Ukweli mchungu wa RC Mtaka kwa wastaafu, awapa ushauri mzito

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 9

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 2 ปีที่แล้ว

    An excellent piece of advice from Hon. RC Mataka.

  • @chescokikoti4683
    @chescokikoti4683 2 ปีที่แล้ว

    Ur smart mnoo

  • @victustemba
    @victustemba 3 ปีที่แล้ว +1

    Mtaka 🙌

  • @paulmeela1864
    @paulmeela1864 2 ปีที่แล้ว

    Ukweli unaouma ila ni somo kubwa sana na lenye manufaa chanya.

  • @jolinkimaro9939
    @jolinkimaro9939 3 ปีที่แล้ว

    dah. jamaa kweli kuna shida. anaongea kweli haswaa

  • @brobabuu3973
    @brobabuu3973 3 ปีที่แล้ว +2

    Huyu RC amesema ukweli tupu. Elimu kama hizi tulistahili kuzipata shule ila hazipo. kwenye mitandao wapo wanaozifundisha ila wanapuuzwa.. ndo sababu wastaafu wengi wanakufa muda mfupi baada ya kustaafu. Unaenda kununua daladala utawezana na stress za madereva na kondakta? au ndo kujitakia shinikizo la damu. Somo la Hatifungani za serikali nitaliandalia video watu waelewe zaidi.. ni mgodi uliojificha.

    • @sizinga
      @sizinga ปีที่แล้ว +1

      Hiyo video ipo tayari? Nimekaa paleeeee naisubiri

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 2 ปีที่แล้ว +1

    Mh mtaka wewe ni kichwa

  • @aaaaaah290
    @aaaaaah290 3 ปีที่แล้ว

    HEE... KUMBE KUNA MAJAMAA SERIKALINI YANA AKILI NZURI AISEE NAMNA HII..?😁😁. KWA HILI NIMEKUELEWA KULIKO MNO 😁😁🙏🏽🙏🏽💪🏽💪🏽🙏🏽🙏🏽