Sheikh Walid Awafundisha Wanaopnga Barazanji /Wee Unashangaa Wanyama Kuongea / Sheikh Walid Alhad
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- Sheikh Walid Awafundisha Wanaopnga Barazanji /Wee Unashangaa Wanyama Kuongea / Sheikh Walid Alhad Omar
Mashaa Allah Sheikh Walid Bin Sheikh Alhad Omar akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Sheikh Walid Awafundisha Wanaopnga Barazanji /Wee Unashangaa Wanyama Kuongea / Sheikh Walid Alhad Omar
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Airtel Money +255782466586
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/Dars...
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
TH-cam @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Mashaa Allah Sheikh Walid Bin Sheikh Alhad Omar akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Tusipomtaja Mtume (S.A.W) Tumtaje Nani / Twendeni Tukamtaje MtumeSehemu Zote / Sheikh Walid Alhad Omar
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Airtel Money +255782466586
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/Dars...
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
TH-cam @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Sheikh Walid Allah akubariki Sana kwa hekma kwa elimu ulonayo Mwenyeezi Mungu azidi kukuweka kwa jinsi unavyodadavua umenishibisha japo Mimi si katika wale akina bacho
Mashaallah,,, walimu kama hawa ndio wanaohitajika katika jamii iliyoparaganywa akili, Shahe wetu Mungu akubariki sana.... Mufti hujakosea na tunaomba tuthibishie awe shekhe wa Mkoa Kamili.... tunafahamu Kuna baadhi mambo hajatia kutikana na cheo hajikamilika....
wallay Allah anajua jinsi gani nakupenda shekhe walid kwajir ya Allah wewe ni mtu mwengne kabisa katika hawa tulionao sasa Allah akujalie mwisho mwema inshaallah
Aamin
Mashaallah mashaallah sheikh Walid mungu akujazi kheri wape ukweli hayo wamjume Mtume❤❤
Maa Shaa Allaahu
Watu wanatumia akili zakibinaadam sio kutazama uwezo wamungu anaweza kufanya au?
Shehe MUNGU akuweme ili tupate elimu yako. Amin
Shoukran sheikh kwa Hakika asiekuelewa ana hasad juu yako
Masha Allah tunasikia Habib Omar anakuja kenya wiki ijayo. Insha Allah aje na Tz Allahuma Ameen
Umenichekesha sana shekhe alhamdullah
Mashaallah allah akujalie kila la khery
Mashallah shekh wetu mungu akuhifadh
Alhamdulilahi kwakweli amefanya sawa au wamefanya sawa waliokuteua wewe uwe kaimu au uwe Shekhe wa Mkoa wa Dar salaam unatufaa saana Ktk jamii zote za kiislaam watakao kuradi na kukuchukia ni Roho mbaya nachuki na uvivu Walio nao Ktk mambo ya kheri
Ustad Unazunguka sana katika mifano yako
Kuna tafauti ya Neno laa kusemwa na Mtume na maneno katika Barzanji
Unacho paswa kutuilimisha ni utuambie hayo maajabu ya mbuzi na samaki yametajwa wapi katika hadith au quran acha kutoa mifano ya kitoto
Jaazaaka Allah khayra
Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚
JAZZAKA ALLAHU KHAYRA
ASANTE SHEIKH LETU WALID KWA MAFUNDISHO
Alhamdullah
Aslm alkm ww... sheikh Walid 😀😀😀😀😀 . Jazakallah kheir 🙏🌹🌹🌹🌹
Masha Allah Shekh Waled
tafadhalini mashekhe wetu mtufunze Wala msilete uzishi katika dini
