APR FC 2-0 Azam FC | Highlights | CAF CL

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 346

  • @HusseinHussein-f7n
    @HusseinHussein-f7n 2 หลายเดือนก่อน +9

    hongeren APR jambo letu limeenda vzr si mulikuwa munashangiria kushika nafasi ya pili haya hiyo nafasi ya pili

  • @jeanclaudegasana5491
    @jeanclaudegasana5491 2 หลายเดือนก่อน +21

    Congratulations APR FC ❤

  • @Magic_vybz
    @Magic_vybz 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kigali stadium ni nzuri sana

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 2 หลายเดือนก่อน +6

    AZAM team mnazengua , mnaziba nafasi za watu , mnaenda tolewa kirahisi .. ongera APR mlicheza mpira mzuri sanaaa..

  • @GhayaAbdallah
    @GhayaAbdallah 2 หลายเดือนก่อน +17

    Congratulations APR 🎉❤💋

  • @youngb8672
    @youngb8672 2 หลายเดือนก่อน +8

    Apr oyeeee mlitaka sasa mmefika wap washenz sana SiMba forever. Mlitubania sana sana kikowap

  • @godfreyhiza1075
    @godfreyhiza1075 2 หลายเดือนก่อน +1

    Big up Azam, you get points of evaluation...hope next season ...Africa shall know you!!

  • @IsayaKesseni
    @IsayaKesseni 2 หลายเดือนก่อน +17

    Azam ni timu ya kipuuzi sana kazi kukamia yanga na Simba amna kingine

  • @BabuGga-td3mg
    @BabuGga-td3mg 2 หลายเดือนก่อน +5

    Azam uongozi mbovu, wanawalea sana wachezaji , familia iachie watu serious wanao ujua mpira kuwa sio kitu cha masihara.

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 หลายเดือนก่อน

    Very good

  • @UMUNEZEROTV
    @UMUNEZEROTV 2 หลายเดือนก่อน +28

    Congratulations to APR FC SONGA MBERE

    • @Mashauri-Ai
      @Mashauri-Ai 2 หลายเดือนก่อน +3

      *Mbele

    • @BeatriceMsonge-jv1mz
      @BeatriceMsonge-jv1mz 2 หลายเดือนก่อน +1

      ⁠@@Mashauri-Ai😂😂😂 uko mbele kuna pyramid ndo maan kajikuta anaandika mbere

    • @suzankafwemba1919
      @suzankafwemba1919 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@BeatriceMsonge-jv1mz 😂😂😂

    • @NgunoSangano-j2q
      @NgunoSangano-j2q 2 หลายเดือนก่อน +2

      Azam ovyo kabisa

    • @SalvatoryMbigili-m2f
      @SalvatoryMbigili-m2f 2 หลายเดือนก่อน

      Piramidy nae anaweza akafa we subili😅​@@BeatriceMsonge-jv1mz

  • @lana-zk5or
    @lana-zk5or 2 หลายเดือนก่อน +15

    Azam was everywhere 😂😂😂
    Azam tv
    Azam fc
    Azam on APR jersey as a sponsor 😂😂😂
    And after all thaaaat APR FC won😂😂😂
    Congrats to all LIONS n LIONESS

  • @emmanuelthomas1078
    @emmanuelthomas1078 2 หลายเดือนก่อน +20

    Prince Dube ndo alikataa huu ushenzi🙄🙄🙄

    • @williamkimweri2293
      @williamkimweri2293 2 หลายเดือนก่อน +5

      Na huu ushenzi ndy aliutaka Feisali

    • @franklazaro2008
      @franklazaro2008 2 หลายเดือนก่อน +2

      Ww ndiyo umeongea ukweli

  • @EmmanuelCharzy
    @EmmanuelCharzy 2 หลายเดือนก่อน +19

    Tikiwaambia APR ni tim nzuri wanasema ni kibonde kucheza na simba kiko wapi wenye usajili wa maaana

