AIC Chang'ombe Choir (CVC) ft. Zoravo - KILA ULIMI (Official Live Video)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
  • #KILA ULIMI, ni wimbo wa Nne katika IBADA YA MOYO WA SHUKRANI iliyofanyika 10 NOV, 2023 katika kanisa la AICT Chang'ombe, Sokota Temeke Dar es salaam.
    Ndani ya wimbo huu AIC Chang'ombe Choir tunamshukuru Mungu kwa baraka zake alizotukirimia kwa zaidi ya miaka 35 tangu kuanzishwa kwa kwaya yetu.
    Tunaamini wimbo huu utaenda kufanyika Baraka katika maisha yako. MUNGU AKUBARIKI.
    LYRICS
    Iweni na nia iyo, hiyo
    ndani yenu
    ambayo (ambayo)
    Ilikuwemo pia ndani ya Kristo Yesu ( Kristo Yesu)
    Ambaye (ambaye)
    Yeye mwanzo (Yeye mwanzo)
    Alikuwa Yu na namna ya MUNGU
    Naye hakuona
    kule kuwa sawa na MUNGU
    Kuwa ni kitu
    Cha kushikamana nacho
    Bali alijifanya
    kuwa hana utukufu
    Akatwaa namna ya mtumwa
    Akawa mfano wa mwanadamu (wa mwanadamu)
    huyu YESU (huyu YESU)
    Tena alipo onekana
    Ana mwili kama mwanadamu
    Alijinyenyekeza
    Akawa mtii
    Hata mauti na mauti ya Msalaba
    (Mauti ya Msalaba)
    Kwa hiyo tena MUNGU
    Alimwadhimisha mno
    Akamkirimia jina
    Lile lipitalo kila jina
    Ili kwa jina la YESU
    Kila goti lipigwe
    Na kila ulimi ukiri
    Na kila ulimi ukiri
    Ya kuwa YESU Kristo
    Ni Bwana
    Kwa utukufu wa MUNGU Baba
    Utukufu wa MUNGU Baba
    Special Thanks
    AICT CHANG'OMBE CHURCH
    Mch. Dr Joseph Mayala Mitinje
    CREDITS.
    Song writer - Elisha Gerlad
    AICT Chang'ombe Church
    AIC Chang'ombe Choir (CVC)
    MUSIC DEPARTMENT
    Music Team - Benjamin Makolobela (MD,MAIN KEYS)
    Elisha Gurlaty (AUX 1)
    Elia Mahuna (AUX 3)
    Onesmo Peter (AUX 2)
    Emmanuel Yusuph (BASS)
    Daniel (LEAD GUITAR)
    Mayala Bubele (TRUMPET)
    Charles Stenson (TROMBONE)
    Meshack Wilson (TROMBONE)
    Eliya Makaya (ALTO SAX)
    Raphael Luhende (ALTO SAX)
    Samson Mathew (DRUMS)
    Video production - CVC Media
    Audio Mixing & Mastering Engineer - Tamie Bimha
    Sound System, Backline, Lights, Stage - Haddypro Campany Limited
    Project Manager - Dr.Elidady Msangi Ejazz01 Music Pro

ความคิดเห็น • 660

  • @AICTChangombeChoir_
    @AICTChangombeChoir_  10 หลายเดือนก่อน +96

    Baada ya #KilaUlimi kukiri kuwa Yesu ni Bwana.
    IJUMAA HII TAR 22/03 TUNA SURPRISE TUMEKUANDALIA KWENYE AUDIO PLATFORMS ZOTE 🔥🔥🔥
    -Apple Music
    -Spotify
    -Boomplay
    -Audiomack
    -Deezer
    -Amazon Music
    -Tidal
    NA ZINGINE NYINGI………..
    MUDA NI ULE ULE SAA SABA MCHANA(1300hrs) 😊
    Tunapatikana kwa jina moja tu la (AIC Chang’ombe Choir ) kwenye platform zote.

    • @elishapembese1963
      @elishapembese1963 10 หลายเดือนก่อน +3

      song writter Elisha Gerlad ndio yupi?

    • @AICTChangombeChoir_
      @AICTChangombeChoir_  10 หลายเดือนก่อน +1

      @@elishapembese1963 0:10 huyu anaeonekana kwenye hiyo dakika

    • @elishapembese1963
      @elishapembese1963 10 หลายเดือนก่อน

      Okay anyecheza piano eeeh?

