Mwalimu Yanga , how can i add kwa hii zawadi ya Aucho. The best midfielder for the last 3 seasons. Jamani i want to also add on this maana kwa kweli he has been the best . Tuzo ya mashabiki
Dah hii nimeipenda sana aisee hongereni woooote wana Yanga waliojitolea zawadi hii pongezi kwenu msimu ujao mwingine pia kwa nchango wake kwenye timu🙏🤝👍👏👏👏👏
Ninefurahi san hiu nikitu kikubwa sana maan khalid alitubeba sana wengne kwa tamaa zao walitukimbia kwa kujua tutadhalilika asante sana dr kharid aucho wananchi tunakupenda sana
MUNGU ni mwema hongera Sana wanachama na mashabiki wa Yanga MWENYEZI MUNGU awazidishie muendelee kua na huo moyo kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Wewe RashidSaid, una wivu sana watu kumpa zawadi Aucho. Kama una huruma, hii hela ulito nunulia vocha kuwajibu watu walio mpa zawadi Aucho, unge nunu hata panado kisha upeleke hospital wapewe wagonjwa ungekuwa umefanya jambo la maana Sana. Kila jambo lina ratiba zake. Juzi mikoa mbalimbali yanga walitoa misaada mahospitalini, mbona Hilo hulisifu? Wewe ni kati ya wale wanao ona mabaya na kuyasema, lakini mazuri hawayasifu. Kuwa na moyo wa shukran. Badirika
Manara apunguze sifaaa,, mambo ya kuingia ingia na wanawake anatukwazaa aaache uzwazwa wakee na ukolo wake. Me silipend hilo baba aiseeeh bora angeendee kufungiwa
@@deven.oauditx7547 Yaaan Ali kamwe yupo smart sana kwanza angalia jinsi anavyojiweka karibu na mashabiki pamoja na wachezaj yaan yupo vizuri kwa kweli huyo baba na mdomo wake mchafu hatumtak
Wewe ni mtu wa mpira Sana .... Kwenye soccer wewe ni mtu wa maana sanaa , umeona kitu Cha msingi Aziz Andambwile sio center back ni typical mildifielder..... Kuna Mwamba 😂😂 pale Singida Rasta man anaitwa Lauren Omar Makame ni mtu wa kazi ni bacca mtupu
Pongezi nyingi sana mno Wananchi wenzangu kwa jambo ADHIM hakika mmeonesha UPENDO/MAHABA mazito kwa kjn wetu Dr.Khalid Aucho nina imani limeweka HISTORIA ktk maisha yake ya soka,Hakuna uddugu popote zaidi ya YANGA,nimewapenda/nawapenda/nitawapenda DAIMA,Wananchiiiiiiiiiiii ALUTA CONTINUA !!!
Hongereni kwa siku ya wananchi ila kwa sasa makolo au sanda FC wanatusema tu eti timu yetu mbovu ni ya wazee tumebebwa na refa ndio furaha yao Leo dah ila naimani na viongozi wetu na benchi la hufundi hawatotuangusha ngao ya jamii Wacha madunduka yaendelee kujiamini kuwa timu yetu mbovu na Haina speed,na ni ya wazee ila sisi ni pipo
Asanteni sana wanachama yanga.hii ni historia kumbwa sana.sisi ndo yangaaaa.hongera sana aucho bado tunakuhitaji sanaaaa
Hongera sana wanayanga Kwa upendo huo mkubwa. Dr. Aucho anastahili sana . Thank you Dr. Aucho . We are proud of you and other players. You deceive it.
Not deceive andika deserved
👏👏👏👏YANGA oyeee!!! Mashabiki wenye upendo. Ahsante Mwalimu Yanga
BRAVO khalid Aucho we love you
Mwalimu Yanga Mungu Wetu Akulinde,Amen 🙏🙏🙏
Kwakwweli nijambo jema mungu awabaliki nyote mliotoa inapendeza nakutia amasa kwa wachezaji wengine kufanya vizuri 🧡💛🧡💚
Mwalimu Yanga , how can i add kwa hii zawadi ya Aucho. The best midfielder for the last 3 seasons. Jamani i want to also add on this maana kwa kweli he has been the best . Tuzo ya mashabiki
Nice comment
Aucho alistahili, pongezi kwake na wananchi wote kwa kuona umuhimu wake,tunamuomba MUNGU aendelee kumpigania 🙏
I appreciate and ❤ for the award for Dr.Khalid Aucho
Mudathir ndo man of the match 👏 🙌👊💪💛💚
Hapana ni goli keeper wa red arrows
Vyema Aucho kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Hongereni timu yangu yanga kwa upendo wenu kwa doktor aucho mungu. Awabarik
Dah hii nimeipenda sana aisee hongereni woooote wana Yanga waliojitolea zawadi hii pongezi kwenu msimu ujao mwingine pia kwa nchango wake kwenye timu🙏🤝👍👏👏👏👏
Mwalimu yanga big up sana. Mmetenda jambo la heshima sana.
