Best Naso - Sarafina (Official Music Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- #BestNaso #Sarafina #SlideDigital
(C) Slide Digital
Best Naso Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.bio/qwm8md
Written & Performed by Best Naso
Follow Best Naso on:
www.facebook.c...
/ bestnasotz
/ bestnaso
open.spotify.c...
/ yamoyoni-single
www.boomplay.c...
audiomack.com/...
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Walio ona kama mm kwamba best naso kapendeza like kwake
Kama unamkubali nasso gonga like hapo
Pamoja mzee
hiyo uwakika mzee apo je sii unyama
apo unyama
Kama umependa wimbo huu gonga like hapa
Kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪 tushakubali kazi yako Best Nasso❤️🙏
Saruti kaka nakubali pull upnow for let's gooooooo
Lake zone king never disappoints🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mwamba unaimba na unalenga jamii vzur kwa kuelimisha hongera
Nasubili hi chuma wangapi tunasubili
Respect Naso...
Nasubiri ile na Saida Karoli kwa hamu
This song should be trending , kama unakubali huyu mwamba nifikeshi 3k subscribers
Kaka tatizo majina ya wakina Sarafina yanashida Kidogo
Sasa jina sarafina Lina tatizo gani?
😂tok lin
Bonge moja la wimbo aisee. Hongera sana #Nasso
*nobody talks about how best nasso is so talented.....nifikisheni 500 subscribers 💥ntashukuru 🙏*
Best nasso is one of most underrated artists in east Africa whom are very talented
Hii ngoma ni kali sana....
Subilieni film yake inakuja
Nakukubari.sana
this guy us just amazing, i love everything about him walai
DANGER
Namkubali huyu Mwamba mpka mwisho
Anaenda na wakati Sasa😀😀😀kanyoa rastar
Bonge la wimbo,Nasso hajawahi kukosea
He is the best artist in Africa penda yeye sana
Tu nakupenda sana naso usivunjike mito tuko oamoja tambua mungu hamtupi mja wake utayapita majaribu inshaalah❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nyimbo nzuri sana nimeielewa kaka nasso
Daaah kama umeangalia kichwa cha nasor zaidi ya Mara tano gonga like tujuane
Wapi Rasta mkuu😅😅 whatever the look the music still on top🔥🔥🔥🔥
Ccongo nakkufata sana
Wimbo mzuri Sana
Haya mbambo yapo
Umependeza Sana Ulivyo Toa Rasta Bro🔥🔥
👍 namkubali san
Sio kwel bhn
Gonga like ishala ya kumkubali nasso
*Let us all express ourselves through the power of Love peace and Music.*
Uko vizuri venye umetowa dread, au sio mashabiki?? wap like kwa nasso!!
Yaaani huyu jamaa anajuwa sema best nasso umenikera kwann ubadilishe stayli ya nywele
Best nakupenda sana Kaka angu, mimi Niko Congo pa beni abari za tanzania nita furahii nikisikiya una kaza.
Mwamba huyu jamani nipeni like za mwanangu nasso🤞
Best naso huna baya kwangu,,,
Muonekano mpya much ♥ bro.🙏🏾
Am glad to be part of this channel 💪💪💪
Dah nyimbo za jumbe zipo kwa king wa msoma
Sijapenda kwann umenyoa jaman nilikuwa nakupenda na Ras zako umenyoa umekuwa mbaya
Ngoma kali uwa nakukubali kwaujumbe
Aya poa
Ako juu huyu naso
Sawa mzee baba kazi ikopoa
My favourite bongo artist. Much love best naso
Noma sana
Kiukwel blaza hujawahi niangusha kabc umetisha nyimbo kaliii🔥🎤, blaza umetowa rasta zako kichwani tena 😊🤗
Hongera sana broo ❤❤❤ nakupenda sana ❤
Umependeza brother NASSOR💞💟💟💟💟
Ngoma n Moto Sanaa big up naso🙌
Nzuri sana kabisa
Best naso daaah huu wimbo umenitoa machozi umenikumbusha mbali sana😢😢😢
Nyimbo nzur san best naso inaujumbe mzur san
What really inspires this man? He is always have a message to pass. Mimi napenda huyu jamaa Bure💪💪💪 every song he writes makes me look at life differently. Big up @BEST NASO
Much love from kenya upenda nyimbo zako sana bro
realities of life thank you mimi fan wako toka enzi za narudi kijijini
Jaguar power....much love from Kenya
Nasso never disappointed,,, always hot 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎵🎵🎵🎵🎵
Naso,,,kenya,more Love😍
Uyo mwamba namkubali adi kufa
Mrithi wa 20% . Hakuna tusi na ujumbe unaeleweka👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Sema sarafina alikua na mzigooooo
We mzee Baba nakukubali kila wimbo wako una ujumbe mzito ktk jamii
Ngoma kal afu naso kanyoa jaman jaman rasta wa tuma ringaaaaaaaa me nakuoa sfa kwa mapenz wajua tuma ringaaaaa
Kazi djema Brown promotion tuta pandiza sana Congo
Wah tamu sana
Woooow finally nasso amenitolea nyimbo☺️☺️☺️🌹
Keep going on bro.... Kazi nzuri 🔥
❤️❤️❤️❤️❤️kaka unajuwa mpaka bc mwaaaaaaaaaa kaza hiposiku utakuwa mkumbwa san hap duniyani
Dah nasso umetisha sana bonge la ngoma true story 🙏
Nakubali nasso Sana unaimba byamana saana kk angu kweli nyimbo zako zinanipangaka bro
Yaani wewe dogo nakuelewa sana yaani nyimbo zako full ujumbe
mwanangu rudisha muonekano wako wa zamani aise
We jamaaa mkal sana
Una ngara sana hii Mara ulipo towa ma rastaaa.
HUU NDIO MZIKI SASA SIO YULE MSANII MWINGINE ANAESEMA KAPEWA KISAMVU
,noma sana myimbo Kali besti
Umeibeba Mara yetu particularly Mass town,Kwa tunaojua ulikotoka asee umefika juu sana kaka keep moving
Sikupendi tenaaa
Kwann umetoa rasta
🔥🔥🔥🔥
Naso ktk muonekano mpya no rasta
Dhu hataree sana boss hujawahi koseaga
Ngoma nzuri siku zote tunapata kwako best nasso🫀🫀🫀👊👊💙
Xaxa itakuaje
🔥🔥🔥🔥🔥🎤
Safi sanaaa..
Naso wetu ♥️👌🔥
Good idea love from burundi 🇧🇮 ♥ ❤ 💕
Sawa msoma boy
Nakukubali sana
best naso anajua sana big up bro
Best nasso my favorite songs since I was 15 more ❤ to you
Namkubali sana nasso
Uyo morioo bna anaweza bna👍
Wimbo mzuri ujumbe mzuri
Kali sana mkuu
Nakubali sana nyimbo za best naso zina ujumbe
Nasso nmekukubal ujumbe mtam asee
Nasoooooooooooooooooo!!!!!!!!!!👍
Good song
Nakupenda sana naso ❤❤❤❤
Noma Sana 🔥🔥🔥🔥
Best namwelewaga mno
Nakubali Sana naso fundi wangu wa mziki naso wewe unaweza bro
Nakubali kaka songi iko poa
Nikwer bro haya yapo kabisa
best naso tunakmss sana
Sarafina
Apo umeweza endelea my friend