Santaa sana hawa mawahabi wahitaji kuelimishwa hawana wajualo wao walijualo ni kutia fitnah na kujiona na kutukana watu tu ambao sisi haitujalishi. Allah akurehemu sheikh muhammad albeidh
Yaa rabbi tuepushe na fitna hii,tunakuomba yaa Rabbi ,inusuru dini yako tukinge na wenye nia ya kutugawa waislamu Kila ajae na shari waijua yake siri Ivunje yake dhamiri Isipate kusimama. Amin
Hiyo Dua ya kuku haimpati mwewe mbona mhd bachu alipo weka mwanzo hizo clip hamukusema kitu sasa alifaza kujibu ndio muna mdomo wa kusema na kuombea watu mabaya acheni hizo...
@@al-furqan3639 Mohamnad Bachu ni muhuni pia Kama huyu tu.Wasipoacha huu upotofu mwsho wao utakuwa mbaya hakika.Dini haiendeshwi kwa Hawaa za Nafsi.Tuangalie Assalaf Walivyofnya.
@@أبوفيصل-د3ش Basi anza kumkanya mhd bachu akikoma ndio alifaza na yeye atawacha alafu wewe acha kumuombea mtu mabaya ukiwa umekerwa na jambo sema Allah amuongoze..
Kwanza hawa majamaa karibu wote watizameni kwa makni hawana ilimu kbsa maongezi2 yawo unawa jua. Hawa munawo waita masufi wamejiamini kiilimu wakafungua baraza la fatwa nyny wacheni kelele kma kweli mume soma hta kma ni hiyo ilimu ya fitna na vita na matusi na kukufurisha wenzenu bc na nyny fanyeni mzr kma haya walio fanya wenzenu. Wacheni kubweka bweka kma mijibwa.
Waislamu wa kweli ni wale wAnaopigania na kujitahidi kwa namna zote kuwaunganisha waislamu na kufanya sulhu baina yao na sio kuleta farka. Tushikamane katika kamba ya M Mungu wala tusifarikiane (quran)
Mtume swalla Llahu alaihi wasallam aliukataa mwezi wa sham na sisi twaukataa mwezi wa saudia na wenyewe walisema wasifuatwe..sasa nyinyi mawahabi munaojiita (ahlu sunnah wal jamaa)miaka yote hufuata saudia hamufuati kadhi,ati leo kadhi ni wenu mwatuletea balaa za tufuate kadhi,msituone kama sisi twariqa tutafuata tu kama makondoo tuna taratibu zetu za kufuata mwezi,nyinyi mwajulikana miaka yote mwafunga na kufungua na saudia na wala msitulazimishe kufuata saudia mungu aiondoe hii fitna iloingia ya kiwahabi,miaka ya nyuma ilopita kabla kupatikana wasail hizi watu wote hufunga na kufungua kwa kuangalia mwezi...ni fitna kubwa sana iloingia ALLAH atuhifadhi sisi na vizazi vyetu
Wanatariqa walikuwa kutoka enzi za masahaba. Lakini fujo zote hizi zimeletwa na hawa mawahabbi walio dhihiri miaka 300 iliyopita. Wana lazima na mwezi wa Saudia sijui wanajaribu kuwafurahisha hawa ma ambassador ama nini? Halafu maulama wa Saudia hawataki mwezi wao ufatwe. Bwana ehh hivi mababu zetu walikitumia nini kufunga na kufungua? Turegeni katika asli ya kuangalia mwezi na macho makavu! Hizi telescope ni bid'haa mbaya! Mtume (saw) hakutumia hizi telescope kabisa!
KWA KUWA KADHI NI MRENGO WENU NA AMETANGQZA KULINGANA NA MSIMAMO WENU LEO IMEKUWA KADHI YUAFAA KUFATWA SASA. WANAFIQ WAKUBWA MAWAHABI MAFATTANI PEMBE YA YAJDI
Toa hoja ya kueleweka, usiruke hapa na pale, msimamo wa shekh bahero ni mwezi wa popote duniani hata naibu chief kadhi asingetangaza eid ni ijumaa shekh bahero angeliswali eid ijumaa kwa muandamo wa nchi zingine, haijalishi chief ni mrengo wake au la
Muache huyo shekhe lako maskini yuko kaburini sasa mbona wamuungulisha? Huo ndio ushahidi uliokua nao😂😂 maskini azungumza kado ya mada kabsaa. Swali ni hili mbona mumeanza kukanusha kazi ya chief Kadhi wakati ilikua mukijipiga kufua kila siku. JAWABU nikua former kadhi alikua aenda na mwezi wa riadha leo amekuja mwengine wa kufata mwezi wa mandera mumeanza na Umufti. Hasbuna Allahu waneemal wakil
Mawahabi hawakubaliani na wanawazuoni wa twariqa na cc watu wa twariqa hatukubaliani na wanawazuoni wa kiwahabi, shida ya mawahabi wanalazimisha watu kuwafata wao tuwaache ahlul bai't na ndio mafudisho ya mtume kuwapenda ahlul bai't
Si kutangaza mwezi ulionekana saudia. Tangazeni mwezi ulioshuhudiwa kenya muone tutawafuata ama hatutowafuata. Waswas wa nini Tuko na mufti na yale atakayotuambia tuko tayari kumfuata. Nyinyi tangazeni mwezi wenu na Sisi tutafunga na kufungua kufuata mufti wetu.
