Umenishtuwa nikajuwa umemjibu vibaya mtumishi wa mungu kumbe una hekima hivyo nimekupenda sana kweli umefunzwa hukumsema mzee vibaya bali umejutia kosa lako simama imara mtangulize mungu ndoto yako uliyowaahidi wazazi wako itimie shetani siku zote yupo kazini kuharibu malengo ya watu
YESU alimwambia Petro ludi nyuma yangu Shetani (MPINZANI)kwa maana u kikwazo kwangu.But tusisahau baadae alimwambia wewe ndiwe PETRO na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa.kwa hii ya Mzee na kamanda Sifa tunazidi kujifunza saanaaa🎉
Sifa kama unataka kuwa towashi si uhamie romani kule kuna masister wasioolewa unataka kuishi maisha ya usister Kwenye kanisa ambalo halina utaratibu huo😅😅😅😅😅😅😅
Kwa mpentekoste wa kwelikweli hilo siyo jambo dogo na hasa kwa mtu aliyejidhabihu kuwa towashi. Haturuhusiwi kuwa na mahusiano ya karibu kiivo. Na tunaheshimiwa na kujilinda sana, sasa hadi mtu akuwao na kukubusu ni lazima awe ni mtu wako wa karibu ambaye una mahusiano naye ya karibu. Je angelikuwa mgeni kwako au mpita njia angekufanyia hivyo. Ndiyo yetu na iwe ndiyo. Kulikuwa na tukio gani maalum hadi ufanyiwe hivyo? Kwa kitendo hicho umeiingiziwa roho fulani na itakugharimu sana. Ila pia ilibidi yawe mambo ya kanisani na siyo mtandaoni maana hayaleti ushuhuda. By mpentekoste mzee wa zamani. Mungu aturehemu, Maran-atha
Kikosi Kazi iweni makini na mitandao Mambo mengine mtajikuta hamko tena kwenye mapenzi ya MUNGU kabisa Kila kitu kiasi Ulifanya iyo kosa mtandaoni? Si ungeonywa mbele ya wengine huko Sasa imefikia mpaka kutujuza mapungufu ya maumbile Yako!!!!!? Eeeh! Na ekima imewakosa watu wa MUNGU. Makini sana 28:54 mbingu sio kazi ndogo. .
we binti una hekima sana hata baada ya kudhalilishwa umepokea hayo ni kama maonyo. Huyu Mchungaji wenu sio mtu wa kawaida hauwezi kuongelea utupu wa mwanamke mbele za watu na kusema vichuchu vyake na mtu mzima unasema ulisikia tu ila haujaona. Ni katika maongezi gani wewe mtu wa Mungu upate nafasi ya kuongelea chuchu za binti muumini wako?? Ina maana ni mke wako ndo alikwambia sasa mnapata wapi muda wa kuongelea utupu wa mwanamke mwingine na ili iweje??? Binti ameonesha ukomavu sana na ucha Mungu wa hali ya juu. Ila huyu Mchungaji bingwa wa kuwasema wa kuwakosoa wengine mmmh nina mashaka juu yake.
Mimi nafahamu ili kanisa likue ama lifike mbali Lazima liwe na nguvu za 1.Kiroho ambazo mnazo sana 2. Za kiuchumi 3. Za kisiasa pia yani mfumo wake wa uongozi uwe imara Hayo ni baadhi tu ya mambo Ninayofahamu Pia nafahamu kwa sehemu sijui yote.
Masista wa Kikatolik hawanana mapungufu kuanzia maumbile nguvu za kike na uwezo wa kuzas wanao kwahiyo sio kwamba wamekimbilia huko baada ya kuwa na shida
Yule Mchungaji kazingua sana alichokifanya ni udhalilishaji wa kijinsia nashangaa sana mtu unawezaje kuongelea maumbile ya ndani ya mtoto wa kike eti kwa mwamvuli wa kutoa maonyo. Yeye alipata wapi muda wa kukaa na kuongelea maumbile ya muumini wake??? na nani alimwambia??? wakiwa kwenye maongezi gani??? Kama ni mke wake basi inamaana wakiwa wawili wanasengenya waumini wao??? Hapana huyu Mchungaji nimeanza kumuwekea mashaka na yeye japo ni bingwa sana wa kutoa hukumu dhidi wenzake.
