Yaa Allah naomba kupitia kisomo hiki nifunguliwe vifungo nilivonavo katika mwili wangu na uwafungue na wanangu wote wawe wenye kufanikiwa katika harakati za matafuto yao 🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲
Yaa Allah naomba kupitia hiki kisoma mfunguwe mwanangu apate safari ya kazi, subhana Allah 🤲🙏 Naomba pia kupitia kisomo hiki mwanangu wakike ya rabi apate mume subhana Allah 🤲🤲🤲🙏🙏🙏
Salamu lekum kiukweli ningependa utufanyie kisomo hiki kwa familia yetu kila mwaka ni lazima mtu afe hatujui mwaka huu ni nani tafathali tunaomba musahada wako
Waleikumsalam warahmatullah wabarakatu miswali langu lipo apa kwasisi tulioko uarabuni jee itakuaje sababu waarabu wengi majini ndio chumo lao cha kuskitisha zaidi wana2mia wafanyakazi kama mabibizao nawakija wanakuja kivyovyote yani mimi mwenye mahali nilipo nnamtihani ila nashkuru alhamdulillah 🤲 ruqia zafanya kazi ila kukamuliwa subhanallah ☝️majumba Yana mambo ndiposa utasikia baadhi yetu wengine Wana pagawa mana utakumbana na joka katika room nawana kwambia weulikuja kazi inabidi ulioshe nakulipa chakula wallaih 🙏 kuna wa2wana pitia ila inshallah ntakutafuta WSP miniko bahrein inlikua Qatar halinihio hio kupigana navitu vyajabu ajabu ikifika saanane saasaba naasaa sita mpaka saatisa subutu hakuna kulala ila alhamdulillah mi Muslim Quran ndio Kinga yangu na swala alhamdulillah saii 4yeas
Yaa Allah naomba kupitia kisomo hiki nifunguliwe vifungo nilivonavo katika mwili wangu na uwafungue na wanangu wote wawe wenye kufanikiwa katika harakati za matafuto yao 🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲
Yaa Allah naomba kupitia hiki kisoma mfunguwe mwanangu apate safari ya kazi, subhana Allah 🤲🙏
Naomba pia kupitia kisomo hiki mwanangu wakike ya rabi apate mume subhana Allah 🤲🤲🤲🙏🙏🙏
Shukuran sheikh 🤲🤲🤲
Shukran ustadh kwakisomo chako mungu akuzidishie maisha marefu
Amin
Aaleikum naomba kisomo Cha kufungua vifundo vya kufungiwa riziki,nyota na mengineo Inshallah.
waalykum msaalam waramatulah wabarakatul. masha Allah tabaraka Allah.Shukran jazakaAllahkheir sheikh sheikh wetu kwa Dua. Ameen yaraab alamiin. ❤❤❤❤❤
Masha Allah jazaka Allah kheir Amiin Amiin Allah Atuondolee maradh na mitihan inayo tusumbuwa kwenye maisha yetu
Mashallaha
Mashaallah Allah akujazi kher kwa kisomo chako Allah atufanyie wepesi atuondole matatizo mungu akufungulie kila la kher🤲
Shukrani yaarabi
Mashallah Nice
Masha Allah Waze Wana nikiimbiya sahii baadhi yawo❤❤❤
Mashaallah mashaallah
Masha Allah Shukran Jazaqallah kher Sheikh
Shukran ustadh nipo kenya Msa nitapatapi mafuta huku
Hakika hiki ni kiapo chenye nguvu mno
Asalam aleykum naomba dua yakuniponesha macho kuuma,kuwasha kuwakamoto , miba ,na changarawe
Masha Allah
Shukran shekhe
Asante kakaangu kwakisomo
Shukrani sheikh kwa
kutuletea huku Kenya mda
Shukran kwa kisomo JazakaAllah khairan
Tafadhali naomba hii dua`a uitume kwa kusoma nikitaka nisome mimi mwenyewe
Mashallah mashallah
Mashaallah
Amen
Amiin🤲,shukran
Xhukurie Dr
Mashallah tabarakallah
Shukurn jazkaallah
Mim nashida na icho kitabu
Salamu lekum kiukweli ningependa utufanyie kisomo hiki kwa familia yetu kila mwaka ni lazima mtu afe hatujui mwaka huu ni nani tafathali tunaomba musahada wako
Nitafute 0692074649
Asalam aleykum naomba dua ya kuniponesha jicho kuuma,kuwasha ,kuwakamoto na miba
Amiin
Acheni nyambu.....acheni kujifananisha na manasara
namba kwa oman naomba mawasiliano ya kupata mafuta
Waleikumsalam warahmatullah wabarakatu miswali langu lipo apa kwasisi tulioko uarabuni jee itakuaje sababu waarabu wengi majini ndio chumo lao cha kuskitisha zaidi wana2mia wafanyakazi kama mabibizao nawakija wanakuja kivyovyote yani mimi mwenye mahali nilipo nnamtihani ila nashkuru alhamdulillah 🤲 ruqia zafanya kazi ila kukamuliwa subhanallah ☝️majumba Yana mambo ndiposa utasikia baadhi yetu wengine Wana pagawa mana utakumbana na joka katika room nawana kwambia weulikuja kazi inabidi ulioshe nakulipa chakula wallaih 🙏 kuna wa2wana pitia ila inshallah ntakutafuta WSP miniko bahrein inlikua Qatar halinihio hio kupigana navitu vyajabu ajabu ikifika saanane saasaba naasaa sita mpaka saatisa subutu hakuna kulala ila alhamdulillah mi Muslim Quran ndio Kinga yangu na swala alhamdulillah saii 4yeas
Lakini Rudi nyumbani kwanza ,Mimi naliaga pekeyangu.
ALLAH akufanyie wepesi akuondoshee maradhi yote
Assalam alikum warahmatullah
Naweza kusikiliza katika siku zangu wala nikusikiliza nikuwa na uzu tu
Hizo dawa tutapata wapi