MUUMINI AIBUKA! "Nimenyanyasika Mno Kwenye NDOA, Nakata Mauno Sana"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ต.ค. 2024
  • MUUMINI AIBUKA! "Nimenyanyasika Mno Kwenye NDOA, Nakata Mauno Sana"
    Mwanamziki Mkongwe wa Dansi nchini Mwijuma Muumini amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusiana na maisha yake ya ndoa na changamoto za kunyang'anywa mke wake.
    Mwijuma ametangaza rasmi kurudi katika Muziki ambapo amedai kuwa mashabiki wakae mkao wa kula kwani katika kazi zake hakuwahi kukosea.
    UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
    ( +255 676 229628)
    Email: globaltvbest@gmail.com
    abbymrisho@gmail.com
    HABARI MPYA DAILY: bit.ly/habarimpya
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania Subscribe bit.ly/globaltv...

ความคิดเห็น • 118

  • @mmn7480
    @mmn7480 2 ปีที่แล้ว +1

    Nampenda sna uyu mumini juma

  • @afropatriot7769
    @afropatriot7769 4 ปีที่แล้ว +3

    Ally choki,bad bakule,waziri sonyo,Banza stone,Muumin Mwinjuma,Papii kocha,ndanda kosovo na wengine hii kizazi ilikua shida mziki wa dance ukiacha wale wazee wa msondo na skinde

  • @paschalmzyungu4353
    @paschalmzyungu4353 4 ปีที่แล้ว +8

    Dah still you looking good bro..nimeimba sana nyimbo zako since 2001 ,.Fanya urudi

  • @erastosolomon4554
    @erastosolomon4554 4 ปีที่แล้ว +1

    Kiukweli mimi ni shabiki wako hadi naumwa nikisikia nyimbo zako kama kisiki cha mpingo ,mgumba, tunda special na nyimbo zako nyiingi na nilijua haupo duniani but utainuka kamanda tuko pamoja nafurahia sana kukusikia Kaka 💪💪💪🙏

  • @hadijageorge2863
    @hadijageorge2863 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu atakupa Marshall matefu Kaka yangu

  • @BnnajinasKitwe
    @BnnajinasKitwe 2 หลายเดือนก่อน

    Asante muumin nakukubali sana swahiba.

  • @salamaseifu6008
    @salamaseifu6008 ปีที่แล้ว

    Kweli kwa kuimba muumini unaweza kuimba sana mungu akusaidie akusimamie

  • @abdulabasi4264
    @abdulabasi4264 4 ปีที่แล้ว +1

    Daah Wejama Unaongea Ukweli Sana Kiukweli Mana Wangekuwa Wengine Hapo Ataulaya Wangesema Wameenda Nakufanya Biashara Rkn Ww Unanyoosha Ukweli Halisi Hongera Sana Aisee Pambana Utaludi Blazaa

  • @Raymond6497
    @Raymond6497 4 ปีที่แล้ว +2

    Nimempenda Sana mwandishi,,unauliza vitu unavyovijua..big up

  • @emmanuelbuganga7325
    @emmanuelbuganga7325 3 ปีที่แล้ว +1

    Nampenda mumini kuliko maelezo, ludi jamaa yetu.

  • @julianamohamed1052
    @julianamohamed1052 3 ปีที่แล้ว

    Mungu mwema utulie sasa na mke mmoja

  • @manenomhagama9911
    @manenomhagama9911 4 ปีที่แล้ว +1

    Pamoja sana

  • @cantonamngoni9407
    @cantonamngoni9407 4 ปีที่แล้ว +3

    Hongera sana kaka ulikuwa unajua

  • @francismkenda
    @francismkenda 4 ปีที่แล้ว +7

    "Ndani kwetu ameingia nyambizi tujihadhari tutauawaa"....... daah ee bhna huyu jamaa namemkumbuka sana noumaa

    • @antoinekatembo8520
      @antoinekatembo8520 4 ปีที่แล้ว +1

      Francis Mkenda hicho kibao kilikua kikali sana henzi hizo

  • @alirahma8967
    @alirahma8967 4 ปีที่แล้ว +1

    Nilikua naipenda sana mkilima kala mbegu,mungu akusimamie,usikate tama

  • @emmanuelbuganga7325
    @emmanuelbuganga7325 3 ปีที่แล้ว +1

    Pole, sana uyo mbunge alikua nani? nimlaani tena.

