GUSA LINK KUJIUNGA NA DARASA LETU LA WHATSSAP👇👇 chat.whatsapp.com/KiPxG9SNHAJHHDd82KjUhp Ada : 12,000 ( ukilipia hulipii tena) Utajifunza MAKEUP na KUSUKA Njoo whatssap 0657292650
CHUO CHA UREMBO NA USUSI BADO TUNAPOKEA WANAFUNZI WAPYA Chuo kimesajiliwa TUNATOA MAFUNZO YA KUSUKA NYWELE AINA ZOTE NA KUPAMBA MAHARUSI (MAMBO YA SALON KWA UJUMLA) BADO TUNAPOKEA WANAFUNZ WAPYA LIPIA MAPEMA KUWAHI NAFASI Gharama ya Fomu ya kujiunga ni (10,000) 📞0657292650 TUPO DAR TEGETA AZANIA TUNATOA MAFUNZO YAFUATAYO👇👇 1.kusuka nywele aina zote na Kupamba maharusi ,kufunga malemba (mambo ya salon kwa ujumla kuosha,kuseti n.k) Ada: 300,000 Muda: miezi mitatu 2.FULL COURSE (HAIRSDRESSING,BEAUTY THERAPY,FACIAL,WAXING,PEDICURE, MANICURE,KUFUNGA MALEMBA,) Ada: 600,000 ( mwanafunzi atapata cheti) Muda: Miezi mitatu Field :Mwezi mmoja Pia UNAWEZA SOMA KUPITIA TH-cam JINA FARIDA OTHMAN GUSA LINK KUANGALIA MAFUNZO YETU 👇👇 th-cam.com/video/9I5sTZK0Pvw/w-d-xo.html ✍️ TUNASUKA NYWELE AINA ZOTE NOTE :HOSTEL ZIPO Ada :100,000 Muda: Mwezi mmoja Utapata maji,godoro, umeme,kitanda ila chakula unanunua canteen MAHITAJ YA MWANACHUO 1. Makeup seti 100,000( Itamsaidia Mwanafunzi kufanya mazoezi hata akiwa nyumbani) 2.Tshet 15,000 3.Shuka,neti na ndoo (kwa wale wa boarding) 4.Rasta za mazoezi,seti ya vitana, chanuo,Taulo,Apron 5.Uniform ni dark blue (sketi au surual) shati n dark blue
Hello dada Farida Kusoma course ya saloon kwa ujumla natakiwa kuanza na shingap? Na ni vitu gani vya muhimu natakiwa kufika navyo hapo wakati wa kuanza? Asante🙏
Ila ni nzuri sana na kwa kuwa umesema zinakaa hata Zaid ya miezi 2 Haina shida alafu nimeangalia vzr naona ni kazi bila shaka so Bei naona sawa tu ntakuja kusuka mpenzi
GUSA LINK KUJIUNGA NA DARASA LETU LA WHATSSAP👇👇
chat.whatsapp.com/KiPxG9SNHAJHHDd82KjUhp
Ada : 12,000 ( ukilipia hulipii tena)
Utajifunza MAKEUP na KUSUKA
Njoo whatssap 0657292650
Haifunguki my dear
@@grasianashayo7284tuma sms wahtssp 0657292650
Hadija kiria
Nahitaji kuungwa kwenye group la whatsup
Hii link haifunguki farida
CHUO CHA UREMBO NA USUSI BADO TUNAPOKEA WANAFUNZI WAPYA
Chuo kimesajiliwa
TUNATOA MAFUNZO YA KUSUKA NYWELE AINA ZOTE NA KUPAMBA MAHARUSI (MAMBO YA SALON KWA UJUMLA) BADO TUNAPOKEA WANAFUNZ WAPYA
LIPIA MAPEMA KUWAHI NAFASI
Gharama ya Fomu ya kujiunga ni (10,000)
📞0657292650
TUPO DAR TEGETA AZANIA
TUNATOA MAFUNZO YAFUATAYO👇👇
1.kusuka nywele aina zote na Kupamba maharusi ,kufunga malemba (mambo ya salon kwa ujumla kuosha,kuseti n.k)
