Isiaka kama umemsikiliza vizuri uyo mkeo qwueen, mazungumzo yake utagundua kama qwueen apendi wewe uendelee kuishi na Mke wako Sabla, kwa sababu anapenda sana kumzungumzia Sabla tena kwa ubaya zaidi sio kila kitu anachoojiwa kuhusu Sabla ajibu, qwueen acha uchochezi ili mwenzio aachike, Mungu anakuona kila kusudio lako kwa mwenzio na kama unafanya vitimbi mwenzio aachike chunga sana Qwueen Mungu ni Mkali Mungu ni Mkali, ayo unayoyafanya unayatengenezea njia kwa kizazi chako yatajirudia kwa wanao maana Mungu uwa analipa apaapa Duniani ili tujifunze, Isiaka kua makini sana na Qwueen
Queen ka Mama B🌹❤. Napendaka interview zako unaongeya kistarabu na uko mtulivu MashaaAllah. Allah akukuziye mtoto na awaongezeye upendo🥰🥰🌹. InshaaAllah 🤲
Maskin Darling hajamjua mmewe bado ni mtu wa aina gani. Eti ANAWEZA KUKUKUTA NA MWANAUME MWENGINE MNAFANYA MAPENZI NA AKAKUCHEKEA AKAKUAMBIA MKE WANGU TUONDOKE 😆😆😆😆NA GARI ANANINUNULIA, PUMBAVU. mi mdogo sana kwako lakin nikuambie usifurahie hiyo hali watu wa hivyo ni hatari sanaa. Anaweza kwanza ni watu wasiosahau maumivu hata ya miaka 20 iliyopita,na ni watu wenye visasi. Huwa wana fake smile hata kama moyo unamvuja damu, si watu wakuonesha maumivu yao hata kama ndani wanaugulia nje atakuchekea tu 😅😅😅Ila siku akichoka kuvumilia maumivu aidha asepe mazima akuache na asirudi kabisaaa au akudhuru hata kukuua hata kama hamjakosana sana kwa mda huo. Chukua hiyo itakusaidia, usijikute unaishi na Malaika siku akigeuka hutaamini.
@mwajuma ....wanawake wanao penda kusifia waume zao ni tegemezi, kwa hiyo lazima wasifie ili wapate ugali wao, lakini wachapa kazii hawana hayo mambo...
@@mzalendomzalendo2567 basi wawe natizama ya kusifia, eti mume wangu nimtu Ata Akikufumania Atakuchukuwa mnarudi nyumbani na maisha yanaendelea, labda hasiwi nanguvu ya kiume ndio Ataona uwezo huyo hana
Basi ww ndio ulomtuma huyo Ali amchafue sabra ni uongo mtupu kuingilia ndoa za watu alafu kujifanya ww ndio umefika unajua kila kitu yatakukuta tu wala haupo mbali
Ila nawapen pole sn km unaweza kupanga nyumb kubwa kias icho na bad unapigiwa kelel na mwenye nyumb yani sasa usijenge nyumb yako mwenyewe. Duh polen sn
Tinawaombea maisha marefu Kwa ndoa yenu cz weee tz yanasrmwa mengi subra dada na mimeo Yani hata iweje usikubali kuwapa waja faida ziiip Kwa Nyumba yako
Mmeingia ndoan kwa pupa kupanga na maghorofa ili mumrushe roho bi mkubwa mwisho mmejirusha wenyewe😀😀😀😀😀 mi nilivyosikia mlikua mmepanga sikuamin mpk leo nilijua penu shoga
Mwanaume ameruhusiwa Kiowa wake zaidi y wanne nasio kuwa ameongeza mke kwasababu mkewe hamtimizi haja zake ama anakasoro laa... N kuwa mwanaume ameumbiwa matamanio yaani hatosheki n mke mmoja
Upuuzi mtupu kuolewa na miaka 50 ndo athari zake izi mume wng kanya mume wng kajamba ndo maana mume karud kwa mke wake wa halali aliemuoa kwakua anampenda so ww aliyekuja kwako kutafuta kiki kwa diamond angekuwa hata juma ni mwanamke angemuoa afike kwa diamond
Kumbe huyu hata hana adabu inamaana hata mama yako alikiwa ana kasoro?mana nae pia ameletewa mke mwenza Kisha ww sio mstarabu kwani usijibu haujui kuhusu maisha ya mwnzio acha wivu na kutaja aibu za watu mungu anakuona wewe Ujue kuna siku yatakujea mwenyewe Kisha ww haujioni kama una choko choko?