@@sifawayesu7079 sawa kwahiyo mnatuconverse kuangalia video zenu kwa njia ya uwongo maandiko yanasema ndio yenu na iwe ndio sio iwe sio apa mmetupiga mambo ya kuandika caption za uwongo tuwaachie watu wasio mjua Mungu🤣
Mmmmm mbingu ngumu jamani tupunguze dhambi za uongo, ufunuo wa yohana 21 .8. Aliye sema uongo mzizi mchawi wote motoni Mungu anaqngalia mioyo yetu, utakatifi unapaswa kuwa mwili na roho,
Hongera sana lakini sijapenda unavyo elezea mapungufu ya miwili wako kwenye mtandao. Na mchungaji kukuelezea mapungufu yako kwenye mtandao. Watu wa Mungu inatupasa tuwe na hekima mbele za Mungu
Neno la Mungu ni ushuhuda kwa kila anaetaka kujifunza hivyo na vizuri kuwa na mda mwingi wa kufafanua hivi ili ikiwa kuna mtu anashindwa apate mwanga kwa kuwaona walioweza na walivyoweza
Eeeeeeeeee!!!! Ungejua ndo kwanza kila kijana anaona kiasi kikubwa cha moyo wa kuokoka na kutamani kuishi na mimi lakini kwa bahati mbaya kwao MWILI WANGU NI SADAKA YA KRISTO MILELE
Unaweza kuwa unapambana na mtu au unampa mtu kazi kubwa ya kufanya kumbe pengine ana changamoto zake za kisaikolojia inabidi zitibiwe ndio apewe kazi akashindwa kuzaa matunda ukamtimua kumbe ni stress zake au hakufaa kupatiwa kazi hiyo.
Uko sahihi kabisa Ndugu yangu Dhambi inakemewa lakini si kumdharirisha Na kuna hatua za kufwata mtu akikosea Kimaandiko unapaswa kumuendea binafsi na kumuonya akitubu umempata ndugu Yako La hakutubu mchukue mtu wa 2 La hakutubu pia mchukue wa 3 La hakutubu lifahamishe kanisa na sio ulimwengu mzima mtandaoni Inaishia kwa kanisa Hilo ni NENO la Mungu nilijualo Mimi
Mimi nadhani watumishi wa Mungu tunahitaji watu Kama Wanasaikolojia Madaktari Wana uchumi n.k Ambao Mungu anatupa wa kuweza kutushauri inapolazimu Mfano: Wao wanaweza kuona yale tusiyaona wakatushauri. Hiki kitu ulaya ni kawaida Daktari atasema yake...labda kula hiki na kile Mwana uchumi au mhasibu yake....Tumia pesa hivi.... Mwanasaikolojia yake.......Tumia njia hii na hii
Ungeanza kwanza kusema wazungu walivyotuletea maneno ya uongo wakituaminisha kuishi kwa kutegemea miujiza bila kuachana na ubaya Wenyewe wanaamini kwenye kanuni wala sio miujiza
Maonyo ni jambo jema ila msipokua makini kile kizuri cha mbinguni mnaweza kukipoteza kabla hujajipost mtandaoni jipime kwa unalotaka kuliposti mara saba kisha ndipo ulitume .
Kama unaweza kuwa na mwanasheria wa kutetea kabla ya kuingia kwenye kesi.... Je si vema kuwa na mwanasheria kabla ya hayo .. Kama unaweza pata daktari wa kukutibuuu baada ya kuumwa si vema kuwa naye atakayee kushauri kuishi kwa kanuni za afya.... Kama ni binadamu wa kawaida unayeweza kupata stress... Je si vema kuwa hata na mwanasaikolojia mmoja unayemsikiliza ...... Ukihubirii kwa kukosoa hao unaowahubiri wakibadilikaa utapata cha kuhubiri .... Utaingia mtego hata wa kuibua hata vidogo au kisichokuwepo ukosoee ambavyo kwa bahati mbaya na wewe unakosea Muombe Mungu akuongezee au akupe Cha kwako na wewe uhubiri watu wakosoe Hapo ndio utakuwa zaidi na kutanua mipaka
NEEMA NI KITU AMBACHO WEWE HUJAKIFANYIA KAZI ILA UMEFANYIWA NA KUPEWA TU MANA YESU ALITUPENDA TUNGALI WENYE DHAMBI KWA HIYO MATENDO HAYAWEZI MPENDEZA MUNGU HATA UWE TOWASHI NI KUMKUBALI YESU TU NA KAZI YA MSALABA ALIYO TUFANYIA WARUMI 3 :24-
Sie wengine ni watu wa kawaida ni wachafu wenye dhambi sio kitu mbele za Mungu. Lakini siwezi kukaa mbele ya public nikijinasibu kuwa namuonya ndugu yangu wa jinsia ya kike na kuanza kuyasema maumbile yake ya ndani hata kama nimewahi kuyaona au kusikia kwa mtu. Kwa hili huyu Mchungaji anaejiona msafi Tanzania nzima aombe radhi kwa huyo binti na kwa waumini wake. Unasema hao watu ni wa Mungu sio wa kwako sio wewe unawamiliki basi pia kumbuka una mipaka katika kumzungumzia mtu hasa wa jinsia tofauti na wewe. Wewe hushindwi kuja kumsema kijana wa kiume kuwa ni kibamia kama ndo umeanza hivi. Punguza kiburi Mbarikiwa omba radhi kwa huyo binti.