Ambiwa mawahabi wanajiita ahlusunnah waljamaa hlf anasema wako wengi Kenya !!? Naaani kaaseeemaaaa wameleta maslak yao Juz tu hapo Hlf bahero anamtukana sheikh mwenyebaba anamjuaa vzr au
MAWAHABI ACHENI KELELE, MSHAWALISHA WATU MCHANA WA RAMADHANI YA 30, KWAIO TULIENI. NYIE KULENI HATA RAMADHANI ZOTE MCHANA SINENO. TUWACHIENI WAISLAMU SAFI TUFUATE DINI SAFI. IBN ABBAS ALISEMA " HATUFUNGUI MPAKA TUUONE MWEZI WENYEWE, NA HIVI NDIVYO ALIVYO TUAMURU (ALIVYO TUPA AMRI) MTUME SAW" KWA HIO ZOGO LENU MAWAHABI HALITUFANYI TUKHALIFU AMRI YA MTUME SAW, NYIE MSHAJULIKANA NI PEMBE YA SHETANI KUTOKA NAJDI, HAMTUPI TABU TENA NYIE MAKAFIRI WA KIWAHABIA. IBN ABBAS ALIPOPATA HABARI MWEZI WA SEHEMU NYENGINE HAKUUFUATA NA AKATOA ONYO KWA KUSEMA ".... HIVI KUTOUFUATA NA KUTOUTAMBUA NDIVYO ALIVYOTUAMRISHA MTUME SAW". SASA NYIE MAWAHABI BAKINI NA KUMFATA MTUME KWA JINA NA MANENO ILA VITENDO SIO LAZIMA. UKAFIRI WENU UMEKUTOSHENI.
Kwanza Uliza nini maana ya Twariqa nini Usufi .... Sikila mtu ni sufi Twariqa ama AhluSunna .... Kuna watu Hawana elimu hapa Duniani wana Taqwa na akizungumz utafikiria ana elimu Sababu yote ni Taqwa na Taqwa ndio macho ya pili ambayo mtu wa kawaida hana....Ikiwa ww shekh unachuki na masufi acha au Mawahabi Tutasonga mbele skuizi Dini imekuwa vioja mitandaoni
Kwani kuoa na kuacha ni haramu au ni tabia mbaya,c ameoa na sababu zake akaacha na sababu zake,hata wewe ungekuwa waifuata dini ya kisawa ungekuwa ushaacha mara kadhaa kwa jinsi maisha ya sasa yalivyo unafikiri kudumu na mke ndio kuwa mwema au wingi huendekeza udayuthi tu
Nakuusia ww unaeweka hivi vipande vya fitna wallahi ujue umeshika kazi ya iblisi hakuna thawabu wapata bali ni mfuasi wa iblis kusambaza fitna ...mche Allah wewe Ali faza
Huo wasia wako mbona hukumuusia mhd bachu alipo weka hizo clip kwa chanel yake jana sasa leo alifaza kujibu ndio imekua ni kazi ya ibilisi na thawabu hapati maana Allah ashakuambia wewe kua mhd bachu alipoweka atapata thawabu na ni kazi nzuri lakini alifaza kujibu hatapata thawabu na anafanya kazi ya ibilisi wacha izoo wewe fikiria kabla hujasema
Baraza limefaulu na lina masheikh wenye ilimu na twarika ni Ahli Sunnah wal jamaa na masheikh wa baraza ni wa jadi na wasomesha mpaka kesho mtajipasu moyo Abu Ahmad na Sh Ali kilomgozwa na Allah hakipingiki
Hawa waatu wana pinga inchi yaawo ya Kenya siwo wazalendo hawa jui thamani ya inchi yao ya kenya ni kama ngombe wame vaa makofiya na makaanzu bure kabisa.
