MBINU ZA UPELELEZI(Vumbua hazina na miliki yako katika Mungu)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
- INVESTIGATION METHODS IN OWNERSHIP. Apostle Mtalemwa in this lesson, explains the important steps to follow and focus on when you want to conquer and rule. We should not rush to take a title, possession or rule without doing enough to investigate what you want to own.
Follow this lesson to discover your treasures in God and gain possession and dominion
(swahili)
MBINU ZA UPELELEZI KATIKA KUMILIKI.
Apostle Mtalemwa katika somo hili,anaelezea hatua muhimu za kufuata na kuzingatia unapotaka kumilii na kutawala.
Hatupaswi kukurupuka kuchukua cheo,milki ama utawala bila kufanya Upelelezi wa kutosha juu ya jambo unalotaka kulimiliki.
Fuatilia somo hili kuvumbua hazina zako katika Mungu na kupata milki na utawala.
Muda wa kukopa kopa umeishaaaaaa!!! Kwa jina la Yesu Kristu wa Nazareth!!!
Nmebarikiwa sana apostle GOD bles you
Barikiwa sana Apost Mtalemwa Yesu akutunze uendelee kulilisha kanisa la Mungu amina
Apostle unanipa chuo hakika,na hapa ni mtumishi nina wito,hakika unanipeleka mahali, you bless my life
I wish nianze sasa lkn nakuwa muoga mno ingawa ninakubalika ktk madhabahu niliyopo sasa na huduma yangu inapendwa nipatapo nafasi ya kusimama,na Nabii wangu niliye chini yake naye anakipenda karama yangu na amekuwa akiniambia anataka anipe huduma mahali na alitaja hilo eneo yeye na ni nje ya mkoa niliyopo sasa arusha lkn kila nikijaribu kumuuliza Mungu anifunulie namm ikiwa ndiye aliyekusudia niende huko lkn sikuwahi kupata jibu,naomba ushauri wako je kuhani anaweza akajulishwa wito wako na mahali pakwenda pasipo Mungu kusema na muhusika?
Mtumishi wa Mungu unasema kweli katika jina la Yesu Kristo
Naona mashambulizi makubwa juu yako yajayo kwa namna ya neema lkn ni yenye kutawnyisha kondoo wako n kunyamazisha utumishi wako kuwa makin mtumishi Ooh Jesus #tunkuombea mtumishii ....uendlee kusimama sawa na mapenzi ya Mungu maana kuna vita inaandaliwa juu yako..
Makosa yakifanywa zamani na wazazi kuto tupa elimu ya maisha na biashara na kuijua dini vizuri kutuumiza mathehemu ya zamani walokole mmewapika kete mbali kwa makosa yao tunashukuru kwakunipa elimu yako kujuwa vitu vingi Asante
Kyala tufigwe 🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Amen napokea muda wa kulilia umeishaa
Naombamaombi kumilik uchumi
Its time to rise and shine. In JESUS CHRIST Amen
I thank God for connecting me to your channel,learning more and making new steps each day,God bless you more
Nitatawala bali sitatawaliwa katika jina yesu
Hallelujah wonderful message am blessed servant of God
Wewe ni baba mtalemwa
Wakati wangu ni sasa halleluya
Na Amin ni wakat wangu kutawala
Am so blessed it is very powerful be blessed man of God
Natazama kutoka Kenya Nairobi kuanzia sasa naviteka vitu kwa jina la yesu, amen ameen, apostle nimebarikiwa sana
Thank you Jesus, I am so Blessed
Ameen meen and ameeen 🙏🙏🙏🙌🙌
Ninateka na kutawala in Jesus name
Amen
Hallelujah
Hakika nguvu ya Mungu itashinda katika maisha yangu.
amen
Ameen apostle
Nace pastor
Wakati wangu ni sasa hivii
Kuanzia sasa natawala katika jina la YESU.
Amen,amen,amen mtumishi Mtalemwa.
I receive
Me Niko Amerika, ninakuelewa sana mtumishi!
My mentor.
oooh yes wakati wangu ni sasa
PRAISE GOD 🙌
Natawala sasa!!
Natawala kwa jina la yesu👏👏
Apostle Nakupata sanaaa kwa Mafundisho yako
Amen .this is my time to rise and shine Almighty oh Lord I fixed everything upon you.
Glory be to God.
Wah...wanaokosa hii mahubiri anakosa hekimahasa...kwa upande wa ndoa kukimbilia boma usiyojua
Kenya niko hapa
Karibu. Kwa Yesu
Amina Mungu akubariki nimepata mafundisho mazuri sana, nitayafanyia kazi
Mungu akubariki
SOO SOO DEEP🔥🔥DIPILIZAA📌🔥📌🔥
Natawala sasa.Jesus Nation.Glory to God
Powerful am blessed may God lift you to another glory and more grace to serve God's people nimefunzika kweli
@Apostle Mtalemwa Bushiri ,Ubarikiwe sana,I believe to do ,and this is another turning point for me.
Amen baba🙏
Amen apostle ni wakati wangu wa kutawala
From paris présente congo end burundi
Amen ni wakati wangu wa kutawala
Powerful. Thank you Apostle
Hi munda wagu wakutawara nisa niombe
So powerful... HALLELUJAH
Salaam toka Mwanza 🐟
Niwakati wangu wa kutawala
Wewe mkuu wa nguvu za giza unayetawala eneo langu la kazi nakunifanya nikose amani ninakufunga na kukuangamiza katika jina la yesu
God thank you for these LEVELS🙌🙌🙌HIGHER TO THE HIGHEST 🔥🔥
amen, asante my mentor
Mtumishi kumbe upo mbeya semina ipo sehem gani tunakufatilia vyema tunatamani tuwepo
Thank you Chief, I receive
Naomba nijue maana ya walokole.nimesikia prophet s s rolinga akitamka tena hapa Nairobi. Please
Amen,🙏
Tumeshakumic huku dar baba tunaomba tujue unarudi lini.
Namini ni wakati wangu wa kutawala,nikiwa kenya
Wakati wangu ni sasa wakutawala kupitiya jina layesu
Apostle hii diyo inatuuwa hasa sisi warokore? hatu pelelezi
Niliwahi kuona maono kwa njia ya ndoto nipo kanisani kwako na nikawa nasubiri kupata nafasi ya kuimba maama mm ni mwimbaji na ulikua madhabahuni unakalibisha waimbaji ulipo shuka kunajambo ulisema nami lakini nilipo amka nilisahau
Muombe Mungu, Ni Mungu pekee awezaye kutukumbusha ndoto zetu maana Ni yeye anayetupatia ndoto hizo
@@davievonzelewisky1552 amen
Kyala tufigwe 🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Amen
Amen
Napokea kutawala Mnazi lushoto