@@sifawayesu7079 wewe hauna akili ndo maana hauwezi hata kuliona kosa lililowazi kisa katenda mtu unaemuabudu. Mngetaka lisituhusu basi msingeweka mambo yenu hadharani ni kujifanya mnafundisha watu alafu mnasema ni clips za wengine mngeyafanya sirini basi punguani wa akili wewe. Nahitaji kuelewa nini na mtu anaongelea wazi maumbile ya mtoto wa kike. Wapumbavu sana nyie na mtaendelea kuangamia kwa kukosa maarifa na kujiona nyie ndo malaika hamna dhambi.
@@sifawayesu7079 mngefanya mambo yenu sirini kama yalikuwa hayawahusu wengine. Unaweka clip hadharani alafu unaita clips za wengine. Mjinga kabisa wewe, hii ni public platform sio kanisa lenu. Alafu mmekaa mnatafuta viewers mmeweka na title ya kufanya mtu aangalie clip yenu. Mna akili za hovyo sana alafu mnajiita nyie walokole.
Hivi mmesha kosa mambo muhimu ya kuongelea kwenye midia kila siku mnashinda kwenye midia mnaongelea mambo yasiyokuwa na maana. Mtu mwenye akili unatakiwa ukiingia kwenye midia kuongea jambo liwe jambo mahususi kiasi mtu yeyote akikusikiliza ajifunze , sasa siku hizi midia imekuwa sehem ya kuonesha sura zenu na kuongoa chochote. Alaa.
Ujue hata wewe unapenda kusikiliza mambo yasio na maana. Kwani ikiwa unafahamu kuwa KILA SIKU tunaongea yasiyo na maana ungeshaacha from day one ulipojua kuwa wanaoongea yasiyo na maana. Kwa hiyo wewe ndiye unaongea yenye maana? Chanel yako inaitwaje ili tukaone unavyosikilizwa unayeongea mambo ya maana?
@@zebedayokatamaduni9676 wewe unaitumia hivyo ili tukuige? Chanel yako inaitwaje? Ila kama ni mwalimu usiye na mifano ya unavyofanya wewe basi huo ni wehu hatuna la kujifunza. Endelea kujiburudisha na haya yasiyo na maana. Na inaonyesha kuwa unayapenda sana. Kumbe kila tukirusha unafuatilia? Tutaendelea na haya yasio na maana.
Bado maswali hayajajibiwa Sifa, huyo mtu ni nani wako? Na kwa nini ulifuta message? Kwa nini ulidanganya kuwa kuna foleni wakati unaulizwa uko wapi? Na Inaonekana ulishaonywa kabla kuhusu huyo mtu, lakini ukaenda kuonana naye bila ya wazazi wako wa kiroho kujua. Na ulipoulizwa ulikuwa huwambii ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini. Imewaumiza wazazi wako kiroho. Kwa jinsi ulivyojieleza bado haujajibu maswali mengi ya watu. Ubarikiwe
Kwa clip yake hii, anataka kutuaminisha kuwa aliyoyasema Mch Mbarikiwa Mwakipesile ni ya uongo. Lakini kitendo cha kukumbatiwa na Mwanaume na kupigwa busu, asitufanye wajinga hapa! Lazima kuna mazungumzo yaliyohusiana na jambo fulani la kimahusiano. Nilimwamini sana Sifa , lakini sasa cv imeharibika hadi hapo atakapotuhakikishia kuwa Mbarikiwa ni muongo alichokisema. Au aje hapa tena aelezee step by step . Walijuanaje na huyo mtu na ikawaje. Imeharibu ushuhuda kabisa na kanisa. Tunaanza kupata maswali mengi kuhusu washirika wa hapo kanisani. Kumbe mnachotuaminisha kwenye midia sio uhalisia, nje ya Midia mna maisha tofauti kabisa
Ushauli wangu kwako kama huwa unapata hisia ni Bora uolewe tu. Kwasabu matowashi wa biblia niwatu ambao hawanaga hisia yoyoye , ndio maana inasema wapo matowashi waliozaliwa nahali hiyo. Na wapo waliofanywa na watu, swali kwako je wewe umezaliwa ukiwa towashi? Maana ya towashi ni mtu Ambae huwa jogoo hawiki🤓
Unajua TH-cam wanalipa shilingi ngapi wewe Mwanguku?? Mpaka unacomment hivi ni baada ya kuwa umeshindwa kila kitu na hujui hata youtube wanalipa shilingi ngapi, unasema mtu anaishi kwa pesa za youtube.