I once said and repeat again Aucho better nyekundu than kuumia
This is incredible.....you have done marvelous
Pongezi kwa Mudathir kwa mchezo mzuri🎉🎉🎉MUNGU aendelee kukulinda🙏
Tears on my eyes for aucho u r the man n 1/2. Really.
Kiukweli mmefanya kitu kikubwa sana kwa aucho
Sijakosea kuchagua hii team wallah hadi vimachozi vimenitoka hongereni wote mliomkumbuka engine yetu Khalid Aucho
Bg up makamanda wetu❤❤❤
Ule mgoli wa kideo🙌🙌 muda one 🔥
Mashabiki hongera😘😘😘😘😘😘 kwa zawadi ya Auchu
Ninefurahi san hiu nikitu kikubwa sana maan khalid alitubeba sana wengne kwa tamaa zao walitukimbia kwa kujua tutadhalilika asante sana dr kharid aucho wananchi tunakupenda sana
Mungu amsaidie aucho
Mzamzibar anajuwa mpira huyu jamani. Nyie kwani hamuogopi😂
Timu ya wananchi 🎉🎉🎉❤❤❤ timu kubwa
👏👏👏👏👏👏👏💪💪💪💪💪🤣🤣🤣🤣 Nafurahia Kuona Hata Mimi Mchango Wangu Nilioutoa Kwa Mwalimu Haujapotea, Hongera Sana Kijana Wangu Mwalimu,🙏🙏🙏💪💪
Mpaka nimetokwa machozi aisee
Hongera Sana Mwalim na Timu Yako hii ilitakiwa itolewe pale Uwanjani ikawe fundisho Kwa TFF
Mwl pig up sana,Gamond 🙌🏽
Muda tunae na tunatambanae❤❤❤
Kama si Derby cku 3 mbele wangechapwa ❤❤❤
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
MUNGU ni mwema hongera Sana wanachama na mashabiki wa Yanga MWENYEZI MUNGU awazidishie muendelee kua na huo moyo kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Hongera mudathir
Very nice aucho 🎉🎉
Mungu awabariki mmefanya jambo jema kbx
Vnawaoenda mungu awalindeee jmn
Safi sana MWALIMU kiukweli mumetuheshimisha hata tusio changia🤝🤝
Tulitegemea cm kuita💚💛💚
Big up sana nakubali sana show yako
Hongera upo vzr sn mungu yupo na ww
Congrats Dr of Football 💪🏼
Najivunia Kwa nilichokitoa kimamfikia mlengwa 💚💚💚💚
Mwalimuuu🎉🎉🎉🎉🎉kitu kizuri sana
Mashabiki wa Yanga SC ndio kivutio cha kwanza cha wachezaji kuja kucheza Yanga SC "Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiii......."
Nimefurabi saan kwa auchooo
That'is absolutely love for yanga funs,they show Aucho ,
Mm ni simba lkn tunajivunia sana zanzibar finest wetu zanzibar ball nature❤🎉
Uhakika
Ustadh, Shkh, Doctor Aucho
Ila AUCHO noma sanaaa 😂😂kapongezwa lakn kakataa ety "sio sana"
Litimu likubwa 😅😅😅
Me wakwanza naombeni like zangu
💚💚💚💛💛💛 My team kila kheir
Kwer mwalimu ni muaminifu amefikisha sa lama micha ngo yetu🎉
Young Africa find way to win Africa champion not only to destroy simba fight for Africa
Wewe RashidSaid, una wivu sana watu kumpa zawadi Aucho. Kama una huruma, hii hela ulito nunulia vocha kuwajibu watu walio mpa zawadi Aucho, unge nunu hata panado kisha upeleke hospital wapewe wagonjwa ungekuwa umefanya jambo la maana Sana. Kila jambo lina ratiba zake. Juzi mikoa mbalimbali yanga walitoa misaada mahospitalini, mbona Hilo hulisifu? Wewe ni kati ya wale wanao ona mabaya na kuyasema, lakini mazuri hawayasifu. Kuwa na moyo wa shukran. Badirika
Wananchiiiiiiii
Manara apunguze sifaaa,, mambo ya kuingia ingia na wanawake anatukwazaa aaache uzwazwa wakee na ukolo wake. Me silipend hilo baba aiseeeh bora angeendee kufungiwa
Pole Mwajay yule jamaa ni limbukeni na sijui kwa nini viongozi wa Yanga wanamuendekeza. Ally Kamwe ametosha ile nafasi.
