🔴

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
  • 🔴#LIVE - MDAHALO WA KIELIMU / DR. SULE NA PASTOR NDACHA / MBEZI MKONDE / SEASON TWO
    Mashaa Allah DR. SULE akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya🔴#LIVE - MDAHALO WA KIELIMU / DR. SULE NA PASTOR NDACHA / MBEZI MKONDE / SEASON TWO
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Airtel Money +255782466586
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/Dars...
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    TH-cam @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    TH-cam @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv

ความคิดเห็น • 82

  • @KasalyaKimimbi
    @KasalyaKimimbi 2 หลายเดือนก่อน +2

    Papa Ndacha Wewe Mungu akujalie sana 🎉🎉🎉🎉 Hawa Wandugu Za djini Wapo N'a Akili Ya upotevu Kweli Kweli

  • @johnkisubi8974
    @johnkisubi8974 3 หลายเดือนก่อน +5

    Waisilam acheni tu kwa maana amuna majibu sahihi poleni sana
    njooni kwake yesu kristo muokolewe

  • @StelahElias
    @StelahElias หลายเดือนก่อน +1

    Ujue Dunia bhana ina mambo sana. Jamani Mungu wetu ni Mmoja tu, hizi bra bra za wazungu na waarabu wanatuchanganya sana. Mungu wetu ni mmoja tu.❤❤❤

  • @josephmwabange9633
    @josephmwabange9633 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ninampenda sana Pastor Ndacha hata kama Kiswahili kinamsumbua lakini ana lengo sahihi

    • @JamesMoses-jd1yq
      @JamesMoses-jd1yq 3 หลายเดือนก่อน

      Yaani Kiswahili kinamsumbua kivipi

  • @ackimackim1880
    @ackimackim1880 3 หลายเดือนก่อน +4

    MWANZILISHI WA IMANI YA WAKRISTO YUKO HAI MPAKA LEOOOOO ELEWA APO WAISLAMU

  • @AntonyManeno
    @AntonyManeno 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hakuna Andiko Linalo Sema Yesu Hakufa Na Hamuto Pata Hata Milele

  • @user-ee8dr9iw4k
    @user-ee8dr9iw4k 3 หลายเดือนก่อน +4

    Ndacha ndacha juu😅😅😅😅😅😅😅amen

  • @MbappeHeritie-rx1hq
    @MbappeHeritie-rx1hq 13 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki ndasha

  • @chandelierlumona3447
    @chandelierlumona3447 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha anakuzidi sana uelewaji pamoja na vitu vingi sana..!
    Acha kelele wewe ..!

  • @geoffreymuraya938
    @geoffreymuraya938 3 หลายเดือนก่อน +1

    Pastor Ndacha ni Bingwa na amnyoa Sulle .

  • @josephmwabange9633
    @josephmwabange9633 3 หลายเดือนก่อน +1

    Pastor Ncha akili yake iko juu sana , ni mwalimu Karama yake

    • @elkairosway1895
      @elkairosway1895 2 หลายเดือนก่อน

      It has been REVEALED to Ndacha by the Holy Spirit! Let him proclaim it LOUDLY as he has been empowered to do. May God give him the boldness to say it as the inspired Word is, not as human wisdom as others want to display it.

  • @KasalyaKimimbi
    @KasalyaKimimbi 2 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉 Ndacha oyeeee 🎉🎉❤

  • @isahbarasa
    @isahbarasa 3 หลายเดือนก่อน +2

    Takbir 👏👏 Allah Akbar ❤️

    • @vyaduoj
      @vyaduoj 2 หลายเดือนก่อน

      Poleni sana , mtayakumbuka hayo maneno ya ndasha .

  • @BernardMgimba
    @BernardMgimba 2 หลายเดือนก่อน

    Sema uislam dini yakweli kabisa❤

  • @binseif2216
    @binseif2216 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ila makafiri hata mitume waliwakataa na dalili zote walokuwanazo lkn walipinga itakuwa ndacha kupinga Mungu mkoja

    • @Sbstn1913
      @Sbstn1913 3 หลายเดือนก่อน

      Hakuna sehemu ndacha amepinga Mungu ni mmoja.Mungu ni mmojs tangu zama za Zoroaster nabii wa kiajem miaka 700 kabla ya kuzaliwa kwa nabii Musa. MUHAMAD NI KOP AND PASTE KWAMBA MUNGU NI MMOJA KATIKA IMANI YA KIPAGANI YAAN UISLAM

