Mungu weka mkono wako wa baraka kwa @NANGA azidi kuonekan kutuburudisha na kumtimizia ndoto zake kwa hii kazi anayoifanya kwa juhudi hikika ni muda mrefu toka SERIOUS FUNNY mpka now nilikuwa na kiu kubwa ya kuona kuwa anapata nafas nyingine kama hii ya kutuburudisha kwavile upo na MTAALAM #JOTI bas nasisi tupo nyuma yako wanao kutoka #TANGA @KAREEM ❤
Asante kwa kumleta nanga chuma Chao ... Ni🔥 🔥 sana .
Kaka joti umejua kujua......nanga ndan ya nyumba 💪💪.....na 2024 mpaka waseme
YANI SIJAWAHI KUKOMENTI HAPA. Ila asante sana Joti kwa kuwaleta watu wengine muhimu hapa. NANGA ni muigizaji mzuri sana wa Comedy.
Nanga mtu mbad
Sanaaa
Hakika. Kwenye hili kaupiga mwingi mno
Joti Ana mpinzani sema atutaki kukubali tuuu staili zote anacheza
kweli kabisa tena mi ningependa kuona video nyingi akiwepo mna uwezo wake joti akiwepo na huyu jamaa dah..! kiukwel mtuvunja sana mbavu 😂😂😂😂
Joti kumleta huyu mkuu umecheza kama wewe, namuelewa sana huyu jamaa toka enzi za serious funny 😅😅😅 anajua sana huyu jamaa
Mwalimu Mkuu is quite an actor😂😂😂
Umegundua na wewe eeh???😆🤣😆🤣🤣
@@shyfettymtunda4619 Nimekumiss fetty😀
@@fathiyahmuzney7367 Hahaa!!Miss you too kipenzi.Leo waomba like umewasamehe????😆🤣🤣🤣
Mzee mkeka umechana
Nanga namkubali sana, hongera joti kwa kuongeza nguvu kwenye crew yako! 🔥💥🔥
Kabisa kabisa kabisa
Mkuu ni kichwa kingine, true comedian
Mjomba nanga part ya mwalimu mkuu ilivyompendeza hongereni team joti😅😅❤❤❤
Huyu nanga ni bonge la msaniii....na nadhani muda wake ni sasa....big up jot kwa kumleta huyu kijana...ni mkali wa wakali
Ila Nangaaa, joti unajua kwenda na bitiii Nangaaaa mtuuuu sanaaaa 😂😂😂😂😂
Mwalimu Mkuu,umeitendea haki hiyo nafasi.🔥😂🤣
🙏🙏🙏
Nimefurahi kumwona nanga.. ameft vzr kabsa 🔥
Joti umetisha sana kumuweka huyo Nanga
mwalim Nanga unajua sana, hongera
io kipande ya mkatisho wa bara bara nimeipend..ila mungemuach t andunje ale chuma😂😂
😊
Mungu weka mkono wako wa baraka kwa @NANGA azidi kuonekan kutuburudisha na kumtimizia ndoto zake kwa hii kazi anayoifanya kwa juhudi hikika ni muda mrefu toka SERIOUS FUNNY mpka now nilikuwa na kiu kubwa ya kuona kuwa anapata nafas nyingine kama hii ya kutuburudisha kwavile upo na MTAALAM #JOTI bas nasisi tupo nyuma yako wanao kutoka #TANGA @KAREEM ❤
Uko vizur broo jot nakubar sana kazi zako🤝🤝🤝🤝🤝🤝
Aah😂😂 NANGA kaingia mzigoni😅😅 kivumbi Leo
Nanga ndani ya mjengo,hapa mambo yatakuwa mazuri mno🔥🔥
Piga Kazi Na NANGA Mzee Joti✊🏾🔥
Nanga ndani ya joti tv anh sio pw😊🎉🎉🎉
NAMKUBALI SANA NANGA... TANGU ILE CLIP YA "SOLO... PALA" WAKAONA BASTOLA WAKALOA.
