Huyu RC amesema ukweli tupu. Elimu kama hizi tulistahili kuzipata shule ila hazipo. kwenye mitandao wapo wanaozifundisha ila wanapuuzwa.. ndo sababu wastaafu wengi wanakufa muda mfupi baada ya kustaafu. Unaenda kununua daladala utawezana na stress za madereva na kondakta? au ndo kujitakia shinikizo la damu. Somo la Hatifungani za serikali nitaliandalia video watu waelewe zaidi.. ni mgodi uliojificha.
An excellent piece of advice from Hon. RC Mataka.
Ur smart mnoo
Mtaka 🙌
Ukweli unaouma ila ni somo kubwa sana na lenye manufaa chanya.
dah. jamaa kweli kuna shida. anaongea kweli haswaa
Huyu RC amesema ukweli tupu. Elimu kama hizi tulistahili kuzipata shule ila hazipo. kwenye mitandao wapo wanaozifundisha ila wanapuuzwa.. ndo sababu wastaafu wengi wanakufa muda mfupi baada ya kustaafu. Unaenda kununua daladala utawezana na stress za madereva na kondakta? au ndo kujitakia shinikizo la damu. Somo la Hatifungani za serikali nitaliandalia video watu waelewe zaidi.. ni mgodi uliojificha.
Hiyo video ipo tayari? Nimekaa paleeeee naisubiri
Mh mtaka wewe ni kichwa
HEE... KUMBE KUNA MAJAMAA SERIKALINI YANA AKILI NZURI AISEE NAMNA HII..?😁😁. KWA HILI NIMEKUELEWA KULIKO MNO 😁😁🙏🏽🙏🏽💪🏽💪🏽🙏🏽🙏🏽