Mt. Kizito Makuburi - Tena (Live Performance)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
- Mt. Kizito Makuburi wakiimba wimbo wa Tena, utunzi wake B. Mukasa baada ya kurejea kutoka kwenye Hija Kawekamo - Mwanza.#Tena#Kizito#Makuburi.
You can support evangelism through
⭐MPESA TILL NUMBER🇰🇪: 9948385
NAME: EVELYN JEPKEMEI
⭐MPESA LIPA NAMBA 🇹🇿: 5425652
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐MPESA 🇹🇿: +255742000089
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐Bank Name: Kenya Commercial Bank (KCB)
A/C No: 3390899162
Name: KWAYA MT. KIZITO - MAKUBURI
Branch: OYSTERBAY -Dar es Salaam, Tanzania
Swift code: KCBLTZTZ
You're warmly welcome
That lady in kitenge who js beside a lady in blue gown always sings with great passion.
Yes I agree
Ni kweli kabisa namkubali sana mungu amsimamie hakika
There is just singing n kunayo passion in singing. two different things, that lady sings upto heaven. ata pia the choir itself kuna passion.
what is her name
@@KarugabaWilsonher name is Magrethchizaye
Mara ya 100 nauangalia huu wimbo jamani Mungu azidi kutukuzwa 🙌🙌🙌🙌 Karibuni Tena
wimbo mzuri sana
How sweet it is to serve the Lord...being in His presense is better than 1000 elwhere. God bless MKM,LOVE FROM +254❤❤
Naomba mwalimu Mukasa aweke huo wimbo TH-cam tafadhali
Najua utakuwemo kwenye album ijayo..... Eeee mungu niweke hai nipate kuishuhudia album hiyo....
Kwaya yangu namba moja duniani hakika mungu hawabariki
Yaani mimi hii kwaya lazima nije niimbe nanyi nawakubali sana
Jamani hicho kinanda hapo mwanzo 🙌🙌🙌🙌🙌Your the best Guys
That is why I believe in the Catholic faith. Nothing will seperate me from it. God blessed you for signing and praising his name.
Asanteni sana watumishi wa Bwana kwa kazi njema ya utume Mungu awabariki na kuwalinda siku zote za maisha yenu na kuwajalia nguvu za Roho mtakakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu amina
Sichoki kuwasifia jamani pia nawapenda sana
I like how mnafungua vinywa kutoa sauti ya masifu kwa Maulana
Always smrt ....karibuni kenya
Mimi namkubari kwaya master anafany kaz yake vzru sana na pia niwapepongeze kwaya nzima mnafanya kazi nzuri na huwa siachi kusikliza hii nyimbo
Eeee ni wewe tena uhimidiwe ni wewe tena
Huwa naskia kupeperuka nikiwaona hawa wana choir.....sweet voices
Mt kizito makuburi nawakubali sana conductor zakaria gerady lyimo 🙌
Zachariah my Roalmodal you always makes me to see the conducting is so simple the way you're making organizations of instrumentals real I appreciate much Mangi 🔥
Bless u mangi 🙏🏼
A young boy playing such a huge organ....kudos
Mbarikiwe san kwanya mt. Kizito🙏🙏🙏🙏
Bwana awabariki mtunge wimbo wa sabato
The best choir in Tanzania 🇹🇿
KMK never disappoint
Listening from Uganda 🇺🇬🇺🇬
Great 👍 👌
USHANGILIWE TENA BARIKIWE😍😍🥰
One day I'll join this choir....
Long live KMK
Bwana awabariki Sana kwaya za makuburi zote ,mnanibariki Sana kwa uimbaji wenu
I love u all en u'r the most catholic singers😘😘
Congrats too all of you, nice Muzik, Big up sana kwa mtunzi
Daaah!!! Hakika Mungu atufanye tuwe mawakala wake wema. Hongererni Sana watumishi.
Mubarikiwe watumishi wa Bwana kwa kazi njema ya utume
Hongereni sana mpendwa
Ahsante sana Makuburi Choir. Hakika Mungu Atawabariki sana. Dunia yote inawasikia. Uongozi na Wanakwaya safi
From Uganda. Wabule Grace. You are so beautiful and wonderful.
Nimefurahi sana kuona nyimbo zimerudi
Wow sweet voices indeed,well articulate and balanced choir,may God bless you,continue inspiring you,protect you,lead you and give you His grace forever🙏,all the best for your future endevour👏🤝💕💞🔥👍
Que assim seja, amadas almas.
Aprecio desde o Brasil.
Upande wangu mara nyingi hamkosei hongereni kwa utume
Kwaya masta umejitahidi ana
Tunaomba mmerekodi huu wimbo mkiwa wote
Mpo vzur xana
Utume mwema katika Bwana wetu Yesu Kristu
Best of the best Mungu awabariki sanaaa
KMKM ni 🔥🔥🔥
I love this choir so much
I love this choir 😍
Hongera sana
Hongereni sana wapendwa, kwa kuimba vizuri.Mungu aendelee kuwaneemesha muendelee kumuimbia zaidi ya hapo.Yaniiiiii!!
My best choir.you sing with so much passion.nawapenda
Heri wewe tena ushangiliwe Tena amazing congratulations keep it up wanakwaya wa Mt. Kizito.🙏🙏🙏🙏
Eee niwewe tena ushangiliwe tena🙏mbarikiwe
Hongereni kmk nawapenda sana
Makuburi haoooo Tena 🔥🔥🔥🔥
Hongereni Sana mungu azidi kuwabariki 🙏
Wonderful song ✨
Asanteen kwa uinjilishaj
Kazi nzuri sana Wanamakuburi
❤❤❤❤
Napenda hii live session kwakwel kuliko hata original 😁💓..Mungu awabariki Kwa kutuburudisha
Wewe kama mimi🔥🔥🔥🔥🔥
Mnahamasishaaa baarikiweni mpk mshangaeee
Kwaya bora zaidi kwa sasa dunia nzima
O Eterno continue os abençoando!
Waoh hongereni sana.
mbarikiwe sana kmk.....nice coordination of the choir..
Hongereni sana watumishi
Karibuni manyara
kabisaa waje tuwaone ninavowapenda
The best performance ever
Kamwe Msife moyo. Maombi pia muhimu ili kumshinda Shetani.
Tuned from Kenya
Safi sana
Very good
Safiiiiiiii...
Nice song
Nice song congratulations.
Wooow, very nice
God bless you 🙏🙏🙏🙏🙏
Blessings
Great. Indeed amazing.
Mungu awape nini
🙏🙏
Blessed family
What is the title of this song and composer kindly assist
Haya tena....Bernard Mukasa