@@masindemagee9603 Nilisema kabla hujatuma kitu mtandaoni kipimeni kwanza mara saba hebu wekeni kituo cha kuchuja posti zenu kisha post kuna mamilioni wanafuatilia ulimi hauna mfupa.
Baba mbarikiwa huyu binti ni zawadi ,umemtengeneza vizuri sana anajitambua,hongera baba,hongera sifa
Umenishtuwa nikajuwa umemjibu vibaya mtumishi wa mungu kumbe una hekima hivyo nimekupenda sana kweli umefunzwa hukumsema mzee vibaya bali umejutia kosa lako simama imara mtangulize mungu ndoto yako uliyowaahidi wazazi wako itimie shetani siku zote yupo kazini kuharibu malengo ya watu
Amina mtu wa Mungu, ubarikiwe sanaaaaa!!!!!
YESU alimwambia Petro ludi nyuma yangu Shetani (MPINZANI)kwa maana u kikwazo kwangu.But tusisahau baadae alimwambia wewe ndiwe PETRO na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa.kwa hii ya Mzee na kamanda Sifa tunazidi kujifunza saanaaa🎉
Mzee wa kutumbua majipu huyu 2025 tumpe ata ubunge ainyoshe mbeya
Tungeanzia kwenye kauspika angalau
Sifa kama unataka kuwa towashi si uhamie romani kule kuna masister wasioolewa unataka kuishi maisha ya usister Kwenye kanisa ambalo halina utaratibu huo😅😅😅😅😅😅😅
Kwa mpentekoste wa kwelikweli hilo siyo jambo dogo na hasa kwa mtu aliyejidhabihu kuwa towashi. Haturuhusiwi kuwa na mahusiano ya karibu kiivo. Na tunaheshimiwa na kujilinda sana, sasa hadi mtu akuwao na kukubusu ni lazima awe ni mtu wako wa karibu ambaye una mahusiano naye ya karibu. Je angelikuwa mgeni kwako au mpita njia angekufanyia hivyo. Ndiyo yetu na iwe ndiyo. Kulikuwa na tukio gani maalum hadi ufanyiwe hivyo? Kwa kitendo hicho umeiingiziwa roho fulani na itakugharimu sana. Ila pia ilibidi yawe mambo ya kanisani na siyo mtandaoni maana hayaleti ushuhuda. By mpentekoste mzee wa zamani. Mungu aturehemu, Maran-atha
Kikosi Kazi iweni makini na mitandao
Mambo mengine mtajikuta hamko tena kwenye mapenzi ya MUNGU kabisa
Kila kitu kiasi
Ulifanya iyo kosa mtandaoni?
Si ungeonywa mbele ya wengine huko
Sasa imefikia mpaka kutujuza mapungufu ya maumbile Yako!!!!!?
Eeeh! Na ekima imewakosa watu wa MUNGU.
Makini sana 28:54 mbingu sio kazi ndogo.
.
Olewaaa tuuu bn sifaaa.hautawezaaa sifaaaa naminiii ukiolewaa ww utakuwaaa mhubiriii mzuriiii
Kama sieleweki sasa hata nikiolewa sitaeleweka, ila naomba unipe mda tuuuuuu
Me nataka nkuoe 😊@@sifawayesu7079
Bado tunamtazamia MUNGU Tu, NaaaM hakika.
we binti una hekima sana hata baada ya kudhalilishwa umepokea hayo ni kama maonyo. Huyu Mchungaji wenu sio mtu wa kawaida hauwezi kuongelea utupu wa mwanamke mbele za watu na kusema vichuchu vyake na mtu mzima unasema ulisikia tu ila haujaona. Ni katika maongezi gani wewe mtu wa Mungu upate nafasi ya kuongelea chuchu za binti muumini wako?? Ina maana ni mke wako ndo alikwambia sasa mnapata wapi muda wa kuongelea utupu wa mwanamke mwingine na ili iweje??? Binti ameonesha ukomavu sana na ucha Mungu wa hali ya juu. Ila huyu Mchungaji bingwa wa kuwasema wa kuwakosoa wengine mmmh nina mashaka juu yake.
Mbarikiwa ajengewe chuo Cha kufunda mabinti. Afadhali kuoa mwanamke kama sifa hata kama hana matiti kuliko hizi purukushani zilizopo huku mtaani.