Tushawafunza sisi ndio maana Kojo kumtoka Jiwe ambalo halina Roho Nafsi kila siku likimpigiaya salamu Mtume S.A.W je wanyama wenye Roho Nafsi? Sasa sisi kujuwa kutoka kwenu mawahabi Uzushi wenu mulouzuwa wa kigawanyo cha Tauhid ipo wapi ktk Quran au Hadithi
mashallah
❤ ALLAAH akbar
Nabii Suleiman aliongea na wanyama mbona hawabishi hayo lakini kwa kipenzi cha allah wanabisha wanyama kupeana taarifa
Masufi acheni upumbavu, hoja hiyo ya wanyama kusema Muhammad Bachu alishaijibu alipoulizwa swali na Mazinge, na shekh Muhammad Bachu alisema mambo ya wahyi na miujiza hawakatai ila kuwepo na dalili ni wapi na msimuliaji ni nani kuhusu ilipotungwa mimba ya mtume wanyama wote walipeana habari? Nyinyi masufi mlipata wapi hiyo habari
Wajibu hao
@@mohdkhatib223 ww kaa kando na kipenzi chetu sisi tutamsifu na tutamswalia waona ajabu wanyama kutamka kwa mimba ya mtume huoni ajabu mtume kapita kwenda kwa mola wake na jibril kashindwa kupita na nimalaika
Juma hakuna maandishi katika kitabu cha Allah wala hadithi qudus wala hadithi za mtume. Nyie mwatoa wapi?? Huo ndio uzushi. Allah awaongoze katika njia nyoofu
Subhanallah astghafirullah ladhim
MashaAllah
Siku1 alisema mtu hawezi kuongea na wanyama kama mungu hajampa mantika twairi sasa yy kuingea na paka je ana mantika twairi😂
Mashall
Sio hajabu ila nani ? Kawamtangulia baranjii ktk kisa hicho shekh hivi kweli hamuelewi au ndo upinzani laiti kma kisa hiki angekisema mtume swalallah alywasalaam ama Aya ktk Quran lkn hayo maneno ni ya barazanjii
Ngoja ninyamaze. Wataelewa. Tu mawahabi 😂😂😂😂
Wanyama kuongea kwa mawahabi haiingii akilini kwao kwa sababu ni watu wa mwili mambo ya kiroho hawana ktk akili zao hayapo hawajaruzukiwa ufahamu
Sasa nyinyi masufi mmepata wapi hiyo ya wanyama wote kusema ilipotungwa mimba ya mtume.
Uongozi unaweza kumfanya mtu aliyekuwa mchamungu akawa muovu umakini nakujitathimini nimuhimu zaidi
Masheikh wa kuigwa watu wa taswauf
Wacha uwongo na porojo mingi toa Hadithi swahihi au aya ndani ya Qur'an ili kudhibitisha
Tuambie ukweli wako wew
Wewe uwe muwazi kama ni mfuasi wa Barzanji
😮😅😢🎉 shekh kwan nn Mana ya barza zi
Tungu kaongea ipo dalili katika Qur an kigogo cha mimbari kuzugumza hadith swahih
Je wanyama kuzugmza ipo hadith sahihi
Una ushaihidi au ni maelezo hatutaki maelezo twataka ushahidi
Mashekhe wapenda vita.nikupeana ilimu sio kutusiana bachu akiwa amesema barzanji Ina makosa huangaliwa lakini watakosa kukata viuno barabarani kisi ngizo maulid na Wali waburee
Watu wanavichwa vigum Sana mnaambiwa mtume aliongea mpaka najiwe wewe kaongee najiwe kama unaweza
Masufi wanaona waoondowa naompnda mtume Mohamad (sw) kuliko waislamu wote duniani eti? kwakuwa wenzao hawapigi madufu namannanda ndohawa mpndi mtume
Kila kitu mnapunga nyinyi3 mawahabi hatuwashsngai sana wengine mnathubutu kuzitia ndoa za wazazi wenu kuwa ni batili
Jiwe haliwezi kuongea acheni uongo. Mtu mzima na akili zake anaongea vitu visivyoeleweka.
Unabishina Na Mtume Muhammady (S.A.W) iyo Hadithi Siyo Zaifu
Ni uongo hakuna mtu anayeweza kwenda mbinguni na farasi, hakuna mtu anayeweza kuongea na sisimizi ni uongo. Inakubidi uwe mpumbavu sana kuamini huo ujinga.