  • @amanikuntamya9698
    @amanikuntamya9698 4 ปีที่แล้ว +7

    Kaka mwijuma Mimi ni kijana wa miaka 35 sasa lkn nakukumbuka sana kwa wimbo wako mkulima kala mbegu daaaa kaka ludi tuko na wewe brother

  • @saidbahali5533
    @saidbahali5533 4 ปีที่แล้ว +2

    Huyu sio Mkongwe yeye bado kijana sana ila amejipoteza mwenyewe

  • @saidpara7494
    @saidpara7494 4 ปีที่แล้ว +2

    Tatizo muumini nyinyi mukianza kuinuka tu munaanza kuwatukana wanao wainua. 😊😊chuma yenu

  • @bukheribukheri798
    @bukheribukheri798 4 ปีที่แล้ว

    Haaaa Muumini!!! Ambayo badala ya ambaye!¡!!! umeniangusha,Ila nakukubali Sana katika utunzi na uimbaji

  • @mrwhynot7626
    @mrwhynot7626 4 ปีที่แล้ว +1

    Good good goood 🖐🏽🖐🏽🖐🏽🖐🏽🖐🏽

  • @elibarikiskawa7918
    @elibarikiskawa7918 4 ปีที่แล้ว

    Bora umerudi utukumbushiee mikaa

  • @lukasmwendo9383
    @lukasmwendo9383 4 ปีที่แล้ว +3

    Hakika ww ni msanii mkubwa uko vizuri sana kama walikuroga bac dawa zawa hazina nguvu

  • @emmanuelbuganga7325
    @emmanuelbuganga7325 3 ปีที่แล้ว +1

    Ujafulia bwana, omba uzima tu. tunakukubali sana.

  • @denicmsigwa5199
    @denicmsigwa5199 4 ปีที่แล้ว +1

    Duh we jamaa nakukubali sana aiseee frash yangu haiwezi kosa wimbo wako kwakweli

  • @winepreneur7329
    @winepreneur7329 4 ปีที่แล้ว +2

    Mi nadhani ungeachana na bendi,fanya Kama solo artist...toa single zako,mambo yatakaa sawa

  • @francismkenda
    @francismkenda 4 ปีที่แล้ว +3

    Maisha ni msongamano wa tabu nyingi sanaa zilichanganyika na chembe ndogo sana za raha ambazo haziwezi kuyeyukaa aah Yusuph Mmbwana alisema😀😀😀 wahenga mnakumbuka hii mistari ya Muumin na bend yake

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 4 ปีที่แล้ว

      Francis Mkenda 😁😁😁😁hata sisi tuliozaliwa 2000 mnatutenga

    • @saidabdul8547
      @saidabdul8547 4 ปีที่แล้ว

      Francis Mkenda ......Ukila Leo wali kuku.....usisherehekee ....chemsha bongo ujue kesho utapata VIP....mstari wa badi bakule huo

  • @abudrylameck1640
    @abudrylameck1640 3 ปีที่แล้ว +2

    Duuuu jamaa kapotea nilipenda Sana nyimbo zake

  • @rukiamohammed5031
    @rukiamohammed5031 4 ปีที่แล้ว +5

    Shemu wetu wa tanga sada saleheee mtt wa chumbageniii💃💃💃💃enz hairud jmn rudi shemu wetu wa zaman wa mkoa wa tanga

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 4 ปีที่แล้ว +1

      RUKIA Mohammed 😁😁😁

    • @kilonzodistributorscompany9228
      @kilonzodistributorscompany9228 4 ปีที่แล้ว

      Inaitwaje hiyo nyimbo

    • @georgekimasa7393
      @georgekimasa7393 4 ปีที่แล้ว

      Nyie wanawake watanga ndiyo mlianza kusababisha kuyumba kwa muumini hasa huyo sada aligeuka kuwa mwiba kwa huyu jamaa.