Ukikaa kimya na kuendelea na maisha yako bila ya kujibu kwenye mitandao ya kijamii kwani itapungua nn c umalizane nae ikiwa wewe na yy tuu yaonesha unasumbuka ukiongelewa vibaya jua jambo hilo la kuongelewa vibaya ktk maisha yako haliepukiki
ningekuwa sabra ningeshawashat siku nyingi sabbu hamumuiti sabra kusema upande wake nyie ni kumuhoj queen na isiak tu.kwamba hawa hawana matatizo sabra tu ndo anatatizo😏😏😏
Mimi mwanangu alipigwa na mwenye nyumba kisa kuchora ukuta mbona nilijenga chumba kimoja kikubwa upo?nikachimba choo mwenyewe mpaka leo nina vyumba vitano choo safi umeme maji nina raha mpaka basi
Isiaka kama umemsikiliza vizuri uyo mkeo qwueen, mazungumzo yake utagundua kama qwueen apendi wewe uendelee kuishi na Mke wako Sabla, kwa sababu anapenda sana kumzungumzia Sabla tena kwa ubaya zaidi sio kila kitu anachoojiwa kuhusu Sabla ajibu, qwueen acha uchochezi ili mwenzio aachike, Mungu anakuona kila kusudio lako kwa mwenzio na kama unafanya vitimbi mwenzio aachike chunga sana Qwueen Mungu ni Mkali Mungu ni Mkali, ayo unayoyafanya unayatengenezea njia kwa kizazi chako yatajirudia kwa wanao maana Mungu uwa analipa apaapa Duniani ili tujifunze, Isiaka kua makini sana na Qwueen
Yaani Queen Darleen 😍unaongea kistarabu una akili saana 😍😍😍♥️🇧🇮
Sana me napenda anavyo ongea yaan
Queen ka Mama B🌹❤. Napendaka interview zako unaongeya kistarabu na uko mtulivu MashaaAllah. Allah akukuziye mtoto na awaongezeye upendo🥰🥰🌹. InshaaAllah 🤲
Allahumma ameen Inshaallah
Sana
Wabongo niwachonganishi sana
th-cam.com/video/NTox2k8WngA/w-d-xo.html
Queen nakupenda kabisa una busara na hekima kumbwa unajuwa kuongea vizuri mungu aibariki ndoa yako.
Amen 🙏🏾
Uwii🙆🙆🙆maringo yote Mara gari kumbe hua mnakodi nyumba za wenyewe
Mashallah maboork nakupenda darleen 🌹🥰🥰🥰🥰
Nakupenda sana mwanahawa allah akukinge na maneno ya watu akupe subra pia
MashaAllah
Huyo landlord Mungu amuone sio vizuri hivyo
Ambae amemuelewa derleen km mm plz ginger like hapa💕❤️💕❤️💕😘😍
Maskin Darling hajamjua mmewe bado ni mtu wa aina gani. Eti ANAWEZA KUKUKUTA NA MWANAUME MWENGINE MNAFANYA MAPENZI NA AKAKUCHEKEA AKAKUAMBIA MKE WANGU TUONDOKE 😆😆😆😆NA GARI ANANINUNULIA, PUMBAVU. mi mdogo sana kwako lakin nikuambie usifurahie hiyo hali watu wa hivyo ni hatari sanaa. Anaweza kwanza ni watu wasiosahau maumivu hata ya miaka 20 iliyopita,na ni watu wenye visasi. Huwa wana fake smile hata kama moyo unamvuja damu, si watu wakuonesha maumivu yao hata kama ndani wanaugulia nje atakuchekea tu 😅😅😅Ila siku akichoka kuvumilia maumivu aidha asepe mazima akuache na asirudi kabisaaa au akudhuru hata kukuua hata kama hamjakosana sana kwa mda huo.
