ONA JINSI CHIEF GODLOVE AKIGAWA PESA ZA MTAJI KWA KINAMAMA WENYE HALI NGUMU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
Na kulike facebook page Bongo trendy online
Hivi watu hawaoni kua huyu jamaa anasambaza ushetani wa wazi...
Umaskini mbayaa sana mungu asaidie 😢😭😭😭😭
Hawajitambuiii
Huyu kaka hafananii na PESA niuchawi tuu
Watu wangu wanaangamia Kwa kikosa maarifa
Hiroo Bango tu lilivyoandikwa Mimi hoi jamani hapana Mungu nipe Hela halali
Tatiz0 sio umaskini kwakuwa umaskini upo tangu enzi za mitume na hawakujidhalilisha hivyo
Pokeeni tu hizo hela mnabadilishana na watoto wenu siku watakapoanza kufa au kuwa na element za kishetan ndo mtajua aisee
Hongera tajiriii
😅😅😅😅😅😅
Mama samia ana upiga mwingi mnaiona hy hali
Hongeraa mtetezii wawa watuu munguu akurindee akupee maishaa marefuu
Hautadimu Mungu wa yakobo , Ibrahim,na isaka atakuadhibu vibaya sana
😅😅😅😅😅😅kwakweli mdomo wako mchafu sana
Kwani kakosea nn mbn roho mbaya mwamba
ati welcome to the real world
Kwel umasikini mbaya unaweza kutokwa na Imani Kwa njaa # njaa zenu semeni nazo jamaa kaja potosha watu*
Kwenye bango pameandikwa welcome to the real world,,mmmh kama huna d mbili huwezi kielewa,,,huu umasikini utatupeleka kusiko sitahili jamani😢😢😢😢
HAWA NDIO NEW WORLD ORDER SASA SEMA WAMEFICHA TU😂
Duuuuh,hali nimbaya
Jamaa yupo vizuri❤
Kazi mama anaupiga mwingi nchi yenye yenye maendeleo huwa hvy aende dubai kama kuna raia
Ila wanawake
Hongera sana kwa moyo mkuu
😂😂😂😂single mother wengi sana
Yesu tusaidie
Anajitahid mungu ampe maisha malefu
Chifu msengetu uyo anachukua watu kafara weka like apo man
Mungu amubariki
Ila huyu serikali pia inaweza kumchunguza
Hakuna kitu kibaya kwenye jamii kama kuiaminisha mda ote unahela, halloow nihatar siku ukija isha
Zaidi ya Serikali ❤
Yesu wangu tuokoe
Daaah tufanye kazi jamani hii nao heshima kabisa hongela boi
Huwezi kufanya kazi alafu uje ugawe Pesa hivyo !
@@bilid4128leta point yako
@@bilid4128meonaee 😂😂😂
Waoo@@Zuu673
😊😊😊😊😊😊😊😊 ni@@bilid4128
Walio kuwa wakusema chief anaigiza maisha na wao waigize sasa kama chief 😂😂😂mamae
Kwanza hicho kiti alichokalia kama huna D+ Huwez kukielewa😊😊😊
Hayo maneno hapo nyuma ya kiti sasa full ushetani... mfano wa mtu mwenye pembe na pembe tatu hapo. Bado tuna jaa jamani watu tu vipofu kweli kweli....
Yani sehemu yote inanukia tuu ushetani.......last days
Real world i see
Somen maandko mnapotea
Lakn sio huyo tu wapo weng wa mafuta,wa mchanga wa wachaw
Mbona mapema sana imekuwaj kwan
Ongera broo.
Mungu ulie hai fungua hawa watu macho hilo dilo ombi langu
Hakika mtumishi
Yaani umaskini shida sana😂
Kafara
Ktk watu watakao kufa mapema ni kina mama kupenda tu pesa za watu kutafuta zenu aaaah! Yaani ndy mana tukaitwa Hawa nyieeee😂 tutafika mawinguni tumechoka sana
😂😂
Hapo wanawake watatu hua Kila anae kuja mume wake kafa du
Mmmmmmhhhhhhh 😂
Anatimiza masharti.
Ubarikiwe
Chifu Hana baya 😂😅
Safi chief God love
Welcome to the real world
Karibu katika ulimwengu wa kweli
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Njaa ata ukiambiwa kula kinyesi utakula
Tajiir hana baya
Mungu akupe maisha melefu aiseee
Nakubalii mjombaa mnyakyu kama mnyakyu
M MUNGU akuzidishie
Duuuh yamekuwa ayo chief kama utani
Mimwenyewe siamin nishagawai kumponda nikamuita tapeli
Ww jisogeze mbele wakati wenzako wamesha pangwa tayari😂😂😂
Chata za freemason kibao kwenye madhabau
Yani nashindwa hatanisemenini. Juu yamambohaya yakishetani. Kabisa
hawa. Watu. wanasoma. Neno. Kweli
Yeyote aliyepikea msaada wa huyu mtu wako initiated kwa chama chao ...