    • @calvintheone299
      @calvintheone299 2 หลายเดือนก่อน +3

      Hakuna timu apo azam hawapo sirius

    • @SalvatoryMbigili-m2f
      @SalvatoryMbigili-m2f 2 หลายเดือนก่อน +1

      Apr hamna team sema azam ndo hovyo kabsa yaan bora angeenda hata namungo

  • @AmirMbuyu
    @AmirMbuyu 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera APEREEE mmewafanya Azam walichostahili 😢

  • @HumvayezuLaurance
    @HumvayezuLaurance 2 หลายเดือนก่อน

    Rubonekandamwemeraburiyanajiriberi❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 2 หลายเดือนก่อน +9

    Pumbavu sana Azam muwe mnatafuta nafasi ya 5 mna aibisha nchi.

    • @MaigeNgasa
      @MaigeNgasa 2 หลายเดือนก่อน

      Kabisa si waling'ag'ania nafass ya bili 🦁🦁🦁

  • @nyirinkindieugene1944
    @nyirinkindieugene1944 2 หลายเดือนก่อน +8

    Congs APR

  • @kelvinjosephat2742
    @kelvinjosephat2742 2 หลายเดือนก่อน +3

    Azam were never ready for this,, disappointing 😞

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 2 หลายเดือนก่อน

    azam --- " wainalillah wainallilah rajuun "

  • @OmarRwamakuba
    @OmarRwamakuba 2 หลายเดือนก่อน +15

    Watanzaniya. Azamu siyotimu yakufunga APR.

    • @alexandrymichael2637
      @alexandrymichael2637 2 หลายเดือนก่อน +3

      Sisi sio milima tuta kutana endelea kuonea watoto tu mwenzenu kala 10😂😂

    • @United4ever1
      @United4ever1 2 หลายเดือนก่อน +3

      Maybe Yanga or Simba, Not Azam.

    • @FaaidaTVtz
      @FaaidaTVtz 2 หลายเดือนก่อน +2

      ​@United4ever1 Eti may be.

    • @JonathanNelson-l8h
      @JonathanNelson-l8h 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kuna miamba ipo Tanzania achana na azamu😂😂😂tutakutana tu

    • @selemanAbdallah-tg1ib
      @selemanAbdallah-tg1ib 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@FaaidaTVtzhata mm kanshangaza na mayb yake,...et maybe like seriously!!!....

  • @thoussetailor
    @thoussetailor 2 หลายเดือนก่อน +2

    Apr fc Oyeeeeeeeeee congratulations 🎊 🎊

  • @Ericz.70
    @Ericz.70 2 หลายเดือนก่อน +5

    🇷🇼♥️🇹🇿kunda sanaaa

  • @Nasbu-tb6cs
    @Nasbu-tb6cs 2 หลายเดือนก่อน

    APR congrats Azam ni mandazi tuu

  • @sammychansa1797
    @sammychansa1797 2 หลายเดือนก่อน +5

    Hashim imbwe kuongea tu kushinda,aaaaaaaaah😂

  • @saidisalumu2418
    @saidisalumu2418 2 หลายเดือนก่อน +12

    Wanapoteza pesa na kututia aibu wachezaji awana upambanaji kabisa😢😢

  • @Muhammedually
    @Muhammedually 2 หลายเดือนก่อน +6

    Dube kaona mbali,bakharesa jenga kiwanda kwenye kiwanja pale hakuna timu hapo

  • @emmanuelrurangwa7388
    @emmanuelrurangwa7388 2 หลายเดือนก่อน

    Azam ni team ya denser , APR 🇬🇦🇬🇦 Nguvu za Lion

  • @ghhkjjjj
    @ghhkjjjj 2 หลายเดือนก่อน +4

    Make Rwanda proud🇷🇼🇷🇼🇷🇼

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 2 หลายเดือนก่อน +2

    Azam sio timu ya ushindani ..timu shiriki tu hii...

