Ally Heshima kubwa ulipewa nidhamu yako /utanashati wako na uogeaji wako ulio tukuka Hapo sehemu nyeti sana naomba hadhi zote unazo nakuomba pia nywele zako ziwe fupi zaidi -kwasisi tulio soma zamani mwl alikuwa akikagua usafi akisha kuona kichwani jicho lake utaona anakupisha -Hongea sana kukutana viongozi wakubwa wa dunia 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ahmed Ally abadilike Sana,inapohusu Simba aizungumzie Simba mipango yake,lkn kwenye mambo ya msingi ataacha ataisema Yanga uongozi hajui kitu, kamwe atawaacha Mbali sana
The biggest club in Africans is Youngs Africans vipi lakini apo jibu lake it's on always sugar muwaa cream maziwa chai cream n.k yes yes yes it's definitely Thank you for our country Team yanga Africans Tamu Tamu eee hayaa Twendeee kazi wananchi wooote wooote wooote Thank you very much all
Nilisema zamani Kwa mmakonde mwenzangu Ahmed Ally,,tatizo lake yeye kila siku Kazi yake ni kuisema Yanga badala atulie azungumze kuhusu football hafanyi hivyo
Ally Heshima kubwa ulipewa nidhamu yako /utanashati wako na uogeaji wako ulio tukuka Hapo sehemu nyeti sana naomba hadhi zote unazo nakuomba pia nywele zako ziwe fupi zaidi -kwasisi tulio soma zamani mwl alikuwa akikagua usafi akisha kuona kichwani jicho lake utaona anakupisha -Hongea sana kukutana viongozi wakubwa wa dunia 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mwenyezi Mungu akubariki na safari njema nenda kuwakilishe nchi na yanga kwa ujumla
@@MussaMbwana-o6q hauna chako jindungeni tu misindano na kugusa achiaa twende makumbusho sio lobo finally tena 😂😂😂😂
Hongera sana ally kamwe apo umetisha baba unabaya 🎉🎉🎉🎉🎉
@@tonwakixanga 😂😂😂 munajifaliji wakufeli club bingwa. Munapotezea wazee wa gusa achiaa twende makumbusho sio lobo finally 😂😂😂
Acha wivu@@bernardmboma1461
Hongera sana semaji mwenyewe wengine wapiga debe tyu nakubana pua
Hongera sana semaji letu daima mbele nyuma mwiko kazi iendelee 💛💚💚🎉🎉
@@fatmaomar8335 😂😂😂 munapotezea wazee wa gusa achiaa twende makumbusho sio lobo finally tena 😂😂😂
We kolo kaa kimyaa mkubwa anaongea
@BullahSambiga gusa achiaa twende makumbusho sio lobo finally 😂😂😂
Wakujidunga fc 😂😂
Wivu@@bernardmboma1461
Ally Kamwe kishua sana hizi ni zawachache Ogopa
Hii ndo tofauti kati ya msemaji na Comedian
Umependeza sana Kiongozi, utawaua hao wenye wivu na chuki zao. Mungu akikupa hakuna wa kujunyang'anya. Umedamshi sana Mdhua!!. Big up!!
Mimi ni simba ila wew na Ahmed Ally mnatupa raha sana.naona leo umeamua kutupa dozi yetu.hongera sana kwa kupata hiyo nafasi.
@@georgemallya4311 raha gn wazee wa gusa achiaa twende makumbusho sio lobo finally tena 😂😂😂
Hakuna Cha maana hapo mumefeli wakujidunga fc 😂😂😂
Geo wewe ni mzalendo halisi waundishe hso wenye wivu waache vhuki zao ili nao watoke!!!
Ahmed ally anaropoka sana mpaka anapoteza mvuto.Yaani amekuwa kama mhuni Fulani hivi.HONGERA SANA ALLY KAMWE.
