Kaka Mimi nakupenda sana na nakufuatia kwa Kila hatua nikiwa Kenya. Swali langu ni kwa wanaume wanaojioshea sufuria za wake zao na Miko zao wakati wake zao wamejiishia huko?
Uyu mama msungo anaenda kufumania mkwewe ovyoo alafu ajitambui mala amkataze mwanae asifundwe uyu ovyo Tena eti itakuja nyingine anataka azid kupata wajukuu wa njee loooh
Naona raha asaa❤❤❤jaman hadi namiss kuolewa kungwi dume ni mmoja tu tanzania hapana chezea ee👌
Makabila tusiofundwa twajifunzia apoapo ubarikiwe kaka nikienda kuolewa nitayafanyia kazi
Jamani unamaneno matamu sana mashaallah alafu tunajifuza pia❤❤❤🎉🎉🎉
Mashallah mashallah
Wakwanza kutoka Moçambique 🇲🇿🇲🇿 naomba likes zangu
Wengne tuliolewa kibubu bubu hapa tunajifnza mana tulikua twaish Kwa ngv za allah
Ndo ipoje hy kibubu bubu
Kbxaa😂
Mashallah ibra ww n zaid ya kungw ibak t rehma ya mung ktk ndoa
Mashaallah Mashaallah hongera sana
Good job inafundisha inaburudisha Allah akutunze uendelee kutuelimisha
Mashahalla somo mzuri tunajifuza kwa kweli somo tunaye popol popol halewa lewa namwambia popo walamaembee pekee kaziyake kutumwagia kokwa ❤❤
Yaan kam unatak kuingia kweny ndowa fatilia hii move
Uyu babaake na sengo ana busara mashaallah!
It's nice mr Ibra
Naisubiri kwa hamu inshaallah 🎉🎉🎉
Hatimaye nimeipata
Haya endelea kutufunza mwaya Allah akuzidishie ujuzi zaidi
Kungwi uko vizuri na vijimbo pambee bb ana sauti nzur mashallah
nimempenda baba wa sengo anameneno kuntu
Mashallah yani nimejifunxa mengi ❤❤❤❤na nimetokeq kupenda haya mafunzo ..yani kungwi dume mungu akubariki insha Allah
Mash Allah nimeipenda sana movie yako ibra thank you so much mash Allah is nice movie
Chungu usichopika utakiw funuwa hahhahahahaha tulofunzwa tunajua😂😂😂😂
Napenda hayo mafunzo maana kwetu hakuna hii ndio maana natenga muda Sana kufuatilia hii
Kaka Mimi nakupenda sana na nakufuatia kwa Kila hatua nikiwa Kenya.
Swali langu ni kwa wanaume wanaojioshea sufuria za wake zao na Miko zao wakati wake zao wamejiishia huko?
Ongera kungwi dume ntakufata mpaka unamafunzo mazuri❤
Ngoja nianze sehem ya kwanza kumbe napitwa na mamb na hamsem sijapenda
Nimejifunza vitu vingi sn❤❤❤❤❤❤
MashaaAllah ♥️
Mashallah nazid kujifunza barikiwa sana kaka
Sai naskia raha azikai sana🥳🥳
Me bad sijafuzwa na bad sijaolewa ila nimejifuz mengi Lupita manen yako sin mengi ebu nisem tú mungu akupe maisha marefu kak Ang
Keep going brother,am watching from Saudi Arabia, kama mimi sikufundwa ndiyo nafundwa nawe ndugu,Mungu akuhifadhi
😂
Shukran ibrah kwama funzo mazuri
Allah azidi kukupa afya njema 🙏uzidi kutuelimisha zaidi
Mmh kaka unatufundishana kwelii kutunza ndoa zetu
Yan ibra uko vzur Sana ❤❤❤❤❤
Uko vzr ibra nimekupenda bure❤❤❤❤❤❤❤❤