    • @SalmaAbdul-zz7dy
      @SalmaAbdul-zz7dy 2 หลายเดือนก่อน

      Ukristo ni jina la kipagani walilopewa wanafunzi wa mwanzo huko antiokya

  • @StelahElias
    @StelahElias หลายเดือนก่อน +1

    Elimu hii ni nzuri sana jamani 😅😅😅

  • @ViriglioDomingos
    @ViriglioDomingos หลายเดือนก่อน +1

    3

  • @kudraabdul7257
    @kudraabdul7257 2 หลายเดือนก่อน

    Leo ndio nimegunduwa kuwa ndacha niki ponde cha nyanya amepigwa mtengo ambayo haelewi mtego alitegwa wallah makafiri poleni

  • @ackimackim1880
    @ackimackim1880 3 หลายเดือนก่อน +2

    I LOVING JESUS

  • @AntonyManeno
    @AntonyManeno 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sule Ana Ongozwa Na Majine Yake Ya Usilam Kukwepa Maswali Yanayo Uliza Na Pastor Ndacha. Na Hato Weza Jibu Maswali Ya Ndacha Hata Milele Na Milele

    • @user-rm4me4ss8u
      @user-rm4me4ss8u 2 หลายเดือนก่อน

      Alafu ndacha anaongozwa na mapepo sindio

  • @user-ee8dr9iw4k
    @user-ee8dr9iw4k 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kiswahili wanajua, lakini tu. yausindani lakini yanaonekawasi hawana LA maana😂😂😂😂 yesu ndiye wakuabudiwa

  • @revelationofgodswordminist9730
    @revelationofgodswordminist9730 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha kiboko aisee

  • @josephmwabange9633
    @josephmwabange9633 3 หลายเดือนก่อน

    I love Ndacha

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 3 หลายเดือนก่อน

    Dr sule kuhubiri sio sawa na mdahalo kuhubiri unaweza usiulizwe maswali

  • @Sbstn1913
    @Sbstn1913 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sulle anaongozwa na mapepo ya uongo na kusema uongo kwake kama muislam aina ya waislam wengine ni halali .

    • @SalmaAbdul-zz7dy
      @SalmaAbdul-zz7dy 2 หลายเดือนก่อน

      Izo zako chuki na propaganda za kujifurahisha Domo lako

    • @Sbstn1913
      @Sbstn1913 2 หลายเดือนก่อน

      @@SalmaAbdul-zz7dy na sema ukweli .kusema uongo kwa waislam n halali

    • @SalmaAbdul-zz7dy
      @SalmaAbdul-zz7dy 2 หลายเดือนก่อน

      @@Sbstn1913 kama ilivyokua kwenu nyie kuzini na kulewa ni halali

    • @Sbstn1913
      @Sbstn1913 2 หลายเดือนก่อน

      @@SalmaAbdul-zz7dy kuzini na kulewa s halali kwetu amri ya sita kati ya kumi inasema DONT COMMITT ADULT yaan Usizini .Kulewa n haramu katika ukristo lakin ktk uislam pepon tu kuna mito ya ulevi na uzinz nao upo mwanaume mmoja mabikira 72.Simamia kwel acha maslahi .utaish ata ukiacha uislam kichaka cha maovu

    • @Sbstn1913
      @Sbstn1913 2 หลายเดือนก่อน

      @@SalmaAbdul-zz7dy kuzini ni haram ktk ukristo .amri ya 6 inasema USIZINI.kulewa ni haramu ktk ukristo.Uislam una ruhusu uzinzi mfano mukhtar ktk uslam n ndos ya muda mfupi kwaiyo umalaya n halali na mpaka peponi kuna uzinz mfano mwanaume mmoja wa kiislam anapewa mabikira 72.alaf ongezea mito ya ulevi.Njoo kwa kristo salma acha kuwa mchumia tumbo maisha yanaendelea nje ya uislam.

  • @AntonyManeno
    @AntonyManeno 3 หลายเดือนก่อน

    Sule Jibu Swali Kuna Andiko Lolote Koro Wani Linalo Sema YESU Hakufa...

  • @JerrycollinsPaul
    @JerrycollinsPaul 3 หลายเดือนก่อน +2

    Pastor ndacha wew ni mwamba kwelikweli..... Dr. Sule ushauri wangu akae chini ajifunze tena ukristo maana biblia haitafsiriw kirahisi hivyo kwani huitaji ufunuo kwa roho wa Mungu

  • @elkairosway1895
    @elkairosway1895 2 หลายเดือนก่อน

    Ask them what 1John 2:23 means....... who's this Son that is being talked about in the Word of God Almighty in His Voice In Print, The Bible?