Chukua hiyo itakusaidia, usijikute unaishi na Malaika siku akigeuka hutaamini.
Hakika wewe ni mke unayejielewa. UMEFUMDWA❤❤💯
Kweli kabisa
Mashaallah Queen darleen
Mme wanguuu... Hhhaa , jamani mwisho wakiama tutayaona tukiwepo... Biblia inasema bwana awe na mke mmoja ....., Jamaniii ,acia mme sablaaa ndie wakwanzaaa....
Wanavyokusemaga vbaya tofauti na point unazoongea ukiojiwa uko vzuri bint nimke mwema mungu akulinde
Mnasifiaga waume zenu ivo badae mnalia . Achanye ivyo kaeni prvt
@mwajuma ....wanawake wanao penda kusifia waume zao ni tegemezi, kwa hiyo lazima wasifie ili wapate ugali wao, lakini wachapa kazii hawana hayo mambo...
@@mzalendomzalendo2567 basi wawe natizama ya kusifia, eti mume wangu nimtu Ata Akikufumania Atakuchukuwa mnarudi nyumbani na maisha yanaendelea, labda hasiwi nanguvu ya kiume ndio Ataona uwezo huyo hana
Kusema.ukweli Darlene unaakili sana mungu aendele kukumbariki
Uko sawa, we endelea na maisha wanaosema waache
Unaongeya vizuri Queen
Cool you are beautiful woman
Dareen wangu nakupenda mama
pole sana my dear Allah atakupeni nyumba yenu yenye kheri na nyie。hayo ni mambo ya kawaida kwa binadam kuwatokea ucjali。
I love it hakii Queen she's a woman also sabra is a woman but uelewa wake nimependezwa nao she's a mature woman
Very true..
Huyu ni wivu unamsumbuwa hakuna jingine jimpya penzi limerudi kwa sabraaa kweli subra yavuta kheir kaza uzi sabra wangu
Umeongea vizuri hapo kama Kuna shida inakuusu mwenyewe sio kila mtu kujuwa
Yani huyo mwenye Nyumba ni mkorof sana jamani najua story zake
Basi ww ndio ulomtuma huyo Ali amchafue sabra ni uongo mtupu kuingilia ndoa za watu alafu kujifanya ww ndio umefika unajua kila kitu yatakukuta tu wala haupo mbali
Kwaiyo hashuolote kumbe hamunapakukaa poleni Sana mungu atawasaidia kwaiyo kuimbakote nyumba hataya milioni mia hunadalini
Wewe una yangapi
B mzuri mashallah😘
Nakupendaga unaongeaga ukweli mtupu❤
Queen kumbe mzeee
Wewe huta zeeka?!
@@patriciacarlo7236 nitazeeka dear nimemanisha ivi sikujua kama age yake nikubwa sana ivo
@@dayana5513story nikumshkuru mungu akikupa umri dada
Ohoo Don't worry my dear..wafanya vizuli kutoka ,,ni wivu tu my dear..
Nikweli ❤️❤️
Nampenda huyu dada
Nataman uwe dada angu
sublime femme
Mh sio kweli
Kwaiyo we mzazi mwenzio wa kwanza ulikua umekosea wapi Adi kukuacha acha mambo yako wanaume awaridhiki ata isihaka unadhani upo pekeako?
Yani we ndo umeongea
Haswa
jinga kweli hili mama
Haki ya mungu tena 🤣🤣🤣🤣
Kabisa
Ila nawapen pole sn km unaweza kupanga nyumb kubwa kias icho na bad unapigiwa kelel na mwenye nyumb yani sasa usijenge nyumb yako mwenyewe. Duh polen sn
Ati jmn bora nijenge vyumba vitatu eehhh
Kweli Kabis kaka anajinsi yakujitetea
Alimnyanyasa sana Mike mkubwa
Huxemi akakujengea uepuke aza yawenye nyumba heti akakukuta naakuninulia gali mpya xhikamoò mama mwenye gali
Unaeshima sana adiraa
Umeongea kiutuuzima darling
Queen anajifanya anajuaaa anajikuta mtu kwa isihaka
Sasa ni mnyama?
