Kifahamu Chuo cha Ualimu Nachingwea na kozi zinazotolewa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 มี.ค. 2019
- #JukwaaLAFursaZaBiasharaLindi #LindiBusinessForum #LindiKuchele #ChuoChaUalimuNachingea #TSN
Chuo cha Ualimu Nachingwea kilichopo Wilaya ya Nachingea, mkoa wa Lindi kilianzishwa mwaka 1976. Kinatoa kozi za ualimu katika ngazi mbili ambazo ni cheti na Stashahada. Mzikilize Mkuu wa Chuo akitoa historia yake
Samahani mnapokea wanafunzi kwanzia form ngapi
Form ya kujiunga nachingwea lindi
Jaman mobile ni muhimu sana
Jinsi ya kupata form ya kujiunga nachingwea lindi
Namba za cm tunaziomba
Ufaulu gan unatakiwa
Kwa ngazi ya ualimu wa awali unatakiwa uwe na devision ngapi kwa alie maliza kidato cha nne
Muombaj anatakiw awe naufaul wa divition ngap
Tunaomba namba ya simu kwa mawasliano zaidi tafadhali