Walifunga ijumaa, wameona aibu na kukosa lakusema. Baada ya kuona mwezi wa kuamkia jumampsi jinsi ulivyo mkubwa na kukaa mpka saa Moja usiku Kisha kichapo Cha mvua juu yake.
Hata pia mimi nimekaa na Mawahabi dini ya uhasidi,chuki na Unaafiq watu wa maonyesho na kujipigia promo,chembe za ukafiri ulofichwa kwa sunnah,tunawajuwa sana watu wa kuvutia upande wao na kutafuta wafuasi kwa jinsi yoyote hata kwa propaganda
Santaa sana hawa mawahabi wahitaji kuelimishwa hawana wajualo wao walijualo ni kutia fitnah na kujiona na kutukana watu tu ambao sisi haitujalishi. Allah akurehemu sheikh muhammad albeidh
Yaa rabbi tuepushe na fitna hii,tunakuomba yaa Rabbi ,inusuru dini yako tukinge na wenye nia ya kutugawa waislamu
Kila ajae na shari waijua yake siri
Ivunje yake dhamiri
Isipate kusimama.
Amin
Wew mweny hii chaneli Allah anakuona unavyofany kaz ya kupotosha Waislam.
wallahi utadhalilika
Hiyo Dua ya kuku haimpati mwewe mbona mhd bachu alipo weka mwanzo hizo clip hamukusema kitu sasa alifaza kujibu ndio muna mdomo wa kusema na kuombea watu mabaya acheni hizo...
@@al-furqan3639 Mohamnad Bachu ni muhuni pia Kama huyu tu.Wasipoacha huu upotofu mwsho wao utakuwa mbaya hakika.Dini haiendeshwi kwa Hawaa za Nafsi.Tuangalie Assalaf Walivyofnya.
@@أبوفيصل-د3ش
Basi anza kumkanya mhd bachu akikoma ndio alifaza na yeye atawacha alafu wewe acha kumuombea mtu mabaya ukiwa umekerwa na jambo sema Allah amuongoze..
sheikh albeidh uko vizurii
MAKAFIRI watiwa misikitini na nguo zao za mikojo na ma I na kuswali swafu ya mbele, hayo hamusemi..
Baraza la Jamia? Naomba hili lizungumzwe
Kwanza hawa majamaa karibu wote watizameni kwa makni hawana ilimu kbsa maongezi2 yawo unawa jua. Hawa munawo waita masufi wamejiamini kiilimu wakafungua baraza la fatwa nyny wacheni kelele kma kweli mume soma hta kma ni hiyo ilimu ya fitna na vita na matusi na kukufurisha wenzenu bc na nyny fanyeni mzr kma haya walio fanya wenzenu. Wacheni kubweka bweka kma mijibwa.
Kwakuwa kadhi wa sahii si waki Bajuni ndo wanapinga....
Elezea pia alikuwaje akafukuzwa masjid konzi mombasa?
Waislamu wa kweli ni wale wAnaopigania na kujitahidi kwa namna zote kuwaunganisha waislamu na kufanya sulhu baina yao na sio kuleta farka. Tushikamane katika kamba ya M Mungu wala tusifarikiane (quran)
Tumechoka pia ss. Shekeh kma wao wmefungua baraza la fatwa ww fungua lko muitan kama wao. Ksha kila mtu angalie lake kelele za ovyo tu
Mtume swalla Llahu alaihi wasallam aliukataa mwezi wa sham na sisi twaukataa mwezi wa saudia na wenyewe walisema wasifuatwe..sasa nyinyi mawahabi munaojiita (ahlu sunnah wal jamaa)miaka yote hufuata saudia hamufuati kadhi,ati leo kadhi ni wenu mwatuletea balaa za tufuate kadhi,msituone kama sisi twariqa tutafuata tu kama makondoo tuna taratibu zetu za kufuata mwezi,nyinyi mwajulikana miaka yote mwafunga na kufungua na saudia na wala msitulazimishe kufuata saudia mungu aiondoe hii fitna iloingia ya kiwahabi,miaka ya nyuma ilopita kabla kupatikana wasail hizi watu wote hufunga na kufungua kwa kuangalia mwezi...ni fitna kubwa sana iloingia ALLAH atuhifadhi sisi na vizazi vyetu
Hizo ni fitna ambazo mtume alizibashiri kuwa zitatokea najdi
Fitna za Muhammad abdulwahhab
Wanatariqa walikuwa kutoka enzi za masahaba. Lakini fujo zote hizi zimeletwa na hawa mawahabbi walio dhihiri miaka 300 iliyopita. Wana lazima na mwezi wa Saudia sijui wanajaribu kuwafurahisha hawa ma ambassador ama nini? Halafu maulama wa Saudia hawataki mwezi wao ufatwe. Bwana ehh hivi mababu zetu walikitumia nini kufunga na kufungua? Turegeni katika asli ya kuangalia mwezi na macho makavu! Hizi telescope ni bid'haa mbaya! Mtume (saw) hakutumia hizi telescope kabisa!
