Worship Atmosphere - Neema Yako (Official Music Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ส.ค. 2024
- Tuna historia ndefu sana pamoja na Mungu.Tume ya pitia mengi, mara furaha mara kilio mara kukosewa lakini katika yale yote neema ya Mungu haiku tupungukia, na kama tumefika hapa ni sababu Baba alitu hurumia
Boomplay : www.boomplay.c...
Spotify:open.spotify.c...
Apple Music: / anaweza
Deezer:www.deezer.com...
Amazon Music: music.amazon.c...
.#PatrickKubuya#NeemaYako#OfficialVideo.Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital
Kenyans let's all pass through here with a like🇰🇪🇰🇪
Eeeh! Jamani! Mbingu zinajivunia kijana huyu jamani . Kubuya, Mungu akuinue viwango zaidi ya hivi
Sijui mbona nalia na sijamaliza kuiskiza😭😭😭😭kwa hakika neema yake yanitosha🙏🙏..if you listen to both Yesu Mwamba wangu and this for sure the Holy spirit will guide you into a hours prayer🙏thank you
4
😭😭😭😭 Neema yatosha
Neema ya Bwana ni kubwaa mnoo
🎉🎉😂
Apa nimefika sikwa nguvu zangu ,Nimeona mkono wakoo chote ninacho sio akili zangu nimeishi upendo wako.Umejifunua kuwa yote kwangu , bila wewe mimi si kitu, hata nipate , hata nikose Neema yako yanitoshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
AMEN . AMEN
Neema Yako 🙏🙌 Moja Kwa Moja Bwejuu Zanzibar Tanzania 🇹🇿
Qq
Neema Yako yatosha kabisa Asante sana Patric wimbo wako unanibariki mno
Thanks Lord for mavalus gospel song
Kwahan pia🖐️
Chochote ninacho si akili zangu,nimeishi upendo wako😢❤🇰🇪🇰🇪
The love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Eeh bwana wanitosha, wewe ni msaada wangu wa kila wakati na kimbilio
From Kenya with love;
Philippians 4:11
Not that I speak in regard to need;
For I have learned in whatever state I am to be content.
I know how to be abased and how to abound.Everywhere and in all things I have learned both to be full and to be hungry,
Both to abound and to suffer need.
🙏 Amen
Amen
Hallelujah
'hata nipate hata nikose neema yako yanitosha'.....
Nyimbo zako zanibariki sana🙏🙏....love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Today when my friends and I were about to give He showed up. We didn't get there by our own but by His power
amen
Mubarikiwe
Ni wewe tuu Bwana Yesu unatutosheleza🙌🙌🙌🇰🇪
Moyo wangu wakusifu bwana
Sauti na ujumbe Zimebeba nguvu ya Mungu , Neema yako yanitosha haijalishi napitia wakati gani, hata kama ahadi hazijatimia bado najua Neema yako inanitosha
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Neema yako Bwana yanitosha.eeh Bwana kimbilio langu.umenitosha Bwana
Yesu neema yako yanitosha Baba
Nyimbo zako zanibariki AIS na zanifanya niendelee kusimama mbele za bwanaa ubarikiweee sanaaa Mungu aendelee kukufunulia uwatie nguvu watumishiiii wakee maana najua walokata tamaaa ni wengi sanaaa Mungu aendelee kukutia nguvu ubarikiweeee sanaaaa❤❤❤
Hakuna gumu kwa mwenyezi mungu..neema yake inatosha
Hapo nimefika sio kwa nguvu zangu
Nimeona mkono wako
Chote ninacho sio akili zangu
Nimeishi upendo wako
Umejifunua kuwa yote kwangu
Bila wewe Mimi sio kitu
Hata nipate hata niko neema yako yanitosha
God your grace is sufficient
Sifa kwa Mungu
Apo nimefika sikwa nguvu zangu ,Nimeona mukono wakoo
Oooh Yesu neema Yako Yanitosha
Oooh Yesu neema Yako Yanitosha
Mungu aku bariki milele na milele Muzazi wangu je t'aime énormement mon papa😭😭😭
Ni neema yako imenisimamisha yesu. 😭😭😭
Ooh Yesu Neema Yako Yanitosha Baba 🙌🙌 mbarikiwe Watumishi wa Mungu kwa Wimbo mzuri umebeba ujumbe mzuri sana 🙏🙏
This song blesses me in inexplicable ways 🙏🏾 with ❤ from Kenya 🇰🇪
Such a powerful song
Eeeee! Bwana ahsante kwa neema hii
Hallelujah! Neema yake baba yanitosha🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Keep it up bro remember coming to kenya 🇰🇪 too we love you.
Hapo nimefika sii kwa nguvu zangu nimeona mkono wako,Patrick MUNGU AKUINUWE SANA
Representing +254..to the fullest. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Kenya is blessed by your worship songs. May our good Lord continue working with you in your songs
I9oiiioop0
Iaiiiooiii. 9
Ii CJ nñm
Ii CJ nñm
Amen Amen , mungu a wa bariki
Amen nabarikiwa sana na huduma yako mtumish wa Mungu
🙏🙏🙏👏👏👏👏👏Blessi
Neema zako zinanitosha eee bwana 🙏
Beautiful worship!! Neema yako inanitosha!
Only you Lord ❤️❤️❤️ oooh yeeees, thank you Jesus for your crucifixion, i love you Jesus forever 🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
1/12/2022 by the grace of God i gave birth to my baby boy,when all odds were against me. I can only say Yesu neema yako yanitosha, ahadi zako zote ulinitimizia.
