SIKIA BWANA - KWAYA YA MT KIZITO MAKUBURI | TAMASHA LA STEPHANO DAY BUGURUNI 26 DEC 2019
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ธ.ค. 2019
- Karibu mpenzi mtazamaji wa JUGO MEDIA leo tunakuletea Perfomance mbalimbali zilizofanyika katika Tamasha la Stephano Day lililoandaliwa na Parokia ya Mtakatifu Stephano Buguruni. Tamasha hilo lilifanyika tarehe 26 desemba 2019 Buguruni na lilihusisha kwaya mbalimbali kutoka Jimbo kuu la Dar es Salaam, na kwaya hizo ni kama ifuatavyo:-
1. DESPINA
2. Kwaya ya Josephine Bakhita - Pugu
3. Kwaya ya Familia Takatifu - Buguruni
4. Kwaya ya Kizito - Makuburi
5. Kwaya ya Mt. Stephano - Buguruni
6. Kwaya ya Anthony wa Padua
7. Kwaya ya Xavery - Chang’ombe
8. Kwaya ya Vijana
9. Kwaya ya Malaika Gabriel - Segerea
10. Kwaya ya Upendo wa Moyo - Buguruni
11. Kwaya ya Maria Goreth - Mbagala
Mawasiliano:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405 - บันเทิง
Kama unaipenda RC gonga like twende pamoja,, I 💖RC
Safi Sana na mungu awabariki sana
Safi sana
Sanaaa
Huu wimbo kwny mkesha w mwaka w mpya huwa una vibe hatareee
Naipendaaa!
very competent choirmaster.....show love by liking
Praise be to God Bryt
Mungu sikiya sautiyangu ni epushe jaribu.
Najivunia kuwa mkatoliki,
Nice song ❤️❤️
asaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaanteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana,nyimbo nzuri kabsa,munaweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeezaaaaaaaaaaaa
Najivunia kua mkatoki good song mungu ni mwema !!!!!!
Am proud to be a catholic,, gud sog
2021 nazid kubarikiwa jamani naipenda rc nasitoama aisee
Amina
Mungu Sikia kilo chetu sisi Watoto wako tuponye na corona. Lord Jesus have mercy on us. All things are possible with you Jesus
I love this song wewe ni Mungu kila wakati
Mungu wangu hio Tenor imeanzisha waaaahhh imeweza......heko kwenu
Kazi nzuri najivunia ukatoliki, najivunia hii choir.👏👏
I really love this song....sikia bwana sauti yangu.....God bless...it's my daily medication.
Hii kwaya huwa inanisisimua sanaa.😍
Who is here listening to this blessings song🤗🤗🤗🤗
Wacha weeeeeeeeee,,,,,,,,,
This song reminds you to always give praise to God after success
Nimesikia sauti ya Mungu na Mungu ni Mungu kila wakati.
Naona Mwalimu mkasa paleee Kwa Corner. Hongera Wana kwaya Kwa wimbo mzuri
Mungu apewe sifa na utukufu nanyi mbarikiwe sana. +
Asanteeeni saana kuimba ni kusali mara mbili
Mung u azidi kuwalinda milele na milele.......Amina
Nabarikiwa sana,,Mungu awatunze mzidi kutumika kwa ajili yake, mbarikiwe sana
Mkovzur mnaimba kwahica kali hongereni sana
kazi nzuri kweli kweli
Amazing choir......am blessed. Proud Catholic 🙏
Proud to be cathorian
Haleluya amefufuka 12/4/2020 wewe ni mungu kila wakati
Wow..the choir director
Hapo sasa penda sana hii kwaya ilishabarikiwa Kwa uimbaji tu huwa mnanikosha sanaaa
Mungu awabarikia kuwa mkatoliki raha unaenjoi tu
Choir master ilibidi awekewe maana hicho kiti kinaonekana kidogo hapati Uhuru wa kujinyanyambua. Safi saaaana
Huu wimbo hunibariki mara zote nikisikiliza. Nakuja nimebeba sifa kukuzungushia Mungu wangu.
Kwaya ya mt. Kizito makuburi Mubarikiwe Sana na mungu huo wimbo hua najisikia nikiimba hasa bass and ternor na spra milele na milele napenda kuwatazama kila Mara huo conducter waaah
Baraka tele kwa uimbaji wenu.Mzidi kumtumikia Mungu kwa talanta yenu naye atazidi kuwabariki !
Amina
Anybody being blessed with this song 2021....🙏🙏🙏We are here to stay with these Angelic voices.....+254 am looking for you🤗😇🥰🙏
Proud to be catholic 🥳😍
Huu unasimua kweli, najisikia kama Niko na mungu mbinguni.
Mnatisha Seema nimekosa alubamu ya nyimbo zenu
Tunashukuru Sana kwa utumishi wenu nyimbo nzuri zinanipa mafunzo na furaha.
Cositavia Cosima karibu kwa channel yetu ya Kwaya KMK Makuburi ukiingia pale nyimbo zote za album ya Mimina neema zipo buree kabisa 🙏🏽
Hawa jamaa wananibariki maana sichoki kuwaangalia wanatumia vipawa walivyojaaliwa na mwenyezi Mungu fanyeni kazi ya Mungu
Very powerful song, Thank you my Father .... Amen
Mungu sikia sauti yangu na ubariki mipango zangu
The song was sang by Mwingi Choir on the river bed not knowing that the Lord was hearing their voice and the death was hearing them too..may their soul rest in eternal peace 😭😭😭😭🙏
May they rest in peace
Amen
😭😭😭😭
All Catholic choirmasters you're always on top
Kunakajamaa kafupi nakaon kwa mbali akajabaki nyumba........Mungu awabariki sana
Amina
Amina mbalikiwe kwa jina la Bwana
Amina
Choirmasters na choirmistress wote tuna comment wapi,oh God cjawahi jutia kuwa mkatoliki
Tuko!