Wewe ni chizi
Wanyama waliongea una ushahidi wa Hilo sheikh tupe ushahidi
Kwani unachipinga ni nini akhy au hajamsikia shekhe wako Bachu akinukuu hadith kutoka kwa Abuu Nuaimu kwenye مجلة المنرى wewe unataka ushahidi gani tena zaidi nyinyi mawahabi ndio mlete ushahidi kua hadith munkar haifai kuwa hoja tena sio kwa kelele zenu tu mulete hoja za kielimu ni mwanachuoni gani wa mustwalahi alhadiith amesema mtu akitumia hadith munkar maneno yake au kitabu chake huambiwa ni uongo?
Mtume aliongea na nyoka je nyoka sio mnyama tumieni akili
Shekh sio ajabu kwa mtume mimba yake kutungwa na wanyama kuongea...lakini hiyo hadithi dalili zake ni zipi...je mtume alilizungumzia hilo au alitufunza kuhusu hilo...je kwenye Quran tukufu limezungumzwa hilo...?
Masufi acheni upumbavu, hoja hiyo ya wanyama kusema Muhammad Bachu alishaijibu alipoulizwa swali na Mazinge, na shekh Muhammad Bachu alisema mambo ya wahyi na miujiza hawakatai ila kuwepo na dalili ni wapi na msimuliaji ni nani kuhusu ilipotungwa mimba ya mtume wanyama wote walipeana habari? Nyinyi masufi mlipata wapi hiyo habari
Ebu muogopeni Allah masufi musiogee uwongo
Wewe pia wataka pesa mbona umekubali uongozi
Tupe dalili
Wapi wanyama walisema
Acha porojo
kwa nabii suleyman
Cmama na haki wacha kutetea batil
Ss ndugu yangu Walid hiyi n dini sio kila mtu anaweza kuleta tu mmb yke, hii n dini hatutakiwi kufata mkumbo ukileta jmb n lazima ulete dalili coz Mtume alishatutahadharisha juu ya watu ambao watakuja kuleta mmb ya uongo ktk dini, toa dalili sheikh wacha mnn mengi😂
Unastaajabisha kweli.
Yaani unamkataza mwenzako asifuate mkumbo kwasababu anaunga mkono mawlid, lakini wewe hujioni kwamba unafuata mkumbo kwa kuwafuata wanaopinga mawlid.
Which is which?
@@omaryjumas6327 alete dalili wapi imethibiti wanyama walipeana habari😂
Midjinga iko kibao mfano wako habisme towa vidjikelele hapa
Ivo unavotafsir swahaba gani kafahamu ivyo
Ss sheikh na nyny toeni dalili basi ktk hayo maneno wapi imethibiti kua wanyama walipeana habari ilipotunga mimba ya mtume mbn dalili hamtoi mmebakia kusema tu😂 hatujasema kua wanyama haiwezekani kuongea vo ila tunataka dalili km ulivyotoa dalili ya jiwe lililokua likimsalimia Mtume toeni basi na dalili ya wanyama kupeana habari😂 mmebakia kuchamba tu lkn dalili hamna😢
Dalili kaitoa nassoro bachu wewe pumba katika munakasha
@@MuhidiniNassor ile hadithi munkara ndio dalili?
Sheikh wewe ni mswahili, toa hoja na dalili? Unaleta story too. Wewe mnafafiq Sheikh Walid.
Hamna kitu apaa
ISITUMIKE NGUVU KUBWA KUMKANDAMIZA BACHU...BACHU HAKUKATAA CHOCHOTE...YEYE ALITAKA ANDIKO TU....LOLOTE TU..LAKINI ANDIKO SIO STORI
Hawa ndiohawawalafi wanaotizama mituboyaotu nakupotowa watu ndomana akili zimewatoka hamuna lolote mabakwata munajulikana wanafik
Masufi huwa wote wana shida ya akili.
