Girl learn through HARD way from her dad how to run business//BabaOlivia Episode 06
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- #ENGLISH CAPTION AVAILABLE #Gabozigamba, anayejulikana kwa upendo kama Baba Olivia, anamfundisha binti yake Olivia sanaa ya kuendesha biashara yenye mafanikio. Tazama jinsi anavyoshiriki masomo muhimu, vidokezo vya kiutendaji, na uzoefu halisi wa maisha ili kumsaidia Olivia kuendesha ulimwengu wa ujasiriamali. Kuanzia kuanzisha duka hadi kusimamia fedha, mwongozo wa Gabozigamba ni ushahidi wa nguvu ya msaada na hekima ya wazazi.
…………………………………………….
#Gabozigamba, lovingly known as Baba Olivia, mentors his daughter Olivia in the art of running a successful business. Watch as he shares invaluable lessons, practical tips, and real-world experiences to help Olivia navigate the entrepreneurial landscape. From setting up shop to managing finances, Gabozigamba's guidance is a testament to the power of parental support and wisdom.
Don't forget to like, comment, and subscribe for more! 💪👧❤️
For business:
mwakajumbafilms@gmail.com
instagram:  / henrymwakajumba
#BusinessTips #FatherDaughterDuo #Entrepreneurship #SmallBusiness #Gabozigamba #BabaOlivia #BusinessLessons #Inspiration #FamilyBusiness #motivation
Jamani tukiwa wawazi kabisa hii series ya BABA OLIVIA ni nzuri sana 🔥
Nampenda sana Olivia jamani asa akiongea dah nafulai sana
Background ya music iko juu kiasi wakat Olivia na Gabo wakiongea. But for sure i do appreciate watching this❤much love
Thank youu!
Hiv like mnazoziomba munazifanyia nn nipen bac na mim
Naa yulee dude mchoyoo Sanaa yeye kagaiwa chakulaa tenaa wenziwe hata kuwagaiya ndizii Moja kashindwaa
😂
😂😂😂ndo kwanza ujuwe leo
Yule bahili hata wa fadhila
ndio ushangae,hata kutoa ndizi moja ampe olivia😢😢kyaa
😂😂 ndo waja walivo
Baraka zimfikie mwanamke mzaa chema alomzaa olivia she is very bright ❤
Gonga like za kutosha na kama mnataka iwe inaachiwa kila siku ,gonga like za kutosha Hapa
Kwanwew ndounaiachia
@@timebakar kama hauniamini Basi wewe waalike watu wa like za kutosha hapo
We ndo director
A big fan from Kenya. You are one of the best actors that I have known for so long.
😂😂😂jemsi anataka kufanya vya wakubwa kwa Oliva 😂😂
Olivia nakupenda n babako,mnajua pk mna jua tena ❤🎉
Nakubali sana
Mimi napenda sana kazi za jirani yangu gabozigamba
Hakika Mumeigiza maisha yangu kasoro tu kuabudu sijaona labda mwandishi alikwepa kuonyesha tofauti za kidini katika kuzingatia maadili ya malezi. Cha muhimu ni malezi bora na upendo wa kweli ktk maisha.
Wala hujakosea! 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Nice mrembo
Good vibe🎉
Jamani mnakaa sana kutuletea
mlete mwalimu.bana we mzee
wanafaa kuish pamoja
Napenda maisha ya olivia na baba ake ❤❤
❤️❤️
Waooooh nace❤
Thanks for liking
Studi tuwa 😂😂😂 "study tour" hongera babake Olivia ❤
Good work ❤❤
Jemsi ndo aliyeandika barua jmn😂😂
Haka kanyimbo kanaitwaje jamni naombeni mmitajie tahfadhar eeeeey😊😊😊😊😊😊
Angalau iwe mara 2 kwa week juma 5 na ijumaa itapendeza
Wanajua kupangilia movies
Viazi zitam mpaka wame sahau kweda shamba😂😂😂😂❤❤🎉🎉🇰🇪
Good
❤Tuko pamoja from south Africa cape Town sity
Asante sana.🙏🏾
Hiiii Muvi Kila Mtu Yupo Strong Kwenye Position Yake Hongera Kwa Team Nzima
Asante sana
Vovi kali nimeipenda
😂😂😂😂Tamthilia inanichekesha hii jamani aliye muita baba kaonjeshwa aliye muita Tina naye kaonjeshwa mama naye kaja kaonjeshwa mambo ya shamba yakaachika😂😂😂Hii Familia yakina Tina😅😂😂😂😂
Jaman hii move ni hatar sana
Asantee ❤️❤️❤️
Alivomwambia is usizime taa 😂😂usifunge mlango 😂😂😊
KAZI nzur
Asante❤️
Kumbe hua inapostiwa Kila ijumaa😮😮
Wala hujakosea! Ni kila siku ya ijumaa Saa kumi na moja kamili asubuh!
