Asallaam Allaykum Shekhe Allah Akuzidishie Neema ktk kutuelimisha wallaah Umenip faraja sana ktk mawaidha nitajitaidi sana ktk mafundisho yako nina mengi ya kujifunza kutoka kwako amiin
Asalaam aleykum shehe habari za muda huu allha akulipe kwa kutupa elmu Bora samahani shehe naomba kuuliza gharama ya kumtibu mjaa wa allha kijicho au husuda gharama Ni kiasigan?
Am muna from tz ni kweli shehe tunatembea nayo sikulipwa mshahara miez 5 bila sabab na nyumba imesimama bado kuenzeka mwaka 2 bado nimeaza kaz tena oman
Jambo Kaka, napatikana katika Muji wa Congo pa Kinshasa naomba uni saidiye kwa sababu toka utotoni natutana Na wanaume Wengi lakini wana ni chezeya nakisha wana enda
Shukurani sheikh umenijenga Mola mlezi akuzidishie kila la heri InshaAllah
Asalam alaiku nikwel shehe hayomambo yapo allah atulinde na hsad amn
MashaAllah nimejifunza mengi,vpi kama alikua na mke MKUBWA maisha yalikua vizuri alipo kuja bi mdogo ufukara ukaigia tufanye nini
Aslam aleikum shekhe wangu hayo yapo inshaallah Allah atufanyie wepesi Allah Akuondolee mtihani inshallah
Mashaallah allah
Marshall ah
Asallaam Allaykum Shekhe Allah Akuzidishie Neema ktk kutuelimisha wallaah Umenip faraja sana ktk mawaidha nitajitaidi sana ktk mafundisho yako nina mengi ya kujifunza kutoka kwako amiin
Shukran saana Ustadh sasa tuliyopo mbali unatusaidiaje kufanya tiba ya hasad
MASHALLAH MASHALLAH MAFUNDISHO mazuri sana
Mashallah ostadh
Shekhe na kuelewa mwenyezimungu akuzidishie
Mungu akubarik sana uendelekiw na maarifa ktk ujenz wa iman ktk jamii zetu.
Safi sana shekh mungu ndio muweza
We i
assalamo aalaikumo warehmatullah wabarakato mimi ninaitwa momade saude moçambique nampula shek naomba unifundishe ukitaka kusuali suala za usiko unanuwiya vip???
Shekhe mim naumwa haswa alafu maumivu yake ni yakufanana kikiuma kichwa,kiuno, mgongo,kifua maumivu ni aina hiyo hiyo moj
Mashaallah
An muna from tz nashkur allah kwa kutupa muongozo kutoka kwa shehe nitafuatilia nipate matibab yote kweli tulipanga mpaka siku akagairi mwanaume
Nakaahuuii
Bakarakallah
جزاك الله خيرا
Aa shukran naona dalili nazo
kweli kabisa sheek hapo umesema kuhusu maradhi yasoisha,
Alhamdulillah
Nakama humjuii
Nasisi wenye tuko mbali
Aaaaaaaa,mtihani,lahaulah,pamoja na ahad yakumnunulia gar badoooo,hakumuoa,nihasadi
🥰🥰🥰🥰
Ninayo tatizo iyo miaka mingi
Nipate aje da'awa sheikh
Shukulani shekhewetu
Mimi nataka unielekeze uko wapi nije nikuone
Good
Asalaam aleykum shehe habari za muda huu allha akulipe kwa kutupa elmu Bora samahani shehe naomba kuuliza gharama ya kumtibu mjaa wa allha kijicho au husuda gharama Ni kiasigan?
Kweli nitamupata Tena kweli Mme wakuniowa ??
Asalam alaikum
Warhamaturullah
Wabaraktuh
Mwanangu akija kijana tunakubali lakini Harudi paka mtoto inakuwa ngumu kwake kuvipokra utusaidie
Am muna from tz ni kweli shehe tunatembea nayo sikulipwa mshahara miez 5 bila sabab na nyumba imesimama bado kuenzeka mwaka 2 bado nimeaza kaz tena oman
Uko sehemu gani omani
Ndo ujitibishe sasa
Twapataje tiba shehe
halafu mkiwa na neema msiwe mnaitangaza kwa ndugu au marafiki hao hao ndio MAHASID wakubwa
naomba namba yako ndugu
Jambo Kaka, napatikana katika Muji wa Congo pa Kinshasa naomba uni saidiye kwa sababu toka utotoni natutana Na wanaume Wengi lakini wana ni chezeya nakisha wana enda
Hii shida ya kutoolewa iko kwa Familia yetu, kumbe ni hasad, Nina miaka 37 sahii, lakini Sina mume
Mimi piya ivo ivo
Assala alaykum warahma tullay wabarakatuh sheikh tuma number
O
Ustazi mim toka niachike na mume wangu miaka kumi sasa ajatokea mtuyoyote. Sa ndio hasadi
Nikweli lkn wanachangua waume waoman
Alhamdulillah
Mashallah