Mubarikwe zaidi na zaidi milele.
Wanakwaya wa makubuli nawakubali sana asante mungu kwa kukuimbia wimbo mzuri ka kukutukuza ww uliye juu Amina
Mtakatifu kizito asante wana kwaya nyimbo hii uwa naicheke toka mwaka jana
Napenda kwaya mt kizito makuburi nawapenda waimbaji wake wote na zipenda nyimbo zao zote nawapenda xna mnaimba vzr
the conductor really inspires me. I just enjoy the music.be blessed.
Choir master uko top!!! The choir is super i feel blessed
This song blesses me every day, when I feel am down I always listen to it,Am staut Catholic and I thank God for the enter choir
Choir director....you are on point....you made me happy...
My all time favorite choir. Absolutely fantastic performance and uplifting message. Formidable
Mpiga tact hapo .....ubarikiwe na waimabaj mbarikiwe sana
Nice
Alto nawapenda sana... Wewe ni mungu Kila wakati
Munanifuraisha sana
Hakuna mshindan juu yenu mubarikiwe kwa uinjilishaji
Amina
Wonderful choir master proud to be a Catholic woo
Choir master❤️❤️❤️❤️
Ooh my😭😭😭 in Kenya we lost our loved ones, through dwowning .Their last song wa this. Wewe Mungu wa wangu wa Ibrahim, wewe ni Mungu kila wakati
What a pity dear. RIP 🙏
Pole sana
The tragedy is still fresh,,how they danced before drowning ,,, atleast they had a chance to worship the lord,,may their souls rip
Jamani poleni sana
We pray for their souls that they may join the heavenly choir. Amen.
What a catholic song of best std ever blessings to all who made this song to media
Choir master he is very competent
Sanaaa
Amazing
Hongera sana mbalikiwe waimbaji
I miss this choir badly. I used to attend masses when I was in Dar TZ. Congratulations!
Mungu awabariki sana
This choir is a blessing. I miss KURASINI Dar..Mungu awabariki.
Hongereni Sana.Nawatakieni Utume Mwema.TUMWIMBIE BWANA......,..........
Mungu awabariki kwa wimbo mzuri
It's amazing how they corporate with the choir master.... This is a blessing indeed!
Mungu awabariki popote mnapolihubiri Neno lake Yesu Kristo
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼NABARIKIWA saaaana nisikiapo nyimbo zenu MUNGU awasimamie na kuwalinda
mbarikiwe kwa uimbaji mzur
You people are just on another level👍
Happy new year 2022 haupungui neno wewe ni Mungu Kila wakati
Nzuri cana napenda kweli (tumwimbie bwana katika roho na kweli)
Dorcus Antony amina alleluya
Jamani jamani ninawapenda hawa watu Mungu izidi kuwabariki
Daaaah raha sana kumuimbia bwana
Very touching song, Lord answer my prayers for my daughter who has been admitted to Kenyatta university, while I have no how she shall join the university.
Congratulations have made my day ,choir master you did not disappoint singing is praying twice Godbless you abundantly
Sweet song calming the soul. RIP mwingi choir 🙏🙏🙏🙏
komai nesa endwa ma ngai,,heaven is happy now
Mungu awabariki saana
Mkonduct ako na vibe lakini kiti hakimruhusu barikiwa Sana
Nakuja nimebeba sifa mungu tu kujia kwa maana ni wewe kila wakati
Mnanibariki Sana wapendwa. Mungu azidi kuwainua kila siku .
Àmina
Liz. I feel blessed when I listen your songs, mkatoliki damu, be blessed
Beautiful music, beautiful choir.
Jamani🤗 hadiraha najivunia kuwa mkatoloki🙏
Choir master duhhh
😂😂
Ww ni Mungu kila wakati#covid19
It was sung on my mums burial ,I like it but everytime I listen to it tears comes out uncontrollably.
I like Makuburi
God is Great no fear of covid 19 let us Praise our God he is a concarous he can heal us.
Just going through this song evytime am down 😥😥 thanks for this song it helps me feel better
Naupenda kweli huo wimbo. Na Kwaya ya St. Kizito imeutendea haki kabisaaaa. Thanks Kwaya master uko vizuri
Huyu master huwa namwangalia simmalizi
huo ni mzuri sana milele na milele
Amina mungu awa tunze
Sikia bwana sikie eeh MUNGU wa wokovu Wang🙌🙌🙌 sikia Leo tu MUNGU wangu naeleza furaha nilionayo mm nimejua ya kua we n MUNGU uliponitoa n siri yangu
This song makes my day! I love the choir master
Wah! Nime skiza hii Nyimbo Nimeshinda kama Roho Mtakatifu Amenishukia, hongera sana Naja Kuwashuhudi Mkiimba Live
Mmetisha sana hongereni
Huyo choirmaster ako another level very nice
Hapo Sawa,wimbo mtamu kweli,,,manena nayo nisemeje...shukrani sana ...🙏🙏🙏
Ipo vizuri hongereni sana
May their souls continue resting in peace we love you so much
Wimbo mtamu Sana ...my best Catholic hymn, congratulations @st kizito makuburi choir...