@@henrymwakajumba Basi umeisha hyo ijumaa ijayo wakwnza😁😁
🎉 tamthilia tamu sanaa
Asantee🙏🏾🙏🏾❤️
Iko vizur
Mke watoto wote hawana adabu
😂😂ila familia ya luca
😂😂😂
Much 🥰 love from Kenya 🎉❤
Thank you 🙏🏾
Nafanya kazi huko KAZINI😂😂😂😂
❤❤❤ Olivia
Tltuliobahatish kuiona.....
James ndo AJ bhana
Love you from 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Thank youu🙏🏾🙏🏾
❤❤❤waiting for 7
Kuna siku familia ya Mr lucas itahamia kwa baba olivia 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
❤❤❤
Kama tunavyoeka subra hadi tumeletewa episode ya 6 ya tamthilia yetu nzuri yenye mafunzo mazuri...basi naomba sote tuwe na subra vile vile kwenye maombi yetu kutaka kujibiwa..nawatakia siku njema na ndugu waislamu ijumaa karim inshallah❤🙏
Sawa sawa
Inshaallah
Sinime sahau kama leo Ijumaa lakini wa 18 team strong nawakilisha Oman 🎉🎉🎉
Nawakilisha 974 🇶🇦
Tupo pamoja mpka hubz zituuue team hamam😂😂😂
🤣🤣🤣mafi mushkil
Mpk ni mefeel happy tuko pamoja
@@MiriamShani karibu saham nipo
yaani tanzania nzima baada ya kanumba nilikuwa sijawai kusukia ama kuona mtu anayeweza kutunga story nzuri yenye kuvutia kama huyu jama pia wasani wake wako vizuri kwa kweli nimependezwa saana love from Australia for more nitawajulisha kwa zawaidi kuu ahsante❤
Asante ubarikiwe ❤️❤️🙏🏾
Olivia shujaa nipeni laik zangu japo nimechelewa
Viazi kwenye kuuza ilibidii awe na chakufungia kama gazeti au mfuko, pia asishike kwa mkono atumie uma kumpa mtu.kuzingatia Usafi wa mikono.
Amejufunza hapo! Asante 🙏🏾🙏🏾
Hii ndio maana alisi ya jasiri akubaliki kwao hii movie ingechezwa ulaya ingetikisa dunia🎉 congrat my brother ur made it🎉 and keep going🧠
🧭🤳 like zangu tafadhali jamani walau kumi maana sijawahi hata pata like.
From Mozambique 🇲🇿
Mozambique mnaongea kiswahili kumbe...ma sha Allah. Vzur
🧭🤳 tunaongea baadhi Tena sana, kuliko wa kenya.
shida ipo kwenu maana mna tutupa sana, amtu jali, ni jirani tumepakana tu mto wa Rovuma.
wacongo tunawasapoti sana tuu nivile tu amjui gabo zigamba mad respect
Asante sana ❤️🙏🏾🙏🏾
Olivia bonge la actress , 💥💥💥🥂💥 God amsimamie industry isimvuruge mbeleni🥂🥂🥂🥂💪
Olivia mamaaa nakupenda walah❤❤❤❤❤ muheshimu sana dady❤
Tunaomba translate ziwe kwa mandishi madogo zinatuumiza macho😢 au zisiwepo tu kabisa
Duh wabongo bhna ,punguzaa mwanga wa cm yako usituchoshee
Acha roho mbaya ww, huezi kuendelea kwa roho iyooo
😂😂😂😂
Very touching episode hapo kwenye mama yupo wapi na background inaumiza kifala sana🥲🥲, i feel it. Gabo Zigamba you know what you doing bruh keep it burning may our almighty guides you Kaka.
🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤️❤️
Familia ya Luca wananichekesha sana wanajazana kwa baba olivia😂😂😂😂
Aisee nimekaa nikajua km mm wa kwnza oman team tunawakilisha
Olivia anajua sana ana kitu atafika mbal
Tatizo sapot ndugu sawa sawa na jamila saiv tumemsahau
Kuna move alafu kuna vitukooo hii ni MOVE SASA
😂
Haswaaa
The chemistry between father and daughter is beyond acting❤
Absolutely ❤️
Tupo Omani 🎉🎉tunawaona Tanzania yetu❤❤❤
❤❤❤❤
Nimejisau kuomba like
😂😂😂tukikupa like unauza au 😂😂😂haya ngoja nikupe like
@@katabaroonlinetv9688 🤣🤣🤣pokea mauwa yako ⚘️⚘️
Olivia honger ni mjasiriamali wa kesho inshallah 🎉🎉
Sauti ya olivia naipenda😊
Team strong apa uko p
Namm nataman nimlee mtot wangu kama baba Olivia 🎉
Ni kuamua tu bila kujichanganya
Yaaan uyu mama tina uwa anasura ya comed kabisa
Ni comedian huyo Katarina karatu
😂😂😂
Wew ACHA TU Yan najikuta nacheka tu wameuwA
Hi familia ya luka jamani
hiiiii 😂😂😂😂
Gonga like basi jamani, from Mozambique ❤
🧭🤳 😂😂😂🇲🇿 imefanyaj kwani??
Hivi Siwezi Uziwa hii move nimalize kuangalia,,,,Hii best movie mwaka huu
Kama tuna kubali movie hihi like🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Olivia nampenda sana❤ ila Lucas na Katarina akili hawana😂😂😂
🇹🇿🇹🇿🇹🇿☝️🔥🔥
Tunaokubal hatulali tunasubiria muendelezo 🎉 like na shera
Napenda baba Olivia anavyo ishi na mwanawe in shaa Allah mwenyez mungu anijali mume atakae ishi na watoto wake kama ivi
Amiin thuma Amiin
Nakubali
Kila kipande muwe mnaweka namba ili tuvielewe
❤
HI
Nawaona watu wanavyo hangaika kutaka like mmh hemu leo nipeni like angalau 100 sijawahi kupata😂
Hii movie nzuri sana aise hongereni sana❤❤❤❤
Baba Olivia na meanao mwanikosha😂😂 ati alikua kipofu haoni,alijuaje wauza viazi,pengine alinusa😅 🙌...bwana Luca nae na jamaa zake yani wamekula hadi kuenda shamba nibasi,khaaa! 🤣🤣🤣 mwatuburudisha na mafunzo juu Gabo na team Mungu Awaongoze
😅😅👍🏽👍🏽👍🏽🙏🏾🙏🏾
Hawa majirani wa Baba Olivia family ya luca😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wanatuua mbavu yan hamn episode tuschek
Wow napenda sana hii series kutoka kwenye nchi yangu Tanzania 🇹🇿❤ Naitizama kutoka germany ☺️🇩🇪
Please fanyeni kidogo ndefu ndefu please 😂
Asante sana 🙏🏾🙏🏾
Kazi nzuri sanaa kutoka kwa gabo
Gabo anajua anastahili maua yake🎉🎉
Nanyi mnaosema mpo woman ,mozambik nk Ni qatanzania na Kam qatanzania bc kwel kumb mnaifuatilia asaiv Ni kipande Cha sita cndy jamn ,wadau wa baba olivia
From Bangladesh 🇧🇩
Hii family ya kina tina😂😂😂
Ukimaliza kula ukae kidogo watajua umekuja kula tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimesha isubiri mpaka nimechoka yani Leo 22/6/2024 nimekutananayo tu kimazabe
Karibu kwenye familia
Next plz
Friday👍🏽😘
Kazi nzuri sana gabo inanoga na huyó mwanao raha sana
Baba Olivia na Olivia mumeni inspire
Hii movie Kali Sana siku zote Gabo ni mwamba Sana 🔥
Jamani hii stori inanifuraisha sana 😂😂🎉🎉
Asantee ❤️❤️
Sana
Hatuitendei haki hii channel viwers kibeo lkn likes wanaomaba watazamaji badala kulike hii video wapate haki yao
Napenda anavyomuita mwanae mama
Very sweet
Niliishi maisha ya olivia na babaake kasoro tu jinsia yangu daah kweli movi imechezwa.
Greatest sina cha kusema daaah
Jamani muwe mnaachia hata siku mbili kwa wiki