  • @mugaboadrien9452
    @mugaboadrien9452 2 หลายเดือนก่อน +19

    Songa mbere team ya geshi

    • @NM-yl2uw
      @NM-yl2uw 2 หลายเดือนก่อน +1

      ni Songa mbele timu ya Jeshi

    • @storytime1204
      @storytime1204 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@NM-yl2uwsio watanzania ni wa rwanda so kila mtu na anavyotumia kiswahili kwake yeye ni sawa

    • @Patriotism-x3v
      @Patriotism-x3v 2 หลายเดือนก่อน

      Ndo anaelekezwa atumie vizuri, hakuna shida😅​@@storytime1204

    • @selemanAbdallah-tg1ib
      @selemanAbdallah-tg1ib 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@storytime1204Bado haitakuwa sawa hata Kama n warwanda kosa n kosa tu,...

    • @NM-yl2uw
      @NM-yl2uw 2 หลายเดือนก่อน

      @@storytime1204 nimemkosoa ili awe vizuri

  • @ev.diogenetuyishimiretd2965
    @ev.diogenetuyishimiretd2965 2 หลายเดือนก่อน

    Apr fc nzuri

  • @MutuyimanaPamela-r8j
    @MutuyimanaPamela-r8j 2 หลายเดือนก่อน +5

    The lion 🦁 wake up

  • @PineTree-n9y
    @PineTree-n9y 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo uongozi wote ubomolewe na na benchi la ufundi kocha anapanga kikosi kwa kuangalia wachezaj anaowapenda

  • @muhamyainnocent-jj4zi
    @muhamyainnocent-jj4zi 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mkumbuke APR fc imerudi tena
    Mkumbuke yile ya 2004 ikiwa ndani Jimmy Gatete,imerudi tena
    Mtaishi wapi
    Well comeback

  • @KubwimanaSpeciose-kq2bt
    @KubwimanaSpeciose-kq2bt 2 หลายเดือนก่อน +3

    Thank you azam for show us match

  • @MohammedMohammedhamza-h5j
    @MohammedMohammedhamza-h5j 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kwamza unatakiwa utafautishe friend game. Na mechi za kimataifa

  • @brunoh_bx
    @brunoh_bx 2 หลายเดือนก่อน +1

    Azam bado ni timu ndogo sana hapa Tz haina tofauti na mashujaa

  • @TuyishimireViateur-z7z
    @TuyishimireViateur-z7z 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pore sana azam

  • @shadrackjuliuskaboya5239
    @shadrackjuliuskaboya5239 2 หลายเดือนก่อน +3

    *nilisha waambia azamu niwakishua sana*

  • @nkusiemmanuel9860
    @nkusiemmanuel9860 2 หลายเดือนก่อน +1

    APR FC Juuuuuuuuuuu❤

  • @IradukundaNeema-p1j
    @IradukundaNeema-p1j 2 หลายเดือนก่อน

    Nice 👍 apr❤❤

  • @iptisamismaill-f6h
    @iptisamismaill-f6h 2 หลายเดือนก่อน +4

    Azam ni sawa mwanaume mwenye kisukar alafu ana mke mzuri😂😂😂

    • @NyitaneNyitane
      @NyitaneNyitane 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

    • @imanikazinja7100
      @imanikazinja7100 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @betramsambali
      @betramsambali 2 หลายเดือนก่อน

      😢😢😢😢😢😢 sawa ni kweli

  • @habakubanadonatien
    @habakubanadonatien 2 หลายเดือนก่อน +5

    Christopher karenzi nakusaramiya sana mungu akubrikye sana

  • @kachuismart8924
    @kachuismart8924 2 หลายเดือนก่อน +3

    Azam wamecheza mpira Mbovu kinoma😢😢😢

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 2 หลายเดือนก่อน +5

    Azam wanadhaliliaha Tanzania

    • @nintabou3275
      @nintabou3275 2 หลายเดือนก่อน +2

      YANGA Itatowa hiyo aibu subirinu

    • @hakimundabila7940
      @hakimundabila7940 2 หลายเดือนก่อน +1

      Wanafuata nyendo za mabingwa wa kihistoria

  • @OlesyekuKadege-cq4eo
    @OlesyekuKadege-cq4eo 2 หลายเดือนก่อน

    Inaumiza kwel azam watoke mapema afu ina wachezaj quality

  • @tindaboyking6847
    @tindaboyking6847 2 หลายเดือนก่อน +9

    Mtangazajiiiiiiiiiiiiiiiii babaaaa eee babaaa😂😂😂

  • @YusuphAlly-y9o
    @YusuphAlly-y9o 2 หลายเดือนก่อน +1

    Azam jamani haaa hatuwa yamawazo hukuzinatoka timu ndogo sana kama vitaloo yaburundi