Asante YESU ni Wewe tu. Nimebaeikiwa na huu wimbo.
Neema yako yanitosha Yesu wangu
Hakika Mungu wewe ni yote kwangu.bila wewe na wwokovu ulionipa kwa neema sijui ningekuwa wapi leo.asante Mungu neema yako yanitosha
Yet another one🌠🌠♥♥the lines of this worship🌟🌟. God bless this ministry❤
Amen. Ta grâce me suffit Seigneur.
Getting blessed from state of qatar 🇶🇦 🙏. This man is a true blessings and heavenly sent 🙏.
Wooooow, wooooow,wooooow,wooooow,wooooow,can get enough of this
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 huu ni ushuhuda wangu
Amen moyo wangu usikae kimya
Moyo wangu msifu mungu
Thank you Jesus this far is by your grace.Neema yatosha
Ni wewe Jesus wow wow beautiful much blessed 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Neema yako Yesu yanitosha.
Ahsante Yesu kwa kazi nzuri ya mtumishi wako huyu....
Hata ni pate, hata ni kose NEEMA YAKO YANI TOSHA💥💥💥
Yesu neema yako yanitosha weeewe yesu ni yote kwangu
The song is a blessing 🙌🏽
Ni wewe Bwana .....thanks you God for your grace is sufficient
Utafuteni uso wa Bwana .....kwa kweli neema yake yatosha milele❤❤❤❤❤❤
Nice worship song🙏🙏🙏🙏 watching gracefully from 🇰🇪🇰🇪tumaini letu ni wewe bwana
WIMBO MWINGINE TENA!!!!.....UMEJAA NGUVU NDANI YAKE....NEEMA YAKE YATUTOSHA.
Bila wewe Baba,mimi si kitu ....you doing a great job.
Nabarikiwa sana na nyimbo zako mtumishi wa Mungu, nazisikiliza mara kwa mara na sichoki zina upako sana. Nipo Tanzania Arusha
Wow❤❤❤ it's already on replay mood👐👐👐
Napenda huu wimbo ,unanibariki sana
Baba neema yako inanitosha wakati kama huu
ni wewe wewe Yesu tumaini langu, unani tosha kwa yote
Kweli Neema ya Yesu ya nitosha Asantee Mungu akubariki sana
Moyo wangu usinyamaze kimwa mbele wa huyu mungu anayeishi milele.
I like that
Coming to Tanzania soon for this worship experience!!!
Grace of the lord is sufficient
On repeat 😇
Jehova Rapha Jehova rohe amen
Frère Patrick,Je suis vraiment béni en écoutant la chanson, j'espère que vous reviendrez au Kenya
We ni yote kwangu Yesu 🙏
God Blesses you so much vraiment nabarikiwa sana naiyi nyimbo yako,
, vous êtes une bénédiction pour plusieurs, Allez de l'avant pour la gloire de Dieu💐💐
Waaaoooh,nice one again 🎼🎷🎺🎤🎤
🙏 Amen
Lord be glorified forever ....Yo Grace is sufficient
Yesu Neema yako yanitosha🙏
Hata nipate na hata nikose Neema yko yanitosha
A lot of love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Asante Mungu Najua unaenda kutenda
Cette cantique c’est une prière 🙏 avec puissance, déclaration avec foi ! Tape AMEN 🙏
Wimbo unamafuta Sana Mungu awabariki Sana nimebariki.
Neema yesu yanitosha! So powerful 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Haleluya ..🙌🙌🙌Neema yako Yanitosha Yesu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ta grâce me suffit mon Seigneur. Très puissant. Sois béni Patrick et tout le groupe aussi. Vive la rdc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Neema yako yanitosha yesu
Hata nipate hata nikose…neema yako yanitosha!
Bwana wanitosha... Neema yako ni ya milele... Amen
Great worship🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏
Ooh Yesu wangu nimeona mkono wako maishani mwangu.This song is my testimony😭 umenitoa mavumbini Mungu wangu
Neema yako Baba inanitosha❤️
Moyo wangu usinyamaze kimya kwa huyu mfalme anifutaye machozi ....maana ujifunua kuwa yote kwangu
Neema yako yanitosha bwana.. nahisi kubarikiwa.
Halleluyah, Ni wewe tu Bwana wanitosh.🇰🇪
Yesu neema yako yanitosha
À partir ya Nairobi nwawaskiza vizuri mimi ni mtoto wa dego
Wewe tu ndio unayenitosheleza ee Bwana
I couldn’t stop crying listening to this song.
God can definitely use the broken vessels.
Holy Spirit truly inspired this song.
God has used their brokenness to heal and minister to many.
Wimbo mzuri unanibariki sana🙏🏽Hakika YESU Neema yako yanitosha maishani mwangu🙏🏽🙏🏽MUNGU awabariki wote kwa kumuimbia…
Watanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tunasema Neema yako yatosha
Hakika neema ya Mungu yanitosha
The guy on the saxophone is doing a great job. God bless you all.
Kweli bwana wanitosha... Asante yesu huniachi Kila siku Kila wakati🙏
Asante yesu neema yako yanitosha
Spiritual driven song, such lovely transitions, very well organised instruments, truely blessed every moment l listen to the lyrics.
Neema yake Yesu yanitosha ❤️❤️ nabarikiwa na wimbo huu
Patrick kubuya your songs are truly spirit filled we can relate with our personal prayers....