    • @rukiamohammed5031
      @rukiamohammed5031 4 ปีที่แล้ว

      @@georgekimasa7393 🤣🤣🤣tatizo muumin alikurupuka kumuoa yule sada salehe mtt wa chumbageniii💃💃ndio maana ndoa Yao haikudumu

  • @saluhadu7967
    @saluhadu7967 4 ปีที่แล้ว

    Pamabana shekh wangu uko vizur sana kama Dada wanpenda kaninunulie zeze

    • @veronikamabula7101
      @veronikamabula7101 4 ปีที่แล้ว

      Umenikumbusha miaka 30 iliyopita tukiwa wote Butiama,komaa usikate tamaa

  • @gracekimaro163
    @gracekimaro163 4 ปีที่แล้ว +1

    safi sana broo umekuwa mkweli ingekuwa wenzetu waleee ungeskia sasa hiv nafocus kwenye biashara. tusubiri mzik mzuri sooon

    • @gracekimaro163
      @gracekimaro163 4 ปีที่แล้ว

      Zuber Salum nitumie ya kwako nitakupigia bro

  • @emmanuelbuganga7325
    @emmanuelbuganga7325 3 ปีที่แล้ว

    Nilipo kua mdogo,,,😄😄😃😄😃😄😄😄😄😄😄😄mle mle baba lao, karibu sana, tuna hamu na wewe sana.

  • @kinotasontravel3883
    @kinotasontravel3883 4 ปีที่แล้ว

    Ebabaaa bado upoo sanaaaaa kochaaa

  • @halimakimwana9249
    @halimakimwana9249 4 ปีที่แล้ว +1

    Mi shabiki yako Muumini tunasubiri hiyo Album

  • @deboramatpapaztv
    @deboramatpapaztv 4 ปีที่แล้ว +2

    Umejichekesha mno..eti umefulia..🤣🤣🤣bora umekubali

  • @isejemedia6760
    @isejemedia6760 4 ปีที่แล้ว

    Nakukubali sana

  • @alexmwalingo5120
    @alexmwalingo5120 4 ปีที่แล้ว

    Nyimbo zako zilikuwa tamu sana mwe tumezicheza sana hasa nyambizi

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 4 ปีที่แล้ว +3

    Nilichoelewa
    Huu ni ubao na tuusome vizuri.

  • @munakassim3521
    @munakassim3521 4 ปีที่แล้ว +5

    Jamani tunda .mgumba .rudi kwenye game kaka

  • @pricamsrcus9341
    @pricamsrcus9341 4 ปีที่แล้ว +1

    👍

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 ปีที่แล้ว +1

    " Nilipokuwa mdogo mwinjuma mm , nilikuwa sielewi Nini maana ya mapenzi " huyu aliteka dunia aisee

  • @kingmburusijr6958
    @kingmburusijr6958 4 ปีที่แล้ว +1

    Amtafute mzee yusuf warudi kwenye gem

  • @rochhelmond7925
    @rochhelmond7925 4 ปีที่แล้ว +1

    Come back please bro hichi ni kipaji ambacho tulikimiss mno

  • @swaumukareemu9247
    @swaumukareemu9247 4 ปีที่แล้ว +1

    Jomaniii nimekukuka sanaa toka juzi nIsikiliza nyimbo ya tunda

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 4 ปีที่แล้ว +1

    Kocha wa kitongoji duuh umetisha fundi wa sauti bongo

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 4 ปีที่แล้ว +3

    Khaaaa zamani sana ila tam

  • @jonesgeorge3152
    @jonesgeorge3152 4 ปีที่แล้ว

    Kaka mkubwa. Dah missing much

  • @polinahkilunju9414
    @polinahkilunju9414 4 ปีที่แล้ว +3

    Global TV ambieni Muumini namtafuta.

  • @petermende5153
    @petermende5153 4 ปีที่แล้ว +4

    Aixee axeee mwinjuma mumini hatari sanaaaa cntakusahau kamwe maana umefanya makubwa kwenye mziki wa dance nakuheshimu mm shabiki yako. ...kimuziki ulimpeleka puta Ali choki had nilkuw nafurah. ..rudìiiiiii kweny game

  • @Robust78
    @Robust78 4 ปีที่แล้ว +2

    Utasimama tu Kijana usikate tamaa kaza buti Mungu atakusaidia.