  • @MustaphaHasani-u1v
    @MustaphaHasani-u1v 2 หลายเดือนก่อน

    Azam watamkumbuka sana prince dube

  • @Dizzoboy-36
    @Dizzoboy-36 2 หลายเดือนก่อน +1

    Big energy

  • @damianmcba9525
    @damianmcba9525 2 หลายเดือนก่อน +9

    Huyo feisal isipokuwa Bongo hata ahonekani,,,Tangu yupo Yanga mashindano ya kimataifa afanyi chochote hata Taifa Star,,,, yy ikiwa ndani ya bongo ndio machachari mengi nje ya Bongo ni Mzoga tu

    • @mtumeananiasjohachim8760
      @mtumeananiasjohachim8760 2 หลายเดือนก่อน +2

      Ni kweli aisee

    • @mohamedmbalazi748
      @mohamedmbalazi748 2 หลายเดือนก่อน +1

      Umesema kweli hajawahi fanya maajab kwenye international games. Sifa za kijinga wanampa ila hamna kitu

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 2 หลายเดือนก่อน

    Azamu ni wapuunzi sanaa,hela wanazo,miundombinu ipo vinzuri, wanalipwa vinzuri, sa cjui wana nongwa gani azamu mumetuferisha

    • @vinny.morales
      @vinny.morales 2 หลายเดือนก่อน

      Wamekalia udini tu

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 2 หลายเดือนก่อน +1

    Azam mlijiona mnaweza kumbe mlienda kuiaibisha TANZANIA, MSIONE SIMBA WANAPAMBANA MKAONA UTANI.SIMBA KUBWA

  • @shanmlawa
    @shanmlawa 2 หลายเดือนก่อน

    Azam awajawaheshm apr wamefunguma hali wapo ugenini

  • @alexandrymichael2637
    @alexandrymichael2637 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hawajui kama kuna black magic et wame logwa 😢😢

  • @KUGASIMA
    @KUGASIMA 2 หลายเดือนก่อน +8

    APR yetuuuuu🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁🏁

    • @FAZILMOHAMEDI
      @FAZILMOHAMEDI 2 หลายเดือนก่อน +1

      Pyramid anawasubil kwaiyo kaa kwa kutulia

  • @AdamVaughan-g3d
    @AdamVaughan-g3d หลายเดือนก่อน

    466 Gleichner Stravenue

  • @DidierHabimaba
    @DidierHabimaba 2 หลายเดือนก่อน +5

    Sorry kiswahili nani kinya Rwanda Apr hejoru piramide ltwitege gifuti 🎉❤ Azam 😂 ntakundi mutegure sezo yubutaha

  • @JohnGoryo
    @JohnGoryo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Marehem alikuwa na mdomo sana

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 2 หลายเดือนก่อน

    Pesa mnazo ila hamko serious kwenye mpira
    Dube kumbe alisema kweli

  • @florianrweyongeza7458
    @florianrweyongeza7458 2 หลายเดือนก่อน

    MINUTE 6:28 clear penalt

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 2 หลายเดือนก่อน +3

    Tatizo kubwa la Azam ni kipa hili hamlioni
    Kocha hajuwi kuipanga timu

  • @AbAbdullay
    @AbAbdullay 2 หลายเดือนก่อน

    Yan sisi washabiki mwaka huu tulijua ata makundi tutafika ila kwa kweli metuangusha sina cha kusema kwa washiriki wezitu wa timu jelani ila naipenda sana azam fc ila mna kuangusha nimeumiasana