Unawatukana Waislamu Wenzio Doooh Masikini
Ahahahahaha kama watakuwa wanafanya vitu vya kipumbavu basi sitakuwa nao. Mimi ni muafrica.
Muislamu hamtukani SHEIKH ABDULKADIR JAILANI KS SUFI.
Tutajie wapokez wa hadithi ya kumuadhinia mtt acha shubha
Unajua maana ya hadithi kwanza?
Hadithi sahihi kapokea Mtume Mohammad (S.A.W) someni jamani!
Rajabu tuliza ufahamu wako wanyama wengi wamesema na bado wanaendelea kusema mpaka leo ingekuw kila kitu kina semwa kwenye kitabu Allah sijuwi kama kingi someka Mwenyezi Mungu kazungumza Kwa majumwisho ingekuw hivyo utahoji hata TH-cam mbona hijaandikwa na nivitu hivi havikuwepo wakat wamtume sindio uzushi mbona tunavitumia
Nyinyi ni watu wa maajabu yaani jambo ikiwa la kutajwa Mwenye Ezi Mungu na Mtume S.A.W huwa muna shaka nalo. Lkni mukiona watu wakiwaambrisha wamaya wanao wafunga kama kwa mfano sana sana Mbwa na wanasikiza yaani mwaanza kusifiya jamaa aongeya na Mbwa anaskiya. Ndio Bachu akaongeya na Paka 😂😂😂
Mawahabi hakuna siku wataamini kwani Hawana ilmu ya kujua mambo, hawajui ukubwa na utukufu wa mtume wanajihesabu ni kama wao wenye kunya mavi yakanuka,
Masufi nao wanajiona Wana elimu kushinda Maswahaba
Na wema walio tangulia
@mohamefmullah dini ya kiislamu yaenda na elimu watu wapiga maulidi kusherekea mazazi yake swali jee katika msikiti wa mtume ambayo ingekua vizuri zaidi twasherekea mazazi ya mtume ndani ya msikiti wa mtume mbona hayafanyiki?pili swali liko pale pale jee wanyama waliongea
@@abdurahimabdulkadir3926iyo ya kutofanywa ktk mckiti wa mtume ata c hoja manake hata engkua yanafanywa mle basi bado ingebakia kua hayafai kwa 7bu hayana dalili za kisheria, alafu awa wao kazi yao n kuongea tuuuuuu lkn dalili ya hoja 19 za Bachu hawana yan wanazidi kuwaaminisha watu kua Bachu kawaweza😂
Masufi acheni upumbavu, hoja hiyo ya wanyama kusema Muhammad Bachu alishaijibu alipoulizwa swali na Mazinge, na shekh Muhammad Bachu alisema mambo ya wahyi na miujiza hawakatai ila kuwepo na dalili ni wapi na msimuliaji ni nani kuhusu ilipotungwa mimba ya mtume wanyama wote walipeana habari? Nyinyi masufi mlipata wapi hiyo habari
Sisi tunasoma Quran, na tunaona ndani ya Quran nabii Suleiman aliongea na wanyama, hayo mambo ya wahyi hatupingi kwa mitume, lakini la wanyama walipeana habari wakati mimba ya mtume ilipotungwa, nyinyi wapumbavu wa kisufi mmepata wapi?
Leteni dalili basi ili tuamini huo uzushi wenu.