Mimi nafahamu ili kanisa likue ama lifike mbali
Lazima liwe na nguvu za
1.Kiroho ambazo mnazo sana
2. Za kiuchumi
3. Za kisiasa pia yani mfumo wake wa uongozi uwe imara
Hayo ni baadhi tu ya mambo Ninayofahamu
Pia nafahamu kwa sehemu sijui yote.
Kaza mwendo safari bado mchungaji mbalikiwa ndiye mchungaji wa kweli hata mimi alinikeme mbaka sasa anikemea hata kama hatufamiani nikiwa mtandaoni
Sister wakatoliki wapo HADI huku Kwa upentecoste?
Nimekubali uelewa wa sifa
Masista wa Kikatolik hawanana mapungufu kuanzia maumbile nguvu za kike na uwezo wa kuzas wanao kwahiyo sio kwamba wamekimbilia huko baada ya kuwa na shida
Wewe kubali kuolewa, acha ujinga.
Mimi naona unajaribu kusafisha kauli ya mchungaji.
Yule Mchungaji kazingua sana alichokifanya ni udhalilishaji wa kijinsia nashangaa sana mtu unawezaje kuongelea maumbile ya ndani ya mtoto wa kike eti kwa mwamvuli wa kutoa maonyo. Yeye alipata wapi muda wa kukaa na kuongelea maumbile ya muumini wake??? na nani alimwambia??? wakiwa kwenye maongezi gani??? Kama ni mke wake basi inamaana wakiwa wawili wanasengenya waumini wao??? Hapana huyu Mchungaji nimeanza kumuwekea mashaka na yeye japo ni bingwa sana wa kutoa hukumu dhidi wenzake.
Nanyinyi pia hamuendi mbinguni niwaongo mmeandika caption ya uwongo mmeandika kuwa sifa amemchoka baba ake tunaplay amna kitu kama isho hiyo ni dhambi
Hahahaaaaaaa!!!
Ila si umeeelewa nia yetu jamani??
@@sifawayesu7079 sawa kwahiyo mnatuconverse kuangalia video zenu kwa njia ya uwongo maandiko yanasema ndio yenu na iwe ndio sio iwe sio apa mmetupiga mambo ya kuandika caption za uwongo tuwaachie watu wasio mjua Mungu🤣
@@sifawayesu7079SIFA TUONANE TULIPOONANA SIKU ILE INBOX KWA NAMBA ANGU ILEILE🎉
@@josemangula8806ni kweli kabisa huo ni uongo kama uongo mwingine
Wanatafuta Viewers 😂😂😂😂
Ila kama nifafanunua sivyo nielimishwe zaidi. Mm Sina Nia mbaya. Kwanza nawapenda Sana🙏🏼
Amina mtu wa Mungu, hata mimi nimekufafanulia hivyo sijui kama umeelewa au ...,
Mbona kichwa cha habari tofauti na maneno ya hekima aliyo sema binti wa Yesu jamani?🤷♀️ dah ivi huu siyo uongo? Mmmmm
Inamaana simu zenu huwa zinakaguliwa?
Content yenu nzur
😂😂😂😂 😂😂😂😂😂😂 nikikuona nacheka tu tumanyonyo twako kama natuona 😂😂😂😂😂😂
Hawa watengeneza content tuu hamna kanisa hapa huyu jamaa nayeye bila u tube kumlipa maisha hayaendi duniani sasa hivi dini hamna kumebaki wezi tuu
Mimi naona unajaribu kusafisha kauli ya mchungaji
Hata ukielewa hivyo hamna shida
Acha maneno ya mitandao fanya mema uishi uwezi sema umeokoka wakati una maneno mengi mbinguni hawaendi t tmno mengi
Mmmmm mbingu ngumu jamani tupunguze dhambi za uongo, ufunuo wa yohana 21 .8. Aliye sema uongo mzizi mchawi wote motoni Mungu anaqngalia mioyo yetu, utakatifi unapaswa kuwa mwili na roho,
😂😂Hapa hii Caption ni ya kutafuta views!!
Inaonekana humjui Mbarikiwa Mwakipesile wewe!
@@obedimunguachiza8434 Sio Mbarikiwa aliyeedit hiyo
Hubilini hayo hayatuhusu
Hubili wewe basi maana sisi tumeshindwa mpaka umeona hatuhubili injili!!!
Tumekuachia wewe
Hongera sana lakini sijapenda unavyo elezea mapungufu ya miwili wako kwenye mtandao. Na mchungaji kukuelezea mapungufu yako kwenye mtandao. Watu wa Mungu inatupasa tuwe na hekima mbele za Mungu
Atafichaje ushuhuda kwanini?