  • @SimonMseyeki
    @SimonMseyeki 2 หลายเดือนก่อน +42

    Azam wasenge tu namungo Wana status nzur zaid Yao caf itoshe tu kusemea hawawez iz ligi Wana uwezo mdogo kama izo kamera na watangazaj wa huu mchezo kutokea uko rwanda

    • @TheQuickTimesNews
      @TheQuickTimesNews 2 หลายเดือนก่อน +3

      Camera 📷 za feke sana za Azam

    • @azizsaid3776
      @azizsaid3776 2 หลายเดือนก่อน +1

      usitukane

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 2 หลายเดือนก่อน

      Usitukane haifai kaka
      Punguza jazba Mzee Bakhresa

    • @NyitaneNyitane
      @NyitaneNyitane 2 หลายเดือนก่อน +1

      Munazinguwa mutukanwe tu. Nyie Kama simba na yanga abila kutukanwa amuind. Kazi ya kukamia simb na yang. Badala mukaze kwenye gem Kam izo zenye faida.

  • @Kama-211-5y
    @Kama-211-5y 2 หลายเดือนก่อน +1

    Apr cngz our team

  • @ChejoBuchejo-mm8bb
    @ChejoBuchejo-mm8bb 2 หลายเดือนก่อน

    AZAM WASENGE TU,,,walizani mapinduzi cup hiyo

  • @rukundojeanbosco7930
    @rukundojeanbosco7930 2 หลายเดือนก่อน

    APR FC tupa ndani

  • @JohnWamylon
    @JohnWamylon 2 หลายเดือนก่อน

    Senge Sana Azm laan 😢

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 2 หลายเดือนก่อน

    APR wamejinywea juice ya Azam kwa mrija wakiwa nyumbani!

  • @niyomuragejeanclaude5720
    @niyomuragejeanclaude5720 2 หลายเดือนก่อน +5

    APR ❤

  • @patricklaiton8939
    @patricklaiton8939 2 หลายเดือนก่อน

    Mkianza kulinganisha Feitoto na Aziz KI ANZANI HAPA KWENYE MECHI YA MAANA

  • @MashyakaEmmanuel
    @MashyakaEmmanuel หลายเดือนก่อน

    Tou naipig san 6:40 azam

  • @OmarRwamakuba
    @OmarRwamakuba 2 หลายเดือนก่อน

    Niliyatamka mwanzokusema azamu mbeleya APR. Hawataweza. Wanacyoweza nikutengeneza UNGA wakupikiya cyapati. Iyitimu ya APR. Nitimu yamajeshi ikumbukwe Ivo uko Tanzania. Siyo vitalo. Yaburundi

  • @VincentJamesNampunda
    @VincentJamesNampunda 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hatutaki kuwaona Tena huku mwaka Jana na mlituboa hata APR sasa upangiwe na nani Bora hata KMC wapuuzi

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 2 หลายเดือนก่อน

    Aibuuu hiiiii jamani lokhoooo azam mnanini

  • @YohanaHaonga-y7q
    @YohanaHaonga-y7q 2 หลายเดือนก่อน

    Azam wanatuaibisha aisee sana niheri TU wangebaki kuuza askrimu

  • @GeorgiaVedasto
    @GeorgiaVedasto 2 หลายเดือนก่อน +1

    na badoo 😂😂😂

  • @MeshackMalemba-zm6cl
    @MeshackMalemba-zm6cl 2 หลายเดือนก่อน

    Yana uwanja mzr san

  • @rahmalutengwe2901
    @rahmalutengwe2901 2 หลายเดือนก่อน

    Kocha kiukweli Hana maarifa, alishindwa kuwasoma APR, kwanza APR hawana uzoefu wa mashindano haya.APR sio timu ya kunitoa AZAM

  • @tmcchannel4767
    @tmcchannel4767 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa hali hii ya azam, simuoni feisal akiwa azam msimu ujao. Kama simba watakuwa serious kumhitaji feisal itakuwa ni nafasi sahihi sana kwao na hata kama hawatamhitaji timu itakayokuja na offer nzuri feisal ataondoka azam sababu hapati kile ambacho anatamani apate yeye kama mchezaji star ndani ya ardhi ya Tanzania