Achaneni na Bachu Albarzanji hakujua kujieleza alitaka kujulikana na sifa
Tatizo sio kuongea wanyama. Tatzo ni hilo tukio lilikuepo kweli⁉️⁉️⁉️⁉️ kuongea twajua kama waeza ongea . Alafu Shekhe Saidi sikashamaliza kazi na mkamsifu😂😂😂sasa mnafafanua nini. Kwasasa hata makafiri wanajua kua maulidi haipo ktk Dini MUULIZE MAZINGE ALIJIBU VP
Makafiri wenzenu au
١٩ hujibu mwa babaisha watu wasiojielewa mwapoteza
Nyinyi watu wa talbisi
وتلبس ألحق بلباطل
Alafu acha kuongopea watu sio yote yanayo egemezwa kwa mtu ni ya kweli lazima tuchuje kwa misingi ya kisheria maana dini mashia na masufi wameiharibu wanaingea mengi ya uwongo na kumsingizua uwongo
Kwa hiyo mtu akizungumza kitu kwa dini ni lazima Atoe na Dalili na Dalili pia tunaipima kwa mizani za kisheria je imethibiti
Eti tuchuje wewe kama nani mjingajingatu hutambuliki labda mtaani kwako
@@fadhilimusa9732
2shawazoe masufi Wana taqleed ya upofu hamchuji Kila munalo ambiwa
Ndio maana munadanganywa
Mtume alikula sima mawlidi kondoa unakubali tu kama fala vile
Samai dawa ya Ukimwi
Mara Kuna mtu alikufa akafufuka Akatamka Shahada Kisha akafa tena
C wazimu huu kuamini upuzi kama huo
Chochote kitakacho nasibishwa na dini lazima tuchuje kwa mizani ya kisheria kikiwa na Ushahidi wa kweli hilo tunalifanyia kazi
Kikiwa ni Cha uwongo lazima tutalipinga na kulibainisha kwa watu
@@fadhilimusa9732 alafu kaa ukijua Sina wasiwasi na Dini yangu na Akinijua Allah inatosha ila sitoona Dini inaharibiwa na vibaraka flani na tukae kimya
Hakuna wahabi hata mmoja anaetumia sheria kuliendea jmbo . Huwa wanaagizwa na walimu wao hilo tu
@@mohamedrashid7864
toa ushahidi wa maneno
Kama ni uchizi kuongea na paka, basi nyinyi masufi mtakuwa ndio machizi wa kwanza kwasababu nyinyi ndio mlipata habari ya kuwa wanyama wote walipeana habari wakati mimba ya mtume ilipotungwa.
Hem teteeni uongo uliomo ndani ya kitabu cha barzanj, sio kuropaka tu kama mbwa koko.
Mkiambiwa usufi ni upumbavu ndio mnazidi. Halafu nyinyi mashekh wa bakwata ndio mmezidi kwasababu mna upumbavu wa kisufi halafu na uzuzu wa kujali matumbo yenu
Hayo alisema NA kutuambia ni hadithi ya MTUME SAW iliosomwa kwenye mjadala. SASA BACHU NAE AJIGEUZA MTUME NA AMUULIZA PAKA NYAU 🐈NA YEYE ILI ATULETEE WAHYI KUTOKA KWA WALII 🐈NYAU. 🤣🤣🤣. yaani maswahaba WAMEAMBIWA NA MTUME SAW, ndio hadithi zilivyosemwa imepokewa NA ibn ABBAS SWAHABA wa MTUME SAW mpaka kwa ibn naiim akaiandika. Sasa bachu kapokea KWA WALII NYAU 🐈, 🤣 NA NYIE NDIO WAPOKEZI WA MTUME WENU NYAU 🐈, NA SWAHABA NDIO BACHU NA WEYE NI TABIINA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Someni ikiwa mti uliongea na mtume je wanyama itashindikana
Sasa kwahivyo ww uliambiwa useme mkubwa wa jiko na hujuuliza sasa hii si dunia hii ni dini ukileta kitu lazma uulizwe labda watoto wako ndio hawatakuuliza lkni katika dini utaulizwa umufti wako twataka dalili
Ila bachu anawatesa jamani
Anajitesa
Kikojozi anatutesa lkn alikimbia MAMBRUI
Atajitesa mwenyewe na kundi lake.
