Asante sana nashukru Mungu ktk vitu ambavyo nina ziro ni kushindana na mtu naishi vile Mungu alivyonijaalia na simuonei wivu mtu akinizidi maana naamini kila mtu ana ridhiki yake na ni kwa wakati wake na pia si kila mtu anakuwa anavipata kwa njia ya kawaida kwa kulijua hilo hata iweje cwezi kushindana na mtu kamwae Alhamdulillah
Mie napenda sana kujifunza vitu 🎉
Asante kwa Onyo 🎉🎉✍️🇨🇩
Joel yanininakuelewa,asante sana baba ,barikiwa sanasana baba yangu.
Mafundisho yko yanazidi..kunifnya hodari...kw...kila hatua asante sana coach Joel 🙏👍
YES JOEL"" WAZUNGU WANAMSEMO USEMAO"" DO YOUR PASSION ".......NA SIO MATIKI ,,AU NYANYA ZINALIPA AU BAMIA ....DO YOUR PASSION AND YOU WILL CONCUR
Asante sana nashukru Mungu ktk vitu ambavyo nina ziro ni kushindana na mtu naishi vile Mungu alivyonijaalia na simuonei wivu mtu akinizidi maana naamini kila mtu ana ridhiki yake na ni kwa wakati wake na pia si kila mtu anakuwa anavipata kwa njia ya kawaida kwa kulijua hilo hata iweje cwezi kushindana na mtu kamwae Alhamdulillah
Nimejifunza
Amina🎉🎉🎉
Asante everyday napata kitu kutoka kwako mollah akuwekee sana na barakaka tele
Somo zuri limebadilisha mtazamo wangu
Luv u joel❤🎉
Imeelewa somo mwalimu
Kwa kweli hapo kunakitu Cha kuchukua 🎉
Strive to be the best and not the first!!! Thanks life coach
Shukran joel ❤❤ nimejifunza kaka joel ❤❤
Hallelujah 😢Ahsante sana
Asante coach Joel nimejifunza kitu mungu azidi kukubariki 🙏🙏
Kaka wewe Tanzania ni icon
Truth man of God.
Asante kwa Ujumbe mzuri, Barikiwa!
Completion ñdio kitu kinachonipa furaha kila xiku kadri Mungu anavyonibariki
Aminaa
Sahihi kabisa. Appreciate brother Joe
Àsante sana kaka Joel
🙏🙏🙏🙏 Barikiwa sana
Asant sana kaka ubarikiwe
Unazungumzia maisha.yangu
Nashukuru kwa mafunzo mazuri yamenisogeza hatua kubwa ubarikiwe
Hakika kaka nimelipenda some la leoo
Strive to be the best not the first
Thanks Sir.
Brother umeongea sana
Ni nzuri sana
Kwel kabsa kaka ❤❤❤
Thanks bro Mola akuzidishie maarifa
Asante sanaaaa😊😊😊
Asante sana kaka
Asante
Asante sana kwa chakula ya akili.
Asante sana mentor.
Somo lawatu wazima ✊✊
Ansanteh kwa ushauli wako
See U At the Top🍁
👍
🙏🙏
Wewe ni kiboko
Huwezi kupanda juu kwa kumchukia mwingine
Ssfi bro
Waooooooo
Harmonize na Diamond😂😂
❤❤❤
Kaka Joel Nanauka ulichosema ni ukweli asilimia mia
natokea kenya naomba ufanye video kama hizi kwa wingi sababu ni za muhimu sana mafunzo yako ni bora na mauthui yake kweliu
Video ni nyingi ni wewe tu na wakati wako wa kufatilia
🙏🙏