@@MfiriFulgensiAhsante kwa kuelewesha vizuri,
Neno la Mungu ni ushuhuda kwa kila anaetaka kujifunza hivyo na vizuri kuwa na mda mwingi wa kufafanua hivi ili ikiwa kuna mtu anashindwa apate mwanga kwa kuwaona walioweza na walivyoweza
Kwa staili ya kudhalilishwa tena Mbele ya vijana atakuoa nan jaman mchungaji uwe na kiasi
Kwani amekwambia ana shida ya / anataka kuolewa??
Eeeeeeeeee!!!!
Ungejua ndo kwanza kila kijana anaona kiasi kikubwa cha moyo wa kuokoka na kutamani kuishi na mimi lakini kwa bahati mbaya kwao MWILI WANGU NI SADAKA YA KRISTO MILELE
Busu tena!!!
Busu lipo kwenye biblia
Mnatuyumbisha
Unaweza kuwa unapambana na mtu au unampa mtu kazi kubwa ya kufanya kumbe pengine ana changamoto zake za kisaikolojia inabidi zitibiwe ndio apewe kazi akashindwa kuzaa matunda ukamtimua kumbe ni stress zake au hakufaa kupatiwa kazi hiyo.
MUNGU HADHIAKIWI CHOCHOTE APANDACHO MTU ATAVUNA BORA KUOA AMA KUOLEWA KULIKO KUWAKA TAMAA
Ni haki yako kukomenti hivi lakini naomba unipe mda tuuuuuu!!!
@@sifawayesu7079 Sifa Mwampeta
Waaandishi wengine kama tahira
Watu wengine kama matahira mpaka wanatoa komenti bila kujielewa
Sifa uolewe tu
Nipe mda tuuuuuu!!!
Paulo anasema ni afadhali kuolewa kuliko kuwaka Tamaa
Hatukatai kuongelea ubaya Sasa kuaanza kusema maziwa yamekaaa ovyo ovyo...hpn sio vizr
Uko sahihi kabisa
Ndugu yangu
Dhambi inakemewa lakini si kumdharirisha
Na kuna hatua za kufwata mtu akikosea
Kimaandiko unapaswa kumuendea binafsi na kumuonya akitubu umempata ndugu Yako
La hakutubu mchukue mtu wa 2
La hakutubu pia mchukue wa 3
La hakutubu lifahamishe kanisa na sio ulimwengu mzima mtandaoni
Inaishia kwa kanisa
Hilo ni NENO la Mungu nilijualo Mimi
Store za sifa bhana😁😁😁😁😁
WENGI WAMEWAKA TAMAA NA KUHARIBU SIFA ZAO BORA KUOA AMA KUOLEWA KULIKO DHAMBI YA UZINZI
Acha ujinga wewe ni mwanamke uolewe sasa nibora ukamatwe au uolewe Mungu akusaidue hujui ulitendalo
Kweli sijui nilitendalo lakini naomba unipe mda tuuuu!!!!
Kufatilia ya wenzenu tuu,yakwenu aaagh
Mimi nadhani watumishi wa Mungu tunahitaji watu
Kama Wanasaikolojia
Madaktari
Wana uchumi n.k
Ambao Mungu anatupa wa kuweza kutushauri inapolazimu
Mfano: Wao wanaweza kuona yale tusiyaona wakatushauri.
Hiki kitu ulaya ni kawaida
Daktari atasema yake...labda kula hiki na kile
Mwana uchumi au mhasibu yake....Tumia pesa hivi....
Mwanasaikolojia yake.......Tumia njia hii na hii
Unahita haki tu kuwa salama. Yaani usilopenda kutendewa usimtendee mwingine.
Ungeanza kwanza kusema wazungu walivyotuletea maneno ya uongo wakituaminisha kuishi kwa kutegemea miujiza bila kuachana na ubaya
Wenyewe wanaamini kwenye kanuni wala sio miujiza
Wakat walituambia kuua ni dhambi kuiba wakajifanya kuleta din na kanun kumbe ni wakolon matapel wez waliokuja Kwa kivul Cha din@@sifawayesu7079
Maonyo ni jambo jema ila msipokua makini kile kizuri cha mbinguni mnaweza kukipoteza kabla hujajipost mtandaoni jipime kwa unalotaka kuliposti mara saba kisha ndipo ulitume .
Sahihi kabisa
Nani alikwambia Ukiolewa huwezi kujitoa Sadaka ya Bwana, utoashi hauigizwi kumbuka kilamtu anakarama yake Itokayo kwa Mungu.
Karama yako wewe ni kukomenti kwenye crip za wengine??