@@fridasky1019 kwendraaa kenge wewe
shangaaa na uzee wake anatakiwa kujua wanaume by now
Wow the beby is so pretty
Huyu mdada kujiamini tu😂😂😂...
Tinawaombea maisha marefu Kwa ndoa yenu cz weee tz yanasrmwa mengi subra dada na mimeo Yani hata iweje usikubali kuwapa waja faida ziiip Kwa Nyumba yako
Acha kujikweza ww
Uyu ajielewi ety ningakaa chin nikajifikilia nimekosea wap mwanaume ulienae Sasa alikua wa mwinzio wanaume awaliziki
Dini yetu inaruhusu acha uzwa mwamwa
Pamoja sana
Nawapenda darlyn na mumewe
Acha mambo yako wewe unamkandamiza mwenzio ongea yanayokuhusu
Ila kwa kweli ulikuwa unadaiwa
Akiongeza wa 3 akili itakukaa sawa hao ndo wanaume usijione umefikaaaaaa
Nyinyi wawapi dini inamruhusu hata wanne
4 sheria 😝😝😝
Mmeingia ndoan kwa pupa kupanga na maghorofa ili mumrushe roho bi mkubwa mwisho mmejirusha wenyewe😀😀😀😀😀 mi nilivyosikia mlikua mmepanga sikuamin mpk leo nilijua penu shoga
Mtangazaji unapayuka sanaa
Sisi tunaopanga tumekuelewa vzr mama niliwai kuchambana na mwenye nyumba kisa kupitisha cku 3
Mimi nilimchapa vibao
@@zuwenaalamini4158 😀😀😀😀😀
@@zuwenaalamini4158 hhhhh
Wenye nyumba wengine hawana utu
@@zuwenaalamini4158 hahahaha uliharibu pakulala
Mama B mrs Mtoroooo ❤️❤️❤️❤️
Mume wangu Mume wangu lol kweli kuolewa raha
Dini yake Ina ruhusu
Si mjengee jaman
Achangiwe japo nyumba ya nyasi jamani mimi namchangiya kiwanje
huyu akili ndogo sana, nani kakwambia kuongeza mke walio tangulia wana matatizo? ngoja aongeze wa tatu kama utakuwa na mdomo lols.
Ata mm amenifurahisha SNA ni mstarab nampenda bule wallah
Shikamoo nyumba, wacha nipambane nitafute nyumba yangu🙌🙌🙌🙌
Ila wasanii jaman mihela wanayochezea wanaish kwakupanga ndo mana vanesa aliona aachane na mziki wa bongo full maigizo
Jitahidi ujenge nyumba wewe Ni 🌟
Atajenga VIP wakati anawaza umaufu tuu
Mwanaawa nakupenda😘😘😘
Mbona mjengi nyumba yenu?na vile mna jishoboa kumbe mpo kwenye rental aalaaa!
Wew mke kuletewa mke mwenzio sio akae chini afikirie hio ni halali kwa allah
Naww una kasoro mbona mzaz wako wa kwanza alikuachaa nyooo
Nice interview
Nyiye wanafki kwel mara mumusengeny binaadamu noma
Mwanaume ameruhusiwa Kiowa wake zaidi y wanne nasio kuwa ameongeza mke kwasababu mkewe hamtimizi haja zake ama anakasoro laa... N kuwa mwanaume ameumbiwa matamanio yaani hatosheki n mke mmoja
hajui dini huyu
Upuuzi mtupu kuolewa na miaka 50 ndo athari zake izi mume wng kanya mume wng kajamba ndo maana mume karud kwa mke wake wa halali aliemuoa kwakua anampenda so ww aliyekuja kwako kutafuta kiki kwa diamond angekuwa hata juma ni mwanamke angemuoa afike kwa diamond
Kumbe huyu hata hana adabu inamaana hata mama yako alikiwa ana kasoro?mana nae pia ameletewa mke mwenza
Kisha ww sio mstarabu kwani usijibu haujui kuhusu maisha ya mwnzio acha wivu na kutaja aibu za watu mungu anakuona wewe
Ujue kuna siku yatakujea mwenyewe
Kisha ww haujioni kama una choko choko?
