UCHAGUZI 2020: Baadhi ya mawakala Tanga Mjini wazuiliwa, msimamizi atoa ufafanuzi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
  • Wananchi mkoani Tanga wametimiza haki yao ya kikatiba kwa kupiga kura kwa hali ya amani na utulivu licha ya kuwepo kwa changamoto za mawakala wa upinzani kutoruhusiwa kuingia kwenye vituo vya kupiga kura kwa madai kwa hawajatimiza vigezo
    Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
    ► bit.ly/2wB6zmR
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

ความคิดเห็น • 6

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 4 ปีที่แล้ว

    Asante Sana odo umi

  • @haitumikitena4978
    @haitumikitena4978 4 ปีที่แล้ว

    Ccm Mungu anawaona kwanini mawakala muwazuieeeeeee

  • @yusufsong9158
    @yusufsong9158 4 ปีที่แล้ว

    Akuna sababu ya kuwa na vyama vingi bora waachiwe wao watawale milele kila kukicha matatizo tu lkn Mungu anawaona ipo siku tu watakuja kuumbuka

  • @yusufsong9158
    @yusufsong9158 4 ปีที่แล้ว

    Mi nachukia ina maana wapinzani ndio wanamakosa lkn ccm usikiii mawakala wao kukosekama

  • @rahmasalim1989
    @rahmasalim1989 4 ปีที่แล้ว

    Hamna kitu hapo, km mawakala wamekataliwa kuingia ndani unafikiri itakuaje hapo. Hizo dosari wangeambiwa warekebishe kabla ingekuaje? Maoni yng ni njama tu hizo.