Rushwa tunakula na kazi tunafanya, raisi wa Tanzania pekee ndio hutaja nchi jirani kwa hotuba yake, tena hutaja kwa uhasidi, sijasikia Uganda, Sudan wala Ethiopia na Somalia imetaja Kenya, aibu, raisi mzima wa Tanzania kukiwa na blackout Kenya ashajua, ni lini atafocus kuendesha nchi yake, huu ni uhasidi, hakuna siku rais wa Kenya ametaja Tanzania mahali, why should they in the first place??? Because Tanzania is no match, hata football za wanawake tunawafunga, bei ya mafuta kupanda, raisi wenu vitisho, "tumepata wawekezaji kutoka Kenya" sawa, je saa hii , pesa yenu umefizidi thamani kwa pesa ya Kenya? Nyinyi ishini life yenu, we not competing guys, munajitesa bure, unafukuza mtu mwenye anatembea na hajali, sgr ya stima mutaongea Karne nzima, sisi ofisi za UN kuletwa Nairobi hata hatujali, wacheni uswahili ndugu, na ulimbukeni, everything is a big deal to you , nkt... compare yourselves with Burkina Faso not Kenya, we are top three na hatujali
Am a script writer from Kenya , which of the best Tanzanias programs you know which zinaandikwa na Tanzanians? After Huba coming soon is another hot one, I will give you the tittle
Nimependa distance watakayoiacha kati ya uwanja na ambako mashabiki watakaa mashabiki watakuwa karibu na uwanja watamuona mchezaji vizuri sio Benjamin Mkapa uwanja upo hukooo
Hamna hela iyo ya kujenga huo uwanja ,, Ivory coast wameingia kwenye madeni makubwa kwa ajili ya viwanja vilivyotumika kwenye Afcon ,, so acheni sifa jengeni kulingana na uwezo wenu ....
Chakula tu kinawashinda mtatuweza sisi wenzenu tuna mkapa stadium tayari pamoja na amani Zanzibar pia kuna vya almashauri vitatu vinajengwa pamoja na big stadium tatu zinajengwa Arusha Dodoma na Zanzibar kimoja sijui mtatupatia wapi hizo fly over Dar Arusha Dodoma Mbeya Mwanza na Zanzibar zinajegwa nane nane kwenye hiyo miji na Tz ya leo sio ile mlioizoea poleni wajaruo magufuli aliazisha miradi mingi mikubwa mama Samia anaimalizia tu soon mtajionea wenyewe na udaku wenu wa kuifatilia Tz 😂😂
@@MeddyClevernan aliwaambia huu uwanja n dola milioni mia moja .Unapita na mkapa uwanja old fashioned Kama kasarani kwanza kasa unaenda kuupita baada ya renovations
Sasa uwanja mkubwa na utakuwa mzuri hivo alaf unaitwa TALANTA SPORTS STADIUM. Jina la hovyo kbsa kuwah kutokea. 😂😂😂. Tafuteni Jina mzuri kupea kiwanja chenu mazee.
So someone buys a 3D Stadium model, puts a shield ontop n that makes it Kenyan.😂😂If I know my country folks well, this project will not suffice...let alone with the deadline at hand. The games will just be moved to Ulinzi Stadium n some paintjob at Kasarani n call it a day.
Hongereni Saaana majirani, Kwa kifupi huo uwanja uko kwenye jumuiya yetu pia, Mungu ibariki Kenya , Mungu bariki Afrika mashariki
Uwanja wai ni mzuri sana Kenya hongereni
Nice pic proudly to this stadium so beau tiful only the one in Africa from Senegal ❤️❤️❤️❤️
Hongera kwa majirani, kwenye maendeleo tupo pamoja pia kwenye kutaniana ni jadi yetu
Congrats Kenya Majirani.
Wanajeshi watafanya kazi mzuri..kazi imeanza
Thanks brother's zetu from Tanzania we love you guys bt pia bado kuna stadium nyingine inafaa ijengwe Mombasa majaliwa.
Wakenya we are happy ❤❤❤❤
Hongereni majirani jitahidini ukamilike kama ulivyokusudiwa watu wasile rushwa.
What are you trying to insinuate ?
