DIAMOND PLATNUMZ: MEDIA HIZI ZIMEJARIBU KUNIUA ZIMESHINDWA / ALIKIBA / SIJA MFOLLOW
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 มี.ค. 2018
- (PART3) EXCLUSIVE INTERVIEW NA DIAMOND PLATNUMZ KWA MARA YA KWANZA TIMES FM BAADA YA KUTOKA TU KENYA, KAONGEA MENGI SANA KUHUSU BEEF NA MEDIA, ZARI, ALBUM YAKE, WEMA, ALIKIBA, KUFUNGIWA NYIMBO NK.
Fatilia mahojiano ya moto na mastaa unaowakubali kujua kila kitu kuhusu Muziki na Maisha yao, #LilOmmy #THEMVP #KingOfInterviews anakukutanisha nao hapa hapa kwenye #LilOmmyTV
Let's Connect
/ lilommy
/ lilommy
/ lilommyfanpage
lilommy.com/
Hakikisha Subscribe, Gonga Like, Angusha Comment na Share kwenye WhatsApp Groups au Facebook na Twitter..... enjoy! - บันเทิง
Yani mimi kila nikiisikiliza hii Interview ninapata uchungu na ninazidi mpenda Diamond Platnumz. Appreciate kwa Diamond Platnumz No one like Diamond Platnumz
Maana Kuna media zingine sijui ufanye nini, labda wakulale, kama na wewe umesikia hapo gonga like
Natamani harmonize mjeshi aende kuirejea kuiangalia hii interview ili ajifunze kitu ktk safar yake mpya aliyoichagua. Mondi mungu azid kukupa na akuongezee ktk fungu ulilonalo. Hamo watu walipambana kwa ajili yako nawe pambana kwa ajili ya wengine. Wcb for life
Sn yn maneno hayo yanamfaa sn korosho Hy maneno ya mtu mwenyeupeo wambali sn
Kama umeskia Neno bro mara 20 like hapa👇👇👇
Diamond we ni best artist in east Africa ,kuanzia Leo we ni professor wa interview mana unavyojibu haya maswali kama vle umesomea na una taaluma , appreciate Diamond
Saaf
katisha sana
True
After 9 years ... Leo ndo nimemjua who really is Diamond Platinum
Ila we liloomy ni mchawi mana maswali nlyonayo ndo hayohayo unamuulza Diamond ,duuu we ni best presenter tz
Interview kali sana hii kama unachek hadi leo 26/8/2020 gonga like apa
Kam unaangalia hii intavy wakati lilommy amehamia wasafi tv
It remains the best interview of all time
Kama bado unacheki iyi interview ya kizazi hadi 2019 Dec. gonga like apa twende sote
Ina pendeza
2020
Pole kwa yoteupitiayo napendi ishuja uliyo nayo love you may dia
2022 hinaish
Kama umecheki hii interview hadi January 2020, gonga like hapa.
Hkg
Juni 13
june 27
Mpaka mwezi 10/2020
Diamond
My Favorite Artist in Tanzania
In bongo flvr Diamond platnumz simba
On hip hop Young killer msodoki
Both of them their Genius they has mkre talent
They know how to live with people and other artist.
The best interview ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever........... Haters I see ya...
@Ali Ali we mkundu unawatukana sana watu na coment zao umetumwa ureply au??😋😋😋😋😋😋
Kupitia interview hii nimejua kwa nn vannesa ameacha mzik respect sana kwa wasanii wote
Big up chibu dangote nimekuelewa sana kwa maelezo yako. Siku zote huwezi kupata hela paspo kupitia mikononi mwa watu .
Nikwambie kitu broo
Wewe ndo the MVP broo
Unatisha sana broo
Me ni fun wako sana broo
Unawapa taabu sana broo
@Diamondplatnumz nakukbal sana broo
BUGHY HARRY good haha
Sawa nimekuelewa bro😂
I love Diamond Platinumz......He is my role model....This video imenipata the right time...I've learnt a lot...🙏
Mondi bwana uko serious na kiukweli zaidi ila kwenye bro umenifurahisha sana dash!!!!