    • @elishapembese1963
      @elishapembese1963 10 หลายเดือนก่อน +4

      Hongera yake Sana ....wimbo Una power kubwa na walioimba wameubeba vizuri. Hongereni Sana watumishi I'm inspired alot

    • @felixmusila4692
      @felixmusila4692 10 หลายเดือนก่อน +5

      Following from Canada and definitely I will follow you on every platform. You such a blessing…

  • @michaellutonjagospelsinger6611
    @michaellutonjagospelsinger6611 10 หลายเดือนก่อน +149

    Naomba like kwa mpiga keyboard

  • @AbigaelKivuyo
    @AbigaelKivuyo 10 หลายเดือนก่อน +10

    Nimebarikiwa sana na huu wimbo 🔥🔥🔥🔥. Kama na ww umebarikiwa gonga like❤

  • @meshackmarco152
    @meshackmarco152 10 หลายเดือนก่อน +10

    Hakuna jambo linanipa faraja kama kuona Vijana wadogo wakitoa muda wao kwa ajili ya kuinua jina la Yesu

  • @agnessboaz7349
    @agnessboaz7349 10 หลายเดือนก่อน +22

    MTUNZI NI NANI ? MUNGU AKUBARIKI KOKOTE ULIKO

    • @elishapembese1963
      @elishapembese1963 วันที่ผ่านมา

      Dak 0:10 huyo anayecheza kwenye kinanda pale ndio mtunzi.

  • @katunzijasson5410
    @katunzijasson5410 10 หลายเดือนก่อน +11

    Kwaya kongwe yenye ubora wakileo hata katika umri wake wa muda mrefu...kazi nzuri hongereni AIC KAZI MWAIFANYA MTALIPWA KWA KIPIMO CHENU

  • @brightonisaack1722
    @brightonisaack1722 10 หลายเดือนก่อน +9

    Yeleuwiiiii🔥🔥🙌🙌Huu wimbo hauchoshi jamani🔥 TUJUANE TUNAORUDIA RUDIA😀🙌🙌🙌

  • @amoserasto8001
    @amoserasto8001 10 หลายเดือนก่อน +10

    Mungu awainue na awatunze kwa Kazi nzuri kama Hii, Wimbo mzuri na Waimbaji wote wameimba vizuri Sana sana, I like it❤❤❤

  • @zachariamabina2923
    @zachariamabina2923 10 หลายเดือนก่อน +11

    Basst apewe Maua yake na yude dada mwenye nguo ya kijani dahh anajua wengine tuna wajua wako on 🔥🔥🔥 hii Ni Kali kushinda zote

  • @tusekileiseme2639
    @tusekileiseme2639 10 หลายเดือนก่อน +8

    Wimbo mzuri sana.
    Hongereni sana CVC kwa kazi nzuri.
    Mungu azidi kuwabariki.

  • @freedriwa7050
    @freedriwa7050 10 หลายเดือนก่อน +10

    I can only imagine how Heaven is going to be..🔥🔥

  • @musamalaba6401
    @musamalaba6401 10 หลายเดือนก่อน +12

    WIMBO WENYE PUMZI YA MUNGU (TOKA KWENYE MAANDIKO)
    Wafilipi 2:5-11, 5 Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu;
    [6]ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu, naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho;
    [7]bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu;
    [8]tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba.
    [9]Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina;
    [11]na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba.
    MUNGU AWABARIKI KWA HUDUMA YENU YA UUMBAJI❤

  • @dorcastesha423
    @dorcastesha423 10 หลายเดือนก่อน +6

    hii nyimbo nyie tena hcho kipengele cha ''kwahyo tena Mungu alimwadhimisha mno akimkirimia jina jina lipitalo kila jina ili kwa hilo jina kila goti lipigwe na kila ulimi ukiri'' 🙌🙌🙌 ur the best u guyz😘😘

  • @NeemaMartine-v9o
    @NeemaMartine-v9o 10 หลายเดือนก่อน +9

    Duuuuuuu nihatar nilijua moyo do wimb pekee nilio upend kumbe bad kuna nyimbo bhan Hii ni hatar san hongera san san

  • @merumount5988
    @merumount5988 10 หลายเดือนก่อน +7

    Mubarikiwe watumishi wa Mungu..Utukufu kwake Mungu Mkuu sana...!
    Nidhamu ya juu sana, mavazi, vitendo, upigaji vyombo..real wonderful!!