Rushwa tunakula na kazi tunafanya, raisi wa Tanzania pekee ndio hutaja nchi jirani kwa hotuba yake, tena hutaja kwa uhasidi, sijasikia Uganda, Sudan wala Ethiopia na Somalia imetaja Kenya, aibu, raisi mzima wa Tanzania kukiwa na blackout Kenya ashajua, ni lini atafocus kuendesha nchi yake, huu ni uhasidi, hakuna siku rais wa Kenya ametaja Tanzania mahali, why should they in the first place??? Because Tanzania is no match, hata football za wanawake tunawafunga, bei ya mafuta kupanda, raisi wenu vitisho, "tumepata wawekezaji kutoka Kenya" sawa, je saa hii , pesa yenu umefizidi thamani kwa pesa ya Kenya? Nyinyi ishini life yenu, we not competing guys, munajitesa bure, unafukuza mtu mwenye anatembea na hajali, sgr ya stima mutaongea Karne nzima, sisi ofisi za UN kuletwa Nairobi hata hatujali, wacheni uswahili ndugu, na ulimbukeni, everything is a big deal to you , nkt... compare yourselves with Burkina Faso not Kenya, we are top three na hatujali
Am a script writer from Kenya , which of the best Tanzanias programs you know which zinaandikwa na Tanzanians? After Huba coming soon is another hot one, I will give you the tittle
Rushwa lazim italiwa humu, hivyo ndivyo viongozi kote duniani walivyo. Hata China na Marekani rushwa huliwa kwa wingi sana.
Ase kazi ipo hili nalo bado watu wanatukana wakati ni kuhusu kiwanja mmmm🙌🙌🙌
Nimependa distance watakayoiacha kati ya uwanja na ambako mashabiki watakaa mashabiki watakuwa karibu na uwanja watamuona mchezaji vizuri sio Benjamin Mkapa uwanja upo hukooo
AFCON final itafanyika hapo
tushikane mikono twende mbele ndugu zetu
Kama mkenya nmefurahi kuskia hii habari
Contract ya Mwarabu naacha hivi naenda Kenya kufanya kazi na wajenzi ntakua hapo lazima niomoke na hii project
HHH NDIOOO_🤦🏿♀️
Wakaribishwa kaka hatuna unafki njoo uwe miongoni mwa watu watakao kuwa kwenye mradi wa ki historia, it's been long yrs
Naomba kudeclare kwamba" uwanja ambao utakuw mzur mno na wenye kuvutia kwa design ni Samia Suluhu ktk Afrika mashariki..wengin mtafuata
Pongezi kwa jiran Kenya
Mwenye wivu ajinyonge tayari..
Kuna mwengine inasemekana utajengwa mombasa
Wa Mombasa nitofauti
Hamna hela iyo ya kujenga huo uwanja ,, Ivory coast wameingia kwenye madeni makubwa kwa ajili ya viwanja vilivyotumika kwenye Afcon ,, so acheni sifa jengeni kulingana na uwezo wenu ....
Wacha wivu ujenzi ushaanza
Kama bado mna mawazo hamuwezi sisi twaweza maana ushuru uliongezwa na mapato ya taifa yameongezeka
Sasa wewe mtanzania unapata wapi nguvu ya kupambaa na kenya kihela hii si aibu jamani
Kasikie wivu na bado upon mwingine Mombasa utazinduliwa hivi karibuni mjinyonge
Kasikie wivu na bado upon mwingine Mombasa utazinduliwa hivi karibuni mjinyonge
❤❤
michuano ya kwanza ni kati ya KENYA na TANZANIA iwe ni ya mingumi ama mpira na kama kawaida Tanzania hawatuwezi...🇰🇪
Kwenye mpira mkajifunze kwanza
Maybe corruption mwatushinda Tena sanaaa 😂😂😂😂
@@umojamedia4167mlichapa kenya mwisho lini?
@@KELVINSOSPETERhata mpira huwa hamuwezi kutupiga
Chakula tu kinawashinda mtatuweza sisi wenzenu tuna mkapa stadium tayari pamoja na amani Zanzibar pia kuna vya almashauri vitatu vinajengwa pamoja na big stadium tatu zinajengwa Arusha Dodoma na Zanzibar kimoja sijui mtatupatia wapi hizo fly over Dar Arusha Dodoma Mbeya Mwanza na Zanzibar zinajegwa nane nane kwenye hiyo miji na Tz ya leo sio ile mlioizoea poleni wajaruo magufuli aliazisha miradi mingi mikubwa mama Samia anaimalizia tu soon mtajionea wenyewe na udaku wenu wa kuifatilia Tz 😂😂
Wakijenga huu uwanja nimekaa paleeeee
Mniite mbwa
Mbwa
Hivo ndivyo tulijenga Thika super highway, Nairobi Expressway,SGR nyinyi mkiwa mumelala mki wish hatuwezi.Tuna endelea nyinyi mkizidi na kinyongo.Huu uwanja mkandarasi ni mchina waki shirikana na jeshi.Weka macho na uzidi kusikia uwivu.