@@hilalalhabsi2047kikojozi ni babako nendeni mambrui mukapige piano mucheze ngoma hamna ilmu
Shehe sio ajabu wanyama kuongea kwa ajili ya Mtume ila ,nani alilithibitisha hilo? Je ndani ya Qur ani imo hiyo?je katika hadithi za wanavyuoni imo hiyo?hilo ndio linalotakiwa liwekwe wazi,na sio kusems uongo kwa kisingizio cha kumsifu mtume ,Kwa hivyo kwa kuwa mtume ndio asingiziwe vitu ambavyo havipo? Wewe ni shehe na unaaminiwa na ndio unatunzwa hapo kwa kuongea vitu wanavyoaminishwa watu ambavyo sio vya kweli,tuambie sasa ni kitabu gani cha wanazuoni au ni aya gani ndani ya Qur ani ilioyositbitisha hayo?
Tatizo la hawa masufi wanajitia uzuzu, na hiyo hoja ya wanyama kusema, Muhammad Bachu alishaijibu alipoulizwa swali na Mazinge, alisema hawakatai mambo ya wahyi na miujiza, ila katika hiyo inayotajwa katika barzanj dalili wamepata wapi, wanashindwa kujibu hadi leo.
Halafu bakwata hakuna shekh, kuna wachumia matumbo tu kwa maslahi yao.
Njoo nikuoneshe hadithi
@@mohdkhatib223Kuwa na heshima,
Hadith za mtu zipo nyingi na Shekhe wenu Bachu aliitoa siku ya Munakasha sasa sijui unataka hadithi ya Abunu Assi
Tukutane Mahakamani Naushahidi Wako Nawangu. Maana Kilakitu Ushahidi Ndio Akili Yako Ilipoishia Maskini.
Cheo chako cha umufti watu hawakitambui toa dalili jee wanyama waliongea
Kibachu wenu Hana akili kauliza suala Kisha kajijibu eti anatega hatimae mikojo vyurrrrrrrrrr
@@MuhidiniNassor twataka mufti ajibu swali jee wanyama waliongea ni kwely au ailimishe watu wanyama waliongea kitabu flani flani mwanachuoni flani ss s wajinga eti usiseme chumvi usiku hayo maneno akawadanganye watoto wake kwake ila dini yataka dalili haitaki eti aliesema ni mufti so hakuna kuuliza swali
Media zote ni mtoto wa bachu
Za kikojozi, kwa maarufu kwa KUJIKOJOLEA kwenye mnaqasha😂
Shida si kuongea kwa vitu, shida ni hiyo habari ni ya kweli?, Yaan utupe ushahidi wa hadithi sahihi zinazothibitisha hizo habari, la sivyo itakuwa ni habari kama za BBC CNN ALJAZIRA N. K kumuhusu mtume
Hayoa mambo ya kukata kucha usiku sijui kuomba chumvi usiku hayo sio mambo aliosingiziwa mtume ,ila kama alisingiziwa mtume kafanya hivyo basi pia waislamu wangehoji
Uislamu haupelekwi na cheo eti mufti toa dalili ya wanyama walingea
Mskiti wa mtume mbona hakupigwi maulidi eti kusherekea mazazi yake hicho cheo chako eti ni mufti lete dalili wanyama waliongea
Kumbe walid ni pumbafu sana kwani hatuelewi
sheikh matusi ya nini sasa
Nyie wote mnapigania maulidi sababu ya matumboo
Na ww
Ww ndio hujielewi
@@aminanoor5963maulidi yalianza Karne ya sita mwisho na Karne ya saba mwanzo pili hata yalipoanza mbona huo mskiti wa mtume watu hawasherekei kuzaliwa kwa mtume ndani wa mskiti wake watu wa maulidi mwafanya mchezo mungetembezewa bakora
Kweliii sikuzotee hatulii sisii tunakulaa siku zaa maulidii tu
Hebu kasomee uwe naadabu usiwee Kama yule mwehu wenu
@@meksd2418mliosoma watu wataka kujua jee wanyama waliongea mjadala uliisha sasa elimisheni watu jee wanyama waliongea pili alieota kuwa mtume alimwambia atunge kitabu Cha maulidi eti mstari mmoja uishe na nun mwingine uishe na heee elimisheni watu huu ni ukwely vina dalili
Subhanallah astghafirullah ladhim