  • @adellahchipanyanga5107
    @adellahchipanyanga5107 10 หลายเดือนก่อน +7

    Jamari kwayesu ni raha sanaaaa kila ulimi na ukiri kua yesu kristu ni bwanaaaaaaaa🎉❤❤❤❤🎉haleyuaaaa hosaaanaa

  • @paultimotheo5200
    @paultimotheo5200 10 หลายเดือนก่อน +7

    KWAYA NAMBA MOJA TANZANIA🙌🙌🙌

    • @victoriansolo3842
      @victoriansolo3842 10 หลายเดือนก่อน

      Mungu awabariki sana watumishi hawa❤

  • @pst.stanleynnko5821
    @pst.stanleynnko5821 10 หลายเดือนก่อน +10

    Jamani Yesu amejibu maombi yangu natamani kuendelea kuwaona CVC kwenye ivi viwango zaidi na zaidi. Yamekuwa maombi yangu yamuda mrefu Asante Yesu wewe unajibu😭😭

    • @rachelsenni8919
      @rachelsenni8919 10 หลายเดือนก่อน +1

      Amen. Barikiwa sana kutuombea na tunaomba uendelee kutuombea sana.

    • @JuniorKim-gj9lp
      @JuniorKim-gj9lp 9 หลายเดือนก่อน +1

      MUNGU akubariki

  • @JoshyKaji
    @JoshyKaji 10 หลายเดือนก่อน +10

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭❤️❤️❤️❤️❤️❤️ Asante sana YESU, upendo ulionipenda nimeuona na waajabu nakutisha sanaaa

  • @manmaking7717
    @manmaking7717 10 หลายเดือนก่อน +6

    Mnaokumbuka wimbo wa Halleluya mwimbieni Bwana Wimbo mpya wapiiiiii!

  • @joshuajustustz
    @joshuajustustz 10 หลายเดือนก่อน +10

    CVC ft ZORAVO TOGETHER. MY GOD BLESS YOU ALL🎉🎉🎉. Kazi yenu ni njema. ❤❤❤

    • @AICTChangombeChoir_
      @AICTChangombeChoir_  10 หลายเดือนก่อน +2

      Amen 🙏🏾

    • @NdutiThomas
      @NdutiThomas 10 หลายเดือนก่อน

      Mbarikiwe sana, nataman kuona Wimbo wa Masoro wenu wa siku zote, wakiimba pamoja, nitabarikiwe sana✊​@@AICTChangombeChoir_

  • @bettykageza1964
    @bettykageza1964 4 หลายเดือนก่อน +6

    Huu wimbo huu nyie basi tu
    Jifungie chumbani kwako weka sauti ya juu inayokufaa
    Imba katika roho kwakumaanisha
    Raha yake acha😂😂😂
    Mungu awabariki sana

  • @JohnImmah
    @JohnImmah 10 หลายเดือนก่อน +9

    This is super ❤❤..... Aic chang'ombe mna kiti chenu pamoja na Wazee 24 Kwenye kiti Cha enzi MUNGU awabarikii hii nimeipenda Sanaa everything is well ❤️‍🩹❤️‍🩹

  • @sabunifeleshi7563
    @sabunifeleshi7563 10 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu ni mwema , injili lazima ipelekwe kwa mataifa Yesu Kristo alituachia maangizo

  • @adellahchipanyanga5107
    @adellahchipanyanga5107 10 หลายเดือนก่อน +7

    Inaleta raha kuona vijana wengi wanamtukuza mungu wetu mmbarikiwe sanaaa

  • @phylisobayo319
    @phylisobayo319 10 หลายเดือนก่อน +10

    Kudos to the drummer and everyone.
    This is powerful 👏 🙌 👌

  • @wakywenaky3674
    @wakywenaky3674 10 หลายเดือนก่อน +15

    Mpiga keyboard ainuliwe sana kwa kazi nzuri na kuonesha ushirikiano wa kucheza,kamshahara kaongezwe please 😂😂😂

  • @Godfrey-yd5yq
    @Godfrey-yd5yq 5 หลายเดือนก่อน +4

    Huy drams ni moto mwingineeeeee kabisaaaaaa asifananishweeee na mtu yeyyoteeeeee
    Na sifa zimludie yeye alieko juu

  • @josueuwimana1444
    @josueuwimana1444 10 หลายเดือนก่อน +6

    yusu mwana wa Mungu upewe sifa zote Baba unasistahili milele

  • @JamesFrankMwidunda
    @JamesFrankMwidunda 10 หลายเดือนก่อน +8

    Sitaionea haya injili ya Mungu, maana ni uweza wa Mungu uletao wokovu......