Sahihi jamaa anaongea tu kufurahisha watu wake lakini mengi hayana kujenga anafikiri mambo yanishia hapahapa tu
Wote waropokaji kuna kuzidiana tu..... wanaharibu saana mpira wanasema sana badala ya kuzisemea timu kazi kujisifu sifu....
❤❤❤safi sana bro
Msemaji Mwenye Ubongo🙌🏾Kila lakher Mwenyekiti Wa Wasemaji
@@iddiadam2366 anaenda kuchumbua nn huyo kingeleza chenyewe ni shida 😂😂😂😂
Kamwe Unajuw Ball Kulichambuw❤🎉✅💚
Nchii hii msemaji ni 1 wengine wasubiri ally kamwe arudi toka morocco kwanza
Ally kamwe napenda namna unavochambua kwa kiwango ndo maana ukawa semaji kuu la wasemaji ote hongera sana
Ishallah kesho ya mungu kwetu sisi wanayanga ni nzr
Msemaji ni mmoja tu wengine tuendelee kuimba tarabu tu asante ally kamwe
Nic San Ally kamwe hongela San jmn
Mashaa Allah
Hongera sana
Kweli Kuna mesmaji na wachomaji hongera kijanaMungu akulinde
Hongera semaji letu
Hongera sana, Wanawake hawapendi wanaume weupe😂😂😂😂😂😂
Hongera semaji letu❤
Hongera sana Semaji Ally Kamwe 🎉🎉🎉
@@careemdulla1629 😂😂😂 hakuna kitu hapo munapotezea baada yakutolewa . Mumeishiwa sera wazee wa gusa achiaa twende makumbusho sio robo finally tena
Semaji letu, nakukubali sana Ally💪🏼
Ndio raha ya nchi yetu Tanzania
Mashaallah mungu ni mwema dua tu kila hatua uende salama na urudi salama 💚💛💚💛👏👏👏👏👏
Ahmed Ally abadilike Sana,inapohusu Simba aizungumzie Simba mipango yake,lkn kwenye mambo ya msingi ataacha ataisema Yanga uongozi hajui kitu, kamwe atawaacha Mbali sana
hongera sana semaji letu la Yanga❤🎉🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤
Semaji umetisha🔥🔥🔥🔥
Hongeraaa ally
Sana🎉semaji mwanzo mzuri wa mwaka kwako
Semaji la mabingwa 💚💛
Taabu yako Ali, ni kiburi. Kupenda sana kujisifia. Acha usifiwe na wengine.
Hongera sana
Umejua kuwa shika
Wewe nimsemaji Bora Sana
😂😂😂 et appearance
Tunakutakia kila la heri huko uendako kaka mungu akubariki sanna
Congratulations
Ila jaman wangempa morison uraiya jaman
Mwanangu Kamwe kuna Mama Mtaan kwetu Anakuchukia Sana Kutokana na Kauri Zako Za Kuhumiza Nataman Siku Nikukutanishe Nae Utacheka
Umetisha
shidaa msemaji wa panyaa road hawawezii kumwalika muhuniii😂😂😂😂
@YANGA TV Niko Morocco na Nina zawadi ya Msemaji in Sha Allah naombeni apate hizi salamu
Ila ally kamwe 😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉💚💛💛💚
🔥🔥🔥🔥
😂😂 uzuri hata azam tv wanaonyesha ila ally kamwe dah
kweri mdogo wng,ally kamwe yanga oyeeeeeeee
Malaika wa MUNGU wakulinde
Allaah Akbar
Uwakia kabisa mkuuu
The biggest club in Africans is Youngs Africans vipi lakini apo jibu lake it's on always sugar muwaa cream maziwa chai cream n.k yes yes yes it's definitely Thank you for our country Team yanga Africans Tamu Tamu eee hayaa Twendeee kazi wananchi wooote wooote wooote Thank you very much all
kanye huko huna hata akili
Ok👍
Msemaji pekee mwenye medali ya caf tanzania