KWA KUWA KADHI NI MRENGO WENU NA AMETANGQZA KULINGANA NA MSIMAMO WENU LEO IMEKUWA KADHI YUAFAA KUFATWA SASA.
WANAFIQ WAKUBWA MAWAHABI MAFATTANI PEMBE YA YAJDI
mawahabi ndo nn hiyo??Dalili tafadhali
Toa hoja ya kueleweka, usiruke hapa na pale, msimamo wa shekh bahero ni mwezi wa popote duniani hata naibu chief kadhi asingetangaza eid ni ijumaa shekh bahero angeliswali eid ijumaa kwa muandamo wa nchi zingine, haijalishi chief ni mrengo wake au la
Muache huyo shekhe lako maskini yuko kaburini sasa mbona wamuungulisha? Huo ndio ushahidi uliokua nao😂😂 maskini azungumza kado ya mada kabsaa. Swali ni hili mbona mumeanza kukanusha kazi ya chief Kadhi wakati ilikua mukijipiga kufua kila siku. JAWABU nikua former kadhi alikua aenda na mwezi wa riadha leo amekuja mwengine wa kufata mwezi wa mandera mumeanza na Umufti. Hasbuna Allahu waneemal wakil
Shukran al-akh kwa ufafanuzi
Huyu sindio Yule alisema maiti ilijizingua yenyewe wakati wa kuoshwa na kutoka kwenye tusi mwenyewe kuingia kaburini?😂😂😂😂
Mawahabi hawakubaliani na wanawazuoni wa twariqa na cc watu wa twariqa hatukubaliani na wanawazuoni wa kiwahabi, shida ya mawahabi wanalazimisha watu kuwafata wao tuwaache ahlul bai't na ndio mafudisho ya mtume kuwapenda ahlul bai't
Si kutangaza mwezi ulionekana saudia. Tangazeni mwezi ulioshuhudiwa kenya muone tutawafuata ama hatutowafuata. Waswas wa nini Tuko na mufti na yale atakayotuambia tuko tayari kumfuata. Nyinyi tangazeni mwezi wenu na Sisi tutafunga na kufungua kufuata mufti wetu.
Ambiwa mawahabi wanajiita ahlusunnah waljamaa hlf anasema wako wengi Kenya !!? Naaani kaaseeemaaaa wameleta maslak yao Juz tu hapo
Hlf bahero anamtukana sheikh mwenyebaba anamjuaa vzr au
MAWAHABI ACHENI KELELE, MSHAWALISHA WATU MCHANA WA RAMADHANI YA 30, KWAIO TULIENI. NYIE KULENI HATA RAMADHANI ZOTE MCHANA SINENO. TUWACHIENI WAISLAMU SAFI TUFUATE DINI SAFI. IBN ABBAS ALISEMA " HATUFUNGUI MPAKA TUUONE MWEZI WENYEWE, NA HIVI NDIVYO ALIVYO TUAMURU (ALIVYO TUPA AMRI) MTUME SAW"
KWA HIO ZOGO LENU MAWAHABI HALITUFANYI TUKHALIFU AMRI YA MTUME SAW, NYIE MSHAJULIKANA NI PEMBE YA SHETANI KUTOKA NAJDI, HAMTUPI TABU TENA NYIE MAKAFIRI WA KIWAHABIA. IBN ABBAS ALIPOPATA HABARI MWEZI WA SEHEMU NYENGINE HAKUUFUATA NA AKATOA ONYO KWA KUSEMA ".... HIVI KUTOUFUATA NA KUTOUTAMBUA NDIVYO ALIVYOTUAMRISHA MTUME SAW". SASA NYIE MAWAHABI BAKINI NA KUMFATA MTUME KWA JINA NA MANENO ILA VITENDO SIO LAZIMA. UKAFIRI WENU UMEKUTOSHENI.
