Sema huyu Joti nyie mpeni maua yake akiwa bado yupo ujue.. hii ni tunu ya taifa katika uwanja huu wa comedy msichukulie poa ujue wanangu this guy is a gift from God and you guys I don't know if you have realized this guy is something to keeping praying for... Just imagine jamaa anacheza kama Andunje,Kiboga,Nishai,Mpemba na babu and both of them anazitendea haki oyaa wee this ninja here is a legacy No doubt ✅
Hatukatai Tanzania yetu ina waigizaji wengi wazuri kwenye comedy lakini huyu bwana ni hatari na nusu🤩 joti your the best brother
Sure uchoki kumuangalia
Joti uki act kama mtoto mdogo unatoka vizuri kuliko ku act kama mwanamke☺👏👏👏
Huyu mama Yuko active ktk scene zake🔥🔥🔥🔥🔥✊🏽
Jamani nani amevuka mwaka nakuiona January likes za KUTOSHA HAPA
Duh msingi wa samaki oyeeeee, halafu mzee kaleta mizinguo.....
The best comedy this January. Safi sana hapa Joti kaonyesha uwezo wake na hasa kushirikisha hao wasanii wengine maarufu imenoga balaa
Waoo hongera joti kwakuwaongeza wazee hao.mpo vzr sana
👏👏👏Hogeren kwa kazi nzuri, mnastahili kupewa 🏅🏆🏅🏆
Majirani,Majirani,njooni Baba anapigwa na Mama.Joti wewe kiboko na hujawahi kuwaangusha mafans wako.Keep it up.
Joti mtu kazi like zangu jamani mambo ni ❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Joti is a best🙌🙌 mashallah 😂😂😂
Thank you 💕 Mr Jot love from Rwanda 🇷🇼 tunakupenda
Baba hana mipango..Ona anavyonitolea macho hakyaMungu me nasema..Joti tisha sana🔥🔥😂😂
Wakwanza leo, we love you Joti❤️❤️
Sema huyu Joti nyie mpeni maua yake akiwa bado yupo ujue.. hii ni tunu ya taifa katika uwanja huu wa comedy msichukulie poa ujue wanangu this guy is a gift from God and you guys I don't know if you have realized this guy is something to keeping praying for... Just imagine jamaa anacheza kama Andunje,Kiboga,Nishai,Mpemba na babu and both of them anazitendea haki oyaa wee this ninja here is a legacy No doubt ✅
Kuna waigizaji halafu kuna huyu mama..aiseee eeeh balaaa huyu mama ni nyoko SHIKAMOO BIMKUBWA 🙌🙌
Joti the king of comedian uko sawa broo keep it up
I loved this 😉💕👍🏻
me i lve you😀😀😀
Thank you Joti, a superb New Year present! Well spiced.
Kazi nzur sana nimeipenda kama na wewe umeipenda kama mimi kuna zawadi ya nyimbo kali njoo kwenye account yang
What a combination 😍
Kabisa aisew
Exactly 💯
indeed
Waigizaji classic sahv naona wanaingia pia
Kila mtu wakwanza yeye basi wamwisho ni Mimi 😆😆
Mnavyoshikana shika mnanikomaza 😂😂😂😂😃😃😅😅😆😆
Wakina mama oyeeeee 👏👏👏🥰🥰🔥🔥🔥
Jamani naombeni liki mia tano apa Leo😂😂
He is very creative and talented
Creativity
Brother wewe ni zaidi ya talent tulizo nazo bongo 🔥🔥🔥👊🏽👊🏽
😂😂😂😂akili ya baba adunje nikama haina akili..mama adunje kasema😂😂😂💔
Joti wewe kuku define we need albert Einstein 😂😂😂😂 you the best
Joti mwamba sana ....your the best
Joti respect from Burundi 🇧🇮🇧🇮
Naombeni na mimi leo nipate likes ata tano 😂
Umepata 50😊
Za nn sasa
@@iqramaxamed474😅
Zimezidi zingine rudisha 🤣🤣🤣
Chukua
Joti ni king wa comedy Tz nimecheka Sana 😂😂😂😂😂😂
Baba mjue mnanikomaza😁😁😁😁,Yaani nazinguka,😁😁😁 eti Baba analainika🤣🤣🤣🤣eti Ada yangu inapasuka🤣🤣🤣🤣
Noma Sana shukrani joti u never disappoint
Joti maliza mwenyewe iyo kesi majirani wa nini sasa😂😂😂😂😂Big up ❤🔥
Tulio angalia clip hii mara nyingi nyingi tujuane kwa likes 😂😂😂😂😂😂
Mimiapa 🤣🤣👍
mashaallah yaani hata kama namawazo lazima ucheke asante joti