Ada: 300,000
Muda: miezi mitatu
2.FULL COURSE (HAIRSDRESSING,BEAUTY THERAPY,FACIAL,WAXING,PEDICURE, MANICURE,KUFUNGA MALEMBA,)
Ada: 600,000 ( mwanafunzi atapata cheti)
Muda: Miezi mitatu
Field :Mwezi mmoja
Pia UNAWEZA SOMA KUPITIA TH-cam JINA FARIDA OTHMAN GUSA LINK KUANGALIA MAFUNZO YETU 👇👇
th-cam.com/video/9I5sTZK0Pvw/w-d-xo.html
✍️ TUNASUKA NYWELE AINA ZOTE
NOTE :HOSTEL ZIPO
Ada :100,000
Muda: Mwezi mmoja
Utapata maji,godoro, umeme,kitanda ila chakula unanunua canteen
MAHITAJ YA MWANACHUO
1. Makeup seti 100,000( Itamsaidia Mwanafunzi kufanya mazoezi hata akiwa nyumbani)
2.Tshet 15,000
3.Shuka,neti na ndoo (kwa wale wa boarding)
4.Rasta za mazoezi,seti ya vitana, chanuo,Taulo,Apron
5.Uniform ni dark blue (sketi au surual) shati n dark blue
Darasa la mwezi wa saba linaanza tere gani
Hello dada Farida
Kusoma course ya saloon kwa ujumla natakiwa kuanza na shingap? Na ni vitu gani vya muhimu natakiwa kufika navyo hapo wakati wa kuanza?
Asante🙏
Kama Niko mbali na Niko kazini ila nahitaji kujifunza nafanyaje??
Nzur sana mlitumia bunda gapi pia ukiwa unachambua ,unachambulia na jeri
Keep up...l love all ur songs...now this one. Ngai egukurathima na muigana uria wanaiguithio ruo..God b with u
Ninzuri sana❤ nami napenda nijifunze kusuka
Perfect 👌 i love your work Farida
Aksante kwa kutusaidia kujuwa suka.mungu akubariki
Good 👍
I like this so much👌 what do you apply to the wig for it not to tangle?
Mungu akubaliki sana nimejifunza vingi kuptia ww
Unafanya kazi nzuri sana...jina la nywele tafadhali
Rudi mwanzo wa video ametaja jina
Une cliente magnifique et très heureuse ❤🎉
I like the way ur plating bt uko mbali sana ningependa kujuwa ma styles
What type of hair extension was used & how many packs pls?
Kaz nzur dada mungu akubariki
Asanteee mumy mungu akubariki Sana umekuwa baraka Sana kwetu
Ameen barikiwa pia
Hongerezeni sana
Asante da farida kwa mafunzo yako dada tunajua
Hello nahitaji pakiti ngapi za nywele kumaliza nywele kichwa mzima
Thanks! mamii bt bunda ngapi za selfie umetumia
I would also like to know
Nwele ni mzuri
Waaaaoh!! So, nice😮
Nzuri sana dada gingera
Asante da farida,unatumia Jerry gani kwaajili ya kusukia?? Nywele inakuwa nzuri na unasuka kwa usafi sana...barikiwa
Unatumia mafuta gan
Nzuri sana Asante dada Farida
Nimeipenda Dada natamani nijiunge nanyi
Hi,,,am joy from Kenya and am much interested to join your institution... kindly need more information about admission,,fee,, and everything.
