IBADA ZINAO PEDWA ZAIDI NA MOLA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น •

  • @haoa.
    @haoa. 2 ปีที่แล้ว +2

    Jazakallah khaira Allah akujalie janatul firdaus inshaallah

  • @shanially1312
    @shanially1312 3 ปีที่แล้ว +1

    Ma sha Allah sheikh jazakallahu kheir 🤲 Allah azidi kukuhifadhi tuzidi kunufaika in Sha Allah 🤲

  • @adijahmdosi5863
    @adijahmdosi5863 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah tabarakallah Mwenyezi Mungu atujalie na ss kujali wezetu jazzaka Allah kheri 🤲💕

  • @sophiasharif9183
    @sophiasharif9183 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah nikisikiza mawaidha yako sheikh moyo wangu hutulia

  • @timemasoud6893
    @timemasoud6893 ปีที่แล้ว +1

    Jazakallah khair

  • @greysonflams2237
    @greysonflams2237 4 ปีที่แล้ว

    Jazakallah 𝕜𝕙𝕖𝕣𝕚

  • @samirahassani8606
    @samirahassani8606 2 ปีที่แล้ว

    Mashallah sheikh Allah akulipe kheri ,unatuelimisha Sana jazakallaah kher.

  • @raziambwana2145
    @raziambwana2145 5 ปีที่แล้ว +6

    Alhamdullih hakika Hii nielimu yenye kuendelea. Afadhali ww utakao achaswadaka yaelimu yenye kuendelea wallah.

  • @aliruragaragaza690
    @aliruragaragaza690 5 ปีที่แล้ว +5

    JazakAllah khaira. ..may Allah protect u cheikh. ...

  • @hidayakhatib2884
    @hidayakhatib2884 4 ปีที่แล้ว

    Masha allah allah akujaalie umri mrefu wenye afya uzidi kutuelimishaa

  • @sherrysweet7024
    @sherrysweet7024 6 ปีที่แล้ว +2

    Masha Allah Tabaraqa Allah

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar2619 6 ปีที่แล้ว +2

    Bismillahi Ma Sha Allah jazakallah kher...Allah Akuzidishiye Utajiri Wa Afya ili Uzidi Kutuelemisha...Ahubuk lillah From Saudi Arabia

  • @rutahalima1400
    @rutahalima1400 6 ปีที่แล้ว +11

    Asalam Aalaykum warahmatullahi wa barakatuhu nashukuru kwa jibu lenu adhuim. Linalo husu ku swali mimi ni muumuni na nchi hii ya france wanapinga sana uwisilmu na nimarufuku kwao katika sehemu yakazi kuonesha kwamba wewe ni muumuni. Taabu lkini Allah huwa ananisaidiya nikiwa kazini napata mda wa kusali kwa uficho isipo

    • @alizahranmohd4095
      @alizahranmohd4095 5 ปีที่แล้ว +1

      pole san ndugu.

    • @wahidawahida6675
      @wahidawahida6675 5 ปีที่แล้ว +1

      Pole sana allah atakulinda ivyoivyo ucjali wala usihof

    • @jumaramadhan3881
      @jumaramadhan3881 4 ปีที่แล้ว +1

      Allah akulinde na zidi kusikiloza na kisoma darsa upate dua za kuwashinda wanaokusumbua

    • @faridaikussi
      @faridaikussi ปีที่แล้ว

      Tafuta nchi itakayokuweka hurunadiniyako

  • @mamamuu8217
    @mamamuu8217 3 ปีที่แล้ว

    Subhanallah Allah Allah akuepushe kila balaa. Sheikh Mimi napenda kusliliza mawaidha yako, Allah atupe mazingatio. 🤲🤲🤲

  • @anjunurdin2392
    @anjunurdin2392 5 ปีที่แล้ว

    Aameen

  • @ukhtysakinaa7664
    @ukhtysakinaa7664 5 ปีที่แล้ว +1

    Jazakallah kheyr

  • @asiaimamu3435
    @asiaimamu3435 6 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah Jazakallahu kheri

  • @alizahranmohd4095
    @alizahranmohd4095 5 ปีที่แล้ว +2

    othman maalin na ww nd mashekh wangu

  • @muniramohamed8887
    @muniramohamed8887 7 ปีที่แล้ว +9

    Mashallah Allah akuzidishie elimu yenyee manufaa amin

  • @nusralilobwa4752
    @nusralilobwa4752 7 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah Allah azid kukufanyia wepes uzid kutumbusha

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein2635 4 ปีที่แล้ว

    Insha Allah Allah atukinaishe kwa alicho turuzuku na atupe uwezo wakukatazana yasio mfurahisha Allah 🤲🤲🤲

  • @munaseif9769
    @munaseif9769 6 ปีที่แล้ว +10

    we shehe naangalia sana mawaiza yako yaani nakupenda sana kwa ajili ya mawaidha unaongea vizuli

  • @zabibunduwimana4612
    @zabibunduwimana4612 5 ปีที่แล้ว +1

    Shukrani sana Shekhe.Allah atakulipa kwakutuelimisha

  • @omarykatongo4943
    @omarykatongo4943 6 ปีที่แล้ว +4

    Haitoshi mm na ww kuwa muislamu ilhali nguzo zake hatuzikamilshi ipasavyo haswaa ile isiyo na mbadala. Allah atujaalie wepesi ktk kher