  • @zachariamabina2923
    @zachariamabina2923 10 หลายเดือนก่อน +9

    Tuna angalia kila muda

  • @quenlameck2835
    @quenlameck2835 10 หลายเดือนก่อน +8

    Zoravo's voice ni manukato❤❤

  • @agnessboaz7349
    @agnessboaz7349 10 หลายเดือนก่อน +5

    Namuona bonge grace mtoto wa mama tunda la roho buzuluga choir hongereni sana kwa huduma wimbo mzuri❤

  • @reginamarwa8636
    @reginamarwa8636 10 หลายเดือนก่อน +6

    Zoravooooooooo.......oyooooh.......hongereni Chang,ombe Aic.......hubiriniiiiii

  • @mwlkimath
    @mwlkimath 10 หลายเดือนก่อน +4

    Glory to God
    Hakika CVC Mungu awakuze zaidi na zaidi Mungu azidi kuongezeka kwenu Daima na nyie mpungue
    Uso wa Mungu uende nanyi Daima
    MSIGOMBANE NJIANI

  • @elizabethyusuph9221
    @elizabethyusuph9221 10 หลายเดือนก่อน +7

    Asante Yesu kwa kunifia msalabani...ninakiri kuwa wewe ni Bwana na mwokozi wa maisha yangu 🙏

  • @ayubumani4613
    @ayubumani4613 10 หลายเดือนก่อน +6

    Elohimu , Moyo , Kila ulimi
    Nipo kwa karibu sana
    Zinaimba kwenye system yangu ya spika nne mziki mzuri
    Ujumbe mzuri
    Uchezaji sasa dah na enjoy
    Aic Chang'ombe nina nyimbo zenu nyingi za tangu kipindi hicho cha
    Haleluya Mwimbieni bwana wimbo mpya sifa zake zivume katika kusanyiko .......
    Jamani Vocal sasa dah
    Acha niishie hapa❤

    • @dicksonsenni9109
      @dicksonsenni9109 10 หลายเดือนก่อน

      Ubarikiwe. endelea kuwa hewani zipo na nyingine nyingi zinakuja. Julisha na wengine Nao wazidi Kubarikiwa

  • @milkakasebele1088
    @milkakasebele1088 10 หลายเดือนก่อน +6

    Huu wimb ni moto mung awabariki Zaid na zaid

  • @jamesandulile1894
    @jamesandulile1894 10 หลายเดือนก่อน +9

    Very Very Powerful Message,
    Trust me, kuna Nguvu inatembea na huu wimbo

  • @lourdeslida1457
    @lourdeslida1457 10 หลายเดือนก่อน +5

    Na kila ulimi ukiri ya kuwa Yesu kristo ni Bwana kwa utukufu wa Mungu baba🙌🙌🙌

  • @eliasmateko4462
    @eliasmateko4462 10 หลายเดือนก่อน +5

    Blessed be the name of God
    We finalize March in the abundance of blessings from my favourite choir
    Ameeeeenn

  • @janemoraa9997
    @janemoraa9997 10 หลายเดือนก่อน +6

    Hongereni Soloists na CVC kwa kazi njema.
    Keep Glorifying the Lord!

  • @joellumala3206
    @joellumala3206 10 หลายเดือนก่อน +5

    Pasaka hii #Kila_Ulimi Utakili!
    Blessed morning.,

  • @sheilapande9024
    @sheilapande9024 10 หลายเดือนก่อน +6

    The feeling of a choir and a modern touch. This very beautiful

  • @raymsanii
    @raymsanii 8 หลายเดือนก่อน +54

    Mnaoshinda kuandika hapa ati rudini kwa AIC ya zamani naomba niwaambie mna shida, na sio kwa ubaya but that is very hypocritical of you to even say in the first place🙄Growth is inevitable, hata wewe hivi ulivyo si basi ungekosa kugrow ubaki ulivyo kuwa baada ya kuzaliwa? If you dont want to support this great ministry ni sawa, but kuongea maneno yasiyo na msingi ni vibaya sana! Again I repeat, Growth is Inevitable!!! Good song fam, beautiful dance for God, beautiful dressing, beautiful singing, band top notch, I love this new AIC and I look forward even to better and best pieces to come❣❣❣❣❣🤝🏽

