KIGOMA IPELEKENI BURUNDI, KUKAA MPAKANI NA KUHOJIWA URAIA? - HAONGA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- HAONGA: Serikali ya Awamu ya Tano Haijafanya Chochote, Bora Kikwete
Mbunge wa Mbozi kwa tiketi ya Chadema, Pascal Haonga, amesema serikali ya awamu hii haijafanya chochote ukilinganisha na serikali iliyopita kwa sababu hakuna ajira mpya zilizotolewa, watumishi hawajaongezwa mishahara wala ahadi ya kupewa shilingi milioni 50 kwa kila kijiji haijatimizwa.
Sakata la wabunge wa sekondari kuhamishwa kwenda kufundisha shule za msingi, limelipuka upya bungeni mjini Dodoma ambapo Mbunge wa Mbozi, Paschal Haonga amepaza sauti kuwatetea walimu ambao wamehamishwa kupelekwa shule za msingi bila kulipwa stahiki zao.
Haonga ameenda mbali zaidi na kueleza kwamba serikali ya awamu ya tano haijafanya lolote ukilinganisha na awamu ya nne, kwani hakuna ajira mpya zilizotoka, ahadi ya kusambazwa shilingi milioni 50 kwa kila kijiji hazijatimizwa.
lnstal GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Mithali 4 :13 13 Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; Mshike, maana yeye ni uzima wako.
Elimu--Si kwamba awajui wanachofanya ni mpango wao wanajua Elimu ni uzima, wao wanataka malofa wawe wengi ili wasiwepo wa kuoji.
Hapo kwene Ajira umezungumza kweli!
Kwa manyanyaso tulinayo watu wa kigoma tupo Tayar kigoma ipelekwe huko
eliphazi amon kweli
Ama kweli..kuna watu wanajua jenga hoja ila haitasaidia kama hawa viongozi hawamwamini Mungu na hawamuogopi hata kidogo
nimekuelewa sana Rais Wa Mbozi , tatizo la ccm wanamasikio lakini hawasikii
"usiku wa deni haukawii kwisha"
Kwa upande wa maisha kupanda hapa nilipo mambo ni magumu kila kitu kimepandanda
kwani huyo mwenyekiti unayemtaja watoto wake wanasoma huko ?hana hasara na watoto wahao wanyonge ndio maana wamewaandaa kua walinzi wa watoto wao(scout)
Na kweli mishahara toka ile ya kikwete
Mh. Mwenyekiti zimezidi mpaka zimemaliza Muda wako mbunge wangu.
Kweli kabsa selikari kwenye ajira ni 0. Maana kama nimtetezi wawanyonge kuna watu wasoma kwa mchicha na mzazi wao Wa kiwa Na matumaini Leo kasahau alikuja kutuomba tumpe kura ila kwakua ukweli anaujia hainashida yaa hakeemu
wambie ukweli ao wamezoea ujinga ao
acha upuuz kwan watu wa kigoma sio watu?
katika ellimu kuna tatizo Kubwa sana
Kuna kitu kuwa mtu anayefundisha primary anafundisha child development and personality wakati secondary wengi ni content zaidi hana uwezo wa kufundisha primary
kweliiiiiiiiiiiii
Nyie wasemeeni walimu maana CCM wao Wana Jenga nchi na kupiga kazi tu
NAZIDI FALIJIKA KUSIKILIZA UKWERI NDU HAONGA
umesema vyema!!!!!!!!!!!!!!!
Bado awamu haijaisha lkn tumeona mengi saaana
Mh mwenyekiti ni nyingi mnooo mbunge,ila maoni mazuri ya kujenga, Mwenyekiti yupo fair
Tunakokwnda ni pabaya
et haaamnaaaa muda wako umeisha
hamnaaaaaa muda wako umekwishaaa hahahahahahaha mwenyekiti haahahahaha
MBOZI NYUMBANI TUWAKILISHE
Tetea maslahi yao, ila ukisema walimu wa sekondari wamefundishwa saikolojia ya wanafunzi wakubwa kuliko wa shule ya msingi hapo ndo naona huna maarifa ya kina kuhusu ualimu... Mwalimu chuoni anafundishwa saikolojia ya watu wa rika zote!
B'coz Henry acha UONGO ww, mm nipo Chuoni nasoma saiv.
Hicho chuo ambacho hawafundishi psychology ya kuanzia watoto hadi watu wazima kitakua cha wapumbavu basi!
henry kama hujasoma alimu acha kiherehere,ww na ualimu WAP na WAP,ualimu unaujua ww?
acheni viherehere psychology is psychology only that
huyu jamaa 😆😆😆 eti awamu 5 haiajili
povu tu hakuna hoja ya maana. hatuhitaji milioni 50 sisi. watu wakigoma lazima wahojiwe maana kila siku watu wa burundi wanaingia tanzania.
Mbona watu warusha hawahojiw walio karbu na kenya
Masunga Kulwa naww ukiwemo
Wamasai na wachaga mbona wanaingia kutoka Kenya we mbwa kweli