Hii inashangaza sana Diamond Platnumz big respect to you hata ulaya sijawahi sikia kila mwisho Wa mwezi watangazaji wapewe gari. Alafu maskini ya Mungu mtu anajitikeza alikotoka anamshindanisha Diamond nasanii Wa East Africa that's shaaaaaaaame sana this guy sio Wa level za kushindanishwa na msanii yeyote Wa E.a labda west tena Kwa Africa labda umshindanishe na wasanii kama watano sita hivi kwenye mikwanja mfano fally ipupa,davido,wizkid,p square na akon
Aki anastahili ni jana tu nikisema wakati namwangalia huyu dada nampenda sana anastahili zawadi kusema ukweli mm huangalia sana wasafi juu yake yy na mchaga og😍😍😍😙 happy for her
Kiukweli anastahili kupewa hiyo zawadi kwa kazi nzuri ambayo amekuwa akiifanya kabla hata ya Wasafi TV kuanza, namtakia mafanikio zaidi... Well deserved, go Aaliyaah! 👌💯💖💖💖🙌💥🔥🌍🔥
Duh I really like this sis I wish I can be in Tanzania. she deserve it she is really good on refresh. from 🇬🇧 Uk endelea dada you will get more than that. may God bless you
Msanii wa kwanza kumnunulia msani mwezake gari ni diamond msanii wa kwanza kumharamia msani mdogo video kali ni diamond huyu kija atakuwa tajiri mkubwa inshallah
Jna lake ni zur...عالية =aa'liyah in swahil means aliyejuu yaan "wa majuu" na kweli imethbitika... Allah akulndie kipando chako kicpate ata mkwaruzo... allahumma amina
Wasafi mnajua kutiana moyo sana na ndiomaana mnazidi kudumu. B Hongera sana Aaalya huwa nakupendaga sana ila hayo mavazi ya mikupuo jamani huendaninayo bana hayo labda Zuchu msanii😂😂😂😂😂. We una vivazi vyako vitamu vinakutoaga kweli😘😘
Wasafi ndio mahali pekee ambapo mfanyikazi huzawadia bcoz diamond ana thamini wafanyakizi wake, don't compare diamond na vitu vya ajabu, diamond is the best and God will continue blessing him bcoz he deserve it, huyu jamaa anasaidia watu wengi sana kutimiza ndoto zao, wasafi for live
@@asmajamani2967 Amini nakwambia Tupo jeshini mwaka wa 9 kunamtu hajawahi kuambiwa hata ile hongera ya mdomo ,,,,, kazi yangu ni kuiombea wasafi media izidi kusaidia vijana wengi zaidi
Na ndipo hapo tunapouona utofati wa diamond na hawa wasanii wenu local uwa ni kosa kubwa sana people kumlinganisha mtu ambaye anafanya ma elfu ya watu wanaishi kifahar na familia zao
Anastahili, she really deserves it. We watching her all the way from 🇰🇪🇰🇪 and we love her tremendously.....
I preciate thiz girl,,,,,
Hii inashangaza sana Diamond Platnumz big respect to you hata ulaya sijawahi sikia kila mwisho Wa mwezi watangazaji wapewe gari. Alafu maskini ya Mungu mtu anajitikeza alikotoka anamshindanisha Diamond nasanii Wa East Africa that's shaaaaaaaame sana this guy sio Wa level za kushindanishwa na msanii yeyote Wa E.a labda west tena Kwa Africa labda umshindanishe na wasanii kama watano sita hivi kwenye mikwanja mfano fally ipupa,davido,wizkid,p square na akon
YOU DESERVE IT BABY GIRL... YOU KNOW I GAT YOU, KEEP PUSHING THE BEST IS YET TO COME 👌👌👌 MORE BLESSINGS IN GODS NAME MY GOOD FRIEND
𝔻𝕚𝕒𝕞𝕠𝕟𝕕 𝕞𝕥𝕦 𝕪𝕒 𝕨𝕒𝕥𝕦
@@djgeorgekiller3617 th-cam.com/video/ppL-Rjvuevs/w-d-xo.html 🔥🔥🔥🇹🇿 mambo haya Yatakujenga Aria
Honestly job ya huyu dem inakuaga Amazing anastahili zaidi big up WCB
Wow big up wasafi for appreciating your workers and showing love be blessed guys
Mamae daimond we kiboko wafanyakazi kama wote, mungu akuongezee kwani unatimiza ndoto za watu wengi
Dada anajua ongera sana,,diamond unatimza Malengo ya watu wengi
Anastahili huyu dada, Anafanya kazi vzri sana.. Katulia kbsaaa... 🙏🙏
Aki anastahili ni jana tu nikisema wakati namwangalia huyu dada nampenda sana anastahili zawadi kusema ukweli mm huangalia sana wasafi juu yake yy na mchaga og😍😍😍😙 happy for her
And this is what makes you guys different from other media... Big up!
