SENZO MTHETHWA MFALME WA REGGEA BADO YUPO HAI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- Mzee Senzo Mthethwa, msanii wa reggae wa Afrika Kusini alikuwa maarufu katika miaka ya 90 na aliweza kunasa mashabiki hadi Afrika mashariki na kati alizushiwa taarifa ya kuwa amefariki dunia, Bado yupo hai.
#Senzo #SenzoMthethwa #Reggea
Dah watu wabaya sana kumbe mtu yupo hai
Tuliokuja kujua kumbe yupo hai
Senzo aliyekufa alikuwa mchezaji mpira nafasi ya golikipa, ndipo zilipozukia taarifa za Senz0 Mtetwa kufariki
Haaaaa kumbe bado mwamba yupo? Jamaa nyimbo zake n noma aisee
Tangu mwaka 1999 niliaminishwa Senzo alifariki ukitafuta habari zake hazikuwa na jibu lenye hakika nilifurahi 2021 kuisikia tena sauti yake japo haiko sawa kama zamani ila 2022 tunaendelea kuona maajabu akirudi kidogo kidogo Hakika Mungu mwema Bado tupo pamoja na Senzo kwenye dunia mashabiki wako tupo pia
Dube ameonewa tu kumbe
Yuko wapi nahitaji kumuona kwa garama yoyote
Yuko wapi nipo tiari kumuona kwa garama yoyote na kumfanya ainuke ushirikiano kujua alipo ili nimfikie
This is really?
Huyu jamaa nimefurah kisikia yuko hai.
Hajafa kumbe
Huyu ndio alie sababisha lucky dube apingwe risasi kwanza angewaomba msamah mashabik kwa hilo.
Yuko wapi nipo tiari kumuona kwa garama yoyote na kumfanya ainuke ushirikiano kujua alipo ili nimfikie