lenga lenga ni uncle wangu ilo jina lilikuja kipindi alikuaga akiuza nyama pori lugufu enzi izo ni marufuku kabisa kuuza nyama pori...ndo wateja wakawa wanamuulizia bile lengalenga mboka 😂😂😂 ila ana roho nzuri sana tena sana kiukweli pamoja na mke wake wana roho nzuri sana kabisa
🤣🤣🤣bado hacha viachaga hivyo tu Father Toka utotoni LUGUFU hadi NYARUGUSU Atariiiiiiii jameni nawapata vizuri nikiwa AMERIKA🤣🤣🤣🇺🇸🛬Tanganyika Tv nipashe
Ndugu yangu Lengalenga umenifurahisha sana tena sana, umenikumbusha Lugufu hadi Nyarugusu, naomba unitafute ili nikuunge mukono, wewe uliza kaka yake ya KILAMBAMAWE atakupa number yangu ili tuwasiliyane. Ni mimi Yanga-Zezo walukichwa anaomba pipi ya............
lenga lenga ni uncle wangu ilo jina lilikuja kipindi alikuaga akiuza nyama pori lugufu enzi izo ni marufuku kabisa kuuza nyama pori...ndo wateja wakawa wanamuulizia bile lengalenga mboka 😂😂😂
ila ana roho nzuri sana tena sana kiukweli pamoja na mke wake wana roho nzuri sana kabisa
Ale amwamwa Shina mónaka bibyo, Nabucwa abele.
🤣🤣🤣bado hacha viachaga hivyo tu Father
Toka utotoni LUGUFU hadi NYARUGUSU Atariiiiiiii jameni nawapata vizuri nikiwa AMERIKA🤣🤣🤣🇺🇸🛬Tanganyika Tv nipashe
Lenga lenga Niatari namuhona huyo mzee tokeaa Lugufu
Kwa jina lengalenga😂😂😂🔥🔥nilikuwa na mkubali sana wakati nilikuwepo nyarugusu camp🔥
Huyu mzee safi kabisa
😂😂😂 good job 🔥🔥
❤️❤️ love it 😊
Wow 🇨🇩🇨🇩😂😂😂 sawa baba iyo ni yako baba😂❤️
Le grand sapeur
Amehongeza mkanda mwingine
😃😃😃Mr.lenga lenga, Big-up sana , 😃😃😃
Nime ipenda saaaana
Fachon man 🔥🔥🔥🔥
Bonne idée
Pwaaaa 👀 🔥 🤣 🤣 🤣
😁😁😂dah na mkumbuka uyu mzee
Hahhahaha na Miranda miwili kwenye kiuno daaah atari bwana lenga lenga huyu
Daaa ndo ssa babaako kudadekii😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😂😂
Nice 👌
Jamani haiko jo ule alituchekesha jana harusini apa USA nawalikuwa namuita Lengalega??
🔥🔥🔥🔥
Lenga lenga hahaha
Ivi unaweza ukanipa namba yako
nzuli sana
ila kapendeza tusemeni ukweli!.
Watamuigaa sasa ivi mzee uyu
Lengalenga
Mitostudioemotv Chanelle tuna furahi ku pata video yenu
Sasaivi watamuiga baba wawatu😀😀
Jamaa ana style yake pekee
Hahahahahahaha
Ni mwanamke labda
Hhhhhhhh lenga lenga
Wa wapi huyu nae anatuletea vituko tu.
😂😂
🔥🔥🤣🤣😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣
To be continued
Ndugu yangu Lengalenga umenifurahisha sana tena sana, umenikumbusha Lugufu hadi Nyarugusu, naomba unitafute ili nikuunge mukono, wewe uliza kaka yake ya KILAMBAMAWE atakupa number yangu ili tuwasiliyane. Ni mimi Yanga-Zezo walukichwa anaomba pipi ya............
Byondo kwasasa ukowapi?
Anafanana kama MAU FUNDI hadi kuongea
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uta kuta angali naishi kwa bazazi yake
😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