HIVI WEWE KWELI HUJAWAHI KUZINI,KWELI MMMH ROHO WAMUNGU ANAJUA,
Nimesema na narudia tenaaaaa!!!
Si huyu ajitokeze hadharani tuuu???
Nini maana ya kudharirisha?
Kama unaweza kuwa na mwanasheria wa kutetea kabla ya kuingia kwenye kesi.... Je si vema kuwa na mwanasheria kabla ya hayo ..
Kama unaweza pata daktari wa kukutibuuu baada ya kuumwa si vema kuwa naye atakayee kushauri kuishi kwa kanuni za afya....
Kama ni binadamu wa kawaida unayeweza kupata stress...
Je si vema kuwa hata na mwanasaikolojia mmoja unayemsikiliza ......
Ukihubirii kwa kukosoa hao unaowahubiri wakibadilikaa utapata cha kuhubiri ....
Utaingia mtego hata wa kuibua hata vidogo au kisichokuwepo ukosoee ambavyo kwa bahati mbaya na wewe unakosea
Muombe Mungu akuongezee au akupe Cha kwako na wewe uhubiri watu wakosoe
Hapo ndio utakuwa zaidi na kutanua mipaka
Kumbe ulikua na tatizo ndio maana uukuolewa na inaonyesha umetambua uwez nyonyesha ndio maana utaki kuolewaa apo sawa
Sema uwezavyo mtu wa Mungu ni wakati wako!!!
Utakuwa umetumwa na hujui roho iliyo nyuma yako
@@gotafostv7305 achaushamba wewe matendo yajieleze achen ngonjera
NEEMA NI KITU AMBACHO WEWE HUJAKIFANYIA KAZI ILA UMEFANYIWA NA KUPEWA TU MANA YESU ALITUPENDA TUNGALI WENYE DHAMBI KWA HIYO MATENDO HAYAWEZI MPENDEZA MUNGU HATA UWE TOWASHI NI KUMKUBALI YESU TU NA KAZI YA MSALABA ALIYO TUFANYIA WARUMI 3 :24-
SIFA TUONANE TULIPOONANA SIKU ILE INBOX KWA NAMBA ANGU ILEILE🎉
Ongea hapa hapa na useme tuliongea nini huko inbox
Tafsiri ya maandiko vibaya itawauwa wajinga
Andiko huuwa bali Roho huuwisha
Sie wengine ni watu wa kawaida ni wachafu wenye dhambi sio kitu mbele za Mungu. Lakini siwezi kukaa mbele ya public nikijinasibu kuwa namuonya ndugu yangu wa jinsia ya kike na kuanza kuyasema maumbile yake ya ndani hata kama nimewahi kuyaona au kusikia kwa mtu. Kwa hili huyu Mchungaji anaejiona msafi Tanzania nzima aombe radhi kwa huyo binti na kwa waumini wake. Unasema hao watu ni wa Mungu sio wa kwako sio wewe unawamiliki basi pia kumbuka una mipaka katika kumzungumzia mtu hasa wa jinsia tofauti na wewe. Wewe hushindwi kuja kumsema kijana wa kiume kuwa ni kibamia kama ndo umeanza hivi. Punguza kiburi Mbarikiwa omba radhi kwa huyo binti.
Hata mimi siwezi kuwa na kimbelembele cha kukomenti hovyo kwenye crips za wengine bila hata kuelewa
@@sifawayesu7079 wewe hauna akili ndo maana hauwezi hata kuliona kosa lililowazi kisa katenda mtu unaemuabudu. Mngetaka lisituhusu basi msingeweka mambo yenu hadharani ni kujifanya mnafundisha watu alafu mnasema ni clips za wengine mngeyafanya sirini basi punguani wa akili wewe. Nahitaji kuelewa nini na mtu anaongelea wazi maumbile ya mtoto wa kike. Wapumbavu sana nyie na mtaendelea kuangamia kwa kukosa maarifa na kujiona nyie ndo malaika hamna dhambi.
@@sifawayesu7079 mngefanya mambo yenu sirini kama yalikuwa hayawahusu wengine. Unaweka clip hadharani alafu unaita clips za wengine. Mjinga kabisa wewe, hii ni public platform sio kanisa lenu. Alafu mmekaa mnatafuta viewers mmeweka na title ya kufanya mtu aangalie clip yenu. Mna akili za hovyo sana alafu mnajiita nyie walokole.
Hivi mmesha kosa mambo muhimu ya kuongelea kwenye midia kila siku mnashinda kwenye midia mnaongelea mambo yasiyokuwa na maana.
Mtu mwenye akili unatakiwa ukiingia kwenye midia kuongea jambo liwe jambo mahususi kiasi mtu yeyote akikusikiliza ajifunze , sasa siku hizi midia imekuwa sehem ya kuonesha sura zenu na kuongoa chochote.
