ONA JINSI CHIEF GODLOVE AKIGAWA PESA ZA MTAJI KWA KINAMAMA WENYE HALI NGUMU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
  • Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
    Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
    Na kulike facebook page Bongo trendy online

ความคิดเห็น • 139

  • @AndreyMalisa-qj3ds
    @AndreyMalisa-qj3ds 2 หลายเดือนก่อน +9

    Hivi watu hawaoni kua huyu jamaa anasambaza ushetani wa wazi...
    Umaskini mbayaa sana mungu asaidie 😢😭😭😭😭

    • @janerachel1622
      @janerachel1622 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hawajitambuiii

    • @janerachel1622
      @janerachel1622 2 หลายเดือนก่อน +2

      Huyu kaka hafananii na PESA niuchawi tuu

    • @simondogtrainer7498
      @simondogtrainer7498 2 หลายเดือนก่อน +1

      Watu wangu wanaangamia Kwa kikosa maarifa

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 2 หลายเดือนก่อน +2

      Hiroo Bango tu lilivyoandikwa Mimi hoi jamani hapana Mungu nipe Hela halali

    • @MfiriFulgensi
      @MfiriFulgensi 2 หลายเดือนก่อน

      Tatiz0 sio umaskini kwakuwa umaskini upo tangu enzi za mitume na hawakujidhalilisha hivyo

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter6106 2 หลายเดือนก่อน +4

    Pokeeni tu hizo hela mnabadilishana na watoto wenu siku watakapoanza kufa au kuwa na element za kishetan ndo mtajua aisee

  • @AmosLwasa
    @AmosLwasa 2 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera tajiriii

    • @AllyBabu-kr6lg
      @AllyBabu-kr6lg 2 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅😅

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mama samia ana upiga mwingi mnaiona hy hali

  • @JPTHESWAGGERBOY
    @JPTHESWAGGERBOY 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hongeraa mtetezii wawa watuu munguu akurindee akupee maishaa marefuu

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hautadimu Mungu wa yakobo , Ibrahim,na isaka atakuadhibu vibaya sana

    • @Wairanyamobiletech
      @Wairanyamobiletech 2 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅😅kwakweli mdomo wako mchafu sana

    • @JosephKafipambale
      @JosephKafipambale 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani kakosea nn mbn roho mbaya mwamba

  • @GladysKadii
    @GladysKadii หลายเดือนก่อน

    ati welcome to the real world

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kwel umasikini mbaya unaweza kutokwa na Imani Kwa njaa # njaa zenu semeni nazo jamaa kaja potosha watu*

  • @Hapygideon
    @Hapygideon 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kwenye bango pameandikwa welcome to the real world,,mmmh kama huna d mbili huwezi kielewa,,,huu umasikini utatupeleka kusiko sitahili jamani😢😢😢😢

    • @saleemsuleiman2220
      @saleemsuleiman2220 2 หลายเดือนก่อน

      HAWA NDIO NEW WORLD ORDER SASA SEMA WAMEFICHA TU😂

    • @TussaMbilinyi
      @TussaMbilinyi 2 หลายเดือนก่อน

      Duuuuh,hali nimbaya

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 2 หลายเดือนก่อน

    Jamaa yupo vizuri❤

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul 2 หลายเดือนก่อน

    Kazi mama anaupiga mwingi nchi yenye yenye maendeleo huwa hvy aende dubai kama kuna raia

  • @ChrisantChrisant-q9d
    @ChrisantChrisant-q9d 2 หลายเดือนก่อน +4

    Ila wanawake

  • @mtushindirena2981
    @mtushindirena2981 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana kwa moyo mkuu

  • @FIDESMARENGE
    @FIDESMARENGE 2 หลายเดือนก่อน +5

    😂😂😂😂single mother wengi sana

  • @annaezra2344
    @annaezra2344 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yesu tusaidie

  • @AbuuCholo-q5i
    @AbuuCholo-q5i 2 หลายเดือนก่อน

    Anajitahid mungu ampe maisha malefu

  • @FakiiZuberi
    @FakiiZuberi 3 วันที่ผ่านมา

    Chifu msengetu uyo anachukua watu kafara weka like apo man

  • @JibrilSharifu
    @JibrilSharifu 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu amubariki

