DIASPORA WAOMBA URAIA PACHA ILI KUJA KUWEKEZA NYUMBANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 11

  • @fadhilhimid2776
    @fadhilhimid2776 ปีที่แล้ว

    Ahsante Sana Sana Mh Dr Mama Rais Mama Samia

  • @Gustave_Tech
    @Gustave_Tech ปีที่แล้ว

    Ni kweli

  • @ashaomari7465
    @ashaomari7465 ปีที่แล้ว

    Safi sana

  • @chudohans2447
    @chudohans2447 ปีที่แล้ว +1

    Hii iko sawa kabisa nchi yetu iruhusu uraia pacha

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 ปีที่แล้ว

      Wanawapa hadhi maalum huu ni ujanjaujanja mtu kazaliwa Tanzania anapewaje hisani?.Hawataki wapige kura wamewafunga mikono nyuma ndio maana wamewapa hiyo kiini macho

    • @chudohans2447
      @chudohans2447 ปีที่แล้ว +1

      @@leokamil6284 exactly nchi yetu ina ujinga mwingi

  • @simonsmithajax
    @simonsmithajax ปีที่แล้ว

    Yupiiiiii raha tupu😀😀😀😀

  • @fadhilhimid2776
    @fadhilhimid2776 ปีที่แล้ว

    Nimependa Sana hiki kipindi

  • @Elimubilamipaka
    @Elimubilamipaka ปีที่แล้ว

    THE FIRST ONE GUYS

  • @ProfJerryM
    @ProfJerryM ปีที่แล้ว

    Hiyo Hadhi Maalum inatakiwa kujadiliwa kwa miaka mingapi mpaka ipitishwe
    Usikute ni ahadi za kiSiasa tu
    Kungekuwa na Nia ya kweli jambo hill lisingekuwa la kujadili kwa MIAKA kuendelea kushughulikiws.

  • @samuelmbogo7448
    @samuelmbogo7448 8 หลายเดือนก่อน

    Hii hoja ya Hadhi maalum, na uwekezaji ni vitu viwili tofauti na uraia pacha! Kikijadiliwa kila kimoja pekeyake tutapata muafaka. Uraia pacha ,kuna hoja nyepesi sana katika uhitaji wake kutoka kwa wahitaji. Naunga mkono Hadhi maalum.