Huyu kijana ni tishio kwa serikali na wanasiasa
Kwann kaka
Freemason kazini
Mtu anasaidia mbambeza???
Alianza DIAMOND NA AKAJA HAMONIzer kariakoo,,akatoa PESA hicho NAEu gu amlinde
Nakosa hata maneno ya kusema, naona aibu, na udhalili mkubwa kuishi Mjini na Bado ukapigie magoti kijana Kama Huyu kwa Senti mbili za chumvi ni uvivu na kuishi maishi ya kutaka kupewa bila jasho
Sasa hapa si unaweza hata ukawa nanii wakina mama kama hawa ushenzi mtupu hizi ni dalili za umasiki uliokisiri
Jifuzeni kusoma alama zanyakati,alama yamnyama imekuja kwetu,sawa jamani.
Ni kweli
Uje na mwanza
Mungu akupe maisha marefu broo wewe ndomtu wa mana kabisa
Duuh
Huyu ni mke wawatu ndio maana hana mke ye ni chakula .
sanaa baadae wasijekua wanazirudisha
Ili afaidike na nni!!?
Izo nyimbo mliandaa
Toka magetoni
Huyu Jamaal anafanya biashara ya
cryptocurrency pesa za kidigital hizo so vijana tutafute iyo elimu kwa nguvu sana wazungu kutupumbaza sisi wafrica tusizijue wakatuleta ma tik tok instangra porn ma game so hera hafu tumelala nikujisap tu filita kama yote tunafaidisha wao
Wewe nae kitu unachokiongea hukijui hela za KUZIMU hizo hakuna cryptocurrency wala nini
JICHANGANYE SASA😂
❤❤
Eee MUNGU WANGU 💔💔😭😭😭😭 TUOKOE TUOKOE YESUUUU 😭😭💔TUOKOE.
Sio muda nae ataanguka
Aliesema ufakir ni nusu ya ukafir nataman nimjue aliona nn mbona kama kapatia
Hawaja pangwa kweli hawa
Pesa inatolewa kwa mkono wa kushoto masharti ya shetani mabaya haitaki tochi juu ya imani ya huyu jamaa chukueni pesa ila muda mfupi tu mutalia
Huyu mwamba apewe kitengo serikalini
Kuna yule mshkaji yupio Facebook. Anamtukanaga mwamba,, sana
Pesa za majin
Aaaaah mwanangu wew una nyota ya umasikini hadi wa akili
Wtngnyika mtkufa vby kuna ck
Kwani huyu sio yule ambae alie tutu kana sisi masikini? Akatuita takataka?
Sasa freemasons hadharani
Yaan sipati picha du h hatari mmh
😂 welcome to the real world na alama zao kabisa
Kwani ukipika supu hutoki halafu watu bwana pendeni tu vya.kupewa bila kivifanyia kazi malipo yake ni kuzimu yeye anatafuta hela ili aje akupe wewe kiraisi tu thubutu yake mimi natafuta pesa kwq jasho langu hivi unaenda kusududua laki mbili rooooo
Unakumbuka kama pale nyumbani kwake kuna watoto si ulikwenda kuzungumza nae kwanza aje aseme hayo mtawapata wajinga tu ila sio sisi
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Huyu jamaa
Pesa haina adabu kwakwel aisee wamama wanavokimbilia maiki ili watoe shda zao
✊✊
Hawezikuwa tajiri bilionea huyu?
Vitambaa vyeusi na maandishi mekundu...RANGI YA nani? Tuwe na akili...
YESU KRISTO tuepushe na haya
Kwann
Nimeamua kukaa kimya
Chife chife niwezeshe na mm niko mbeya
Kasha wapanga hao teyar wamekula 20 mia 80 wabarudisha😀😀😀
Ata hyo 20 ni pesa pia kuna watu ata 1000 ya kugawa hawana
@@JoyceSamwel-f2s ndo wale wale
sema mwamba sijawahi kumuelewa kabisaa labda huko mbele.......ivi anajishughulisha na nini?
Yule wa kwanza kwa pili kwa nn hakumpa maik
Amezuiliwa kwa sababu alihitaji wanze wenye umri mkubwa
TUTAFUTE ela jaman
Mmh badoo ujanishawishi msaada gan unabagua jinsia apo amna lolote ni ovyoo kbs ushetan mtupu wanaopokea hizo pesa watazilipa kwanamna yyt akun chabure we nanii😂😂😂😂
😂😂
Asante😂😂😂😂🎉
Wenye macho na mtazame..angalieni hapo nyuma iyo nembo ya ki Freemason ikiambatana na maneno WELCOME TO THE REAL WORLD.
Hizi nyakati ni za mwisho.
wajinga nyie tafteni ela na nyie, ukiwa na pesa utaitwa majina yote ayo
Huyu muuza dawa za kulevya China na hata bangi anauza
Uza na wewe kama zinalipa
@NgelejaCharles-ng7bh 😂😂😂😂
Wew ni manikins wa akili
Dajjal
tafuteni hela wajinga nyie