  • @vyaduoj
    @vyaduoj 2 หลายเดือนก่อน

    Nawapata vyema kutoka marekani hapa, ila nawahurumia sana weslamu wanavyo kuwa wa ngumu na wabishi kwa mambo yalio wazi wao ndo wanataka kuyapindisha kwajili ya lunga na uelewa mdogo walio nao .

    • @kudraabdul7257
      @kudraabdul7257 2 หลายเดือนก่อน

      Wakuhurumiwa ni nyinyi sababu hamuelewi hata mitego mnayo tegwa yani kweli nyinyi ninazi macho matatu alakini hayaoni

  • @binseif2216
    @binseif2216 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mnaabudu Mtu kweli????

  • @user-yl4wq7hb5c
    @user-yl4wq7hb5c 3 หลายเดือนก่อน

    Amina ndacha waambie

  • @EmanuelHema-gf1cj
    @EmanuelHema-gf1cj 2 หลายเดือนก่อน

    Sule welcome to Jesus

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq 3 หลายเดือนก่อน

    Microphone zenyu zinasumbua kila kipindi chenyu.ila ndacha mkali

  • @kudraabdul7257
    @kudraabdul7257 2 หลายเดือนก่อน

    Sule alimuuliza swali hivi yuse alifanywa laana sababu alitundikwa msalabani alivyo kwenda kujibu hakuelewa hiyo naana imetokana nanini pale sule alipo uliza ndacha hamna kitu katika wa kiristo

  • @MugishaMusabwa-lc7hq
    @MugishaMusabwa-lc7hq 2 หลายเดือนก่อน

    Ndacha mbatize mazinge hata sule ili waelewe yesu vizuri.

  • @pascalbalex5142
    @pascalbalex5142 3 หลายเดือนก่อน

    Huu Sule hana hakili kabisa

  • @karanjawanyoike7188
    @karanjawanyoike7188 หลายเดือนก่อน

    Kama kuuwawa hutokana na shamulizi je mtu alikufa kwa kutiliwa sumu kwenye chakulu chake akafa jee hiyo nayo si kuuwawa?

  • @joelmhezi8039
    @joelmhezi8039 3 หลายเดือนก่อน

    Sule ni mweupe hajui chochote bora hata mazinge

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq 3 หลายเดือนก่อน

    Ndacha fundii

  • @user-uy5ue2tz6g
    @user-uy5ue2tz6g 3 หลายเดือนก่อน

    Ndacha kwa kugeuza hoja anaweza ila c zakweli

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u 2 หลายเดือนก่อน

    Hayo nimalumbano simahubili audebate

  • @chandelierlumona3447
    @chandelierlumona3447 3 หลายเดือนก่อน

    Sulle hujui chochote, wewe ni muongeaji sana alafu huweki point..!

  • @bongemichael5772
    @bongemichael5772 2 หลายเดือนก่อน

    Hapo amskii nimefurahia adi nikapiga makofi.

  • @SeciliaJosephat
    @SeciliaJosephat 2 หลายเดือนก่อน

    Kwakweli mpya hiyo alie kufa baba ake paulo simion wa kirene

  • @user-qn2pk9bv5n
    @user-qn2pk9bv5n 2 หลายเดือนก่อน

    Ndacha bab piga mwingi

  • @josephmwabange9633
    @josephmwabange9633 3 หลายเดือนก่อน

    Da aise kama mtu haelewi ana shida

  • @jameskilasa759
    @jameskilasa759 หลายเดือนก่อน

    Mm ninafs naona waislam hawana hoja thabiti ya kujib

  • @SeciliaJosephat
    @SeciliaJosephat 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu anarudia rudia vitu visivyo eleweke anapewa jibu bado anarudi nyuma tena ameshindwa huyooo shekhe batizwa bhn hauna chakutuambia sisi

  • @AntonyManeno
    @AntonyManeno 3 หลายเดือนก่อน

    Mtu Anae Fungwa Sanda Na Aka Wekwa Kaburini Huwa Ame Kufa Ama Huwa Yuko Hai... Jibu Swali Sule Wacha Kukwepa Maswali

  • @JohnsonKoffee
    @JohnsonKoffee 3 หลายเดือนก่อน

    Sulle muongo

  • @wesakawesaka3516
    @wesakawesaka3516 3 หลายเดือนก่อน

    Sule ajui quaran ata kidogo

  • @user-ee8dr9iw4k
    @user-ee8dr9iw4k 3 หลายเดือนก่อน +1

    Waislam hawana lakusema, wanasema yesu alikuja kwa wana wa israil😂😂 wana wa israel walio ongoswa na Musa kutoka misri. Wako tafautu na wa bibilia? Mulisachanganyikiwa. Wana wa israil ni wale wele walio kwa bibilia na kwa quoni😮😮😮