    • @rich-lr8tq
      @rich-lr8tq 8 หลายเดือนก่อน +2

      0 seconds ago
      as much as i know AIC huwa haina limitations katika uimbaji, so you are very correct

    • @ibrahimbaruch2743
      @ibrahimbaruch2743 7 หลายเดือนก่อน

      Some people are just rigid and resistant to change. As if the Bible illustrates how Christian music should be done. Change is inevitable

    • @jerrysonjulius7106
      @jerrysonjulius7106 6 หลายเดือนก่อน +2

      Acha watu watoe maoni yao,, kila mtu ako na haki ya kutoa maoni yake mm naona zamani walikuwa sawa kuliko sasa

    • @marrypius576
      @marrypius576 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@jerrysonjulius7106mbona wew ujabaki kama zamani 😂😂😂

    • @alicedickson5538
      @alicedickson5538 6 หลายเดือนก่อน

      Well said my dear umemaliza yoote

  • @eliemwandaza2483
    @eliemwandaza2483 10 หลายเดือนก่อน +7

    Huu wimbo Una nguvu Mbarikiwe wa tumishi kwa kumuinuwa Yesu kwa namna ya kipekee

  • @thomaslukubi7299
    @thomaslukubi7299 10 หลายเดือนก่อน +7

    What a combination CVC +Zoravo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @bethuelnatembeya5342
    @bethuelnatembeya5342 10 หลายเดือนก่อน +6

    Kwa yesu kuna raha

  • @justuskiptoo3395
    @justuskiptoo3395 10 หลายเดือนก่อน +6

    Another One: Ambaye Yeye Mwanzo😊😊!

  • @joshuamwakatobe3988
    @joshuamwakatobe3988 10 หลายเดือนก่อน +7

    Aiseee Mungu anainuliwa

  • @benjaminsamwel5059
    @benjaminsamwel5059 10 หลายเดือนก่อน +6

    Zoravo your blessed voice, and U bless us

  • @EstherFredrick-d7d
    @EstherFredrick-d7d 10 หลายเดือนก่อน +3

    Mbarikiwe wote kila msikiapo habari njema ya ufalme wa Mungu aishie milele na milele🙏

  • @DeboraKyembela
    @DeboraKyembela 10 หลายเดือนก่อน +3

    Safii sanaa. Bonge la songii....very good... MUNGU azidi kuwainua

  • @johncharlessingano8551
    @johncharlessingano8551 10 หลายเดือนก่อน +10

    Bethel GOSPEL SINGERS. TUNAWAPONGEZA CVC KWA KAZI NZURI

  • @felixmusila4692
    @felixmusila4692 10 หลายเดือนก่อน +8

    From Canada we are blessed.

  • @CareenDenis
    @CareenDenis 10 หลายเดือนก่อน +6

    May God bless you family in Jesus Christ

  • @andrewmatheka9749
    @andrewmatheka9749 10 หลายเดือนก่อน +6

    Watching from Kenya ,my all time favorite choir...be blessed Aic changombe..yesu kristo ni bwaaana

  • @gitiganiibrahimdanhi7692
    @gitiganiibrahimdanhi7692 10 หลายเดือนก่อน +5

    Mubarikiwe Sana Watumishi wa Jehovah 🙏🙏🙏

  • @EradiusReuben-fn1db
    @EradiusReuben-fn1db 10 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu azidi kuwafanya watumishi wakee 🙏🙏🙏Dada aliye solo MOYO kiukwelii yuko ndani ya uwepoo

  • @JacksonLazaro-mm3qs
    @JacksonLazaro-mm3qs 10 หลายเดือนก่อน +4

    ❤❤Naipenda Sana yule mama mwembamba mweusi mwenye sauty Nyoro yupo wapi???2024

  • @princessanne1270
    @princessanne1270 10 หลายเดือนก่อน +4

    ZORAVO NA MFELO WHAT A COLLABO🔥🔥🔥

  • @IssackMfelo
    @IssackMfelo 10 หลายเดือนก่อน +6

    Watu tunapokea baraka kupitia nyimbo

  • @ferdinandmathias-to2tf
    @ferdinandmathias-to2tf 4 หลายเดือนก่อน +2

    Huu wimbo gharama yake ni kubwa siwezi kuwalipa AIC chang'ombe jinsi nilivyofunuliwa juu ya maisha yangu kupitia huu wimbo ni mambo makubwa sana,hope nitavuka kwa utukufu wa Mungu Baba🙌🙌