  • @IddoMbogo-c2u
    @IddoMbogo-c2u 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ila huyu serikali pia inaweza kumchunguza

  • @alexmaige2638
    @alexmaige2638 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hakuna kitu kibaya kwenye jamii kama kuiaminisha mda ote unahela, halloow nihatar siku ukija isha

  • @gesha4759
    @gesha4759 2 หลายเดือนก่อน +1

    Zaidi ya Serikali ❤

  • @sophiajonas2090
    @sophiajonas2090 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yesu wangu tuokoe

  • @RobertsonNandime-eo9fp
    @RobertsonNandime-eo9fp 2 หลายเดือนก่อน +2

    Daaah tufanye kazi jamani hii nao heshima kabisa hongela boi

    • @bilid4128
      @bilid4128 2 หลายเดือนก่อน +3

      Huwezi kufanya kazi alafu uje ugawe Pesa hivyo !

    • @rehemarajabu3655
      @rehemarajabu3655 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@bilid4128leta point yako

    • @Zuu673
      @Zuu673 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@bilid4128meonaee 😂😂😂

    • @johnnchora3215
      @johnnchora3215 2 หลายเดือนก่อน

      Waoo​@@Zuu673

    • @daudinkwabi8252
      @daudinkwabi8252 2 หลายเดือนก่อน

      😊😊😊😊😊😊😊😊 ni​@@bilid4128

  • @tradamus4158
    @tradamus4158 2 หลายเดือนก่อน +15

    Walio kuwa wakusema chief anaigiza maisha na wao waigize sasa kama chief 😂😂😂mamae

  • @HawaSwaleheh
    @HawaSwaleheh 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kwanza hicho kiti alichokalia kama huna D+ Huwez kukielewa😊😊😊

    • @Elizabeth-em3bp
      @Elizabeth-em3bp 2 หลายเดือนก่อน

      Hayo maneno hapo nyuma ya kiti sasa full ushetani... mfano wa mtu mwenye pembe na pembe tatu hapo. Bado tuna jaa jamani watu tu vipofu kweli kweli....

    • @nicholasmbembe7821
      @nicholasmbembe7821 2 หลายเดือนก่อน

      Yani sehemu yote inanukia tuu ushetani.......last days

    • @nicholasmbembe7821
      @nicholasmbembe7821 2 หลายเดือนก่อน

      Real world i see

  • @emanuelmkama1325
    @emanuelmkama1325 2 หลายเดือนก่อน +2

    Somen maandko mnapotea
    Lakn sio huyo tu wapo weng wa mafuta,wa mchanga wa wachaw

  • @ElinaCedric-m4v
    @ElinaCedric-m4v 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona mapema sana imekuwaj kwan

  • @elinurukitomali6008
    @elinurukitomali6008 2 หลายเดือนก่อน

    Ongera broo.

  • @EstherKubwa
    @EstherKubwa 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu ulie hai fungua hawa watu macho hilo dilo ombi langu

  • @barackamtwange1925
    @barackamtwange1925 2 หลายเดือนก่อน +2

    Yaani umaskini shida sana😂

  • @peterrulagora7403
    @peterrulagora7403 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kafara

  • @NeemaLwoga-s4c
    @NeemaLwoga-s4c 2 หลายเดือนก่อน +4

    Ktk watu watakao kufa mapema ni kina mama kupenda tu pesa za watu kutafuta zenu aaaah! Yaani ndy mana tukaitwa Hawa nyieeee😂 tutafika mawinguni tumechoka sana

    • @RahimaMct-ik8mr
      @RahimaMct-ik8mr 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂

    • @MOHAMMEDMRUMBI
      @MOHAMMEDMRUMBI 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hapo wanawake watatu hua Kila anae kuja mume wake kafa du

    • @ga2revocatus91
      @ga2revocatus91 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mmmmmmhhhhhhh 😂

  • @catherinedonatus9472
    @catherinedonatus9472 2 หลายเดือนก่อน

    Anatimiza masharti.