Tunajifunza na tunazingatia, Mungu àkubaliki sàna
Jamani tulisubiri kwa hamu Sana duh hatimaye imekuja asante
nakupenda sana kungwi dume tunafundwa bila kuwekwa ndani
Mm jinalangu sabura nakaatumbatu mm hapa nauliza nn maamaya shagaaaa
Uyu jama ananipa tamaa yakuwa kwenye ndoa ila sasa sijui kama wanawake wote walio angalia hii movie ni wangapi na je watafuata hayo mashauri
Mm nko hapa ❤❤❤
Tamu sana yaani hadi raha ❤❤❤❤❤❤
Kungwi unafunda kweli au ni movie tu
Unyago Na msondo nakumbuka uhooo
Nice ❤
Mungu akubariki na akupe maisha marefu
Hii movie inanikumbusha mbali sana yani ni maisha harisi kabisa kipindi cha kuchezwa ngoma full kufundwa hahahhaha yani naipenda sana ❤
Yani kila nikiangalia muda bado ila naisubili masha allah
Upo vizuri kungwi najifunza mengi kwako
❤❤❤❤❤❤❤hatari kaka unajuw❤
Nimeisubry hatimaeee 😊😊😊
Shukuran the don🎉🎉🎉❤❤❤
Uyu mama msungo anaenda kufumania mkwewe ovyoo alafu ajitambui mala amkataze mwanae asifundwe uyu ovyo Tena eti itakuja nyingine anataka azid kupata wajukuu wa njee loooh
😂😂😂😂
Kuchanganyikiwa haamini kama mwanae anaolewa
Kungwi twakutaka udje Africa kusini dirben
Safi sana ❤❤🎉
Mafunzo mazur 🔥🔥🔥🔥
Kwa kweli huyu mma hana akili mbona ameenda kwa kivyere wake pasipo nidhamu na busara
Mama kama jinga
God job brother
Mafunzo halisi ya ndoa💯💯
❤❤❤ hongera kungwi dume
Namuona mnyamisi wa daisaama baba sengo na mwali hadija hapo sikitu
Nae ejoy❤❤❤
Hongera kaka
Kazi nzuri
Naisubiri kwa hamu❤
Nimependa kweli, mafuzo zuri sana
Usicheleweshe basi sehemu ya kumi na mbili mpenzi
Naendelea kujifunza mengi kutoka kwako pick up bro❤
Najifunza mengi mpaka nikapo jaaliwa na mm
mimi tangu nianze kutazama filamu hii mkewangu ataona mabadiliko
Ukiwa na Mama kama wa Sikitu utapata tabu sana..Mama msungo.
Huyu mmaa kwanza angeenda kwa wazazi wa huyu kijana akaelezee ,hapo ndio angepata fumbuzi au ukweli halisi
Allah akupe umri mrefu
Asante Kutufunda
Nimejifunza mambo MENG mno kupitiaa hii
At me natamn kuingia kweny ndoa kwel kungw ww untufunz
Ni ww tu keep up brother 🙏
🔥🔥
Ndoumemaa Isha nn
Yan uyu mama ovyo anaenda kishari bira ata kuchunguza ovyoo😏
Kaka umetuweza ila mbona kipande kidogo sana.
Twaisuburia
unafundisha kaka
Kwa usiku light kidogo ipo kwa mbali, mjitahidi kuongeza light kwa scene za usiku
Hatimae nimefanikiwa kuuona😂😂
😂
Mmmh atali
💐💐💐
kabisa kaka ibrah nimejifunza meng kutoka kwako
Wanne
😅😅😅😅hallooo asanta nakubali
wa kwanza
Weuhee... Raha iliyoje kupata mafunzo haya
🤣🤣🤣 bibi na miwani yake nimempenda bure kwakweli
Wa14 leo
Mbona episodi nyengine hazitoki
Tembo twalinywa mashahalla tangaaa rahaa jamani
Hanajitahidi kweli
❤❤❤❤
Congratulations ❤❤❤
Kumi na mbili itafika lini
❤❤❤❤❤❤❤❤
Mda umeganda Kwa kweli
Kwer war ujakosea