  • @ananemaemanuel8751
    @ananemaemanuel8751 10 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu azidi kuwainua viwango vya juu zaidi kwaajili ya utukufu wake ❤

  • @noelshipella2689
    @noelshipella2689 10 หลายเดือนก่อน +7

    This is the gospel song

  • @rebekajilo
    @rebekajilo 10 หลายเดือนก่อน +4

    my favorite choir be blessed

  • @Behindsomeone
    @Behindsomeone 10 หลายเดือนก่อน +5

    Nice song hongereni sana AIC chang'ombe

  • @christopherchales2219
    @christopherchales2219 3 หลายเดือนก่อน +3

    Hongereni sana watumishi wa Jehova,kazi nzuri corable ya zoravo na AIC.welldone.

  • @barakachiboni3973
    @barakachiboni3973 10 หลายเดือนก่อน +5

    Daah kwa kweli nimesisimuka hatari

  • @ExaudyMassawe
    @ExaudyMassawe 10 หลายเดือนก่อน +4

    MUNGU MUUMBA MBINGU NA NCHI AWABARIKI SANA SANA SANA AICT CHANG'OMBE, ZORAVO MUNGU AZIDI KUKUPAKA MAFUTA MABICHI

  • @TeddyMagati
    @TeddyMagati 10 หลายเดือนก่อน +5

    ❤❤❤nabarikiwa sana naisi kama mwili wangu unataka kupaa yaani kama nipo pale na Mimi raha sana🙏🙏🙏🙏

  • @suzielomyan4565
    @suzielomyan4565 10 หลายเดือนก่อน +6

    best choir ever

  • @scayoscayo3998
    @scayoscayo3998 10 หลายเดือนก่อน +6

    The music director of this song is something else-Bwana ambariki mnoo, Watumishi wa Wa Mungu ni hakika mmeugusa moyo wa kristo Kwa nyimbo hii- the complete masterpiece! Amazing Amazing!!

  • @lilianjumba3298
    @lilianjumba3298 10 หลายเดือนก่อน +6

    Naomba mje huku kwetu Kenya thika AP chapel mtufunze tufike hapo

    • @dicksonsenni9109
      @dicksonsenni9109 10 หลายเดือนก่อน

      Tunashukuru kwa mwaliko. Tuzidi kuombeana na kuna siku Mungu atafungua njia tutafika. Mubarikiwe

    • @AICTChangombeChoir_
      @AICTChangombeChoir_  10 หลายเดือนก่อน

      Amen 🙏🏾
      Kwa neema ya Mungu tutafika

  • @innogmsuya_minister4953
    @innogmsuya_minister4953 10 หลายเดือนก่อน +8

    Mfeloooo 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @stanleymwendwa193
    @stanleymwendwa193 10 หลายเดือนก่อน +6

    Very well done you are my favorite Stanley from kenya

  • @petermhinga70
    @petermhinga70 10 หลายเดือนก่อน +3

    Leo wa 12 like zangu jmn

  • @juntwakabete1664
    @juntwakabete1664 10 หลายเดือนก่อน +5

    Zoravo ft mfello🔥🔥

  • @AbednegoTemba
    @AbednegoTemba 10 หลายเดือนก่อน +5

    ELISHA GERALD POPOTE ULIPO HONGERA KWA UANDISHI MZURI.... THIS SONG IS A Jam

  • @dianaroseclement8139
    @dianaroseclement8139 10 หลายเดือนก่อน +4

    Congrats Cvc Kwa kuendelea kumtumikia Mungu, Mungu aliye juu awafunike na damu yake

  • @jamesjohn2601
    @jamesjohn2601 10 หลายเดือนก่อน +5

    mbarikiwe sana.