🤣🤣Daah huyu mwamba ni balaa sana 🇹🇿
Mali ya mama ya liwa hio🤣🤣🤣50 imetoka kilaini bila jasho achana na hivi viumbe🤣🤣🤣🤣
Joti www ufungwee kbs nimecheka mpaka napaliwa 🤣😅😆😀😃😃😄😄🤣😅😆
Andunje mmbea jamani 😂😂😂 unashangilia baba kupigwa 😅😅
Mama angu anauza samaki,baba ana honga😂😂
Sisi kwenye ukoo wetu tuna unyani nyani na upakaupaka😂😂😂
Aisee jot Ni balaa😂😂😂 Best comedian huna mpingamizi unaweza
nampends sana jot sichoki kumfuatilia
Never disappoint Jotiiii 🔥
Si humor es contagioso
..que genial joty 💞💞💞😁😁😁💫🇦🇷🇦🇷 buenas noches
Joti kweli we commend hatari ssna nakupenda sana😁😁❤❤👍👍👍❤
Msingi wa samaki hoyeeee 😂😂😂😂
Daaah Pua ya Mbwa imewakosea nini joti😀😀😀
Nimecheka kifala sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣nyumba ndogo imekula ada.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Muda wa kuwaona walimu wabaya ndio ushafika👌👌👌🔊🔊🔊
Joti A.K.A Andunje the best comedy🤣
😄😄eti katika família yetu...kuna unyani na upakapaka😄😄😄🤭esse gajo é mau
😂😂 napenda hizi za shule 😂😂
Wa kwanza me from Drc 👌👌
Mama kacheza vizuri sana 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Bro Lucas ur unstoppable 😄😅😂😂😂😅😂😅😂😂
yani joti kibiko
Mimi nimekamilisha 200k naomba like zangu
Familia ina unyani na upaka paka🤣🙌🙌jotinho 😂😂
llll
aduje hatari mzee kalowana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimecheka jmn uwiii no one lyk u jotiiiiiii❤❤
Nishaii ntombangile kitwangu...😂😂😂😂 umetishaaa mzee baba
🤣🤣🤣ety aaaah baba unakabwa unakabwa ety mnanikomaza daaah joti ni best ever
Dhuu na Mimi naombeni like zenu jmn dhuu 😁
Msingi wa samaki oyeeee 😃😃😃 baba Hana ata mipango
Eti kwenye familia yetu Kuna unyani na upakapaka😂😂
😂😂😂 Jamani joti Ulali yani unaipandisha saa 6:00 uku kwetu nisawa na Saa 7:00
Mnavoshikana hivo mnanikomaza mjue
Mama Anduje:
Baba Anduje mbona akili zako hazina akili 😂😂😂😂😂😂😂....
Hehehehehe Ada analipa mama🤣🤣🤣🤣chezea
🤣😂🤣🤣🤣 KWEL NJANUARI ILA JOTI UNAJUA WALLAHI
Kwa familia yetu tuna unyani Na upakapaka🙉😸
Acha tukaribishe mwaka mpya InshaAllah 2023 welcome
Sijui unatoa wapi hizi aidea za kuchekesha watu wote 😀 nyuma lami 😂😂🙏❤️❤️ na inazunguka 😂😂
Joti huyu mzee usimwache,anakipaji mno
Huyo Mzee ni mwigizaji WA Muda mrefu sana
Jmn yan wew andunje ungekuw unaigiz hv Kila siku mm ningekuw nacheka ty Kila siku 😂😂
Nipeni likes zanguu janiii
Kwani mimi mbona sipati like za joti🤔🤔
😂😂😂 tumekula mapilau ila yakuunga unga kwa majirani
happy new year
Ila joti bana antena ya zunguka😀😀😀😀😀
Jot huyo mzee anaweza kweli kuigiza pia mwingine anaweza ni Lijonjo ni hatari sana,
Daaa nimependa sana huyu mwalimu mkuu yupo Sirius sana.
(Kofi la kipara paaa)Baba andunje mbona Kama akili yako haina akili😂😂😂😂😂😂😂😂.
Baba angu daah!!! 😂😂😂😂😂 Ada yng inapasuka 😒🤔 Channel inashikana na antenna 😂😂😂🤣🤣🤣
kumbe unapendaa😂😂😂😂😂😂
Nakubari sana jamaa fundi sana😂😂😂😂
Nimekuwa Wa 94 kukoment kazi ya nishai kitombangile kitwango mkazo
Joti ni moto ❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Duuu nmecheka kwakwer
Sina maoni sijui ka wewe uko na maoni🤣🤣🤣baba kashaporwa na mtu mwenye mzigo
Joti is the best , tuna unyani na upakaupaka 🤣🤣🤣
Haha 😂😅😂😂huo unyani nyani na upaka paka kwenye familia si mchezo😂
Pilau tulikua tunaungvaunga kwa majirani,,, bars🤣🤣🤣🤣
Wadau like hata moja team joti 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Haha🤣🤣🤣 mzee kakamatika
Huyo mwanafuzi na izo nywere