    • @antoinekatembo8520
      @antoinekatembo8520 4 ปีที่แล้ว +1

      Steven Steve hiyo ni kweli kaka! Bidii, jitiada na nidhamu ya mtu ndo mafanyikio yake!

  • @jekoniafesto5590
    @jekoniafesto5590 4 ปีที่แล้ว +4

    Mzaramo una maneno wewe!

  • @saywniaa1865
    @saywniaa1865 4 ปีที่แล้ว +2

    Yumekumic walah ludi kwnye gem

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 4 ปีที่แล้ว +2

    Mtangazaji jiongeze jitume utafika mbali sana. Tunategemea ufanye presentations, voice over kwenye documentaries na nipe program yako ambayo itakuwa identity yako. Unafaa utangazie mashirika makubwa makubwa kama DW, BBC n.k

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 4 ปีที่แล้ว +1

    Duuh mbona mmekua kijana zaidi kweli kafulia au kaamua? Hee kumbe me mkubwa Miaka 18 iliyopita? 😳😳😳😳😳

  • @twahachano2559
    @twahachano2559 4 ปีที่แล้ว

    hapo.kwa sumuni.safi.mkongwe huyo

  • @kinotasontravel3883
    @kinotasontravel3883 4 ปีที่แล้ว

    Rudi baba na utarudi tu kwenye ukocha kama papii kocha

  • @isaacsengunda3099
    @isaacsengunda3099 4 ปีที่แล้ว

    Sasa unawapenda kweli,lakini sasa wanakukomesha,sio kila kizuri unacho kiona kizurii sio kinafaa kwa matumizi.

    • @ernestkimaya5124
      @ernestkimaya5124 4 ปีที่แล้ว

      Zile nyimbo zote za kwako zirudie upya bado zipo moto.

  • @kulwakunemka3286
    @kulwakunemka3286 4 ปีที่แล้ว +1

    Daaah,hivi huyu jamaa ataweza kweli kutunga Mashairi ya kututoa machozi?

  • @mlawamangasini3836
    @mlawamangasini3836 4 ปีที่แล้ว +1

    Rudi kama zamani tafadhali.Tumekumiss tumekosa mikasi mingi na sauti iliyopakwa mafuta

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 4 ปีที่แล้ว +1

    Usijishushe bwana mwinyijuma wewe ni mwanamziki mkubwa, sema mziki wenu umekutana na changamoto za muda mfupi za promotion kwenye vyombo vya habari lakini washabiki wa dansi bado tupo na tunaimani iko siku dansi itarudi tu kwa uwezo wa Allah

  • @kinotasontravel3883
    @kinotasontravel3883 4 ปีที่แล้ว

    Hahahahaaaaaa😂😂😂😂😂😂 Rapa huyo noma

  • @shomarisangari6357
    @shomarisangari6357 4 ปีที่แล้ว +1

    Ukipiga mzki wa bend kiingilio bia apo lazima utapotea epuka kupiga muziki kiingilio bia.

  • @tgeofrey
    @tgeofrey 4 ปีที่แล้ว +4

    mzee wa zing zong

  • @ernestbenpili7108
    @ernestbenpili7108 3 ปีที่แล้ว

    Mmh

  • @fatmahchambo3131
    @fatmahchambo3131 4 ปีที่แล้ว

    Dah hazeeki huyu jamaa

  • @prisilaalfred2353
    @prisilaalfred2353 4 ปีที่แล้ว

    🤗

  • @blacknature3691
    @blacknature3691 4 ปีที่แล้ว +1

    Unge tubu tu miaka 20 sio kidogo kaka

  • @kinotasontravel3883
    @kinotasontravel3883 4 ปีที่แล้ว

    Bora hata aliondoka maana atakuwa amekuepushia maradhi

  • @Chemba67
    @Chemba67 4 ปีที่แล้ว +1

    Kila la heri kocha wa kawaida inabidi ukaze huu usawa sio

  • @alexmwalingo5120
    @alexmwalingo5120 4 ปีที่แล้ว

    Muumini mwinjuma ama umepotea mpaka tumekusahau du jamani

  • @azdatech5032
    @azdatech5032 4 ปีที่แล้ว +2

    Media za bongo zinaua wasanii wa kweli zinawabeba vilaza kwa ajili ya maslai yao,na wewe mtangazaji jifunze kuuliza maswali ya msingi habari za wake wa mumini ni mambo yake binafsi, sis tunataka kujua kuhusu muziki wa dans na masuala yake ya sanaa na kwa nn muzik wa dans umepotea,🙄