  • @eliasleonard2598
    @eliasleonard2598 10 หลายเดือนก่อน +4

    Oya mfello unajua unajua tena bro 🔥🔥🔥umenikosha sana kuanzia kwenye MOYO hadi KILA ULIMI UTAKILI🔥🔥🔥 hii combo ya mfello na zoravo ni 🔥🔥

  • @NicholasKanzi
    @NicholasKanzi 10 หลายเดือนก่อน +7

    May God bless u,karibu kenya

  • @BenardNasari
    @BenardNasari 10 หลายเดือนก่อน +5

    Kwa kweli ni burudani mmbarikiwe sana watumishi wa mungu kwa kueneza neno lake kwa njia ya nyimbo nzuri

  • @bahatkisam8367
    @bahatkisam8367 10 หลายเดือนก่อน +5

    ❤❤❤
    When words fails, let worship speaks

  • @amoserasto8001
    @amoserasto8001 10 หลายเดือนก่อน +12

    Huyo dada aliyeimba Wimbo wa Moyo pamoja Mfello kwenye Pasaka mnikumbushe Nitakuwa na Zawadi yenu..
    Naomba nimjue jina huyo dada aliyeimba Moyo ananibariki Mno🙏🙏😇

  • @monicahwarimumucheru-hakan4356
    @monicahwarimumucheru-hakan4356 10 หลายเดือนก่อน +5

    Eeeeeeeuuuu eeeeuuuuuu ! Eeeeeeeeu ! Nakosa maneno nimebarikiwa! Zorazo is taking the leadership role :)❤na intro inaslap kweli kweli

  • @Loudlovealways
    @Loudlovealways 10 หลายเดือนก่อน +5

    Sauti ya Zoravo Ina UPAKO saana🙇🏾‍♂️😫🙌🏼

  • @jukaelyelisha6311
    @jukaelyelisha6311 10 หลายเดือนก่อน +4

    Aisee nyimbo zinamafuta ya roho mtakatifu aisee mnafanya kweli kristo awainue sana

    • @AICTChangombeChoir_
      @AICTChangombeChoir_  10 หลายเดือนก่อน +1

      Amen 🙏🏾

    • @victoriansolo3842
      @victoriansolo3842 10 หลายเดือนก่อน +1

      Amina

    • @NdiseProtasy
      @NdiseProtasy 10 หลายเดือนก่อน

      Mungu Abariki mbegu mnayoipanda Kwake, Mungu awape Baraka mpate Hitaji la mioyo Yenu Mfanikiwe wote mjikite kwake2❤❤❤🎉Nawapenda sana

  • @eliassoingei2046
    @eliassoingei2046 10 หลายเดือนก่อน +4

    Ambayeee, yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu🎉🎉🎉🎉🎉

  • @teddyEMkwilasa
    @teddyEMkwilasa 10 หลายเดือนก่อน +3

    Hatari na nusu❤❤❤..... Hongereni sana na utukufu kwa Mungu

  • @Uwezawako
    @Uwezawako 9 หลายเดือนก่อน +4

    Chang'ombe mnatisha sana kila siku mnakuja kwa namba nyingine ,stay blessed

  • @mwanjokaully4904
    @mwanjokaully4904 10 หลายเดือนก่อน +6

    kuna huyo mwamba ameimba kama joellwaga 😅🙌

  • @chigutamaureenmjeni
    @chigutamaureenmjeni 10 หลายเดือนก่อน +5

    Amen mbarikiwe sana❤

  • @abednegomukuna7371
    @abednegomukuna7371 8 หลายเดือนก่อน +6

    Uimbaji wenu unapendeza sana, si mungu anipe hicho kibali

  • @glmstudios
    @glmstudios 10 หลายเดือนก่อน +5

    AIC’s Tone + Modern Gospel Live recording 👌👌👌👌💯🔥🔥🔥

  • @NariethYohana
    @NariethYohana 10 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera Elisha kwa utumishi

  • @joshuanyakoe9856
    @joshuanyakoe9856 10 หลายเดือนก่อน +5

    Just beautiful and thrilling production. What a worship!!!!! God and the entire heaven is happy for you CVC

  • @AllenWilliam-b4z
    @AllenWilliam-b4z 10 หลายเดือนก่อน +5

    Wimbo huu ni baraka🔥🔥🥳🙌🏽

  • @ntahomvukiyevincent9245
    @ntahomvukiyevincent9245 10 หลายเดือนก่อน +4

    Jameni tupeni muda ndio huuu:' Kila ulimi'.Burundi nawapenda saaaaana

    • @dicksonsenni9109
      @dicksonsenni9109 10 หลายเดือนก่อน

      Ndo unakuja endelea kusubiri. julisha na wengine wapate hii Neema. Tunashukuru