Ukiwa na Alama hizi kumi, jua hiyo ni Hasadi (HUSUDA) Sh. Othman Michael

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
  • Omar Bakari Almasi online tv

ความคิดเห็น • 53

  • @Veronicahcharles61comAsia
    @Veronicahcharles61comAsia 6 วันที่ผ่านมา

    Shukurani sheikh umenijenga Mola mlezi akuzidishie kila la heri InshaAllah

  • @WaSa-j7l
    @WaSa-j7l หลายเดือนก่อน +1

    Asalam alaiku nikwel shehe hayomambo yapo allah atulinde na hsad amn

  • @BarikaSaid
    @BarikaSaid 2 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah nimejifunza mengi,vpi kama alikua na mke MKUBWA maisha yalikua vizuri alipo kuja bi mdogo ufukara ukaigia tufanye nini

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 หลายเดือนก่อน

    Aslam aleikum shekhe wangu hayo yapo inshaallah Allah atufanyie wepesi Allah Akuondolee mtihani inshallah

  • @BintAlly-k5r
    @BintAlly-k5r ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah allah

  • @RàshidMsingwa
    @RàshidMsingwa 20 วันที่ผ่านมา

    Marshall ah

  • @NasibuNasoro-ew3vw
    @NasibuNasoro-ew3vw ปีที่แล้ว +1

    Asallaam Allaykum Shekhe Allah Akuzidishie Neema ktk kutuelimisha wallaah Umenip faraja sana ktk mawaidha nitajitaidi sana ktk mafundisho yako nina mengi ya kujifunza kutoka kwako amiin

  • @mozamaalim750
    @mozamaalim750 2 ปีที่แล้ว +7

    Shukran saana Ustadh sasa tuliyopo mbali unatusaidiaje kufanya tiba ya hasad

  • @fatumakambi960
    @fatumakambi960 ปีที่แล้ว +1

    MASHALLAH MASHALLAH MAFUNDISHO mazuri sana

  • @HadijaRajabu-c3d
    @HadijaRajabu-c3d ปีที่แล้ว +1

    Mashallah ostadh

  • @ochumapozzi3858
    @ochumapozzi3858 2 ปีที่แล้ว +1

    Shekhe na kuelewa mwenyezimungu akuzidishie

  • @sebastianwilliam6639
    @sebastianwilliam6639 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akubarik sana uendelekiw na maarifa ktk ujenz wa iman ktk jamii zetu.

  • @saidalghafri3111
    @saidalghafri3111 2 ปีที่แล้ว +3

    Safi sana shekh mungu ndio muweza

  • @Momadesaude
    @Momadesaude 4 หลายเดือนก่อน +1

    assalamo aalaikumo warehmatullah wabarakato mimi ninaitwa momade saude moçambique nampula shek naomba unifundishe ukitaka kusuali suala za usiko unanuwiya vip???

  • @Farida-mz4so
    @Farida-mz4so ปีที่แล้ว +2

    Shekhe mim naumwa haswa alafu maumivu yake ni yakufanana kikiuma kichwa,kiuno, mgongo,kifua maumivu ni aina hiyo hiyo moj

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 2 ปีที่แล้ว +1

    An muna from tz nashkur allah kwa kutupa muongozo kutoka kwa shehe nitafuatilia nipate matibab yote kweli tulipanga mpaka siku akagairi mwanaume