Hawatabirikagi hawa wenzetu jmn mwanume sio ndugu yako
Wako kama kinyonga
Mie nishapitia maumivu Sana ya hawa viumbe
Usijiwekee 💯
Kumbi kuringa koote uko bado munapanga ovyooo
Ukikaa kimya na kuendelea na maisha yako bila ya kujibu kwenye mitandao ya kijamii kwani itapungua nn c umalizane nae ikiwa wewe na yy tuu yaonesha unasumbuka ukiongelewa vibaya jua jambo hilo la kuongelewa vibaya ktk maisha yako haliepukiki
Umepaukaaaa, unajichanganya mara ajiulize alikosea wp mara ndoa kuongezewa mke wa pili ni ibada.
Maneno mengi ya nn siujenge ya kwako
Yaan mapanga
ningekuwa sabra ningeshawashat siku nyingi sabbu hamumuiti sabra kusema upande wake nyie ni kumuhoj queen na isiak tu.kwamba hawa hawana matatizo sabra tu ndo anatatizo😏😏😏
Sai waliliachooni
Qween darleen jamani ana busala sana pile sana mama
Kaka yak.diamond anapesa nying sana kwel BC nyumba mjin hamuna nyiye,mpijiy konde akupe nyumba
Sio kaka ake
Jengenii jmn Darlin muachane na changamoto hizo nyie ni icon bhanaa
Weweee, dini inasema owa mke wapili kwa sababu na lazima mke wa kwanza ajue...kwa hiyo wewe mwanamke nenda kajifunze dini ndio uje uongee humu....
I disagree with you we we ndio ukasome dini kwanza huyu dem ako sawa kabisaa
Haya bhana mungu awe nawe
Hapo utakapo letewa wa tatu ndiyo utaacha kujikweza na kumbuka kila Neno linalo tuka katika kinywa chako
Aina shida nidi inaruhusu
Kuongea herufi ni shida wallah l na r mwanashelia,taleh vituko onheeni ukweli kushindwa ni jambo la kawaida kwa hii dunia
@ kauthar...umeona ina kera balaaaa
Acheni ujinga jengeni nyumba ndo habari ya mjini aibu hii sasa
Hata Kama ni ya udongo
Mweanzang viwanja vimejaa tele m.2 tuu ushapata jenga japo chumba kimoja tuu kwako kwakooo mm mwenyee nna chumba kimoja lkn najidai npo kwangu cbuguziwi na mtu alhamdullah
Kabisa dada ni jambo la kumshukuru mungu kwako ni kwako tu
Aysha Aziz ni kweli mpz ila nijuze vya m2 vipo maeneo gani maana nahitaji plz
Mimi mwanangu alipigwa na mwenye nyumba kisa kuchora ukuta mbona nilijenga chumba kimoja kikubwa upo?nikachimba choo mwenyewe mpaka leo nina vyumba vitano choo safi umeme maji nina raha mpaka basi
Wasanii wanajisahau sana
@@maidamwaipopo7645 hongera mpz maana bila changamoto ya mtoto usingejenga haraka,nisaidie nahitaji kiwanja huko uliko bei gani my
Watching from Kenya
Halafu kiwanja dar rahis unapata million 3 sisi kwetu zanzibar hupat pesa izo watu wa dar wanapenda kupanga kwa nn hawajeng
th-cam.com/video/NTox2k8WngA/w-d-xo.html
Isihaka anakuogopa vile wewe ni mkubwa wake.
Ivi inakuaje mtu ster hua anashindwa kumiliki jumba hali ya kua anapata pesa ata nyumba ya milion 10
Bora wali maharage kuliko wali nyama wa masmango
Nalo neno
Mume wangu mume wangu
😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
Mume bongo😁😁
Yaaan mpka kero mbwa huyu
Hata inasema hivyo ndoa inapendeza mume wangu mke wangu ulitaka asemeje
Jisifu wambebe
Nakupenda sana
Mumuwangu pekeangu alooooo
Ata ungekuwa wewe umeletewa mke mwingine ungelalamia nyau wewe
Mashallah wajina Allah akuepushe na husda za waja
Li dada Lina sura mbaya hili🤮
Ulikuwa Wadai kubali wcb mwapenda kufeki maisha
Wewe kubali ulikuwa Wadai rent Tu mbona uhama Hama