Kama umeicheki hii interview 2021 like ziwe nyingi
2023 bado tupo
Diamond: Bro
Lil ommy : Oh yes
😂😂
Kijana mudogo hakiri mingi sana wcb ni 🔥mimi mutoto ya kongo
Jamaa anamkubali sana harmonize aisee mond mwana kinomaa
Brighton..Tulio check hii 2020 plz gonga like.......leo nimekujua zaidi .....Halafu tusifiche Kama chibu alivyoongea kwa hisia ......Anaowasema hapa tusifiche Ni RUGE was Clouds#. ..........Cha mwisho Ni congrats kwa discpline yako BRO
Iv diamond mbn una moyo mzur ivooo siamin mungu akusaidie
This dude is smart 🙏 he will be the one. just keep that way kaka
duh kweli kabisa broo usipende kupelekwa kama mjinga ndo maana wanapotea kwa kuburuzwa buruzwa big up mondi
23/12/2019 bado naiyangaliya hii interview love simba
Pamoja
kumbe unaongea pointi sana nimekuelewa Mwenyezi Mungu akujalie afya njema
Jamaa nilizani bubu anaejua kuimba tu leo nmegundua kumbe jamaa ana madini kinywani ndo maana anaongea kwa piinti tupu
Nan anaangalia baada ya lil ommy kujiunga wasaf
MIMI HAPA NAICHEKI
Lil ommy we ni fundi nadhani unalijua hilo natamani nikuone wasafi tv siku moja,big up kwako mi nilishasemaga comment zangu huko nyuma hakuna presenter kama wewe bongo kwa sasa
My favorite interview of all time
Lets go
Bado tunaangalia interview ya karne 30/6/2021
harmo ni msenge sana diamond platnumz amepigana sana juu awe juuu lakin ivi anajifany kama yeye yuko juuu
Kama unaicheck hii interview 2020 plz gonga like tujuane
Hii interview mpk Leo naichek 23-10-2019 ni noumaaaaa
👍👍👍👍
Nakobareee sana chigu
Mm leo 27/3/2020 na ingalia
Am steal whatchng 2019 end of years big interview for aver
bef la mond na kiba lilitengenezwa na alikiba aliasept ndo maana kanyonywa hadi mwisho mond always yupo juuu gonnga likee
Pointless
Diamond kanipigia simu anataka nimpe collabo..naomba advice yenu..
This guy has a beautiful heart..very beautiful!! GOD embraces such hearts! Bless u Nasib Abdul
Nimekubali Dai ni muwazi na amefunguka kweli na hayo maswali angekuwa ni Ally dah mngeona majibu ya kidharau, safi mno diamond
utumbo mtupu
@Ali Ali we mbona unareply coments za watu??😋😋😋😋😋😋 au umetumwa hapa ni kutoa maon ya kila mtu toa yako na ww😋😝😋
Napenda hiii interview iwe ndio best 2020.... To 202...
Kama Umemuelewa Diamond Platnumz Vizuri Kama Mimi Basi Gonga Like Yako Hapa. #TeamPlatnumz
DicksonMsetiVEVO tupo pamoj
DicksonMsetiVEVO kama kawa
Umetishaa
tishaa sana
DicksonMsetiVEVO ,jamaa mkal
Nilichogundua kwenye hiii interview Neno BRO Limetumika sana #INFACT
tatizo nn kwn
No heshima tu anajua kuwa huyo ni mkubwa wake hawezi kumkata jina
Ulitakajee ww
boe_bryn tv hhhvhhhhvh
Dah ulitaka atumie neno gan?
Msani ambaye kwenye interview hakuna swali analoshindwa
My favorite interview of All time,, 21-04-2021
Best interview inaishi had Leo 2021 🔥🔥🔥
Unaongeaaaaa point sanaaaa. Mungu akuongoze uendeleee hivo hivo. Usishuke chiniiiiiiiiii aiseeeeeee. Km unakubali gonga life hapa
Huyu jamaa ana akili sana.....Ni vigumu mno kumuangusha...Keep it up DiamondPlatinumz
Jamaa ni kiboko hana mbwembwe
Wewe huna😀😇😇😇😂😂😂
diamond platnumz big up sanAaa simba ndan ya village
as for the use of the day of zzzçxcvggggggggggggggggchjjo99ll
Mimi napenda muziki wako
Bro unaongea haraka kama umemeza cd, ila nakukubali endelea kupambana never quit
One of my best interview of all the time Feb,2020.
Mashaa llah ww unajua mungu atakufanyia wepec in shaa llah
No comment ahahaha😀😁😂
Gonga like kama unamkubali simbaaaaa
Broo ulipotoka na hapo ulipo u deserve Broo
Raj
Lil ommy yupo sehemu nzuri,Wasafi FM
Like kama umeangalia hii interview baada ya Harmonize kusaliti chama la wana WCB 4life
Kwa diamond platnum kumuit huy jamaa bro dah kwel mond msoto umekufunz heshim kaza bro bado safar ndef
Diamond uko vizuri bro. Unafaa kuigwa na artists wengine. Keep it up !
