihao si mtumishi wa Mungu haurudi Kwa jina la Yesu anajidanganya huyo mc namchukia
Waefeso 6 : 12 kwa maana vita vyetu
Tatizo lako hujasoma Mh 7:16, Gal 5:22-26 na 1Sam 17.....
Biblia unaitekeleza kwenye maandiko uliyochagua wewe tu