@@deven.oauditx7547 Yaaan Ali kamwe yupo smart sana kwanza angalia jinsi anavyojiweka karibu na mashabiki pamoja na wachezaj yaan yupo vizuri kwa kweli huyo baba na mdomo wake mchafu hatumtak
Mudathir
Aucho love you
Mzenji asie na papala❤❤❤
Aucho kiungo bora muda wote
Mubarikiwe Sanaa mumefikiria kitu kikubwa sana
Mubasharaaaaaa
YANGA TAMU SANA I WISH TO DO SOMETHING
All the best Aucho we appreciate you 🔰🔰💪
. Nyie hamuogop¿ 💚💛🖤🤲✌️
Niceeee
Ubaya umbege 😂😂
Dah!nimependa Sana hongereni wanachama wa yangu kwa mlicho kifanya kwa aucho
Mudathiri mwamba kubali sana
Hongera wananchiiiiiii ✅🔰💚💛🖤🖤💛💚
Yanga💚💚 injinia tunaomba utuongezee beki wa kati Moja big up sana
Wewe ni mtu wa mpira Sana .... Kwenye soccer wewe ni mtu wa maana sanaa , umeona kitu Cha msingi
Aziz Andambwile sio center back ni typical mildifielder..... Kuna Mwamba 😂😂 pale Singida Rasta man anaitwa Lauren Omar Makame ni mtu wa kazi ni bacca mtupu
@@mwanangusanana mbona kulikuwa tetesi za usajili wa hyu mtu
Ndio Cha msingi
Watusajirie jaman
This is love jamn uuuh
Hongereni wananchi inazidi kumpa moyo aucho
Dr Aucho ulicho pata sio haba ila upendo tunau kupo ni mkubwa sanaaaa chukua hiyo Babu kubwa💪💛💚🙏
💚💛💚💛💛💚💛
Dockta la boll jifunze kiswahili wewe ni monster hunter
Sherehe imeisha ya team kubwa, nchini imetulia Kelele pyeeeeeh 🔰🔰💪
Baleke kila kitu yanga anakiona kipya 😂
noma sana noma sana❤🔥❤🔥
Hongereni nyote mliotoa kwa moyo.
Saw yanga day iliKuW nzuri lkn mimi ombi langu jaribuni kufupish muda man kun watu waliingia mapem sana lifikrieni hili msimu ujao 🙏👍🤕
Kitu kikubwa sana🎉🎉🎉❤
Hii ni zaid ya upendo kwa Khalid Aucho doctor The Tank
asanteni sanaashabiki wa yanga
Pongezi nyingi sana mno Wananchi wenzangu kwa jambo ADHIM hakika mmeonesha UPENDO/MAHABA mazito kwa kjn wetu Dr.Khalid Aucho nina imani limeweka HISTORIA ktk maisha yake ya soka,Hakuna uddugu popote zaidi ya YANGA,nimewapenda/nawapenda/nitawapenda DAIMA,Wananchiiiiiiiiiiii ALUTA CONTINUA !!!
Kubwa sana hii
Yanga hii tutapata raha sana
Kilarahel Yanga Africa
❤❤❤❤❤❤
Safi
Elewa neno "Litimu likubwa"
Love yanga
Mzee saidi alisema 😂😂😂anamuwaza sanaaa 😂😂😂anacheza rafuu
Lile goli ni tamu sanaaa
Elewa neno litimu likubwa😅😅 Mudaa
Hongereni kwa siku ya wananchi ila kwa sasa makolo au sanda FC wanatusema tu eti timu yetu mbovu ni ya wazee tumebebwa na refa ndio furaha yao Leo dah ila naimani na viongozi wetu na benchi la hufundi hawatotuangusha ngao ya jamii Wacha madunduka yaendelee kujiamini kuwa timu yetu mbovu na Haina speed,na ni ya wazee ila sisi ni pipo
Hii imeenda. Argentina anakutana na Ufaransa katika Kombe la Euro?
Wow