Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Huyu dada tokea aachwe KIBA akili zake hazijawahi kukaa sawa kabisa mpaka leo hiii mpaka sasa ana ugonjwa wa Alikiba tu ndio mwanaume anayemuuma sanaaa
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Huyu dada tokea aachwe KIBA akili zake hazijawahi kukaa sawa kabisa mpaka leo hiii mpaka sasa ana ugonjwa wa Alikiba tu ndio mwanaume anayemuuma sanaaa
Kizungu cha nini sasa?
Kila nikifungua mtandao nikamkuta huyu sitazamagi kwa sababu anakera sana kwa mambo yake ya kishamba
Mungu atakuongoza utapata mume bora kwani wew ni wakipekee sana
Ongea kiswahili baasi!!! Si wote ni waingereza.
Good interview
Bado unampenda kimapenzi kiba usituchoshe
Divaa tatizo lako ni hilo , eti two million!!!!
Diva umeamua kweli au unatupima tuongee kitu😜
Masikin diva 😂 ila yote kwa yote napenda unavyojikubali na mambo yako kama hujielew ila unajikubali 😂😂😂
😂😂
Kwa kichwa gani mpaka asivar wigi mpuuzi mmoja
Naona kama kidogo kidogo unaanza kujitambuwa
Kila saa mm ni brand brand brand unakunya keki au😂😂
😂😂😂
ALI , UKO WAPI SIKIA HUKU 😀😀
Amina ndio asikie vitu hivyo 🤔🤔
Huna lolo hutoboy bila digital siukubali tuu
Yu no😂😂😂😂
😂😂
😅😅
😂😂😂😂😂