Salute to this Niggah...he works and talk smart.intelligent
Diamond Wee ni mfano wa kuigwa bro 👏👏👏👏👏👏
Maongezi yako yanajenga
Simba kweli yaaani Konki Master...Best interview ever Baba Tifaa.
Dkens Mo Pain
J
awato kuweza mzee baba loa wey njo king wa africaaa
Unajielewa sana Mungu akuweke big up sana na una heshima sana ndio maana unafanikiwa.
Benazir Mohammed anajielewa mpka nampenda huyu kaka
27-11-2020 bdo naanglia bonge la interview bin laden simbaaaa
Naseeb abdully (DIAMONDPLATNUMZ,SIMBA,DANGOTE) unaongea vizuri bila majizuno yoyote allah aendelee kutupa maono mazuri mbele yetu...INSHA-ALLAH🙏
More 🔥🔥🔥🔥 I like your interview keep burning brother
1/8/2021 bado naangalia hii interview 🙏👂
Pamoja sana
Yan nataman liliommy ushinde tuzo zoote za u presenter....
manSHYNE
manSHYNE the best and the true comment
manSHYNE exactly
mtaniua njie masela story zenu daaaaaa
Done💪
Best interview still 2020🤙 #Platnumz4ever
Broo nakukubal
Wee Ni kisu buchani hivyo utakufa na Makali yako Kaka Piga kazi
Daaaah Diamond ww mungu anakuona hatakama nyimbo zako hazipigwi so tatizo utabaki kua @BABALAO
waoo hua napnd sn kusikiliz enter view ya mond big up
lil omy unafanya research ya kutosha thats why unapresent vizuri maswali yako keep it up bro
Fatma Salim ana akili mno huyu mtangazaji,
Nakupenda sana mondi
2019 jamaa ana own Wasafi Media daa... maisha ni proccess sio Safari
All watching this interview in 2022,drop like here down
Mond bg up mdogo wangu wewe ni bina adamu tena zaidi yako hakunaa una moyo wa ajabu sana tena wa huruma thank you mond mdogo wangu songa mbele kk .
umeongea vizuri xana a boy from tandale💚
My favourite interview in the world
Huyu dogo ana akili sanaaa,nimefurahi hta huyu mtangazaji yupo tight full vipaji ,hongereni. Clouds na wengine mnaguswa hapo,jitathminini!!!!
mondi mti mkavu hauchimbwi dawa,pambana sana kijana na hongera kwa ushujaa
Bonge la Interview,Lilommy una jua sana
HAYA WALE TUNAOANGALIA HII NDANI YA 2020,...LIKE TUNABONYEZAGA HAPA....ni moja tu.
Bonge moja la interview
Kama tunaangalia 2020 tujuane kwa likes
2020 Still watching who else tujuane
He z very humble diamond ni mstaarabu wa sura habadiliki he speak fact since namfatilia this guy ni tunu ya Africa
My favorite! ,Mbosso,that kid .......,his humility, I love him.
kama bado unacheki hii 2021 gonga raik
mpaka mwisho wa siku nitakukubal daima
Namuombea mungu Amlidesana mungu Amuhifadhi mungu Akuepushie na mabalaa
#DiamondPlatnumz is the best #INTERVIEWEE in Africa!
We mtt mbona unamaneno mazuri unaongea mpaka natamani kulia mondi nakupenda Sana sio kimapenzi ila kwa kazi nzr
Ukweli Ndio Huoo...Pamoja Sana The Real Mvp Ya kizazi Sana!!!
Mwamba mond we kaza
Nice
Anaeendelea kuangalia hii interview hadi leo september 2020 gonga likes apa
Nimegundua watu wanapenda kugandamiza wengine kwa maslai yao :unapoonekana mjanja utaki kugandamizwa wanasema una kiburi AF visa vinaanza
Best interview.....Diamond has grown.kudos
Safii sanaaa Diamond umeongea ukweliii jmn clouds wanatabia mbayaa sanaaa
Mond hajataja clouds wew ndyo umetaja clouds
naomba daimondi nisaidie kimziki Niko chini yako blaza
naomba namba take mond
Kama unamkubali lil omy gonga like
Am back 2019 October... Naomba likes
Upo perfect kaka mungu yupo na ww
Never disappointed me zis interview
if only i could speak Swahili this well
afu leo clouds wanajifanya majirani wa konde gang wakati wamembania sana sna. dogo alivyo amesahau.
x mbwa yule
Ubinadamu kazi sna wallahi
Kweli mwanangu
Uyu jamaa anani inspire sana