  • @Boston___14
    @Boston___14 2 หลายเดือนก่อน

    🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼

  • @WillyB.Mnyaga-rh4hx
    @WillyB.Mnyaga-rh4hx 2 หลายเดือนก่อน

    Azam wamecheza vizuri, ila waamuzi wamewaumiza azam

    • @ManuDibango-n4c
      @ManuDibango-n4c 2 หลายเดือนก่อน

      No no no wewe ulihangaliya match gani? Azam hawakuceza wanajuwa kurara uwanjani tu

  • @Champion_3
    @Champion_3 2 หลายเดือนก่อน

    How did This Azam manage to become second in the Tanzanian League??? They really play Haram ball

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 2 หลายเดือนก่อน

    Azam ni timu isiyo na malengo yoyote kuchukua medali ligi ya ndani ama kimataifa ni timu ya burudani na biashara pamoja na kuikamia Simba.

  • @heychanel5443
    @heychanel5443 2 หลายเดือนก่อน

    Mwadutengushye ntabyanyu, kunanirwa agakipe nka APR?

  • @SogoroAdam
    @SogoroAdam 2 หลายเดือนก่อน

    Yangu Leo Azam kam inagombania nafasi ya pili au ya kwanza marefu waminyen mtakavyo Kwan hawan wakifanyacho wanatuaibishs

  • @jamilplatnumz
    @jamilplatnumz 2 หลายเดือนก่อน

    Tunaipenda Azam bhanaaa😂😂

  • @mugaboadrien9452
    @mugaboadrien9452 2 หลายเดือนก่อน +2

    Apr oyeeeeee

  • @ndatimanaeric4537
    @ndatimanaeric4537 2 หลายเดือนก่อน +2

    APR OYEEEEEEE

  • @livinuskamugisha5296
    @livinuskamugisha5296 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kazi kuwakazia simba na yanga tu kimataifa Aaaa

  • @ClauDen-j7i
    @ClauDen-j7i 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wow!!!!!!

  • @hidayajuma7946
    @hidayajuma7946 2 หลายเดือนก่อน

    Oooo mavi matupu

  • @IssaMataro-hp4bd
    @IssaMataro-hp4bd 2 หลายเดือนก่อน

    madhara ya kukumbatiwa na marefa kwenye ligi yetu goli la pili walilofungwa azam ni kama magoli waliyonyimwa yanga kwenye dabi kwamba no offside

  • @Thereallucasmachius
    @Thereallucasmachius 2 หลายเดือนก่อน

    Feisalii anawaponzaaa😢😢😢 kiko wap

  • @vinny.morales
    @vinny.morales 2 หลายเดือนก่อน

    Hivi Azam wana shida gani lakini? Maana kama pesa ya kusajili na kulipa mishahara mikubwa wanayo ila matokeo mtihani.

  • @United4ever1
    @United4ever1 2 หลายเดือนก่อน

    Azam itafute kipa, maana huyu hana faida

  • @JumaNyanda-ng1cz
    @JumaNyanda-ng1cz 2 หลายเดือนก่อน

    Azma hawawezi kit Bora namngo

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 2 หลายเดือนก่อน

    Naombeni kujua hivi haya makenge ma azamu yalivyotolewa huku yana dondokea shirikisho au yanarud kuuza barafu za mzee bahlesa

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk 2 หลายเดือนก่อน

      Wanarudi kwenye NBC,hii preliminary hata hivyo msimu huu hakuna kudondokea shirikisho anayetolewa CL hatua yeyote ni nyumbani tu.

    • @elbaricktv1632
      @elbaricktv1632 2 หลายเดือนก่อน

      @@Joe-tr2vk ok 👍

  • @NyitaneNyitane
    @NyitaneNyitane 2 หลายเดือนก่อน

    Walienda kufany biashara zasiri si kucheza mpira. Wangekuwa wako silias na soka ingekuwa inatish kisoka ila wapo ili waendesh biara zao. Biashar zao zinaenda na sisi wanatualibia sok letu. Bora wasiwe na timu wafany majukum mengine y utangazaji na vingine