woow hongera sana u deserve it gal....
She deserve wallahi. If i could have more i could offer. I love the lady 🥳
Kiukweli anastahili kupewa hiyo zawadi kwa kazi nzuri ambayo amekuwa akiifanya kabla hata ya Wasafi TV kuanza, namtakia mafanikio zaidi... Well deserved, go Aaliyaah! 👌💯💖💖💖🙌💥🔥🌍🔥
Najua atafata MORE TOWN SANYA,jamaa anapiga sana kazi huyoo,Hivi ni kwelii
Kweli kabisa ana bidiii na yy na kazi yke
Nkbl
Gonga beat😆😆😆🙌
Huyo sanya ni bonge moja la presenter bongo
Sanya ni Moto
Jamani msimsahau MCHAGA OG mwana anapiga kazi sana sisi tunamkubali sana mchaga og he is a hard working guy
Mhun kwr kwer
Mamb mdog mdg mpk wote watapewa
She's so shocked by surprise and wasafi keep it up, God bless you guys
Mungu awaweke ivoo muendelee kupendana ivo ivo, entertainment bongo imechangamka kwa ajil yenu wasafi..
Bismillah MAASHALLAH 🤲.... ..Allahumma bareek Inshallah 👏👏👏👏👏👏
I’m so soooo happy for her🥰🥰🥰🥰🥰👏👏👏
Waoo Aliya nakupenda na unastahili imetoka mbali na wasafi
Duh I really like this sis I wish I can be in Tanzania. she deserve it she is really good on refresh. from 🇬🇧 Uk endelea dada you will get more than that. may God bless you
The management is lit 🔥...just lit that’s it man
Msanii wa kwanza kumnunulia msani mwezake gari ni diamond msanii wa kwanza kumharamia msani mdogo video kali ni diamond huyu kija atakuwa tajiri mkubwa inshallah
Diamond ni tajiri miaka mingi Sana
@@calvinloveambroce842 kweli
Ukumskia Mo juzi akisema diamond atakuja kuwa tajiri mkubwa Tz kwa bidii alizonazo. Allah kamjaalia na yeye pia amejaaliwa kutowa. Wcb 4life ✌❤
Waga namfatilia katika kipindi chake Cha Refresh waga anajituma Sana huyo dada
Waga ndo nini
@@marygregory7566 kakosea nia yake ni uwaga
Jna lake ni zur...عالية =aa'liyah in swahil means aliyejuu yaan "wa majuu" na kweli imethbitika... Allah akulndie kipando chako kicpate ata mkwaruzo... allahumma amina
Amina
Hha kumbe unajuwa arabic
@@hassanjuma8369 ce wazanzibar voo tultawaliwa na waarab so athar zake bado zingalpo
@@dashuusaalim1943 Mashallah 3ajjaab nmependa
Please allow me to correct you Dashuu. Aaliya is an ARABIC word and name. Not a Swahili word. But the meaning as you have explained it is correct.
Wame msurprise mkokoteni wake hongera sana dada pia hongera kwa uongozi wa wasafi media.
Dah yani nduguyangu unaloombaya sana alafu we auna ata Bskel.
Wasafi mnajua kutiana moyo sana na ndiomaana mnazidi kudumu.
