Jamani mbona kama ya leo ipo confusing sana, au maelezo yamezidi kuwa mengi bila mpangilio? Kwanza yule sheikh na vitabu mbona hukutuambia aliishia vipi, halafu leo amekutana na Malilo kumwambia kuhusu simu aliyopigiwa mara Malilo anaelezea ndoto Halafu wakati mwingine unarefusha sana mambo ambayo yanapoteza dakika, wote tunajua foleni za Dar, vingine unarudia rudia sana Samahani kama nimekukwaza kwa hii comment
Wa kwanza leo 🎉🎉🎉❤
Ile fimbo aliyopewa Malilo iliishia wapi?. Au alinya ganywanganywa ?.
Mbona umechelewa jana sijakuona Sheikh
Jamani mbona kama ya leo ipo confusing sana, au maelezo yamezidi kuwa mengi bila mpangilio? Kwanza yule sheikh na vitabu mbona hukutuambia aliishia vipi, halafu leo amekutana na Malilo kumwambia kuhusu simu aliyopigiwa mara Malilo anaelezea ndoto
Halafu wakati mwingine unarefusha sana mambo ambayo yanapoteza dakika, wote tunajua foleni za Dar, vingine unarudia rudia sana
Samahani kama nimekukwaza kwa hii comment