KISUGU: AMLIPUA MANARA LIVE/ MZINZI NDIOMANA KAFANYA UPUUZI MBELE YA VIONGOZI WA NCHI NA WA CLUB YAK

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ย. 2024
  • #BATTLETV

ความคิดเห็น • 40

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 หลายเดือนก่อน +8

    Manara ni Mtu wa kuharibu kila siku ile haikuwa na ulazima kumleta Mabeto ukweli Tuseme ameharibu Tamasha letu bwana!

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 หลายเดือนก่อน

    The professional ahmed ally, the king of tonament 💪no one like him🦁🙏🏽

  • @juliusmbikilwa6928
    @juliusmbikilwa6928 หลายเดือนก่อน +2

    Pamoja na kuwa mie shabiki wa Yanga lakini hakika Manara huenda ni mlemavu hadi ndani ya ubongo.Mbele ys viongozi wa heshima hao bila aibu unatambulisha wazinzi,kulikuwa kunaongeza furaha gani katika tamasha?Manara ni KIVURUGENI kweli,Duh!!!!!!!!?!?😅😮😢😊😂🎉

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p หลายเดือนก่อน

    Manara hatumtaki yanga please enginear mpeni thanky manara hatumtaki

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l หลายเดือนก่อน

    SIMBA NGUVU MOJA🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @RizwanAbdallah
    @RizwanAbdallah หลายเดือนก่อน +2

    Kwahiyo mobetto nibota kuliko Ally kamwe

  • @MartinDismas-ou5oy
    @MartinDismas-ou5oy หลายเดือนก่อน

    Kweli mlemavu. Alhamdulilah MUNGU msamehe.

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el หลายเดือนก่อน

    Sasa walitangaza wachezaji au mabeto na Aziza duuh Aziza ameiteka Yanga sanaa

  • @asmasalumu
    @asmasalumu หลายเดือนก่อน +1

    Duuu manara hakuwa na jipya

  • @Anuarmustafa4128
    @Anuarmustafa4128 หลายเดือนก่อน +1

    Ahmed Ali ametangaza nin si amemtangaza mo na familia yake na mmiliki wa Tim ya Simba mwenye timu yake

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p หลายเดือนก่อน

    Manara mnafiki asaa

  • @ballackmasungura6753
    @ballackmasungura6753 หลายเดือนก่อน

    Wakati mo ana tambulisha dada zake timu ni ya familia hile manara ajaribu chote amisa alikuwa Simba kasilimishwa yanga utaki au kamuita pakome amfungie viatu

  • @athumanidilunga7770
    @athumanidilunga7770 หลายเดือนก่อน +1

    Manara chizi anajiamini kupitiliza

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab หลายเดือนก่อน

    Yaani Manara Le Buga kurudi tu kwa mpira tayari Yanga inaongoza 1 coz anawaumiza kichwa sana Makolokolo

  • @jamalmanishi7282
    @jamalmanishi7282 หลายเดือนก่อน

    Wenye akiri yanga ni wawili nawatatu ni Mzee magoma

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p หลายเดือนก่อน

    Xavi mtupu

  • @AlfredVictory-f3r
    @AlfredVictory-f3r หลายเดือนก่อน +1

    Supu fc

  • @victorphilipo
    @victorphilipo หลายเดือนก่อน

    Manara yupo kiushabiki zaidi na utundu mwingi sasa nyie watu wazima furaha yake ilizidi sizani Kuna mkamilifu mpeni onyo Moira uende MARA oyeeeeee ft yanga!!!

  • @JohnHembweza
    @JohnHembweza หลายเดือนก่อน +1

    Naye mobeto kajishusha dhamani kuvuliwa nguo hadharani loooo mmm

    • @samsonhamery3809
      @samsonhamery3809 หลายเดือนก่อน

      Manara haitaki mema Yanga huu udalali anaowafanyia mabinti wasiodumu na wapenzi kama Moberto ambaye tunasikia kapita na mastaa watatu na kuachwa eti ndiye analetewa Azik Ki kuunganyishiwa kimahusiano hamwoni mnamharibia Aziz Ki yaani mnataka kiwango chake kishuke Yanga ipate hasara ya kimsajili?Manara acha udalali wa.kuwatongozea wachezaji wetu mabint.acha wafanye kilichowaleta yanga usituulie timu

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p หลายเดือนก่อน

    Kabla hayajawa mengine manara hatumtaki jana anahojiwa anasema akimpiga yanga kwel huyu mnamuweka wann na Ally kamwe yupo jaman tuungane kwaumoja apingwe manara hatumtaki

  • @SouleHamadimfaoume
    @SouleHamadimfaoume หลายเดือนก่อน

    Hakuna mawazo mapya pale usituzinguwe

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 หลายเดือนก่อน

    Manara amekosa sera za kuisemea yanga sera zake kubwa ni kuitukana simba nakuibeza ndoo kazi alioajiliwa na yanga

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 หลายเดือนก่อน

    Mobeto hoyeee yaani yanga bila mobeto haiwezekani duh

  • @AbduliAyubu-nk8bd
    @AbduliAyubu-nk8bd หลายเดือนก่อน

    We nidio acha ujinga kwasababu unachekelea ubinga

  • @AugustinoRugwije
    @AugustinoRugwije หลายเดือนก่อน

    Hivi ni mubeto huyo mzazi mwenzie na Mzee WA komasava

  • @augustinemainde
    @augustinemainde หลายเดือนก่อน

    Kisugu acha ujinga dunia imebadilika waacheni Genz walete mawazo mapya kwenye mpira

    • @user-ld1pp7th6f
      @user-ld1pp7th6f หลายเดือนก่อน

      Acha ujinga mpira na mapenz😅😅😅

  • @abujumanne7570
    @abujumanne7570 หลายเดือนก่อน

    Manara uzee jamani ushamfika ...unajua mtu akizeeka. Anarudi kua na akili 😂😂yaki toto..

  • @Anuarmustafa4128
    @Anuarmustafa4128 หลายเดือนก่อน

    Nyinyi wapenzi wa Simba nyote vilaza

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 หลายเดือนก่อน +2

    Manaraa ndio alivuruga tamasha la Supu fc

  • @LwessoKisekaJuma-wb1zu
    @LwessoKisekaJuma-wb1zu หลายเดือนก่อน

    Kwani dadake Mo ni mzinzi?!!

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 หลายเดือนก่อน

    Hivi azinzikii hana mke?

  • @augustinoflavian1738
    @augustinoflavian1738 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji chizi anaehojiwa mwehu 🚮

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx หลายเดือนก่อน

    Hata mziki haramu

  • @user-yx4uu4iv4z
    @user-yx4uu4iv4z หลายเดือนก่อน

    Huyo kisugu hanasela

  • @SemzigwaHarun
    @SemzigwaHarun หลายเดือนก่อน

    Msi mlaum jamani yule nilemavu kwahio kuna shot kichwani mle

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu
    @SurprisedFullMoon-gg9vu หลายเดือนก่อน

    Hawa supu fc"hamna kituu

  • @user-cp2fr6ct5g
    @user-cp2fr6ct5g หลายเดือนก่อน

    Hamissa fc