  • @fundishalabours4971
    @fundishalabours4971 2 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe

  • @FakiiZuberi
    @FakiiZuberi 3 วันที่ผ่านมา

    Chifu Hana baya 😂😅

  • @augustinombuba2503
    @augustinombuba2503 2 หลายเดือนก่อน

    Safi chief God love

  • @challymixTz-lc5pt
    @challymixTz-lc5pt 2 หลายเดือนก่อน

    Welcome to the real world
    Karibu katika ulimwengu wa kweli
    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @EmmanuelMlawa-ee3oq
    @EmmanuelMlawa-ee3oq 2 หลายเดือนก่อน +1

    Njaa ata ukiambiwa kula kinyesi utakula

  • @EmanuelMwamwaja
    @EmanuelMwamwaja 2 หลายเดือนก่อน

    Tajiir hana baya

  • @MasoudKalambo-e1w
    @MasoudKalambo-e1w 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe maisha melefu aiseee

  • @ShukraniMwakyusa
    @ShukraniMwakyusa 2 หลายเดือนก่อน

    Nakubalii mjombaa mnyakyu kama mnyakyu

  • @maryhaule5625
    @maryhaule5625 2 หลายเดือนก่อน

    M MUNGU akuzidishie

  • @PhilomenaSteven-x9h
    @PhilomenaSteven-x9h 2 หลายเดือนก่อน +5

    Duuuh yamekuwa ayo chief kama utani

    • @ndorobocarworks-dx4pf
      @ndorobocarworks-dx4pf 2 หลายเดือนก่อน

      Mimwenyewe siamin nishagawai kumponda nikamuita tapeli

  • @SebastianDaniel-mb4nl
    @SebastianDaniel-mb4nl 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ww jisogeze mbele wakati wenzako wamesha pangwa tayari😂😂😂

  • @K-go1qj
    @K-go1qj 2 หลายเดือนก่อน +1

    Chata za freemason kibao kwenye madhabau

    • @PeterMahona-zd3oz
      @PeterMahona-zd3oz 2 หลายเดือนก่อน

      Yani nashindwa hatanisemenini. Juu yamambohaya yakishetani. Kabisa

    • @PeterMahona-zd3oz
      @PeterMahona-zd3oz 2 หลายเดือนก่อน

      hawa. Watu. wanasoma. Neno. Kweli

  • @hellenkaimenyi
    @hellenkaimenyi 2 หลายเดือนก่อน

    Yeyote aliyepikea msaada wa huyu mtu wako initiated kwa chama chao ...

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu kijana ni tishio kwa serikali na wanasiasa

  • @K-go1qj
    @K-go1qj 2 หลายเดือนก่อน

    Freemason kazini

  • @marymwaya9685
    @marymwaya9685 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mtu anasaidia mbambeza???

  • @janerachel1622
    @janerachel1622 2 หลายเดือนก่อน

    Alianza DIAMOND NA AKAJA HAMONIzer kariakoo,,akatoa PESA hicho NAEu gu amlinde

  • @kivatirokitojo657
    @kivatirokitojo657 2 หลายเดือนก่อน +7

    Nakosa hata maneno ya kusema, naona aibu, na udhalili mkubwa kuishi Mjini na Bado ukapigie magoti kijana Kama Huyu kwa Senti mbili za chumvi ni uvivu na kuishi maishi ya kutaka kupewa bila jasho

    • @JosefuSwai
      @JosefuSwai 2 หลายเดือนก่อน

      Sasa hapa si unaweza hata ukawa nanii wakina mama kama hawa ushenzi mtupu hizi ni dalili za umasiki uliokisiri

  • @bonifacegasper9508
    @bonifacegasper9508 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jifuzeni kusoma alama zanyakati,alama yamnyama imekuja kwetu,sawa jamani.

    • @DeborahAbeli
      @DeborahAbeli 2 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli

  • @AsteriaPastory-y1i
    @AsteriaPastory-y1i 2 หลายเดือนก่อน

    Uje na mwanza

  • @SofiaSofia-qh9wh
    @SofiaSofia-qh9wh 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akupe maisha marefu broo wewe ndomtu wa mana kabisa

  • @alfamfumbejeshi3685
    @alfamfumbejeshi3685 2 หลายเดือนก่อน

    Duuh

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni mke wawatu ndio maana hana mke ye ni chakula .

