Umasikini sio chachu ya kupata Utajiri - Misana Manyama.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Ni jamii kubwa sana ya watu ambao wanaamini umasikini au mazingira magumu ni chachu ya mtu kuyatafuta mafanikio.
Ninaamini tofauti kidogo, kama umasikini ungekuwa ni chachu ya kupata utajiri basi masikini wote wangekuwa matajiri.
Nisaidie kushare video hii maeneno mbalimbali ili watu wengi waweze kunufaika na masomo haya.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
#malengo #fursa #ujasiriamali #mafunzo #tanzania #biashara #daressalaam
Somo zuri sana nimejifunza
Niko pamoja na wew
Baada ya joel nanauka nimehamia kwako kiukweli uko vizuri napata hamasa zaidi kila nikikusikiliza
Karibu sana sana
Denis mpagaze kmcheki nae pi a
Me pia
Joel nanauka+misana+mpagaze +mfaume Hasan. Wanajua sanaaa mungu awabariki
Dah Brother unanifungua Ufahamu Sana Mungu akutunzebuendeleee kutupa haya maarifa
asante sana kaka nisaidie kuwashirikisha wengine kwa kushare link
Shukran Mzee Wangu Unajuakufafanua Nimeanza Kukufatilia
Asante sana karibu tuendelee kujifunza
Brother usije kuacha hiki unachofanya Unajua kufafanunua, Nakupenda kwa Ajili ya ALLAH
Asante sana kwa kunitia moyo nitafanya sasa kwa ajili ya feedback hii
Mungu Atuongoze InshaAllah.
Kazi yako inaleta matajiri wengi sio md=nashukuru Mungu akupe afya njema
Asante kaka, hii ni habari njema sana
Salute
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Wewe jamaa ni shida
Maisha ni kanuni lazima uweke kanuni
Hata na mim nimependa San mafunzo yak
Good
Asnteb
Great lessons
Thanks a lot
asate
Thanks
Kaka endelea kutupa maarifa na Mungu akubariki.
Amina kaka
Exactly psychotherapist!!! Ahsntee