  • @likeothers2498
    @likeothers2498 4 ปีที่แล้ว

    MashaAllah

  • @Stanbul.Y
    @Stanbul.Y 4 ปีที่แล้ว

    MashaAllah Shukran

  • @inabikorwaneema8815
    @inabikorwaneema8815 5 ปีที่แล้ว +1

    Barak'Allahu fiiQ

  • @hassanomary4923
    @hassanomary4923 5 ปีที่แล้ว +1

    Shekh ALLAH akuzidishie elimu yenye manufaa

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 5 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah

  • @zuhuranahimana7197
    @zuhuranahimana7197 6 ปีที่แล้ว +2

    بارك الله فيك

  • @tommariam4393
    @tommariam4393 7 ปีที่แล้ว +1

    Jazakallah kheir. M'mungu akuzidishie umri na akulinde na maadui inshaAllah.

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  7 ปีที่แล้ว

      Tom Mariam Ameen na ww mola akupe mazuri duniani na akhera

  • @happyarooun6037
    @happyarooun6037 6 ปีที่แล้ว +5

    nilijua ww ni wazanzibar kumbe kenya sasa nimeona kiswahili chako kama cha almarhum shekhe Aboud rogo

  • @sadikirupia8692
    @sadikirupia8692 4 ปีที่แล้ว

    Swadakta

  • @abughatimsalim7047
    @abughatimsalim7047 6 ปีที่แล้ว

    Mashallah

  • @somoendege4677
    @somoendege4677 6 ปีที่แล้ว +3

    Duh! Shekh Ahsante ujumbe umefika vilivyo

    • @HassanAli-kq4sp
      @HassanAli-kq4sp 3 ปีที่แล้ว

      Wa Jazakallahu khayr, na Mungu akuhifadhi In-Sha-Allah.

  • @jaffaribori443
    @jaffaribori443 6 ปีที่แล้ว +1

    shukran sana ustadhi

  • @asinakassim1548
    @asinakassim1548 6 ปีที่แล้ว

    MASHAA ALLAH MASHAA ALLAH MASHAA ALLAH

  • @ramadhanially6613
    @ramadhanially6613 6 ปีที่แล้ว +1

    Manshaalha jazakalahu heira

  • @zuhuranahimana7197
    @zuhuranahimana7197 6 ปีที่แล้ว

    Nimeipenda saaana hiimada .

  • @omarshaban8692
    @omarshaban8692 7 ปีที่แล้ว

    Masha Allah

  • @ganettsofa7015
    @ganettsofa7015 6 ปีที่แล้ว

    Ma shaa ALLAAH

  • @popespopeye9353
    @popespopeye9353 6 ปีที่แล้ว

    jazaqallah خير

  • @happyarooun6037
    @happyarooun6037 6 ปีที่แล้ว

    shekh nini hukmu ya kupost picture fb au instagrm

  • @yumnaissasalum3444
    @yumnaissasalum3444 4 ปีที่แล้ว

    Subhanallah💔sasa kuna jambo limeingia instagram wanatuma kitu utashinda kwamfano mitandio au simu au jiko chochote wnakuekea sheria zao ufate na badala yake ukitimiza hilo jambo zaid ya wenzako utashinda kile kitu...ni haram? Haifai?

  • @rutahalima1400
    @rutahalima1400 6 ปีที่แล้ว

    Isopo kuwa mda unakuwa imeenda

  • @rutahalima1400
    @rutahalima1400 6 ปีที่แล้ว

    Asalam Aalaykum wa rahmatullahi wa barakatuhu Allah akuhufadhi sheikh
    Mimi nafanya kazi usiku nikitoka nyumbani kwenda kazini mda wa kuswali Maghreb na isha una kuwa haujafika huku france time za swala hutegemea na saison sasa hivi time ya maghrib ni saa 9 na dakika 51 na moja usiku je na weza kuswali Maghreb na isha Kwa pamoja kabla ya kwenda kazini ? Jazakumllahu khairan

    • @hamadsabdat6399
      @hamadsabdat6399 6 ปีที่แล้ว

      asalam aleykum.yaruhusiwa kuchanganya sala kwa maana adhuhur na al asir ukaziswal kwa mda mmoja wapo wa swala hizo na maghrib na ishai kwa wakat mmoja wapo wa swla hizo.lakin kuna sababu zake zinazokupelekea kukusanya swalaa

    • @hamadsabdat6399
      @hamadsabdat6399 6 ปีที่แล้ว +1

      lakini kigezo cha kazi hakuna kwa maana hiyo watakiwa huko huko kazini uifika mda wa swala km nimuumin wa kwel uache kaz japo dkk 5 upate kuswal

  • @saadsud3167
    @saadsud3167 6 ปีที่แล้ว

    Asalam alaykum Naomba namba yako shk yangu hii 94425158

  • @asinandassi8612
    @asinandassi8612 6 ปีที่แล้ว

    alaaaaaaaałaalaaaalaaaaaaaaaaa

    • @thaubannaftali1439
      @thaubannaftali1439 6 ปีที่แล้ว +1

      If you have nothing to comment it is better to keep quite

  • @nurufidel5346
    @nurufidel5346 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah