Namshukuru Mungu kupitia mafundisho ya Mwalimu, ndugu yangu amenusurika kudondoka kwenye mti mrefu baada ya kujiachilia kutoka juu, tawi likamzuia....kabla ya hilo tukio nilivamiwa na roho ya mauti wiki moja mfululizo, nikawa nasikiliza mafundisho Haya sehemu ya 1-4, nilifanya maombi mfululizo lakini bado niliota naandika risala ya msiba nyumbani, huzuni na nyimbo za msiba ilikuwa inanijia mara kwa mara, (Yesu kristo ni wa miujiza)
Ee Mungu wa rehema, niseme nini juu ya Roho mtakatifu aliyepo ndani mwako? Maana amesema na Mimi mno kupitia wewe mwalimu na anaendelea kusema mami. Yaani Roho amekuweka kayika viwango vya juu sana mama. Nafuatilia sana masomo yako. Yana hekima sana, yanaponya na kuokoa lakini kubwa zaidi nililolipenda kwako ni ile unatifundisha ili tujiombee wenyewe na tushughulikie matatizo yetu wenyewe. Lakini misingi ya utatu mtakatifu yaani Mungu baba, mwana na Roho mt na unatumia biblia. Naamini si kwangu tu nimepona Bali ni maelefu wataponywa. Umenifanya nijijue kwa kweli. Ubarikiwe sana mama na atukuzwe Roho my kwa ajili yako. Amina
Mama naomba kupata misaada nalipokuwa katika kuomba sana kushughulika na roho ya mauti juu ya familia yangu nilikuta niko ktk ndoto, nikaletewa picha nashambulia roho ghafla zinatokea ngurumo kali mfano ubapoongalia move ya kichawi mfano wa mizimu nilipozid kuomba nalipelekwa chooni kwenye ndoo ya maji nalipochungulia ndani ya ndoo nikakuta ngurumo nlipokaza kutazama nikaona mayai mawili mazima, natamani kupata tafsiri yake, maana yake nini, naomba nisidie
Asante Yesu 🙏🙏
Mungu akubariki MWL. GRACE
MUNGU ABARIKI ISRAEL🇮🇱🇮🇱
Asante YESU, somo limekuja kwa wakati sahihi.
Mungu ktk Kristo Yesu akubariki mwalimu
Namshukuru Mungu kupitia mafundisho ya Mwalimu, ndugu yangu amenusurika kudondoka kwenye mti mrefu baada ya kujiachilia kutoka juu, tawi likamzuia....kabla ya hilo tukio nilivamiwa na roho ya mauti wiki moja mfululizo, nikawa nasikiliza mafundisho Haya sehemu ya 1-4, nilifanya maombi mfululizo lakini bado niliota naandika risala ya msiba nyumbani, huzuni na nyimbo za msiba ilikuwa inanijia mara kwa mara, (Yesu kristo ni wa miujiza)
Amina Ushuhuda mkubwa sana.Asante Mungu akubariki.
Wow! Hongera mpendwa
We
Amen Amen Asante Mungu kwa mafundisho haya Mungu akubariki Mtumishi wa MUNGU
Mungu akulinde mtumishi KWA masomo adimu sana. Uendelee kutufungua fahamu. Ubarikiwe sana. Amen
Tunakuskia vizuri tena mwalimu....somo hili timely sana
Ee Mungu wa rehema, niseme nini juu ya Roho mtakatifu aliyepo ndani mwako? Maana amesema na Mimi mno kupitia wewe mwalimu na anaendelea kusema mami. Yaani Roho amekuweka kayika viwango vya juu sana mama. Nafuatilia sana masomo yako. Yana hekima sana, yanaponya na kuokoa lakini kubwa zaidi nililolipenda kwako ni ile unatifundisha ili tujiombee wenyewe na tushughulikie matatizo yetu wenyewe. Lakini misingi ya utatu mtakatifu yaani Mungu baba, mwana na Roho mt na unatumia biblia. Naamini si kwangu tu nimepona Bali ni maelefu wataponywa. Umenifanya nijijue kwa kweli. Ubarikiwe sana mama na atukuzwe Roho my kwa ajili yako. Amina
Natamani nifike kwako ninamengi ya kuzungumza na wewe mwalimu
Amina ni kweli Mwalimu anafundisha watu kujiombea.Mungu aendelee kumbariki mafundisho yake yanafungua wengi sana.
Shaloom Mama Asante Kwa Tafakari nimeguswa na yule Mtoto mashine imeshindwa Kusoma Baba alikataa kumbe ni kuwa waombaji Viganganizi
Histagra anatumia jina gani??
Amen sanaa tunajifunza sana
Asante Mama kwa somo zuri
Ahsante, sanaMwalimu, MUNGUakubarikisana
Amen.Mungu akubariki mwl
barikiwa mtumish
Amina mw.Mungu azidi kukubariki na kukusimamia
Ezlia
I love u mwl Grace
Amen Mungu akawe mlinzi maisha yangu yote.
Amina. Mwl Mungu akuinue
Amen Amen. Mungu akawe mlinzi wangu na familia yangu
Amen am blessed 🙏
Mama naomba kupata misaada nalipokuwa katika kuomba sana kushughulika na roho ya mauti juu ya familia yangu nilikuta niko ktk ndoto, nikaletewa picha nashambulia roho ghafla zinatokea ngurumo kali mfano ubapoongalia move ya kichawi mfano wa mizimu nilipozid kuomba nalipelekwa chooni kwenye ndoo ya maji nalipochungulia ndani ya ndoo nikakuta ngurumo nlipokaza kutazama nikaona mayai mawili mazima, natamani kupata tafsiri yake, maana yake nini, naomba nisidie
mama mungu akubariki jaman sana kama unaongea na mm mama
Amina...Mtumishi wa Mungu
Mungu unisaidie kuomba kwa bidii
Najifunza Mwl
Ameen
May God bless you madam Grace,
Asante Yesu
asante
Amen katika jina la yesu
Ameen mwalimu
Fanya sehemu yko kwa hakika nitalete ushuhuda
Amen
Amen 🙏
Amen mumy
Amen.Mungu akubariki mwl