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 2 หลายเดือนก่อน

    sanaa baadae wasijekua wanazirudisha

    • @stanleymanya438
      @stanleymanya438 2 หลายเดือนก่อน

      Ili afaidike na nni!!?

  • @dstaroficial
    @dstaroficial 2 หลายเดือนก่อน

    Izo nyimbo mliandaa

  • @mbarakasijaona7638
    @mbarakasijaona7638 2 หลายเดือนก่อน

    Toka magetoni

  • @spayoDigital
    @spayoDigital 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu Jamaal anafanya biashara ya
    cryptocurrency pesa za kidigital hizo so vijana tutafute iyo elimu kwa nguvu sana wazungu kutupumbaza sisi wafrica tusizijue wakatuleta ma tik tok instangra porn ma game so hera hafu tumelala nikujisap tu filita kama yote tunafaidisha wao

    • @saleemsuleiman2220
      @saleemsuleiman2220 2 หลายเดือนก่อน +2

      Wewe nae kitu unachokiongea hukijui hela za KUZIMU hizo hakuna cryptocurrency wala nini
      JICHANGANYE SASA😂

  • @meameamusa3394
    @meameamusa3394 2 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤

  • @agathasungura5047
    @agathasungura5047 2 หลายเดือนก่อน +1

    Eee MUNGU WANGU 💔💔😭😭😭😭 TUOKOE TUOKOE YESUUUU 😭😭💔TUOKOE.

  • @EmmanuelNyinyigwa-m1o
    @EmmanuelNyinyigwa-m1o 2 หลายเดือนก่อน

    Sio muda nae ataanguka

  • @dstaroficial
    @dstaroficial 2 หลายเดือนก่อน

    Aliesema ufakir ni nusu ya ukafir nataman nimjue aliona nn mbona kama kapatia

  • @SamiriHassan-dp9kn
    @SamiriHassan-dp9kn 2 หลายเดือนก่อน

    Hawaja pangwa kweli hawa

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv 2 หลายเดือนก่อน

    Pesa inatolewa kwa mkono wa kushoto masharti ya shetani mabaya haitaki tochi juu ya imani ya huyu jamaa chukueni pesa ila muda mfupi tu mutalia

  • @stewartmgallah
    @stewartmgallah 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwamba apewe kitengo serikalini

  • @jamesmpako8408
    @jamesmpako8408 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna yule mshkaji yupio Facebook. Anamtukanaga mwamba,, sana

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pesa za majin

    • @EmmanuelKonda-k8f
      @EmmanuelKonda-k8f 2 หลายเดือนก่อน +1

      Aaaaah mwanangu wew una nyota ya umasikini hadi wa akili

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul 2 หลายเดือนก่อน

    Wtngnyika mtkufa vby kuna ck

  • @KassimMuhamed-n5c
    @KassimMuhamed-n5c 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani huyu sio yule ambae alie tutu kana sisi masikini? Akatuita takataka?

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa freemasons hadharani

    • @JofreyMsigwa
      @JofreyMsigwa 2 หลายเดือนก่อน

      Yaan sipati picha du h hatari mmh

  • @betuelnyandala4018
    @betuelnyandala4018 2 หลายเดือนก่อน

    😂 welcome to the real world na alama zao kabisa

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani ukipika supu hutoki halafu watu bwana pendeni tu vya.kupewa bila kivifanyia kazi malipo yake ni kuzimu yeye anatafuta hela ili aje akupe wewe kiraisi tu thubutu yake mimi natafuta pesa kwq jasho langu hivi unaenda kusududua laki mbili rooooo

  • @mwalimhamad3825
    @mwalimhamad3825 2 หลายเดือนก่อน

    Unakumbuka kama pale nyumbani kwake kuna watoto si ulikwenda kuzungumza nae kwanza aje aseme hayo mtawapata wajinga tu ila sio sisi

  • @nduwimana669
    @nduwimana669 2 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @osumsafi2095
    @osumsafi2095 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa

  • @MohamediKalanje
    @MohamediKalanje 2 หลายเดือนก่อน

    Pesa haina adabu kwakwel aisee wamama wanavokimbilia maiki ili watoe shda zao

  • @KeisiMwasanyika
    @KeisiMwasanyika 2 หลายเดือนก่อน

    ✊✊

  • @reubenmhagama8164
    @reubenmhagama8164 2 หลายเดือนก่อน

    Hawezikuwa tajiri bilionea huyu?

  • @victaeliud948
    @victaeliud948 2 หลายเดือนก่อน

    Vitambaa vyeusi na maandishi mekundu...RANGI YA nani? Tuwe na akili...

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 2 หลายเดือนก่อน +1

    YESU KRISTO tuepushe na haya

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 2 หลายเดือนก่อน

    Nimeamua kukaa kimya

  • @GiftyJackson-k3v
    @GiftyJackson-k3v 2 หลายเดือนก่อน

    Chife chife niwezeshe na mm niko mbeya

  • @SebastianDaniel-mb4nl
    @SebastianDaniel-mb4nl 2 หลายเดือนก่อน

    Kasha wapanga hao teyar wamekula 20 mia 80 wabarudisha😀😀😀

    • @JoyceSamwel-f2s
      @JoyceSamwel-f2s 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ata hyo 20 ni pesa pia kuna watu ata 1000 ya kugawa hawana

    • @SebastianDaniel-mb4nl
      @SebastianDaniel-mb4nl 2 หลายเดือนก่อน

      @@JoyceSamwel-f2s ndo wale wale

  • @lamama.
    @lamama. 2 หลายเดือนก่อน

    sema mwamba sijawahi kumuelewa kabisaa labda huko mbele.......ivi anajishughulisha na nini?

  • @SamiriHassan-dp9kn
    @SamiriHassan-dp9kn 2 หลายเดือนก่อน

    Yule wa kwanza kwa pili kwa nn hakumpa maik

    • @AmaniManase-x1i
      @AmaniManase-x1i 2 หลายเดือนก่อน

      Amezuiliwa kwa sababu alihitaji wanze wenye umri mkubwa

    • @andreadaniel8276
      @andreadaniel8276 2 หลายเดือนก่อน

      TUTAFUTE ela jaman

  • @altojaphet3394
    @altojaphet3394 2 หลายเดือนก่อน

    Mmh badoo ujanishawishi msaada gan unabagua jinsia apo amna lolote ni ovyoo kbs ushetan mtupu wanaopokea hizo pesa watazilipa kwanamna yyt akun chabure we nanii😂😂😂😂

    • @kassiannyamba805
      @kassiannyamba805 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂

    • @HawaSwaleheh
      @HawaSwaleheh 2 หลายเดือนก่อน

      Asante😂😂😂😂🎉

  • @raymondswed7358
    @raymondswed7358 2 หลายเดือนก่อน

    Wenye macho na mtazame..angalieni hapo nyuma iyo nembo ya ki Freemason ikiambatana na maneno WELCOME TO THE REAL WORLD.
    Hizi nyakati ni za mwisho.

  • @besttrendingcovers1838
    @besttrendingcovers1838 2 หลายเดือนก่อน +1

    wajinga nyie tafteni ela na nyie, ukiwa na pesa utaitwa majina yote ayo

  • @Burange666
    @Burange666 2 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu muuza dawa za kulevya China na hata bangi anauza

    • @NgelejaCharles-ng7bh
      @NgelejaCharles-ng7bh 2 หลายเดือนก่อน +1

      Uza na wewe kama zinalipa

    • @kassiannyamba805
      @kassiannyamba805 2 หลายเดือนก่อน

      ​@NgelejaCharles-ng7bh 😂😂😂😂

    • @EmmanuelKonda-k8f
      @EmmanuelKonda-k8f 2 หลายเดือนก่อน +1

      Wew ni manikins wa akili

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dajjal

  • @besttrendingcovers1838
    @besttrendingcovers1838 2 หลายเดือนก่อน +1

    tafuteni hela wajinga nyie