Zimependeza nasisi wana WA congo tunaweza tukipata mafunzo wapii
Hongera unsuka vivurisana naomba ajira kwenye office yko
Which type of extension do you use
I think it's Selfie
Do you do it like spring twist
Kwa nywele natural na ndefu inakuaje dada
Beautiful. Very neat ❤
madam nataka dalasa...uniunge ❤
Thanks you soooo much
Mungu akubariki sana dada unatusaidia sana Mungu akubariki
Ubarikiwe mnoo kwa upendo wako tunakuelewa
Naomba nione jelly uliyotumia kuchambulia🙏🙏
Dada mm nimezoeya kusokota mkono wa kulia Ina kuaje nikisuka nywele iyo itakaa vizuri kwel
Hapo lazm ujifunze kusuka au ubadili mkono
Dada farida auna tawi sehemu nyingne zaidi ya Tegeta naitaji kujifunza lkn tegeta mbali mno
How many pack was used
Asante kwa mafunzo mazuri...but unavyo chambua hiyo self he unachambulia na jer au yenyewe tu
Hii nywele imeweza
Nzur sanaa
Beautiful 👏🏼
Nimeipenda zaidi nitajifunza ❤
Very neat
Asante nataka kujua piya kama ukichambua unatumiya jel
Ni nzuri sn
Huwez Toka bure ukiwa najuhudi❤
Kwa kwel❤❤
Hakika kipenzi
nzur❤❤
Nimeisuka ipo vizuri
Sante sanaa
Ni nyele ngani
❤
asantee da farida huna baya mpendwa❤
Nimeipenda dada nahtaj uniunge online
si halima huyu🤌
Hiyo nywele unayomsuka hpo inaitwaje
Bei gani kuisuka
C'est tresse peux durer longtemps
Asante dada
Natamani nijifuz Dada
Sikuhizi sikatai wateja myeja akijabna nywele ambayo sielewi naingia huku naangalia na ninamsuka vizuri sana
Keep it up❤❤❤❤
How many packs?
Umetumia jeri gan
C’est quelle mèche s’il vous plaît ?
Asante sana nakufatilia sana na unatusaidia,je unapochambua unatumia jelly au kawaida?
Uchambuaji lipia online class elf 12 tu nitafundisha jinsi ya kuiandaa makeup nankusuka zaidi karb 0657292650
Asant dad unatupendezesha
Da Farida nahitaji kuja unisuke unapatikana azania maeneogani na bei ya hii microspring
Hii 65,000 tu karb 0657292650
Nieirewa hii nywere dada
Asanta sana da falida
Nimeipenda san
Kasi nzuri
Alooooh
Nimeipenda sana
Am Emily unatumia braid gani kushuka hio micro twist pliz
Mafunzo yako mazuri my
Da farida hii nywele naweza pia kuichroch? Msaada plz
Nywele nzur bunda gapi samahn
What hair is this it's beautiful
I wish we can get the answer
@@nikkyshairades9078me too lol
N jerry gani kwaajili ya kusuka
Mteja alitumia packet ngapi?
Hii nywele unaisuka kwa bei gani dada
Svp vous pouvez montrer comment vous faites le chion de la cliente ?
🌺amjambo jamani takaka kujiuga kwenye chuo online
Karb 0657292650
Asante sana mpenzi huna baya Farida zidi kubarikiwa
Inatumia bundaa ngap
Dada chin kitunguu unakisukaje
Jinsi ya kuiandaa mpenzi naomba unielekeze,
How much money in UG
Asante sana Farida
Jinsi ya kusuka hii nywele dada nielekeze
Which type of hair is this what is the name of this hair
Woooow kusuka shingap hiyo❤
Thanks❤❤
Hii 60,000 tu kila kitu kwetu weka booking 0657292650
@@faridaothmanoooooh Kwan unatumia bunda ngap Bei imechangamka
Ila ni nzuri sana na kwa kuwa umesema zinakaa hata Zaid ya miezi 2 Haina shida alafu nimeangalia vzr naona ni kazi bila shaka so Bei naona sawa tu ntakuja kusuka mpenzi
Hongereni kazi nzuri🎉
Asantee naomba kujua jinsi ya kuzichambua
Lipia online class elf 12 tu utajifunza kuchambua na mengine mengiiii kusuka makeup 0657292650
Naomba muongozo juu ya dalasa la on line
Elf 12 tu karb 0657292650
Da farida kuna ile rasta ya mawimbi inafaa kusukia self?
Naomba kujua kushuka hii
ni shilingi ngapi hiyo nywele moja iko poa
Mambo hii nywele ningapi
ninzur