  • @josephmwabange9633
    @josephmwabange9633 3 หลายเดือนก่อน

    Sasa kwani maana ya Elimu ni nini ? Maana yake ni kujifunza , Sasa utajifunzaje , Sule yupo sahihi kwamba anaxhoamini yeye je ni sahihi au sio sahihi

  • @KennedyBarasa-mc4mz
    @KennedyBarasa-mc4mz 25 วันที่ผ่านมา

    Hauna lolote wewe sule Ila ni ubishi na ushabiki Tu na porojo kubali kuwa huwezi huyu mkenya . Alikwambia kuwa kaa kando pekeako umkabili ulikataa kelele ndizo unazo

  • @KennedyBarasa-mc4mz
    @KennedyBarasa-mc4mz 2 หลายเดือนก่อน

    Sulle Hana elimu ya udaktari wala shahada ya udaktari, ila Una utoto mwingi Sana lakina hata Masai ni madaktari wa miti shamba. Kafiri mkubwa huyu

  • @binseif2216
    @binseif2216 3 หลายเดือนก่อน +1

    MUNGU KASEMA NDANI YA QURAN HAKUULIWA WALA HAKUSULUBIWA LKN ALIMFANANISHA KATIKA WAO NAYESU AKAMPAISHA MBINGUNI mjue quran haikubakiza kitu msifkiri Mungu anaghafilika na madhalimu kama nyie

    • @jacksonngusi4122
      @jacksonngusi4122 3 หลายเดือนก่อน

      Tunawasi na qurani yenyu mnakufulisha hata majini yaani mashetani😂😂😂

    • @binseif2216
      @binseif2216 3 หลายเดือนก่อน

      @jacksonngusi4122 Yeyote atakaeenda kinyume na mafundisho ya Mungu na kumfanya Mungu anamtoto au binadamu ni Mungu huyo sio katika sisi,someni bible na Quran mtafute ukweli sio kusomewa hao wachungaji na maaskofu wanatamaa na pesa kwahiyo kweli wanaipindisha

    • @Sbstn1913
      @Sbstn1913 3 หลายเดือนก่อน

      Unajua maana ya kufananisha tafsiri yake ni kusema uongo maana hatuna ushaidi ni nan alifananishwa na Yesu

    • @binseif2216
      @binseif2216 3 หลายเดือนก่อน

      @@Sbstn1913 Unaujua uwezo wa Mungu?anachotaka huwa hakosei

    • @Sbstn1913
      @Sbstn1913 3 หลายเดือนก่อน

      @@binseif2216 hapa hatuzungumzi neno Mungu kwa dhana ya uelewa wako kwamba mungu unayemjua ni allah ambaye hafati moral principle yaan anaweza kusema uongo kwa maslai yake binafsi .Q .inasema Yesu kasubiliwa na amefufuka huu ni ukwel .waislam wanaamin katika uongo unaotungwa na akina sulle.

  • @AntonyManeno
    @AntonyManeno 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu Wakwanza Na Wamwisho Alie Sema Ame Kufa Ni Nani Jibu Swali Wewe Sule Majini

  • @ackimackim1880
    @ackimackim1880 3 หลายเดือนก่อน +1

    SULLE HANA ELIMU YEYOTE , MPAKA ANACHANGANYIKIWA JUKWAANI

  • @patrickpermen
    @patrickpermen 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sulle umepotezwa.

  • @pisgatv5863
    @pisgatv5863 3 หลายเดือนก่อน

    Sule huna elimu yoyote

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 3 หลายเดือนก่อน

    Sule kakosa utetezi kabisa aisee

  • @wesakawesaka3516
    @wesakawesaka3516 3 หลายเดือนก่อน

    Sule muongo mno

  • @obedkalinga9704
    @obedkalinga9704 3 หลายเดือนก่อน

    Sule ni waajabu. Wapi Mungu kasema Yesu kafa?. Sule amewahi kusikia wapi Mungu kaongea? Ulisema Mungu akiongea utakuwa umemfananisha ni mtu.

  • @KasalyaKimimbi
    @KasalyaKimimbi 2 หลายเดือนก่อน

    Papa Ndacha Wewe Mungu akujalie sana 🎉🎉🎉🎉 Hawa Wandugu Za djini Wapo N'a Akili Ya upotevu Kweli Kweli