Kawaida ya watanzania mdomo mwingi na upuzi kwa vichwa zao no wonder nakuita mbwa maana uwanja uko almost kuisha. Stupid.
Kazi imeanza tayari
😂😂😂
Sisi kama wakenya tuna furaha sana na nafkiri huu uwanja utakua uwanja Bora na wakipekee kwa East Africa
Bongo 😊😊😊machawa tu
Sawa na amani comlex tu
Mama afanye jambo basi jamani.
Nisikie mtu akifananisha kenya na Uganda na Tanzania, nkt!!!!
Rwanda is next level! The Amahoro Stadium is the 1st and none comes second!💯🍾
Hui uwongo tu kenya tu sizani
Rudi shule ukasome
Tafuta mkeo umdaganye...picha ya Bernabeu alafu mwabandika ngao za kenya😏
Chuki ya Nn jirani uwanja tayari unajengwa
Ukaskie vibaa huko kawaida Kenya ni baba yenu economically
Subiri utaona kwenye runinga ukajinyonge
Nasisi tunajenga bana hawatuzidi pesa hawa
Hata mukitaka
Nyinyi wa kina nani😅😅😅😅 unajua dollar millioni mia ww hizo ni matrilluoni huko kwenu😅😅😅😅
@@theeKK101kama ni matrillion mbona tuliweza jenga wa Benjamini Mkapa, ndio mjue sisi tunahela kuliko nyie
@@theeKK101$100 million equal to 235 billion Tz money, hiyo ni pesa tukijenga Mkapa stadium 2007.
@@MeddyClevernan aliwaambia huu uwanja n dola milioni mia moja .Unapita na mkapa uwanja old fashioned Kama kasarani kwanza kasa unaenda kuupita baada ya renovations
Sasa uwanja mkubwa na utakuwa mzuri hivo alaf unaitwa TALANTA SPORTS STADIUM. Jina la hovyo kbsa kuwah kutokea. 😂😂😂. Tafuteni Jina mzuri kupea kiwanja chenu mazee.
Ujui kizingu😊
Haikuhusu ya kenya fanya lenu😂😂😂
@@sponsor7882 kabsaaa😂
@@sponsor7882et kizungu kwan nyie mmeolewa na wazungu?
@@seneu.2128 jina lako lenyewe ni Seneu, jina la hovyo kbsa, so sishangai ukitetea. Mi ngedere, wew ni Nyani mkubwa A.K.A seneu.😂
Let us wait for corrupting neighbors if they shall accomplish that project 😂😂😂😂
😮the project is under Kenya Defense Forces who condone nothing and Chinese contractors so your expectations are already dead
Jealousy
Tushaa wajuwa nyinyi.. sisi twaipea sifa TZ na nyinyi kazi yenu ni wivu kutuchukia.. Mnaboo..
Kizungu huwezi achana nalo, huwezi Tunga a simple sentence correctly dum head
@@francisakatsa3178 so what if I can't construct a simple sentence... message sent and delivered....we wa Kijiji Gani ujui hata ngeli 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂🙌🤣🤣🤣🤗
C dola milion 100😂😂😂eeeh
Hivi Kenya wanacheza football? 😂😂
Hapana tutakimbia ju tumezoea marathon. Anyway bado hii uwanja iko kenya hata ka hatujui kuitumia
Uongo mtupu, uwanja Kenya ujengwa kila mwaka
Kamati ya roho chafu 😂😂😂
@@hassansela1393umeonaa ehh roho chafu,SnS anasante kwa habari hizi❤
Wivu
Wivu mbwaaaa😂😂
Lazima vijengwe kwa ajili ya afcon wewe pimbi
So someone buys a 3D Stadium model, puts a shield ontop n that makes it Kenyan.😂😂If I know my country folks well, this project will not suffice...let alone with the deadline at hand. The games will just be moved to Ulinzi Stadium n some paintjob at Kasarani n call it a day.