  • @mwajumaally3383
    @mwajumaally3383 ปีที่แล้ว +2

    Nakaahuuii

  • @khalfanahmad2723
    @khalfanahmad2723 2 ปีที่แล้ว +3

    Bakarakallah

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 2 ปีที่แล้ว +1

    جزاك الله خيرا

  • @FatmaMohamed-cq2tn
    @FatmaMohamed-cq2tn 2 ปีที่แล้ว +2

    Aa shukran naona dalili nazo

  • @alishee6571
    @alishee6571 2 ปีที่แล้ว +1

    kweli kabisa sheek hapo umesema kuhusu maradhi yasoisha,

  • @issanduwayo8090
    @issanduwayo8090 2 ปีที่แล้ว +1

    Alhamdulillah

  • @mwajumaally3383
    @mwajumaally3383 ปีที่แล้ว +1

    Nakama humjuii

  • @ابراهيم-ض6ص6غ
    @ابراهيم-ض6ص6غ 2 ปีที่แล้ว +5

    Nasisi wenye tuko mbali

  • @AshaAsha-ng1ug
    @AshaAsha-ng1ug 2 ปีที่แล้ว

    Aaaaaaaa,mtihani,lahaulah,pamoja na ahad yakumnunulia gar badoooo,hakumuoa,nihasadi

  • @barkeislam-nl7ko
    @barkeislam-nl7ko ปีที่แล้ว +2

    🥰🥰🥰🥰

  • @jeaninevumilia5917
    @jeaninevumilia5917 7 หลายเดือนก่อน

    Ninayo tatizo iyo miaka mingi

  • @rahmabitwamba7538
    @rahmabitwamba7538 2 ปีที่แล้ว +1

    Nipate aje da'awa sheikh

  • @mayarashidi2765
    @mayarashidi2765 ปีที่แล้ว +1

    Shukulani shekhewetu

  • @saphinamshana5037
    @saphinamshana5037 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nataka unielekeze uko wapi nije nikuone

  • @mariamomran6144
    @mariamomran6144 ปีที่แล้ว +1

    Good

  • @stanleymshana8906
    @stanleymshana8906 2 ปีที่แล้ว +1

    Asalaam aleykum shehe habari za muda huu allha akulipe kwa kutupa elmu Bora samahani shehe naomba kuuliza gharama ya kumtibu mjaa wa allha kijicho au husuda gharama Ni kiasigan?

  • @jeaninevumilia5917
    @jeaninevumilia5917 7 หลายเดือนก่อน

    Kweli nitamupata Tena kweli Mme wakuniowa ??

  • @nzarorazawadi1791
    @nzarorazawadi1791 ปีที่แล้ว

    Asalam alaikum
    Warhamaturullah
    Wabaraktuh
    Mwanangu akija kijana tunakubali lakini Harudi paka mtoto inakuwa ngumu kwake kuvipokra utusaidie

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 2 ปีที่แล้ว +3

    Am muna from tz ni kweli shehe tunatembea nayo sikulipwa mshahara miez 5 bila sabab na nyumba imesimama bado kuenzeka mwaka 2 bado nimeaza kaz tena oman

  • @bijouxmulemeri9389
    @bijouxmulemeri9389 2 ปีที่แล้ว +1

    Jambo Kaka, napatikana katika Muji wa Congo pa Kinshasa naomba uni saidiye kwa sababu toka utotoni natutana Na wanaume Wengi lakini wana ni chezeya nakisha wana enda

  • @al_huda_theguidance5034
    @al_huda_theguidance5034 ปีที่แล้ว +1

    Hii shida ya kutoolewa iko kwa Familia yetu, kumbe ni hasad, Nina miaka 37 sahii, lakini Sina mume

  • @حليمهعمر-ك8ر
    @حليمهعمر-ك8ر 2 ปีที่แล้ว +2

    Assala alaykum warahma tullay wabarakatuh sheikh tuma number

  • @UmutoniHadidja-b2e
    @UmutoniHadidja-b2e 9 หลายเดือนก่อน

    O

  • @kopgdydrtyh7923
    @kopgdydrtyh7923 2 ปีที่แล้ว +1

    Ustazi mim toka niachike na mume wangu miaka kumi sasa ajatokea mtuyoyote. Sa ndio hasadi

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 2 ปีที่แล้ว +1

    Nikweli lkn wanachangua waume waoman

  • @salumnassib7780
    @salumnassib7780 2 ปีที่แล้ว +1

    Alhamdulillah

  • @yamproddoc5120
    @yamproddoc5120 2 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah