MWANAMKE MJASIRIAMALI ANAYEMILIKI KIWANDA KIDOGO-KIBAHA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ต.ค. 2024
- KWA UFUPI: Mahojiano ya Afisa Habari wa UNIC Dar es Salaam, Stella Vuzo na Mwanamke Mjasiriamali, Bi. Asha Ruta wa Kibaha, ambaye anamiliki kiwanda kidogo cha kutengeneza mafuta ya nazi pamoja na karanga za kusaga.
Kiwanda chake kipo ndani ya eneo analoishi yeye pamoja na familia yake.
Hongera mama
Namie mjasiriamali najifunza sido soon ntakuwa nimewiva
Mashaallah Allah akubariki sana
Ubarikiwe katika biashara yako
Mashallah sido wapo vizuri sana
hi naomba contact zenu plz
how can i learn from sido and I
Mama naomba contact zako
Mashine ya mafuta kutengenezea bei gani
tukihitaji mafuta ya Nazi,tunayapataje
Ongera mama penye nia pana njia Mimi Niko bukoba ni mjasilia Mali naomba tuwasiliane namba yangu ya simu 0754022353