B
Hongera sana Aaalya huwa nakupendaga sana ila hayo mavazi ya mikupuo jamani huendaninayo bana hayo labda Zuchu msanii😂😂😂😂😂. We una vivazi vyako vitamu vinakutoaga kweli😘😘
PONGEZI ZAKE MKURUGENZI DAIMOND PLATINUM. MKISALI MUMUOMBEE BOSS WENU..
Well,well,well👏👏👏gal u deserve it💪 dis time round n y kwake MO town “IVI NI KWELIII”...
Daaaaa et Maik imewashwa 🤣🤣🤣🖲️🖲️🖲️🌈🌈🎤🎤🎤🎤🎤🎞️🎞️🎚️🎧🎧🎧🎧🎧🎧 happy to you 🎂
Asanteni sana wasafi media Aliya anastahili Ringa kubwa sana ya kifari sio aka tena nalipenda sana Diamond kama amurudilie Zari Amuoe Alya
Hivi vitu vipo kwa wsf tu hongera sana
Sana
it is a liability tho. Ni bora ingekuwa Assets. the car will eat all small money she is earning.
Zuchuz Best Friend deserves indeed 👌
Love you Aaliyah!😍
Dada hongera Sanaaa 🙏 nakukubali Tena huwa nalkubal sanaaa 😂 😂 lle YAI lako unalo ungeaga
This Aaliyah, love you so much,
Unafanya vema, you are the best,
Unastahili
Maoni yangu huo mwishoo wa mwezi mpeni jamaa wangu hivi n kweli(mo town sanya)
Hahahaha umenifurahisha ila bado mda atapata Inshaallah
@@officialmrtop1018 😂😂😂
🤣🤣🤣 atapata hii ndo Wcb
@@hellyally4395 nakubali
Na professor wa story book
Wasafi ndio mahali pekee ambapo mfanyikazi huzawadia bcoz diamond ana thamini wafanyakizi wake, don't compare diamond na vitu vya ajabu, diamond is the best and God will continue blessing him bcoz he deserve it, huyu jamaa anasaidia watu wengi sana kutimiza ndoto zao, wasafi for live
Kwel
MashaAllah🙏
Vzur sana ana stahili hii suprise anajituma sana huyu dada mi nampenda kwakweli tena sana
Mo Sanya wampe nayeye anapga kaz sanaaaa
Maskini Mashaallah nampenda aliya 🥰
Wasafi mungu azidi kuwabariki,na madanikio Zaidi,👍👍
Hongera Sana dad pamoj na WCB mzm ila na mm MNIKUMBUKE MNINUNULIE AT KIPKPK CHA KUENDEA KARIAKOO
😁😁
😂😂
Nmekubal
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Mmetisha sana Wasafi
Alf Alf Mabrouk Diamond kweli umefanya sawa Alya anastahiki mtangazaji mzuri saaana
Hiii kwasisi ma HR tunaita Motivation,,,,,yaaani motisha sasa kuna mtu tangu ameanza kazi miaka 20 hajawahi kupewa penseli
Hahahaha penseli ???