Alaa.
Badala mtumie midia kufundisha jamii , kubuni vipindi vyenye maana ili muisadie jamii mnashinda na mipasho tu.
Ujue hata wewe unapenda kusikiliza mambo yasio na maana. Kwani ikiwa unafahamu kuwa KILA SIKU tunaongea yasiyo na maana ungeshaacha from day one ulipojua kuwa wanaoongea yasiyo na maana. Kwa hiyo wewe ndiye unaongea yenye maana? Chanel yako inaitwaje ili tukaone unavyosikilizwa unayeongea mambo ya maana?
@@zebedayokatamaduni9676 wewe unaitumia hivyo ili tukuige? Chanel yako inaitwaje? Ila kama ni mwalimu usiye na mifano ya unavyofanya wewe basi huo ni wehu hatuna la kujifunza. Endelea kujiburudisha na haya yasiyo na maana. Na inaonyesha kuwa unayapenda sana. Kumbe kila tukirusha unafuatilia? Tutaendelea na haya yasio na maana.
Bado maswali hayajajibiwa Sifa, huyo mtu ni nani wako? Na kwa nini ulifuta message? Kwa nini ulidanganya kuwa kuna foleni wakati unaulizwa uko wapi?
Na Inaonekana ulishaonywa kabla kuhusu huyo mtu, lakini ukaenda kuonana naye bila ya wazazi wako wa kiroho kujua. Na ulipoulizwa ulikuwa huwambii ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini. Imewaumiza wazazi wako kiroho. Kwa jinsi ulivyojieleza bado haujajibu maswali mengi ya watu. Ubarikiwe
Kweli kabisa mimi mwenyewe nilijua atajibu hayo maswali
Kwa clip yake hii, anataka kutuaminisha kuwa aliyoyasema Mch Mbarikiwa Mwakipesile ni ya uongo. Lakini kitendo cha kukumbatiwa na Mwanaume na kupigwa busu, asitufanye wajinga hapa! Lazima kuna mazungumzo yaliyohusiana na jambo fulani la kimahusiano. Nilimwamini sana Sifa , lakini sasa cv imeharibika hadi hapo atakapotuhakikishia kuwa Mbarikiwa ni muongo alichokisema. Au aje hapa tena aelezee step by step . Walijuanaje na huyo mtu na ikawaje. Imeharibu ushuhuda kabisa na kanisa. Tunaanza kupata maswali mengi kuhusu washirika wa hapo kanisani. Kumbe mnachotuaminisha kwenye midia sio uhalisia, nje ya Midia mna maisha tofauti kabisa
@@Elizabeth-mw2of yaani sijamuelewa kabisa hataki kuweka wazi aliyoyafanya 🥹🥹
Ushauli wangu kwako kama huwa unapata hisia ni Bora uolewe tu. Kwasabu matowashi wa biblia niwatu ambao hawanaga hisia yoyoye , ndio maana inasema wapo matowashi waliozaliwa nahali hiyo. Na wapo waliofanywa na watu, swali kwako je wewe umezaliwa ukiwa towashi? Maana ya towashi ni mtu Ambae huwa jogoo hawiki🤓
Mbona hawasemi wanaojifanya hivyo kwaajili ya ufalme wa Mungu??
Ila kwa sasa sikulaum kwa komenti kama hii ila tu naomba unipe mda
Hawa watengeneza content tuu hamna kanisa hapa huyu jamaa nayeye bila u tube kumlipa maisha hayaendi duniani sasa hivi dini hamna kumebaki wezi tuu
Unajua TH-cam wanalipa shilingi ngapi wewe Mwanguku?? Mpaka unacomment hivi ni baada ya kuwa umeshindwa kila kitu na hujui hata youtube wanalipa shilingi ngapi, unasema mtu anaishi kwa pesa za youtube.
Mimi naona unajaribu kusafisha kauli ya mchungaji.
Acha maneno ya mitandao fanya mema uishi uwezi sema umeokoka wakati una maneno mengi mbinguni hawaendi t tmno mengi
Mimi naona unajaribu kusafisha kauli ya mchungaji.
Acha maneno ya mitandao fanya mema uishi uwezi sema umeokoka wakati una maneno mengi mbinguni hawaendi t tmno mengi
Hauna maneno mengi ila unakomenti bila kujielewa
@@masindemagee9603 Nilisema kabla hujatuma kitu mtandaoni kipimeni kwanza mara saba hebu wekeni kituo cha kuchuja posti zenu kisha post kuna mamilioni wanafuatilia ulimi hauna mfupa.