Duuh siku hizi Kuna Wabana pua Wanyoa viduku Wazee wa scandal Watengeneza attention ya watu na kukuza tu brand kupata mihela WASANII WENYE UWEZO KWA SASA HAKUNA
Old skul kabisa!! Nani anaweza nipa ngoma yazamani imeimbwa na group fulani, wakiimba:" Tuko pamoja tunafanya kazi pamoja, haina adhi yakutengana wakayi mambo ndo ivo yanafaaa". Najifkiri ni awa awa ma jama🙄
2025 ndani ya bongo.
T shirt na jeans 👖
👇👇
Wahenga bado tunashi nayoo
2025🎉🎉🎉
Ndani ya MJ Record na Midundo ya G-Unit🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
If your here 2024 let's gather here haha😂🎉
Am here 28th Dec 2024 mate 👌🏿
Kitambo sana,,, kijijini tulikua tunaenda kuangalia video kiingilio sh. 50
😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅
Acha mwanangu umenikumbusha mbalii
Timeless, age mates tujuane hapa enzi izo
2023 AND BEYOND T SHIRT NA JEANS 😜🙌🕺🔥🔥🔥🔥
Da ase nakumbuka 2004 mpaka leo 2024 bado naiskiliza ngoma kali sana hii haichuji
Walai old is gold.when bongo was real💪🏼
T-SHIRT na JEANS..tutavaa hadi UZEENI..God akibles
All days when missing planet Bongo on EATV was like missing free air
Daaah hatari sana aisee University corner tangu std4 mpaka leo2021 february daaah.....Ckuhizi wasanii wanapiga kelele tu
It's 2022, still enjoying hili goma
Before diamond platnazm wow.. amazing
Phat Farm, Dada, Fubu na Sean John! Our labels growing up! Nostalgic song.
Wow🤩 2021 cpo pekeangu naeitazama hii ngoma
Master Jay
Enzi hizo 2003 nilikuwa darasa la 5 😀
Am here Tuesday, August 2, 2022 ✌🏼🇹🇿❤❤❤
Na 2024 profile ina Jeans 😂
@@RaiderTube 😂😂😂😂
Aaaghhh m’menipereka mbali sana teenage years ❤️
UVC..IDRISA NA HASHIM MTU NA BINAM YAKE WALIUA SANA HUMU NA ILE WAKO NA FERUZ
Wa 90's tu ndo tunaelewa hizi drums Emmanuel Majivuno d47
golden era.golden singers
Nina miaka3 hii nyimbo😅😅😅😅lkn kuna watu walikua na miaka 20+lkn tunakoment pamoja😅😅😅
Tuvae Barakoa Tuliokuwa Disco Enzi Hizo
Machozi I really miss this old times uzee jameni
Dah Niko elimu ya awali 2003
bado nawakumbuka hadi leo 2021 🔥
Kitambo nilikuwa form three hiyo ngoma inabamba kinoma noma kila pembe ya nchi
Kitambo sana aisee
Kama unaitazama hii goma2020 like yako bas tujuane
La sita upendo view sumbawanga disco toto mtoto wa kotas za NMC karbu polisi line dah kitambo sana
2003 nilkua class 4😅😅 14 years
UVC hamkutenda haki kwa ss mashabik zenu 😀😀
Pamoja na planet 2000
Peace E
Yaki
Man kichefu
Roho 7
Ob na riziwan wa irng ( mkt lil moja moja)
Usijal kaka,kuna.cku tutafanya jambo kwajili yenu
Reminds me of eatv...bongo planet show
kitambo sana 2003 form five
Form six man now VP
Belinda hiyo White sand mbezi beach African
Long time ...kitamboooo...toka nipo primary...had leo 2021
Kitambo kabisa
Nilikuwa darasa la tatu Turiani primary school Magomeni Dsm
Enzi hizo kijijini disco linapigwa hakuna kulala vumbi vumbi mwanzo mwisho
20222 t-shirt na 👖Bado ni🔥🔥🔥
Tshirt na jeans clasic 2020 march
Master J Noma sana kwa hii beat
sana2😢😢 mahom boy
Hii ngoma ni noumer na nusu wazee 👬
HAAAH WAP HARCORE TEAM
Nimefurah dah za kale dhahabu
😥😥😥 those days
Hiyo ngoma enzi zake wacha tu
Long time big up good song
nilikuwa form 4 Shule ya Sekondari Mwembetegwa iRINGA
Tupo wan iringa 2025
Jay kama Master kwenye beat.
Kipindi hicho ulanzi na power zipo kichwani alafu juu Nina Sean John jeans ya zeezle ya Kaki chini Nina And1 alafu nazama disco 😂😂😂😂
2/1/2021 heshima kwema Old school
bongo flava kwenye ubora wake imebaki story
Big up saaaana up to now 15.11.2020
master j😋
Damn am old
Eti Jeans haifuliwi jamaa hapo alitupiga
Jamaa hawa waliendaga wapi sjui
Tupo mwamba,ila mambo mengi tu,kila mmoja anafanya maisha tofauti,ila kwabahat nzuri wote tuko sawa
2022🇹🇿🇹🇿
Pin hatar
ngoma inaishi
2022
Hii ngoma imetoka mwaka gan
2003 mwamba
2003
2024
Tshirt na jeans
jeans haishuki thamani
2022🙏💯🔥
hahaha... 2019?
2022🎤
Wamepotelea wap hawa wakal.
24,12,2019
Duuh siku hizi Kuna
Wabana pua
Wanyoa viduku
Wazee wa scandal
Watengeneza attention ya watu na kukuza tu brand kupata mihela
WASANII WENYE UWEZO KWA SASA HAKUNA
Duh
Back in the day,,,bado tunaenjoy mziki mzuri,,
Old skul kabisa!! Nani anaweza nipa ngoma yazamani imeimbwa na group fulani, wakiimba:" Tuko pamoja tunafanya kazi pamoja, haina adhi yakutengana wakayi mambo ndo ivo yanafaaa". Najifkiri ni awa awa ma jama🙄
Yaya ni hasheem ambae alifanya chorus hiyo ambayo alishirikishwa tu,ila ndio mmoja wapo wa uvc,verse ya kwanza kwenye tshirt na jinz
2024