@@asmajamani2967 Amini nakwambia Tupo jeshini mwaka wa 9 kunamtu hajawahi kuambiwa hata ile hongera ya mdomo ,,,,, kazi yangu ni kuiombea wasafi media izidi kusaidia vijana wengi zaidi
Kweli kabic
Yess hapa ndipo ile recognition tunavyo ifanya
Na ndipo hapo tunapouona utofati wa diamond na hawa wasanii wenu local uwa ni kosa kubwa sana people kumlinganisha mtu ambaye anafanya ma elfu ya watu wanaishi kifahar na familia zao
Me mwenyewe nimefurah kuona anapata zawadi make yuko vzr na pia namfatilia sana king simba upo juuu lion🙏
Yani ukitaka kudrive fanya kazi kwa bidii na wasafi tu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
She dserve it... Aaliyah... Hard work pays🔥congratulations
Na wampee designer pia.....kuvaa hua hajui kabisa....all in all congrats
Dats beb deserve much respect dah kibby kinawork too hard every place dah I like her
hongera mm pia nimefurai km nimepewa mm da! uo msitukz hatari
Kweli anastahiri maana ameambiwa kunawatu wa kuwahoji kwa kushtukizwa ila kashika mike i like that 😘😘
Daaaah mondi hakika mungu tu
Mamae du! Kila mwisho wa mwezi mondi ni nyoko anajuwa kuishi na wafanya kaz wake safi xana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
You deserve it aliyah,,hongera Sana'a lv u
Kazi nzuri Sana wcb nawakubal miaka mia
Hongereni sana wasafi
Bado jamaa angu mo town sanya namkubali sana
Aaliyah You deserve it my gal.you r a hardworking gal.God Bless You
Welldone girl you really DESERVE IT
Anaye amin mo town sanya will be the next gonga like hpa
Aliyah deserves, Kalister alienda wapi jmn? I loved her too
Aliya is the best
Sio calister ni calypso
Calypso yupo sana
Mbona kimya haonekani Sana kwa maana ata yy pia ni mtangzaj mzur
Wasafiiiiii nomaaaaaaa,sanaaaa
Wasafi wako juu sana Aliya hongera sana
Diamondplatnumz hongera sana kwa kuleta ajira na furaha kwa vijana. Mungu akubariki sana
She's so sweet 😍congrats gurl
mana tupo tu tunaotamani kuja kufanya kazi ata bure tu but no more chance Jah bless u all wcb members alliya u deserve it congarturation
Motown Sanya pia ni balaa sana! Nembo ya mtaa!
Wasafi big up sana
Hongera sana Aliyah, love you 😘😍
Hongera Dada,umestahili unachostahili
Chifu..her childhood name,she really deserves it for sure....congratulations
Hongera sana Aaliyah, REFRESH ndo uso wa Wasafi TV! Hongera sana.
Hongera shemg
Nyie wasafi mtakuja kuuwa wafanyakaz na surprise zenu angelikuw anaumwa moyo angeanguk all in all congrats aliyaaa 💫💫
Hongera sana huyu dada ni mrembo mashaallah
Aliyah deserves hii kbs 😭😭 ani hongera sana aliyah
Congratulations beautiful you deserve it and always keep your head up 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
HOGERA SANA WASAFI SAFI SANA
Wanyakaz wote watapewa magali
Doing good Job congrats
Félicitations Aaliyah 💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖😘😘😘
I love her..she is AMAZING..hardwork pays🙏
Mtoto mashalaaa 🙌 🙌 Hongera sana dada
Hongera Aliya ulistahili zidisha juhudi dada ✅
Alikiba hawez fanya ivo big up mond
Kwahyo sasa Boss Aaliyah sisi Madereva UberX ndo hatuna ajira kwako🤣🤣🤣🙌🙌🙌 it’s jokin all in all ni jambo la kumshukuru mola hongera dada
Mwanangu Motown sanyaa your 💪Next
Namkubali xna jamn aliyah like kwa wote wanaomuelwa hyu dada
Am happy for you girl,,, i realy love you.
Ila bidada hongera Sana maana unajitahidigi Sana. Pia upogo makini Sana kwa kazi zako. Big up
Anastahil kwa kweli anajtma sana kweny refresh
She deserves that,anafanya kazi sana,mchagaa Og pia anafaa zawadi,anafanya kazi sana.
Diamond 😭😭😭😭😭mungu azidi kukulinda na kukuongezea unapo toa inshallah 🙏
open this a door,,,,,,,,, good work wasafi media
wasafi kweli mnanikosha big up kwenu jamani
Sanya...must be the next asee!..mo town
Yee baba Nahya next 👍👍
Namkubalii Sana Tu dogo Santa🔥🔥🔥
Sure baada ya sanya atafata mchaga og
Kabaki Sanya wasanya kupewa nayeye
Motanya sanyaaa he must be the Next
Nice WASAFI .
I like you Alya u deserved to got big surprise #workhard my sister
She really deserve it,Congratulations Harlia.
She deserve it ❤