Daah! Mwamba ananikoxha cn
Mungu Akuta gulie
mimi namwangalia tu mdada hapo anajua kutabasamu hahahhahh
Ahmed ally hatokuwepo kwa kweli😅
Kwa hili Sasa Ahmed ally kamdomo fyuu 😂
kitale😂😂😂😂
Ila ally 😂😂😂
Mzamiaji unamsema Nani ally
Ali 😅😅😅😅😅😅daaah 😅
Ongea kijana
Kwel msemaj ni mmoja bac ni Ally Shaban kamwe.wengine ni mashabiki
Safi semaji la caf
All Ali kamwe
Chapa kazi kwelkwel
💚💛
Na unavojisifia sasa utazan timu yako imefuzu hata kuingia robo 😂😂
Umefata nini humu
Hongera sana Ally
Katuwakilishe vyema semaji la wananchi
Ongera jembe
Semaji la DUNIA
Duh mpira umetushinda hilo ndio lilobakia
Halafu kule Madunduka kuna Pimbi anajiita Semaji la Nyoko.😂😂
Nilisema zamani Kwa mmakonde mwenzangu Ahmed Ally,,tatizo lake yeye kila siku Kazi yake ni kuisema Yanga badala atulie azungumze kuhusu football hafanyi hivyo
Bhaghosha nimumo muyo tata
Wadanganye hao hao mashabiki wa wakujidunga fc 😂😂😂
Wewe ndio msemaji bora pekee
Sasa wapoe kabisa Kama maji ya mtungi na wapate la kujifunza namna ya kujibrandi
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Amnasela kaombeni msisushwe lenk
Hasa lenk ndio nini
Wewe ndo semaji la caf kwel na si mwingine
Hicho ndicho mnachojivunia msimu huu, kwamba Ally kamwe na clabu yake wamealikwa na cuf.
🎉🎉🎉🎉💛💛💛💚💚💚💪🏾🙏🏽
Kamwe umependeza Leo tupe jina la saloon uliyoenda
Huyo dada ni nani
Tanzania ndio nchi pekee ambayo inampigia kingora Hata mfugaji na kufunga barabara
Hata ww ukiwa na hela zako unaenda polisi wanakupa escot mbona kama unakua mgeni na mambo haya ndugu?
@VICTORMBWIGA we umewahi pewa escort?
Hahhahahaha❤❤❤😂😂😂🎉🎉🎉❤❤❤
🧠 brain nimenyook hii
Kashiwa huyo hana sera baada yakutolewa club bingwa anatafuta kiki. Na hana kz yakifanya timu yimeshatolewa . Gusa twende makumbusho 😂😂😂
Mbona unaangaika saaana? Njia rahisi kama umechukia kajinyonge tu! huyo ndie msemaji peke Africa mashariki na Kati.
@ManirambonaBashiri nani ajinyonge nyinyi ambaye mumetolewa ndo mujinyonge Kwan ww yinakusaidia nn hiyo safari.
Huko kwa mafelia ndo unaona unamechi sasa siye tulishapiga hayo mataru taru sanaa huko hadi fainali ww mshamba
@EliaMkumbo-wn7bm Sasa ww umeshawahi kufika wp club bingwa sisi wenzio tumefika mara nne robo finally. Sasa ww kila ukingia unaishia makundi.
@EliaMkumbo-wn7bm club bingwa ya ma giant ndugu yangu ndo maana Simba yupo nafasi ya tano na msimu huu antazidi kupanda 😂😂😂 hupooo
Kamdomo kamdomo umepelekwa na enjonia tu
Mbona kule upande mwingine hayupo hata mmoja?
Yule yupo anasheherekea ushindi wa kuingia robo.Kashasahau kuwa Hays mashindano ameshawahi kushakashifu.
@chizashungu8364 Kazi anayo.
Ww ni jembe daima mbele nyuma mwiko
Ha ha ha ha bgp sanaaa
😅
Huyu dogo anajua atafika mbali... sio yule wa kolo
Na huyu jamaa angekuwa mchambuzi wa tarabu maana haana jipya . Simba mdogo ww uko wp na yanga uko wp.