    • @zumbeshauri8114
      @zumbeshauri8114 4 ปีที่แล้ว

      Kabisa yani wala sio uongo

    • @wakubwatu1535
      @wakubwatu1535 4 ปีที่แล้ว

      Muumini hebu mrudie yule mtaalamu wa bagamoyo ambae mliahidiana lakini ww ulikiuka makubaliano nae alijitokeza ktk vyombo vya habari kua ww kama hutarudi ktk makubaliano huo utakua mwisho wa ustaa wako watanzania tulimpuuza huyo mtu lakini sasa tunaona yaliosemwa yanajionyesha sasa hebu nenda katimize ahadi urudi kwenye ustaa

    • @LeeUfudu
      @LeeUfudu 4 ปีที่แล้ว

      Mambo hayo kaulize ustawi wa jamii

  • @nelsonzakayo496
    @nelsonzakayo496 4 ปีที่แล้ว

    Bado anaonekana kijana

  • @meedaafarai9677
    @meedaafarai9677 4 ปีที่แล้ว +1

    Nice

  • @sabrinaislam4200
    @sabrinaislam4200 4 ปีที่แล้ว +2

    Huyu sio video ža ngono Aližosingižiw ngwajima mbona kafanana

    • @chaulairinga624
      @chaulairinga624 4 ปีที่แล้ว

      Rudi kaka kipaji unacho cha kutosha tunakumiss

  • @georgemaduga2406
    @georgemaduga2406 3 ปีที่แล้ว

    Mgumba Sasa amezaa ..mkulima kala mbegu

  • @mligosandrah7851
    @mligosandrah7851 4 ปีที่แล้ว

    Baba Mwalami

  • @mercyemmanuel8536
    @mercyemmanuel8536 4 ปีที่แล้ว +2

    Rudi swahiba...

    • @abdimsagati9667
      @abdimsagati9667 4 ปีที่แล้ว

      Usikate tamaa jipange upya muombe mungu

  • @rajabmlau1668
    @rajabmlau1668 4 ปีที่แล้ว +1

    Muumin nakukubal ninandoto one day tuonane

  • @shomarisangari6357
    @shomarisangari6357 4 ปีที่แล้ว

    Ukirudi kwenye gemu hakuakikishia akuja kusapoti.

  • @alexkalonga3632
    @alexkalonga3632 4 ปีที่แล้ว

    Uchawi tu

  • @mamarose4693
    @mamarose4693 4 ปีที่แล้ว +1

    Ludi mwijuma

  • @zenaliumba4385
    @zenaliumba4385 4 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @mimiapa8436
    @mimiapa8436 4 ปีที่แล้ว

    Duuu

  • @othmanhaji1832
    @othmanhaji1832 4 ปีที่แล้ว

    Acha mambo ya kuimba wewe. Rudi kwa Mola wako, muda bado unao

    • @constantineclement8990
      @constantineclement8990 4 ปีที่แล้ว

      Othman Haji Mziki ni kipaji na kazi alichopewa na Mola wake, unataka aache mziki ili afanye kazi gani ndugu! Na familia itaishije?

    • @othmanhaji1832
      @othmanhaji1832 4 ปีที่แล้ว

      @@constantineclement8990 Afanye kazi nyengine iliyohalalishwa na Mungu wake. Kuimba kumeharamishwa na Mungu wake na kipato chochote kinachotokana na kilichoharamishwa nacho huwa haramu. Mungu wake huyo ndie aliyechukua dhamana ya kumlisha yeye na familia yake. Yeye wajibu wake atafute njia halali tu za kupata riziki yake.
      Muumini ni Muislamu, anafahamu niliyoyasema kuwa ndio mafundisho ya Dini yake.

  • @eliankya3272
    @eliankya3272 4 ปีที่แล้ว +2

    Sema ukweli dawa zimeisha nguvu