👍
👍
Kwanza Uliza nini maana ya Twariqa nini Usufi .... Sikila mtu ni sufi Twariqa ama AhluSunna .... Kuna watu Hawana elimu hapa Duniani wana Taqwa na akizungumz utafikiria ana elimu Sababu yote ni Taqwa na Taqwa ndio macho ya pili ambayo mtu wa kawaida hana....Ikiwa ww shekh unachuki na masufi acha au Mawahabi Tutasonga mbele skuizi Dini imekuwa vioja mitandaoni
Ali faza mbona husemi history ya mweye baba ameoa wanawake zaidi ya 40 sasa akiwawacha. Ati walazimisha tumfate mtu tabia mbaya kama hiyo
Kwani kuoa na kuacha ni haramu au ni tabia mbaya,c ameoa na sababu zake akaacha na sababu zake,hata wewe ungekuwa waifuata dini ya kisawa ungekuwa ushaacha mara kadhaa kwa jinsi maisha ya sasa yalivyo unafikiri kudumu na mke ndio kuwa mwema au wingi huendekeza udayuthi tu
Twariyqa ndio wanazuoni,
Waliosoma elimu ya uhakika,
Sio elimu ya kuropokwa ropokwa tuuu.
Endeni mukasome
Mfumo wenu wa utawala haupo stable
Tushawazoea na bid’aa zao kushindana
Alafu masufi kuweni na hishma ya maulama. Nani ulama kenya. Ulama gani wacheni kupenda ukubwa.
Nakuusia ww unaeweka hivi vipande vya fitna wallahi ujue umeshika kazi ya iblisi hakuna thawabu wapata bali ni mfuasi wa iblis kusambaza fitna ...mche Allah wewe Ali faza
Huo wasia wako mbona hukumuusia mhd bachu alipo weka hizo clip kwa chanel yake jana sasa leo alifaza kujibu ndio imekua ni kazi ya ibilisi na thawabu hapati maana Allah ashakuambia wewe kua mhd bachu alipoweka atapata thawabu na ni kazi nzuri lakini alifaza kujibu hatapata thawabu na anafanya kazi ya ibilisi wacha izoo wewe fikiria kabla hujasema
Baraza limefaulu na lina masheikh wenye ilimu na twarika ni Ahli Sunnah wal jamaa na masheikh wa baraza ni wa jadi na wasomesha mpaka kesho mtajipasu moyo Abu Ahmad na Sh
Ali kilomgozwa na Allah hakipingiki
Ndani kuna wstu wa twarika na watu wa Muhammad bin Abdulwahab.
Hawa waatu wana pinga inchi yaawo ya Kenya siwo wazalendo hawa jui thamani ya inchi yao ya kenya ni kama ngombe wame vaa makofiya na makaanzu bure kabisa.
MASUFI Mnakaza tu vichwa mnajifanya hamuelewi haqq
Elewa ww😂
Mashaallah baraakallaahu fiyk Ali faza hizi video za Al,allaamah unazotoa wapi?
Unafanya kazi kubwa Allah akubariki zaidi
Wasufi ndio mawalii,
Soma tatekhe ya masufi,
Ndio utajuwa history ya masufi
Walifunga ijumaa, wameona aibu na kukosa lakusema. Baada ya kuona mwezi wa kuamkia jumampsi jinsi ulivyo mkubwa na kukaa mpka saa Moja usiku Kisha kichapo Cha mvua juu yake.
Mvua ilikosekana mwaka mzima ilikua kichapo hivi kunyesha jana pia nikichapo? Nauliza thuu 😅
Huyuana njaa ya cheo Bahero wacha sisasa ndani ya dini.
Mkizi tuliza Ball ungelikwenda kw kikao ukasema hukuenda kaa kimya
Mwacheni sheikh letu Bahero
Hawa ma sufi au twariqa nii balaa tupu. Wako mbali na Haki. Nyoyo zao zimejaa hawaa. Nawajua sana tabia zao. Nimekaa nao mda mrefu.
Hata pia mimi nimekaa na Mawahabi dini ya uhasidi,chuki na Unaafiq watu wa maonyesho na kujipigia promo,chembe za ukafiri ulofichwa kwa sunnah,tunawajuwa sana watu wa kuvutia upande wao na kutafuta wafuasi kwa jinsi yoyote hata kwa propaganda
Mtu akiitwa mufti ni lazima awe amehifadhi hadithi laki naaaa huku kenya hakuna mufti wa ulamaa hawajafika kiwango wanajipa majina makubwa
Watu wa maslahi
Na mtu kuwa Imaam kabla hajaswalisha watu ni awe amefanya sunna kama 500 hao Maimamu wenu wa kuswalisha Wakristo misikitini pia hawafai
Mutakosolewa mutake musitake lazma dini inyoke
ULITAMBUE AMA USLITAMBUE WEW NI NANI
Wasuudi wametangaziwa walipe mwezi ulikua haukuonekana,
HUYU Ali Faza naye ni kama mtu wa Bidaa
Kenya Fitna Council