Uyu Nanga anajuaaa sana asee 😂😂😂
Joti tz toka original comedy hezi zilee 🎉🎉
Like kama unamini joti ni best comedian
Naanza mwaka na joti,Like moja kwa JotiTV
Nimekuwa wa 894 kuview
Unyama sana chuma kipya ila mlewa asikosekane 🔥🔥🔥💯
Nipooooo
Nimefurah kuona maingizo mapya, huyu jamaa namkubali sana
Safi sana joti kuchukua jembe langu nanga
Nanga ni mzuri sana, hongera sana joti kwa hilo
Hahaha eti we Mwl gani unaitwa Nanga, huyu mzee kweli jeuri
Uko viziri brooj🤝🤝🤝🤝🤝🤝
Nanga kwenye team 🙌
Nakosa ht Cha kucoment jmn uwii ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ hii chemistry Haina mpinzani 😂😂😂😂😂😂😂
Apo kwananga familia nakubali sana kazi zako broo joti ila ulivyo mleta na nangaaa apo unyama 😂😂
This school now need to be mentioned and if possible shu'd get some funds from Joti TV. 😂😂😂
Nangaaa😂😂 bigup joti nanga tunamkubali
Teacher nanga ishi sana😅😅😅
From Japan Kuma Moto I love you YANGA bingwa 😃😊
Safi Sana joti Nanga hoyee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mkono wa mwalimu mkuu 🎉 Njanuary 😎 Nishaiii
Hongera sana brother kazinzuri 😂
Shule yng nliyosoma jmn Tandale magharibi❤❤
nanga😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Siku Yangu imeisha hvyooo Sina stress kabca 😆😂😂
Nanga weeee❤
Nanga the best one..jamaaa anajua mpaka anakera....pamoja na zito
Atari sana 🔥🔥
Umemchukua nanga safi sana kiufupi jamaa anajua
Never disappoint jotiiii 😅😅😂
Nimemuona Nanga tu nikaanza kucheka 😂😂😂
Mjomba wa VIGWAZA ndan ya mjengo,,,,,,asee ni bonge la USAJILI💥💥💥💥💥💥
Viktaza ahhh 🔥
Mi nasubiri miyeyusho na nishai na nanga..
Mkeka wa milion 5 😂😂😂😂😂
😂😂 Buenos días,me sacas sonrisas a pesar de las circunstancias difíciles 🕊️💕🙏🇦🇷viajan besos 💋💋💋 Tanzania 🇹🇿 y cariño .😂😂 Humor sano gracias 😊😊
Huyo Nanga ni comedy tupu😂😂😂
Kumekucha kumekucha kumekuchaaaaaaa😂😂😂😂😂😂
Nanga ndani ya Joti family, mambo shwari
Big up
Daaaah mtaalamu Nanga ndani ya nyumba sasa series itanoga balaa
always from USA 🇺🇸
Nangaa🔥🔥🔥 uko vizuri
Nanga kama nanga❤❤🎉🎉
Nanga ni fire😂. Usajili mzuri
Hilo kekaa wakuu mmeliona lakini😂😂😂
Kakupiga na kitu kizito😅😂😂😂😂😂 babaandunje
Joti mchkue nanga uwe nae in your team he is very talented ❤
Nanga anajua sana kuigiza yan
Jotiii kumuweka huyu jamaa umenifurahishaaa😂
Huuuu mchokocho kichwani mzee wangu nacheka sanaaa😅😅😅😅😅😂😂😂😂
Ila joti huna baya legend😂😂😂
😅😅😅 Dawa kupiga pin tu walimu wasione raha zetu kwenue status zangu 😅😅😅😅😅
Nanga we ni fire bhana hakuna ka ww
Wawooo umeongeza kichwa kingine nanga
Teacher mkuu katisha sana
Hahahahaha nilifikiri nitakuwa wa kwanza
Nanga in the house
That awkward moment mwanafunzi kati ya mzazi na mwalimu busy kuongea wewe unabaki unasmile tu😂
WE NANGAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA NAKUPENDAAAAAAA😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nanga awepo mwaka mzima wote huu, tutaburudika
uyu Nanga yuko on fire umetishaaa
Nanga safi umetuletea uyu mtu safi sans
Aaaaaaaaa joty umetisha uyu jamaaa anajuaaa
Pere limepata mkunaji . Nanga. Ndani ya mjengo 😂😂😂
Leo wa Kwanza😃
Uyu Jamaa nanga namkubali sana majayanti
Adaaaa
Ada 2024 🌝
Saf sana nanga penda shana😂❤
Nanga ni noma
Nanga unajua kaka
Nanga welcome kaka🎉🎉🎉
Nimependa kumuona nanga
Wachagga kazi mnayo😅😂😂😂😂 wazee wa kusafiri..😁😆😂🤣
Shule yetu tandale magharibi💥💥
Nanga kazi imeanza
Hum msimtoe nanga namkubali kichiz huy mwamba
Umefanya vizuri kumchukua nanga ni mtu ana kipaji sana
Mjomba wa vigwaza ndani ya nyumba
Nanga 🔥🔥🔥🔥